Historia ya Tundu Lissu, Elimu Yake, Siasa, Ndoa na Maisha Yake kwa Jumla!
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- Subscribe / uwazi1
Ungetegemea kuona watu wanaokwenda Nairobi kumjulia hali Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu wakirudi na amani kwamba wamekuta anaendelea vizuri, lakini ni tofauti; wanaonekana jasiri zaidi na tayari kwa mapambano.
Ndivyo ilivyokuwa kwa Mchungaji Peter Msigwa, Zitto Kabwe, Lazaro Nyalandu, Julius Mtatiro na Sheikh Ponda Issa Ponda waliporejea kutoka jijini humo kumjulia hali mwanasheria huyo mkuu wa Chadema.
Lissu, ambaye amelazwa Hospitali ya Nairobi nchini Kenya, alishambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana Septemba 7, 2017 akiwa ndani ya gari lake nje ya makazi yake Area D mjini Dodoma.
Alihamishiwa Nairobi usiku wa siku ya shambulio hilo linaloonekana lililenga kuchukua maisha yake, na kwa mujibu wa wanaokwenda kumjulia hali, afya yake inazidi kuimarika.
Lakini, jambo moja ambalo limeonekana kwa wengi waliomjulia hali ni kauli zao baada ya kurejea; wanaonekana sasa hawaogopi kifo, wako tayari kupambana na yeyote wanayedhani ni adui, wameongezeka ujasiri na si waoga katika kuzungumza.
Wengi wao waliporudi walizungumza kwa ujasiri zaidi na hata walipozungumza na Mwananchi walionekana kusimamia kauli zao.
FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .
Walaaniwe wote wenye kumchukia risu
Msomi mzuri sana,nilikuwa cjajua asanteni ,sasa nimejua kwa nini anajiamini co mbabaishaji,kasoma na kuelewa vzr.Daa waliotaka kumwua na waangamie na vizazi vyao vyote
mtangazaji nae anajua kupangilia saf san bbie
Huyo ndiyo kamanda wa ukweli mpiganaji wetu
CHADEMA CHONDE CHONDE MBOWE ABAKI MWENYEKITI HADI UCHAGUZI UAHIRISHWE. HAKUNA MTU ANAWEZA TETEA CHAMA HIKI KAMA MBOWE. MASHEHE, MAASKOFU, WACHUNGAJI, WAZEE, WAGANGA WA JADI MUOMBENI MAGUFULI AFUTE TAREHE YA UCHAGUZI NA ARUHUSU WATU WACHUKUE FORM UPYA. MKIACHA KUMWAMBIA MAGUFULI UKWELI MUNGU ANAWAONA. HUU NI USHAURI WA BURE KWENU. WATOTO WA BABA NA MAMA MMOJA KWA NINI MNAGOMBANIA FITO. AIBU SANA.
mungu azdi kumbalki nakumlinda nyakti zt binadam huyu
Kila aliyehusika na shambulizi LA lissu hata km angekuwa mbingu ya saba IPO siku atajibu
kweli namkubali xana tu duhh
Lissu ni jembe na 2020 ndo ataliongoza Taifa hili lilotekwa kihitikadi
Mngu mponye na umlinde kW ngvu zote
Kusoma sana mwishoe ondondokea kuwa kibaraka
Mungu atampigania tu
Safi sana kamanda anaelimu mzuri tena kapitia shule ya kipaji ndio maana anajiamini.
Jamani lisu! Yani mungu hawezi kuwaacha watesi wafurahi juu yako.ulinzi wa mungu uwe juu yako lisu....
mlifikir ni fala eee ni msomi haswa nampenda sana mbuge wangu wa singida
Hayatuhusu kawasimulie uberigiji uliofunganao ndoa😂😂😂😂😂
Wacha ujinga mbwa wewe
Kusoma sana mwishoe ondondokea kuwa kibaraka je msomi kuwa kibaraka uwapa faida wazungu na mzalendo asiesoma utetea mali zisipolwe na wazungu nani zaidi
Mtanzania aliyekimbilia office za ubalozi akidai anataka kuwawa baada ya kampeni zake za kugombea urais kugonga mwamba nakusindikizwa na hadi uwanja wa ndege wa Jkn international airport dar.ina maana alipanda ndege kwenda zake uberigiji ambako ameolewa na kibabu cha kizungu huko ndiko anako ishi na huyo mzungu.
Annanias Edger yupo wapi.
Ahsante kwa taarifa Nzuri ya kamanda Lissu.
Mungu mponye Tundu Lissu
Kusoma siyo shida,Kinacho nisikitisha ni msomi kufanya vitu vya kijinga.
Daah asante Kwa historia ya kamanda wangu
amos mtalai nm
Nakupenda
huyo usomi ata huyu magufuli wenu ni mtoto anajuwa kuinyanyasa demogras ya ichi nakubana haki za watanzania hasa wakulima wamekuwa wanaona kilimo nimthani mkubwa sana sababu haina faida yeyote
Eti watoto wazuri hahaha watangazaji bhana
Mungu mkubwa watu hawa waliotaka kumuua LiSsu niwale wenye AKILI MGANDO NA ELIMU ZA KUFOJI,STUPIDEST, MBWA SANA.
Msomaji unaboronga unachanganya changanya
Viranja siku zite ni wale wakorofi. Galanos alivurunda.
Wewe mtu ni mjinga sana kama Galanos angevurunda ameingiaje chuo kikuu
Nani kamarisu mungu akujaze nguvu
Kumbe jamaa nimsomi aisee
Leo mdada kacheza na kuvua chupi hadharani. Like na usabscribe channel yngu THE AMAZING WORLD ujionee ya dunia
Kamanda.big up
Rais wetu 2020
nakukuba lissu wwe nijembe
RISE KYELA .
Great historical!
hakuna WA kugusa kwa jamaa huyu
Mungu Ahsante. naomba uendelee kuimalsha afya take. hakika nmeona Erma wako. nampenda Sana Lisu.
Saf mh lissu kwa historia nzur
lissu ✔️🙏
Jipange dada utangazaji wako uko vzuri, ila unachokieleza ndio bado tatzo kidogo..... Be blessed
Duuuuuu kesi kumi za jina na watu mia tatu na kdhaa kawatoa gerezan daaah hongera saana
Good biography thanks for up to date
Tz prezda,viva lisau viva cdm
Lissu mpango wa mungu
Tunakuombea mwanahalakati wetu
yarabi Allah mponye kiumbe
Huyu nibonge lakiongoz
Leina O ngoyasi niko leki natron engaresero
Leina O ngoyasi niko leki natron engaresero
Leina O ngoyasi niko leki natron engaresero
Leina O ngoyasi niko leki natron engaresero
Mwamba huyu afrika
Mungu wetu ampigania na kuwatia upofu watesi wake
Tuko pamoja
Nani kamarisu mungu akujaze nguvu
Safi sana
Utapata uraizi
Great history for tundu lisu
Kama mungu amemfikisha hapo alipo fika bs atakua salam daima
Mungu amjalie tu
ila walio mzuru lissu mungu atanyamaza.kwa ili
You are role mode to me..
ni miaka 52
Lissu hana history katika nchi yetu tanzania baada yeye kwenye kukimbia nchi makusudi mazima kwenda ulaya na kujitangaza kuwa ni mkimbizi wa siasa na kupewa mahali pa kuishi na pakufanyia kazi kwenye nyumba za kulelea vibabu vya kizungu kuvizoa mavi na kuvilisha vyakula.
Wewe huna jipya wewe hata unapo kaa haujulikani unashindana nalisu dunia inamtambua
Selemani Ahmadi mwislamu na huyu kafiri lissu unamjua wapi
Acha wivu nawe kasome usifiwe ulitaman ungekua ndio history inakuhusu weww
Asante dada CATHELINE KAHABI kwa historia ya Mh. TUNDU A. LISSU! Nmekuelewa vlvyo vyema! Mungu mwema amjalie afya ndg yangu!
ni msomi mzuri na anaakili sana...watu walosoma ilboru enzi hizo naskia walikuwa vipanga sana..ilboru ilitoa wanafunzi waloiva mno..hongera Tundu Lissu
unaona kichwa hicho kikoje viZuri, mungu zidisha uponyaji azidi kutetea unyonge,
Sawa sawa antipass
nampenda lissu
Jackson Damas Barikiwa sana Jackson.
Jackson Damas lisu yuko vizuri sana
HATUNA SHIDA NA HISTORIA YAKE SHOGA TU HUYO KIBARAKA
Wajinga ni wengi
@@georgebongi4844 WAKWANZA NI WEWE NA HUYO SHOGA WENU TUNDU LA CHOO ANABWAKA TUU KILA SIKU KAMA MBWA.
Mara ya mwisho UINGEREZA tulikua pamoja katika mtihan wa CORDS OF CRIMINAL LAW.
nlisikitika sna nlipopata habar amepigwa risasi.
Sisi tunasubiri arudi ikiatoe ushahidi wa kupigwa kwake maana anawaju akiwemo kigogo
Child
Linaakili sana
Idimwg
MY leader, my role model. God Bless Lissu!
Lisu ni msomi sio wa kuwa na vyeti bali ni usomi uliokuwa kinywani ndio maana anajiamini na kuisimamia anachokiamini, nasema hivi kwa sababu kuna wasomi wengine tunao lakini hatunufaiki na usomi wao kwamba awapo tayari kukosoa pale penye upotofu
mbona unachanganya asa matukio na muda
Yuko vizur
Pole Sana lissu
Nimependa
Saluti kwake
Saluti kwake
Nakupenda xna lisu wangu mungu akulinde urejee tena kwenye majukumu yko
Nimeipenda historia ya jemedali
Salute kamanda wetu
Ur the bext
Asante
nchini nailobi sio
Utabaki kuwa juu kamanda
Safi sana lisu
You are my president 2020
Orrie orrie unaumwa
Ahsante Sana Dada uko makini Sana pia Tuzidi kumwombea kamanda mtetea haki za watanzania Mh Tundu Antipas Lissu
Napenda sana Lissu apate nafasi
Nimeipenda nitaendelea kuipenda
Aaa uko pouwaa...ila mnyam mzima ananias edger-tz anajuaaa
Nice
ana akili nyingi kichwani
Kwenye sheria uyo ni jini iko wazi
Yah nice one love
I love Tanzanie !
safi Sana kwa historia ya kamanda wetu
Kamanda
Asante lissu...
Stephano Thomas
news
wrote tujifunze kupitia historian hii ya tundu
Historia ni kwawalio shindwa au kudead xo ikiitoa historia it means what?
Mungu ni mwema maishani mwetu we love to hear history of lisu
Okay...!
Pamoja sana lissu
Lisu Mungu yk nawe. l always pray for you. love u my kamanda.
hongera sana lisu