Mkasi | S11E07 With Mh. Tundu Lissu - Extended Version
Вставка
- Опубліковано 17 жов 2024
- Ingekuwa shule ya msingi, ungemuita Toto Tundu, kwa jinsi mwalimu anavyopata shida kukubaliana nae, ila katika hali aliyopo sasa, si tofauti sana....Namzungumzia Mhe. Tundu Lissu. Mmoja kati ya Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alie mahiri kwa kusema bila woga, na mwenye sifa ya kusumbua kiti kwa hoja zake makini ila mara nyingi zenye kuchokoza na kuhamsha mijadala motomoto.
Mtaalamu wa Sheria, na mmoja wa Mawakili wenye ruhusa ya kitaaluma kutetea katika mahakama zetu, Mhe Lissu amekuwa mmoja kati ya wabunge walioweza kuweka bayana utata wa kisheria unaoibuka katika hoja mbali mbali ndani ya Bunge, na pia amekuwa mstari wa mbele katika harakati mbalimbali za kisiasa na kijamii hasa pale msaada wa kisheria unapohitajika.
Wanamkasi wameamua kumuita kikaangoni, tuweze kushiriki nanyi yale machache aliyonayo, kadri muda unavyoruhusu.
Salama, Mubah na John ana kwa ana na Mhe Lissu kwenye Mkasi
Yote kwa hisani ya Coca Cola, Tusker Tanzania na Airtel Tanzania.
Follow MkasiTV on
Facebook : / mkasitv
Twitter : @MkasiTV
Mh.Rais Mtarajiwa waoo very bright man foreal, Ni MTU kwenye akili nyingi Sanaa hakikaaa duuh I can't imagine
Jaman wapendwa wenzangu Tumshukuru Mungu kwa kutupa zawadi hii ya mh.TunduALissu tuwalaani na kuwakanya vikali walijaribu kumuua wanataka kuzima taa ya Tanzania yaaan daaah jamb tafurahi Sana kuona tabasamu la FARAJA kutoka kwa #TunduALissu
Nimependa sana kwa the way anavyo jaribu kujibu kisomi zaidi. Exactly your the best and God may help you for the rest👏
Ama kweli wewe ni Genius. Mungu azidi kukulinda na kukubariki
I love to listen when he talk. Hababaiki ni msomi mkubwa. Maneno safi hayana utata. You're the best Lissu. Allah blessings to you. Inshallah you will be our president.
After magufuli
Tar 6/2/2023 nimeirudia hii interview ya mwamba, dah! Mungu azidi kukubariki.🙏🙏
Huyu mtu ni maktaba yangu ya maarifa asee ..... i do appreciate the way he play his part in his right position.... Your one of the best aducated person in Tanzania with average level of education. We miss your presence in our lovely country... your wellcome back Tundu Lissu
Sugu mby
Masters degree in Law is not average: he is highly educated.
LISU ni Genius bt wabongo hamja jua ilo
ni miaka mitano imepita toka rais mtarajiwa afanyiwe interview hii. mwaka huu 2020 imekuwa dhahiri sana. TL is genious.
This is the best interview I ever watched,best interview all the time till this time 2020 ✌️✌️✌️✌️Go lissu this is your time 🥇
Ni yeye Leo tarr 14 /10/20 naangalia tena
The great Tundu Lissu.. Genius . Keep up the same spirit ..my nmbr one Role model. Cheers champ.. Ur bttr than those low lives who milk money frm there own gvt and feel proud to be called rich while inthere heads there is nthng.. Continue leavng a legacy
Nimerudi tena 2024 kuangalia hii kitu. Haichujiiiiii MIAKA TISA SASA!
Maashaallah maashaallah maashaallah tundu lissu allah akulinde
Kama unaangalia hii mwaka 2020 tujuane kwa like🤣😀
🔥🔥🔥
@@philimonchindole8697 o
, , , , z\S#Z#zzzZZzzz#************\\zzzzzzzzzzzzwZ******************\zzzzz
Ni msomi makini...
@@shawnmichaels1893 lisu ni kichwa sana mungu ampe afya njema
Thank you Mr Lissu for elaborating a little about politics
Mdogo wangu lissu mwenyezi mungu akujalie maisha malefu
Muheshimiwa lisu big up wewe ni mtetezi wawazanzibari
Lissu for President! Mwaka huu ni mwaka wa madiliko
Mhe Lissu tunaona harakati zako na chama chako and we real appreciate,Mungu azidi kukulinda.
Suzana Roman kbs
Kama kuna mtu ninae mpenda wanasiasa bc ni tundu lisu
Msenge Sana wew ndiyo wale wale mabeberu
@Kyambarungwe ma TV Kuma la mamayako wewe,kwani umelazimishwa kukubaliana na Mimi.au ndio usenge uliousema maana ni wasenge tu ndio hawajui kuacha jambo liwapite.choko wewe
Mungu anamlinda kweli
Lissu your always the best miaka hyo ya uwazi imepotea Mungu azidi kukupa afya njema na nguvu kuu ya kuendelea kupambana naiman ipo siku utaweza rudi na kuishi tena kwa aman tz
Tunai angalia leo 1/9/2020! Hawa wenye kipindi cha mkasi bakhili hata mgeni hakupewa glasi ya maji!
Nani anaendelea kuangalia hii in 2020. Ebu gusa like
Tupo
Mm
Mbeba maono...
@@mrishosunga702 b.
nipo nipo hapa
I am absolutely impressed by Mheshimiwa Tundu Lissu's arguments, particularly on the issues of education and "special schools". Frankly speaking, compared to other countries which got independence at the same time as Tanzania, we have completely messed up on education. This will continue jeopardizing chances for national development by our future generations. If we didn't educate them properly, and give them much needed skills, what is the chance of this country being at par with other nations?? Can you believe that that this wonderful peaceful country has to be a recipient of WB grant for "Big Results Now in Education Program (BRNEd) Project", aiming to improve education quality in Tanzanian primary and secondary schools? This is after more than 50 years of independence? We really have to think seriously on electing right people, principled people with good governance.
I dont mean to be off topic but does someone know a trick to log back into an instagram account..?
I was stupid lost my account password. I would love any tips you can offer me.
I've been watching this show from day one. By far this is the best guest you've ever had on here. Politics aside this guy is brilliant. Note how forthright and upfront he was about politics. Take for example admitting the fact that opportunism is part and parcel of the game, but then he goes on to explain why it's not such a terrible thing. It's not about having a popular or an unpopular stance on issues it's how you defend that stance. Talk about kujenga hoja, huyu jamaa anajua! Of all the politicians you've had on here this guy is streets ahead of them, they all could learn a thing or two from him. You also get the impression he is in politics for the right reasons and not just to cater to his own ego. Mind you there is always a bit of an ego thing involved with people in such positions, but with him you at least get the sense that his ego and people's perception of him is not his main concern, and I don't think you can say that for any of his contemporaries that you've had on your program.
I'm sure it's not the first time you've heard it before but dude! John and Muba you need to learn to let the conversation flow on its own, give the guests time to speak and don't rush them. It's not a race to see who gets in the most questions, it's a "conversation" which means "listening" to the other person before responding accordingly. So many cases, not only in this particular episode either, you sense a conversation is heading in a really interesting direction only for the guest to be asked a completely out of topic question that just kills the topic. Unajua saa nyingine mtu akinogewa anaweza kuongea (kuropoka) vitu ambavyo hajapanga ambapo ndo uhondo wenyewe wa interview ulipo, but if you interrupt the person talking atanogewa saa ngapi? But good work though, it would be unfair to not mention that you guys have gotten a lot better from the earlier days, so props for trying to improve.
Your right tunaongea mambo ya afya ambayo i was very interested on hajamaliza wamerukia katiba there has to be a flow kama unavyosema and a transition. Inaboa sana. Nimependa aliyosema Lissu isipokua mambo ya muungano.
thank you for saying this. I am less polite when it comes to Muba and his friend's interruptions and I think Salama should always try to bring the speaker back from her fellows' misquestioning.
Donath Massawe.....
,
Donath Massawe
Lissu ni mpinzani wa kweli kuwai kutokea Tanzania.
Umesema kweli
True ✌
Hawezi kuwa mpinzani wa kweli hii Nchi kwa Sera yake ya kuunga mkono Ushoga!!
@@amanafi1288 nawewe si shoga vile vile
@@lichilasalumu7983 Ningeukubali Ushoga c ningekuwa huo upande wenu
Lisu,your awesome men!! keep going.
Lisuu raisiwetu sisihatutaki mabarabara tupemaisha tule natuwehuru barabaravakajenge chato
Nakupenda sana kaka yangu lisu unaongea point🙏🙏🙏
Mungu hakupe haja ya moyo wako
,
@@mgendizabron1962 .
Salama rudisha kipindi cha mkasi ni ktk ubunifu Bora kabisa uliowahi kuufanya maishani mwako
Mzee una akili Sana Watu Gonga like apa
Huyu jamaa hovyo, ushoga tuu
Tundu tunda la Tanzania Mungu akubariki Sana
Unaisikiliza interview ya 2015 mwaka 2020 na still unamuona mwamba mwenye misimamo ileile. Yaani interview kama ya mwaka huu
Huyu ndo anatufaa kuwa RAIS wetu
Hakika. Kusema haki, Lissu ni kichwa.
Mh. Rais kipenzi cha watanzania hakika wewe umebeba maono Mungu akulinde...
Mungu anamlinda
Tundu Lissu is a brilliant politician and we are missing out not having him running the government.
Good
He can not run may be by mouth
Ukweli Tundu Lisu ni mtu wa pekee sana Tanzania utakuta mtoto wa Shule hizo hajui hata maana ya well done pia hajui inasikitisha sana
Mungu akupe maisha marefu lisu. hakika tunamsomi tanzania.
Lissu ni more than president 🙌🙌
Shukran Salama kwa kutualikia lissu tunakuomba na Jussa umlete. Muba hakuna lisiloshindikana mungu akijaaliya muungano wa serikali 2 hauna muda mrefu kaka yangu kama Nyerere,Hitler,Mobutu,Saddam,Gaddafi, Makaburu,Ussr. basi na hili lina mwisho kijana Ccm si lolote mbele ya mungu hawawezi kuishi miaka 500 kama yafirauni hizo ni akili za kikafiri kukipa kitu umri wa dumu daima
Mungu kweli alikupa kitu ndani yako uliongea Miaka kadhaa iliyopita kuwa tunakwenda kubaya kweli tumekuwa kubaya zaidi.
Waliona kizuri kisidumu wakasahau kuwa yupo mtetezi Yesu
Hakika Mungu yupo kwa wale ambao hawaamini kua hayupo wa mwangalie kupitia Antipasi Lisu.watamuona Mungu baba aliye umba mbingu na dunia
Like Za Tundu Lissu 2020
Thank you Lissu..wanataka kumfanya Nyerere alikuwa kimungu mtu, Big NO
You are the best Lissu....Kumbe Tanzania kuna watu kama hawa Aisee
Bado upo dada
Kura yangu unaichukuwa 2020
And I watch today...still the best politician.
TUNDU LISSU akili kubwa Sana karibu kwa nyumbani Tz.
Kabisa
October 2020 inakaribia ✌🏽
Kam unaangalia hii video 2020 gonga like tujuane
Safiii saana lisu yaani huwa sichoki kukusikiliza kwenye mazungumzo yako, huwa najifunza vitu vingi saana kutoka kwako nataman siku moja uwe Rais wa hii nchi
LISSU NI BINADAMU WA KIPEE. HAJAWAHI KUFELI
Huyu jamaa kweli ni kichwa sana
Naskia Kikwete alisema ni bora Dr. Slaa awe rais kuliko Lissu kuwa mbunge. The guy is talented. #NiYeye2020
Alisema hivyo kwakuwa anajua Lissu hua ana msimamo. Huyumbishwi kwahio wanamuogopa anawapa ukweliii!.
Mungu anaona mbali sana dah tungempoteza huyu mtu tungepoteza kitu cha thaman sana
Tundu noma
Huyu mtu anatisha (anaakili nyingi Sana)
Wewe unazo chache
John Malulu wivu wa kike
Saa6 uck tarh 19-9-2020 Naangalia Mh. Rais Mtalajiwa Nani Kama Mimi
Naam
Naenda ukamfile mbwa huyo lisu.
Lissu ni Akili kubwa..✌
asante
Kulwa Mwakagali ana akili kubwa ila maarifa hana. Anaenda mbele anarudi nyuma
✌✌
Nimeamini watu wana laana kama mtu anaweza kujaribu kuua mtu wa aina hii ambae ni hazina kwa taifa hili, hii ni laana kabisa
Wivu
Hakuna mtu ninaemwamini Kama huyu mwamba amekuwa msaada kwa watu miaka mingi, na amekuwa kimbilio katika kipindi kilefu yupo kutetea haki za watanzania huyu mtu anatufaa kutuongoza, ataongoza kwa haki mm naimani nae kwa kiasi kikubwa sana! Nimemfuatiria sana huyu atatutengenezea Katiba mpya na ndio msingi wa kizazi hiki na Cha kesho, tuache fitina za CCM, na tusipo itoa CCM mwaka huu, kamwe watu hawatapata haki tena, huyu Lissu tumchague atutengenezee mfumo mzima wa utawara, nchi hii itapigwa hatua na Wana nchi tutaona mafanikio makubwa, MUNGU akulinde tuvuke kwenye uchaguzi huu.
Hichi kichwa binafsi nakikubali saaana....sijui mambo mengine ila namkubali
👇Tujuane hapa 2020
Sure this is a real deal indeed !! HAKIKA MUNGU NDANI YA TANZANIA NA AMETUPA MTU
Great interview. Asilimia 50 ya wabunge wetu wangekuwa na akili kama huyu mtu. Nchi ingekuwa mbali sana.
Kumbe hujui tundulisu niadui nambamoja anajitahid kuzuia maendeleo lakin hataweza.
@Meshack Mliwa unapenda kutukana. Sana. Basi. Inafikirika kuwa. Unatoka. Katika Nyumba. Za. Udongo/matope !!!!!!!?
Big. Up. Toooo
Hapo kwenye Elimu umenigusa sana
We Tindu lisu ni mbwaa.
Uchaguzi ukiisha unaolewa tarehee 30.10.20
hahaha Lisu namkubali sanaaa 1:03:26, anakwambia anapenda sana kuchimba usiku ili kesho yake akawabane bungeni hehe
wewe ni taifa kubwa mh lisu mungu akulinde sana
Uko vizuri tindo letu na rais ajae tundu lisu ustishwe na wachache wanao rubuniwa na saani ya ubwabwa wa sku moja kesho walale njaa
Naiangalia 2020 but ni kama mpya
We Tundulisu kweli we ni shoga kwa sababu gani unavaa hereni
Wapi kavaa hereni,una uoni hafifu au ni mhemko wa kipumbavu
Unaweza kumtusi hata mzazi maana unamhemko kama uko ovulation period
Mubba na mwenzio in vilaza rudini shuleni, shule in muhimu sana, huenda mulisoma shule za kata
Nimekuelewa sana
2020 Bado nimekusikiliza nakukumbuka pia
Allah tupe mwisho mwema
Mzonge wawapiwewe tanga
Tundu bovu ,,yaani apa na mzungu mzia tundulisu,,,,yupo vizuli ktk uwongeaji,,,na herim ya kufikilia. Jambo zuri anyo, lakini ana uwezo wa kuongoza nchi
How are you guys??nyinyi muko nyuma sana tena sana kimaisha nyooni huku nchi za western musome kwanza mtizameni hata huyu mwanamke anarjiita mwenyewe Salama anavyomuhuji Lissu hicho kikao chake alicho kaaa???,😅🤣😂🤣😅😂😳🧐muko mbali sana ya dunia mimi katika ufahamu wangu mimi maisha ni vitu viwili tuu love and respect iko wapi hapa heshimaaaaaa???
Get like this soon mh.
My learned man
Shule siyo jengo ni uwepo wa walimu. Vitabu. Maabara. Na vitendea kazi
Sjapata kuona msomi wa aina hii nimsomi wa hali hali ya juu
Duh...hii clip Naikumbuke Sana....
Nice elaborated lissu
Hizi speeches zinaishi milele
inatubidi tuwe na uwezo wa kufikiri na kutenda vema ili tutimize wajibu wetu katika siasa na uchumi wa nchi yetu.KUA MWANGALIFU ACHA KULA RUSHWA
Bona hojazako nizakurenganusga tu .watanzania?nikusema ina ahadi yoyote kwa wanaimchi?
Anafaa kuwa Raisi wa nchi ya wanyonge wanao onewa
Ulikuwa unamaono aisee
@@shawnmichaels1893 huyu jamaa ni jembe sana basi tu watu wanajiondoa ufaham et katumwa lakini alianza zamani sana kutetea wanyonge
Salama mjanja Sana,, umekachonoa kazee hako kanabwabwaja hatari, lkn hana jpya yote ya zamani Ndiyo hayo mzee magufuli anayatekeleza hana jipya lisu,
siasa za kutenganisha watu walioungana ni hatari kwa raia kwa sababu watanzania wanapenda Amani kuliko kituchochote duniani mimi ningependa chama cha upinzani kishinde ili uwajibikaji uongezeke kivyama
february 16 2017,, still watching this....
Nakukubali broo your my hero!!
Salama na wenzako hamna uwezo wa kumhoj Mh tndu Lissu mnaulza chenga2, ulizen Mambo ya maana kama Dada Farhiya Middle.
Hao sio wana siasa
tunakusikiliza vizuri kiongozi
Naukalibisha mwezi oktoba kwa kusikiliza madini kutoka kwa Mheshimiwa Rais 🇹🇿
The best TV station Mkasi
Love u bro 13/10/2020
Penda sana lissu Mungu akuinue
Nimeipenda hyooo
Salama bhaana eet tabia ya kuuliza watoto wa kike sio vizuri duuh hatary
Zanzibar ni koloni la tanganyika💃💃
Somo zuri sana Kaka.
yeah jamaa katisha !! kamanda lisu
Melwyn Lemunge
Your the best one lissu don't give up God be with you
Kweli feature President
Something new November 1,2020 who listen this
Hichi ni kichwa aiseee
10 years later from this interview, He became the legal President of Tanzanis 🇹🇿💪
Super man
Tundu Lisu ooooyyyeeeee