USIYOYAJUA KUHUSU DK. SLAA; ALIVYOMGOMEA SUMAYE, AKAVAANA NA RAIS KIKWETE, LOWASSA, MKAPA NA ROSTAM
Вставка
- Опубліковано 7 жов 2024
- #CharlesWilliam #Zungu #Day2NewsTV
Hii ni simulizi maalum ya historia, visa na mikasa ya maisha ya Dk. Willibroad Peter Slaa, Katibu Mkuu Mstaafu wa CHADEMA na Mbunge wa zamani wa Jimbo la Karatu aliyehudumu kwa miaka 15.
Simulizi hii imeandikwa na mwanahabari na mchambuzi wa masuala ya kisiasa Charles William na kusimuliwa na Kelvin Raphael maarufu kama Zungu. Hii ni DAY TWO NEWS. Enjoy!
Sauti ya dhahabu sana zungu
Hongereni kwa uchambuzi nzuri
ONE OF BEST STORIES EVER...... NEXT EPISODE PLEASE
Tunaisubiri last episode mpaka leo jamani, leteni bhana
Legend❤
Nakubali ZUNGU
Zungu umetisha sana😅😅
Huyu mzee nilikua namheshim sana ila kanichefuaga moyo sanabsimpend kabisa
Hata sasa tunamuomba harudi kugombea urais tunajua ulitumbati wabunge 23 kutoka upinzani ulipo acha wabunge wa upinzani hakuna bungeni unaro bado lakusema kwa watanzania tunajua unayo unayoyajua kutoka kwa marehemu rais magufuri 🇹🇿
Dr slaa padre mtata