WAZIRI MKUU AWACHANA TRA MBELE YA WAFANYABIASHARA KARIAKOO "Rais anatamka unakuwa na mashaka"
Вставка
- Опубліковано 16 тра 2023
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Muheshimiwa nakuelewa sana. Na pia una faa kia raisi. Asante sana
Kauli ya waziri mkuu ni maagizo kutoka Kwa raisi.
Mungu akuweke muheshimiwa.Fata nyayo za Mwenazake.
Mungu pekee ndio mkombozi kwa watanzania wote
Mungu.wa.mbinguni.mbariki.raisi.wetu..mbariki.waziri.mkuu.wetu.kiukweli.wametupa.faraja.na.amani.sisi.wafanya.biashara.ushauri.kuna.baahi.ya.wizara.zinatakiwa.zifunjwe.au.zifanyiwe.mabadiliko.zikiwepo.wizara.ya.fedha.na.biashara..ni.maono.yangu
Hongera muheshimiwa waziri wetu kwa kutatuwa kero zetu asante muheshimiwa 🙏
Rushwa inaanzià juu kwenu
Tatizo sio TRA, tatizo ni kuwa WAUMINI wanaishi kama KUHANI WAO.
Kweli baba Majaliwa, hali siyo nzuri kabisa
Asante mweshmiwa waziri mkuu chapa kazi mkuu na kazi iendelee
Allah mashallah ubarikiwe semaaa semaaa baba wafanya biashara wanapata tabu mungu akutie nguvu ulinde haki mashallah
Nahizo pesa zote wanazo walipisha watu zinaisha mifukonamwao katika sehemu yenye wazi walamali yauma naserekali kama TRA WEzi namba wan wanawaoneya watusana yaani pese zinazo ingia mifukoni mwawatu nyinyingi kuliko zinao ingizwa serekalini
Allah mpaka watu wanashundwa kuleta biashara kutoka nje Kwa ajili ya Kodi kuwa kubwa Sasa wakati wa haki umefika mabubu nao kuongea na kupata haki mashallah 💕👍👍
Kweli mtu ukisafiri hata na Masanduku Mawili ru Airport Mtu Unapekuliwa na TRA mpaka Nguo za Ndani zilizomo Sandukuni zinaonekana🙈🙈 kwa sababu ya Tamaa zao,
Kweli Waziri Mkuu Watu husika Washughulikiwe Kikamilifuu-
Mnalindana tuu msituone sisi mafala ningewaelewa kma mwigulu ungemtengua hapohapo na km wewe hauna uwezo wa kutumbua Sasa si upeleke pendleton kwa raisi Samia kuwa waziri wa fedha hafai au mpk siku watanzani wajinyonge kwa hasara wanazoingia ndio mje kutoa pole .
Asante sana baba kweli upo vizur na umesimama kwenye kwel ukwel lazima ujitenge
Hii ni awamu ya nne inatawala,mama hawezi kutumbua mtu, mafisadi,Rip JPM
Nakubali
Rip jpm
😢
Ubarikiwe sana kiongozi
Mungu akubariki Waziri na aibariki Tanzania
Kasimu majaliwa for Presidency. Mungu akitupa huyu mtu kama Rais Tanzania itapiga hatua sana.Viongozi wa awamu hii wengi wamejikinai na kujaa kibri.
Tungekuwa tumepata bonge la Rais ila mafisad hawawezi kumpa nchi
Mmmmh
Hongera Sana mweshimiwa tunakuamini Mungu akurinde
Allah honfera sana muheshimuwa wa ziri
Next presdent
Safi sana waziri mkuu
Nusu Mungu wafukuzwe kazi, waje waone maisha uraiani.
Kwan Mheshimiwa amewajua vizuri tu dawa inChemka
Hili swala la kodi na kujua haki ya mtu binafsi yan haki yako ilibidi hii misingi tuwekewe toka dalasa la kwanza had la saba kwenye mtaala watoe aiba na michezo waweke hili somo kila mtu atajua wajibu wake
Curruption too much in Tanzania
safiiiii
Kodi zimekuwa changamoto
Ama kweli majaliwa sijawahi kukukibali iLa hapa baba kagombee uraisi niko pamoja na wee
Selikari ni wewe tu mheshimiw
Mheshimiwa,waziri mkuu,nakisa kimoja,kuna mtu yuko gerezani,chakushangaza alikuwa na mtandao wa TRA feki yeye akiwa kiongozi wao ,alikuwa anawaongoza kwa njia ya simu akiwa gerezani,hivyo kuna watu wanaojifanya ni kutoka TRA, hivyo kuna uwezekano mkubwa wafanya biashara huwa wanatapeliwa
Sawa mh.
Asante waziri mukuuu
Ruswa, iko hivi Mimi nnataka Nida nikienda kule ofisi ya Nida naambiwa let Nida ya mama yangu Ana maka 60 Hana Nida hapo inakuwaje, Mali IA mwengewe
Tatizo mnaongea tu mngekuwa mnaonyesha mfano mkifukuza 5 .6 hawa wengine watajifunza
Magufuli angetumbua zaman hao jamaa.
🙏🙏🙏🙏
Eti hawana tv😂😂
Wazili. Mkuu safisana.
Nawaheshimu wabunge wote wanaopita ktk majimbo yao bila kupingwa mfano waziri mkuu kassim majaliwa na Hayati Jpm na profesa Mwandosya hawana mba mba mba❤
Bonyeza hapa kutazama filamu mpya za bongo movie
Byby ni bymyniUT
tz kikubwa uzima
Namkubali wazir mkuuu kuliko mama
Tuna imani na wazuri wetu mkuu alistahili kuwa raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania
Ulifaa. Kuwa rais. Inafaa 5:37
All
HONGERA MSAIDIZI WA MH RAIS UNAELEWEKA!! KUMAliIZIA RUSWA ITISHA KURA YA SIRI MUHIMU KUBAINI!
Mbona sijamuona baba levo akiongea apo kariakoo
Mh,waziri mkuu jambo Hilo TRA nitabia Yao raisi ameagiza wafanyabiashara wanaoanza biashara wasilipishwe Kodi laki jambo Hilo halitekelezwi mpaka Sasa kwani Kuna kampuni imesajiriwa ivi karibu I MWEZI wa tatu hata kazi haijaanza imepipishwa Kodi ningepata nafasi ya kukuona ningekuletea ushahidi wa Kodi tuliyolipa kabla ya kufanya kazi.
Hapa nyinyi TRA wezi wakubwa nasasa kuna kamat imeundwa muangalien msije mwagiwa chakula chaa watoto wenu Wazazi wamewasomesha mnataka kuharibu kazi angalien
Mnatubana sana na mtahamiswa hapo
TRA nawachukiaa sana kinachowaponza ni maisha ya starehe wanayoiga ndio maana wanakosa uadilifu katika kazi
Waziri kwasasa tunatwangia maji kwenye kinu. Tangu Magufuri afe walarushwa wamepewa nafasi tena. Hawana wakuwakemea. Mbona wakati wa Magu hayakuwepo?.
Mzee nimekuelewa
Mama Samia kwani anasemaje kuhusu mwigulu
Hyu ndo anapajua raisi jamani
Mungu mkubwa mie wakati wa kitilya nilizuiwa contena la toi likazuiwa na ikawa mwisho wa biashara
Pole Sana dada Mungu atakutetea
Pole sana Mungu atakulipiya kwa dhulma walio kufanyia
bonge lakiongozy
Dah ila waziri huyu anapiga kazi ongera sana Mzee najua kutetea Haki ni kazi sana MUNGU aendelee kukulinda
Basi awe rais tu
KUNA JAMAA LIMESIMAMA NYUMA YA WAZIRI MKUU,NALIGANANISHA NA ROBOTI MVU LA MAREKANI
Mheshimiwa Waziri Mkuu, hawa wafanyabiashara msiwalegezee kila kitu! Wana mambo mengi yanayokosesha serikali mapato. Wasionewe lakini nao wawe waungwana na wakweli! Biashara zimejaa ujanja mwingi.
Kwahyoo tukusaidieje
Wafanyabiashara ni wajanja sana inabidi kuwa making wafanyabiashara wengi hawana maduka na wanauzia kwenye stop na tra wakienda kwenye duka wakifanya assement anonekana anabiashara ndogo wakati Biashara anafanyia stoo
Ko unatakaje?
Hujui chochote kuhusu biashara sio lazima uchangie
We unalazamisha utukanwe embu teacher tushachoka sisi
Ko uatakaje we mpuuzi nn we stupid
Huna hela
Na simu wanazotupigia ni kero,
Niko tayali
TRA MJIPANGE UPYAA
Chekeni
Saf
WANASIASA WANAFKI SANA
Uko sahihib, Mwamba alikuwa jpm tu
Viongozi wetu ni jeuri tu kweli kabisa ni agizo tatizo viongozi wanajifanya Miungu watu
Wapo Kwa ajili ya mifuko Yao na advantage ni Kwa kuwa wananchi hawana elimu ya Sheria hizo Sheria haipo kwengine duniani wanajua Sheria.
❤ Hongera sana waziri mkuu kwa busara zako na hekima zako
God bless you 🙏🙏🇹🇿
06:04 "waziri mwenye dhamana na wizara yake, makamu wa rais w/mkuu na raisi wakitoa maelekezo kwa mamlaka chini yao ni agizo"
Then tunategemea Mwigulu aache kutoa matamko ya kukandamiza raia kupitia mamlaka zilizopo chini yake mfano hao TRA Ilihali washasema tamko la waziri ni agizo?
Tufuate sheria.
TRA و ZRB ، الهجرة كلها أكثر الناس تقيدا في تنزانيا
Polisi hawahusiki kukagua wafanyabiashara , kuna sheria kandamizi.