Historia ya Tundu Lissu, Elimu Yake, Siasa, Ndoa na Maisha Yake kwa Jumla!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2024
  • Subscribe / uwazi1
    Ungetegemea kuona watu wanaokwenda Nairobi kumjulia hali Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu wakirudi na amani kwamba wamekuta anaendelea vizuri, lakini ni tofauti; wanaonekana jasiri zaidi na tayari kwa mapambano.
    Ndivyo ilivyokuwa kwa Mchungaji Peter Msigwa, Zitto Kabwe, Lazaro Nyalandu, Julius Mtatiro na Sheikh Ponda Issa Ponda waliporejea kutoka jijini humo kumjulia hali mwanasheria huyo mkuu wa Chadema.
    Lissu, ambaye amelazwa Hospitali ya Nairobi nchini Kenya, alishambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana Septemba 7, 2017 akiwa ndani ya gari lake nje ya makazi yake Area D mjini Dodoma.
    Alihamishiwa Nairobi usiku wa siku ya shambulio hilo linaloonekana lililenga kuchukua maisha yake, na kwa mujibu wa wanaokwenda kumjulia hali, afya yake inazidi kuimarika.
    Lakini, jambo moja ambalo limeonekana kwa wengi waliomjulia hali ni kauli zao baada ya kurejea; wanaonekana sasa hawaogopi kifo, wako tayari kupambana na yeyote wanayedhani ni adui, wameongezeka ujasiri na si waoga katika kuzungumza.
    Wengi wao waliporudi walizungumza kwa ujasiri zaidi na hata walipozungumza na Mwananchi walionekana kusimamia kauli zao.
    FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .

КОМЕНТАРІ • 156

  • @kapondamsita476
    @kapondamsita476 4 роки тому +1

    Walaaniwe wote wenye kumchukia risu

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 7 років тому +19

    Msomi mzuri sana,nilikuwa cjajua asanteni ,sasa nimejua kwa nini anajiamini co mbabaishaji,kasoma na kuelewa vzr.Daa waliotaka kumwua na waangamie na vizazi vyao vyote

  • @machaineomahe6697
    @machaineomahe6697 5 років тому +5

    mtangazaji nae anajua kupangilia saf san bbie

  • @michanomichano4931
    @michanomichano4931 7 років тому +11

    Huyo ndiyo kamanda wa ukweli mpiganaji wetu

    • @abdalahfarida2074
      @abdalahfarida2074 4 роки тому +1

      CHADEMA CHONDE CHONDE MBOWE ABAKI MWENYEKITI HADI UCHAGUZI UAHIRISHWE. HAKUNA MTU ANAWEZA TETEA CHAMA HIKI KAMA MBOWE. MASHEHE, MAASKOFU, WACHUNGAJI, WAZEE, WAGANGA WA JADI MUOMBENI MAGUFULI AFUTE TAREHE YA UCHAGUZI NA ARUHUSU WATU WACHUKUE FORM UPYA. MKIACHA KUMWAMBIA MAGUFULI UKWELI MUNGU ANAWAONA. HUU NI USHAURI WA BURE KWENU. WATOTO WA BABA NA MAMA MMOJA KWA NINI MNAGOMBANIA FITO. AIBU SANA.

  • @petermwanyondo6459
    @petermwanyondo6459 6 років тому +8

    mungu azdi kumbalki nakumlinda nyakti zt binadam huyu

  • @yusuphyunusi6865
    @yusuphyunusi6865 4 роки тому +1

    Kila aliyehusika na shambulizi LA lissu hata km angekuwa mbingu ya saba IPO siku atajibu

  • @jumagari4836
    @jumagari4836 6 років тому +5

    kweli namkubali xana tu duhh

  • @chiefkaitaba.m.9466
    @chiefkaitaba.m.9466 7 років тому +16

    Lissu ni jembe na 2020 ndo ataliongoza Taifa hili lilotekwa kihitikadi

    • @peterjuma7390
      @peterjuma7390 5 років тому +1

      Mngu mponye na umlinde kW ngvu zote

    • @anuaryally6177
      @anuaryally6177 3 роки тому

      Kusoma sana mwishoe ondondokea kuwa kibaraka

  • @emanuelmosha3045
    @emanuelmosha3045 7 років тому +8

    Mungu atampigania tu

  • @aliethlwaitama9592
    @aliethlwaitama9592 6 років тому +4

    Safi sana kamanda anaelimu mzuri tena kapitia shule ya kipaji ndio maana anajiamini.

  • @janethjackson5370
    @janethjackson5370 7 років тому +8

    Jamani lisu! Yani mungu hawezi kuwaacha watesi wafurahi juu yako.ulinzi wa mungu uwe juu yako lisu....

  • @joycekarim9184
    @joycekarim9184 3 роки тому

    Hayatuhusu kawasimulie uberigiji uliofunganao ndoa😂😂😂😂😂

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 3 роки тому

    Kusoma sana mwishoe ondondokea kuwa kibaraka je msomi kuwa kibaraka uwapa faida wazungu na mzalendo asiesoma utetea mali zisipolwe na wazungu nani zaidi

  • @kipokendirangu2572
    @kipokendirangu2572 3 роки тому

    Mtanzania aliyekimbilia office za ubalozi akidai anataka kuwawa baada ya kampeni zake za kugombea urais kugonga mwamba nakusindikizwa na hadi uwanja wa ndege wa Jkn international airport dar.ina maana alipanda ndege kwenda zake uberigiji ambako ameolewa na kibabu cha kizungu huko ndiko anako ishi na huyo mzungu.

  • @mwinshehenassib4853
    @mwinshehenassib4853 5 років тому +1

    Annanias Edger yupo wapi.

  • @adolfmaliyao4015
    @adolfmaliyao4015 7 років тому +7

    Ahsante kwa taarifa Nzuri ya kamanda Lissu.
    Mungu mponye Tundu Lissu

  • @yohanisshaibu3811
    @yohanisshaibu3811 3 роки тому

    Kusoma siyo shida,Kinacho nisikitisha ni msomi kufanya vitu vya kijinga.

  • @amosmtalai1746
    @amosmtalai1746 7 років тому +9

    Daah asante Kwa historia ya kamanda wangu

  • @keflenlugwila9594
    @keflenlugwila9594 3 роки тому

    Nakupenda

  • @juliasmollel5176
    @juliasmollel5176 4 роки тому

    huyo usomi ata huyu magufuli wenu ni mtoto anajuwa kuinyanyasa demogras ya ichi nakubana haki za watanzania hasa wakulima wamekuwa wanaona kilimo nimthani mkubwa sana sababu haina faida yeyote

  • @harunakayega5531
    @harunakayega5531 3 роки тому

    Eti watoto wazuri hahaha watangazaji bhana

  • @gaspermassawe7397
    @gaspermassawe7397 7 років тому +4

    Mungu mkubwa watu hawa waliotaka kumuua LiSsu niwale wenye AKILI MGANDO NA ELIMU ZA KUFOJI,STUPIDEST, MBWA SANA.

  • @lemausontz3513
    @lemausontz3513 2 роки тому

    Msomaji unaboronga unachanganya changanya

  • @elminakalunga4030
    @elminakalunga4030 3 роки тому

    Viranja siku zite ni wale wakorofi. Galanos alivurunda.

    • @georgebongi4844
      @georgebongi4844 2 роки тому

      Wewe mtu ni mjinga sana kama Galanos angevurunda ameingiaje chuo kikuu

  • @kahenabulafunda4713
    @kahenabulafunda4713 4 роки тому

    Nani kamarisu mungu akujaze nguvu

  • @santyhassan4186
    @santyhassan4186 7 років тому +8

    Kumbe jamaa nimsomi aisee

  • @millardayotheamazingworld1427
    @millardayotheamazingworld1427 5 років тому

    Leo mdada kacheza na kuvua chupi hadharani. Like na usabscribe channel yngu THE AMAZING WORLD ujionee ya dunia

  • @danielmagwaza2410
    @danielmagwaza2410 5 років тому +1

    Rais wetu 2020

  • @risekyela1837
    @risekyela1837 7 років тому +5

    nakukuba lissu wwe nijembe

  • @hamisgagala1453
    @hamisgagala1453 7 років тому +5

    Great historical!

  • @emanuelieliasi8456
    @emanuelieliasi8456 5 років тому +2

    hakuna WA kugusa kwa jamaa huyu

  • @jacquilinemahumbi5950
    @jacquilinemahumbi5950 7 років тому +2

    Mungu Ahsante. naomba uendelee kuimalsha afya take. hakika nmeona Erma wako. nampenda Sana Lisu.

  • @onolatusionolatusi8454
    @onolatusionolatusi8454 6 років тому +3

    Saf mh lissu kwa historia nzur

  • @jeremiahsengasu6595
    @jeremiahsengasu6595 6 років тому +4

    lissu ✔️🙏

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 роки тому

    Jipange dada utangazaji wako uko vzuri, ila unachokieleza ndio bado tatzo kidogo..... Be blessed

  • @shayopaterini8678
    @shayopaterini8678 5 років тому

    Duuuuuu kesi kumi za jina na watu mia tatu na kdhaa kawatoa gerezan daaah hongera saana

  • @placidiusmakoko2597
    @placidiusmakoko2597 6 років тому +3

    Good biography thanks for up to date

  • @asherykambona9168
    @asherykambona9168 3 роки тому

    Tz prezda,viva lisau viva cdm

  • @musamabura5200
    @musamabura5200 7 років тому +3

    Lissu mpango wa mungu

  • @martinmkuyu2750
    @martinmkuyu2750 7 років тому +2

    Tunakuombea mwanahalakati wetu

  • @sheilalolila2233
    @sheilalolila2233 7 років тому +3

    yarabi Allah mponye kiumbe

  • @prosperswenya5310
    @prosperswenya5310 2 роки тому

    Huyu nibonge lakiongoz

  • @titussimiyu7645
    @titussimiyu7645 2 роки тому

    Leina O ngoyasi niko leki natron engaresero

  • @titussimiyu7645
    @titussimiyu7645 2 роки тому

    Leina O ngoyasi niko leki natron engaresero

  • @titussimiyu7645
    @titussimiyu7645 2 роки тому

    Leina O ngoyasi niko leki natron engaresero

  • @titussimiyu7645
    @titussimiyu7645 2 роки тому

    Leina O ngoyasi niko leki natron engaresero

  • @mohamedimfyomi5767
    @mohamedimfyomi5767 3 роки тому

    Mwamba huyu afrika

  • @justinemgomi9561
    @justinemgomi9561 7 років тому +5

    Mungu wetu ampigania na kuwatia upofu watesi wake

  • @johnsjmbalamwezi7609
    @johnsjmbalamwezi7609 7 років тому +3

    Tuko pamoja

  • @kahenabulafunda4713
    @kahenabulafunda4713 4 роки тому

    Nani kamarisu mungu akujaze nguvu

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 4 роки тому +1

    Safi sana

  • @bonybabalao8921
    @bonybabalao8921 4 роки тому

    Utapata uraizi

  • @faidandaha1174
    @faidandaha1174 4 роки тому +1

    Great history for tundu lisu

  • @bm4tv602
    @bm4tv602 7 років тому +3

    Kama mungu amemfikisha hapo alipo fika bs atakua salam daima
    Mungu amjalie tu

  • @janethanatory3629
    @janethanatory3629 7 років тому +4

    ila walio mzuru lissu mungu atanyamaza.kwa ili

  • @nathanielshehondo8224
    @nathanielshehondo8224 3 роки тому

    You are role mode to me..

  • @abdallahsimba
    @abdallahsimba 3 роки тому

    ni miaka 52

  • @kipokendirangu2572
    @kipokendirangu2572 4 роки тому

    Lissu hana history katika nchi yetu tanzania baada yeye kwenye kukimbia nchi makusudi mazima kwenda ulaya na kujitangaza kuwa ni mkimbizi wa siasa na kupewa mahali pa kuishi na pakufanyia kazi kwenye nyumba za kulelea vibabu vya kizungu kuvizoa mavi na kuvilisha vyakula.

    • @selemaniahmadi8501
      @selemaniahmadi8501 4 роки тому

      Wewe huna jipya wewe hata unapo kaa haujulikani unashindana nalisu dunia inamtambua

    • @kipokendirangu2572
      @kipokendirangu2572 4 роки тому

      Selemani Ahmadi mwislamu na huyu kafiri lissu unamjua wapi

    • @eliatimagason231
      @eliatimagason231 4 роки тому

      Acha wivu nawe kasome usifiwe ulitaman ungekua ndio history inakuhusu weww

  • @samwelmwinyi7879
    @samwelmwinyi7879 7 років тому +3

    Asante dada CATHELINE KAHABI kwa historia ya Mh. TUNDU A. LISSU! Nmekuelewa vlvyo vyema! Mungu mwema amjalie afya ndg yangu!

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 3 роки тому

    ni msomi mzuri na anaakili sana...watu walosoma ilboru enzi hizo naskia walikuwa vipanga sana..ilboru ilitoa wanafunzi waloiva mno..hongera Tundu Lissu

  • @maxmilianmtui1719
    @maxmilianmtui1719 7 років тому +4

    unaona kichwa hicho kikoje viZuri, mungu zidisha uponyaji azidi kutetea unyonge,

  • @jacksondamas8634
    @jacksondamas8634 7 років тому +8

    nampenda lissu

  • @stevensosipita2851
    @stevensosipita2851 3 роки тому

    HATUNA SHIDA NA HISTORIA YAKE SHOGA TU HUYO KIBARAKA

    • @georgebongi4844
      @georgebongi4844 2 роки тому

      Wajinga ni wengi

    • @stevensosipita2851
      @stevensosipita2851 2 роки тому

      @@georgebongi4844 WAKWANZA NI WEWE NA HUYO SHOGA WENU TUNDU LA CHOO ANABWAKA TUU KILA SIKU KAMA MBWA.

  • @millardayotheamazingworld1427
    @millardayotheamazingworld1427 5 років тому

    Mara ya mwisho UINGEREZA tulikua pamoja katika mtihan wa CORDS OF CRIMINAL LAW.
    nlisikitika sna nlipopata habar amepigwa risasi.

  • @robertsemaganga9168
    @robertsemaganga9168 4 роки тому

    Sisi tunasubiri arudi ikiatoe ushahidi wa kupigwa kwake maana anawaju akiwemo kigogo

  • @majutothomas3765
    @majutothomas3765 3 роки тому

    Child

  • @ramadhanspemba655
    @ramadhanspemba655 5 років тому +2

    Linaakili sana

  • @idimwemba8948
    @idimwemba8948 3 роки тому

    Idimwg

  • @mapumamiyoga3639
    @mapumamiyoga3639 6 років тому +2

    MY leader, my role model. God Bless Lissu!

  • @louisnyoni4139
    @louisnyoni4139 5 років тому

    Lisu ni msomi sio wa kuwa na vyeti bali ni usomi uliokuwa kinywani ndio maana anajiamini na kuisimamia anachokiamini, nasema hivi kwa sababu kuna wasomi wengine tunao lakini hatunufaiki na usomi wao kwamba awapo tayari kukosoa pale penye upotofu

  • @jumaedward7110
    @jumaedward7110 7 років тому +1

    mbona unachanganya asa matukio na muda

  • @eliudimastertz3635
    @eliudimastertz3635 4 роки тому

    Yuko vizur

  • @edwardolesandam2272
    @edwardolesandam2272 6 років тому +1

    Pole Sana lissu

  • @davidnyambuche352
    @davidnyambuche352 7 років тому +2

    Nimependa

  • @stanfordkifaru6257
    @stanfordkifaru6257 5 років тому +1

    Saluti kwake

  • @stanfordkifaru6257
    @stanfordkifaru6257 5 років тому +1

    Saluti kwake

  • @trumpson1442
    @trumpson1442 7 років тому +5

    Nakupenda xna lisu wangu mungu akulinde urejee tena kwenye majukumu yko

  • @amosbinmahona9947
    @amosbinmahona9947 6 років тому +1

    Nimeipenda historia ya jemedali

  • @dr.swagztv3559
    @dr.swagztv3559 4 роки тому

    Ur the bext

  • @alimakame8134
    @alimakame8134 5 років тому +1

    Asante

  • @ngeckshumangeck5959
    @ngeckshumangeck5959 6 років тому +1

    nchini nailobi sio

  • @aldoba2826
    @aldoba2826 4 роки тому

    Utabaki kuwa juu kamanda

  • @maigathomas2353
    @maigathomas2353 4 роки тому

    Safi sana lisu

  • @directorjohnson2370
    @directorjohnson2370 5 років тому +1

    You are my president 2020

  • @lengaymaida434
    @lengaymaida434 7 років тому +4

    Ahsante Sana Dada uko makini Sana pia Tuzidi kumwombea kamanda mtetea haki za watanzania Mh Tundu Antipas Lissu

  • @tareqhilal6750
    @tareqhilal6750 5 років тому

    Napenda sana Lissu apate nafasi

  • @isayamerickiorywille6881
    @isayamerickiorywille6881 5 років тому

    Nimeipenda nitaendelea kuipenda

  • @emmanuelmollel3008
    @emmanuelmollel3008 5 років тому

    Aaa uko pouwaa...ila mnyam mzima ananias edger-tz anajuaaa

  • @kfastak
    @kfastak 6 років тому +1

    Nice

  • @marekanijulius2620
    @marekanijulius2620 7 років тому +3

    ana akili nyingi kichwani

  • @mataamiry6720
    @mataamiry6720 4 роки тому

    Kwenye sheria uyo ni jini iko wazi

  • @charleslucas8790
    @charleslucas8790 5 років тому +1

    Yah nice one love

  • @augustinongowi2663
    @augustinongowi2663 4 роки тому

    I love Tanzanie !

  • @issajambi2417
    @issajambi2417 7 років тому +3

    safi Sana kwa historia ya kamanda wetu

  • @stephanothomas3585
    @stephanothomas3585 7 років тому +5

    Asante lissu...

  • @yusuphdonald7410
    @yusuphdonald7410 5 років тому

    Historia ni kwawalio shindwa au kudead xo ikiitoa historia it means what?

  • @magmag4648
    @magmag4648 7 років тому +2

    Mungu ni mwema maishani mwetu we love to hear history of lisu

  • @erickykisaka5417
    @erickykisaka5417 7 років тому +2

    Pamoja sana lissu

  • @jacquilinemahumbi5950
    @jacquilinemahumbi5950 7 років тому +3

    Lisu Mungu yk nawe. l always pray for you. love u my kamanda.

  • @yonasangitho4485
    @yonasangitho4485 7 років тому +2

    hongera sana lisu