WAZIRI MKUU AWACHANA TRA MBELE YA WAFANYABIASHARA KARIAKOO "Rais anatamka unakuwa na mashaka"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 тра 2023
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

КОМЕНТАРІ • 102

  • @salumhamoud-dv3nf
    @salumhamoud-dv3nf Рік тому +12

    Muheshimiwa nakuelewa sana. Na pia una faa kia raisi. Asante sana

    • @nizarurassa6480
      @nizarurassa6480 Рік тому

      Kauli ya waziri mkuu ni maagizo kutoka Kwa raisi.

  • @fatumasukwaju226
    @fatumasukwaju226 Рік тому +4

    Mungu akuweke muheshimiwa.Fata nyayo za Mwenazake.

  • @samoramollel
    @samoramollel Рік тому +18

    Mungu pekee ndio mkombozi kwa watanzania wote

    • @kabulukimati
      @kabulukimati Рік тому

      Mungu.wa.mbinguni.mbariki.raisi.wetu..mbariki.waziri.mkuu.wetu.kiukweli.wametupa.faraja.na.amani.sisi.wafanya.biashara.ushauri.kuna.baahi.ya.wizara.zinatakiwa.zifunjwe.au.zifanyiwe.mabadiliko.zikiwepo.wizara.ya.fedha.na.biashara..ni.maono.yangu

  • @hadijauledi6995
    @hadijauledi6995 Рік тому +6

    Hongera muheshimiwa waziri wetu kwa kutatuwa kero zetu asante muheshimiwa 🙏

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Рік тому +6

    Rushwa inaanzià juu kwenu

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Рік тому +4

    Tatizo sio TRA, tatizo ni kuwa WAUMINI wanaishi kama KUHANI WAO.

  • @salomembiro5017
    @salomembiro5017 Рік тому +3

    Kweli baba Majaliwa, hali siyo nzuri kabisa

  • @NgelelaLuchagulaMasalu-bg5xu
    @NgelelaLuchagulaMasalu-bg5xu 6 місяців тому

    Asante mweshmiwa waziri mkuu chapa kazi mkuu na kazi iendelee

  • @FatnaAlly-fh7qj
    @FatnaAlly-fh7qj Рік тому +1

    Allah mashallah ubarikiwe semaaa semaaa baba wafanya biashara wanapata tabu mungu akutie nguvu ulinde haki mashallah

  • @ruqiyanasir7141
    @ruqiyanasir7141 Рік тому +5

    Nahizo pesa zote wanazo walipisha watu zinaisha mifukonamwao katika sehemu yenye wazi walamali yauma naserekali kama TRA WEzi namba wan wanawaoneya watusana yaani pese zinazo ingia mifukoni mwawatu nyinyingi kuliko zinao ingizwa serekalini

  • @FatnaAlly-fh7qj
    @FatnaAlly-fh7qj Рік тому +2

    Allah mpaka watu wanashundwa kuleta biashara kutoka nje Kwa ajili ya Kodi kuwa kubwa Sasa wakati wa haki umefika mabubu nao kuongea na kupata haki mashallah 💕👍👍

    • @christinembeye5489
      @christinembeye5489 Рік тому

      Kweli mtu ukisafiri hata na Masanduku Mawili ru Airport Mtu Unapekuliwa na TRA mpaka Nguo za Ndani zilizomo Sandukuni zinaonekana🙈🙈 kwa sababu ya Tamaa zao,
      Kweli Waziri Mkuu Watu husika Washughulikiwe Kikamilifuu-

  • @masaimollel2525
    @masaimollel2525 Рік тому +2

    Mnalindana tuu msituone sisi mafala ningewaelewa kma mwigulu ungemtengua hapohapo na km wewe hauna uwezo wa kutumbua Sasa si upeleke pendleton kwa raisi Samia kuwa waziri wa fedha hafai au mpk siku watanzani wajinyonge kwa hasara wanazoingia ndio mje kutoa pole .

  • @IsackMgaya-eu5li
    @IsackMgaya-eu5li Рік тому

    Asante sana baba kweli upo vizur na umesimama kwenye kwel ukwel lazima ujitenge

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 Рік тому +7

    Hii ni awamu ya nne inatawala,mama hawezi kutumbua mtu, mafisadi,Rip JPM

  • @jack2010ization
    @jack2010ization Рік тому

    Ubarikiwe sana kiongozi

  • @robaichisutia4765
    @robaichisutia4765 Рік тому +5

    Mungu akubariki Waziri na aibariki Tanzania

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Рік тому +4

    Kasimu majaliwa for Presidency. Mungu akitupa huyu mtu kama Rais Tanzania itapiga hatua sana.Viongozi wa awamu hii wengi wamejikinai na kujaa kibri.

  • @MoriceFwaka-pt4bp
    @MoriceFwaka-pt4bp Рік тому

    Hongera Sana mweshimiwa tunakuamini Mungu akurinde

  • @FatnaAlly-fh7qj
    @FatnaAlly-fh7qj Рік тому +1

    Allah honfera sana muheshimuwa wa ziri

  • @chackym4416
    @chackym4416 Рік тому +1

    Next presdent

  • @yusuphmaharage2739
    @yusuphmaharage2739 Рік тому +2

    Safi sana waziri mkuu

  • @dennishyera5448
    @dennishyera5448 Рік тому +1

    Nusu Mungu wafukuzwe kazi, waje waone maisha uraiani.

  • @jacklinelucas
    @jacklinelucas Рік тому +2

    Kwan Mheshimiwa amewajua vizuri tu dawa inChemka

  • @darasibrown6084
    @darasibrown6084 Рік тому +3

    Hili swala la kodi na kujua haki ya mtu binafsi yan haki yako ilibidi hii misingi tuwekewe toka dalasa la kwanza had la saba kwenye mtaala watoe aiba na michezo waweke hili somo kila mtu atajua wajibu wake

  • @NRI_1
    @NRI_1 Рік тому +2

    Curruption too much in Tanzania

  • @monicachacha455
    @monicachacha455 3 дні тому

    safiiiii

  • @MiriumWajey-lr1tq
    @MiriumWajey-lr1tq Рік тому +2

    Kodi zimekuwa changamoto

  • @servaspilato7892
    @servaspilato7892 Рік тому +1

    Ama kweli majaliwa sijawahi kukukibali iLa hapa baba kagombee uraisi niko pamoja na wee

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Рік тому +3

    Selikari ni wewe tu mheshimiw

  • @chachamakenge8367
    @chachamakenge8367 Рік тому +1

    Mheshimiwa,waziri mkuu,nakisa kimoja,kuna mtu yuko gerezani,chakushangaza alikuwa na mtandao wa TRA feki yeye akiwa kiongozi wao ,alikuwa anawaongoza kwa njia ya simu akiwa gerezani,hivyo kuna watu wanaojifanya ni kutoka TRA, hivyo kuna uwezekano mkubwa wafanya biashara huwa wanatapeliwa

  • @user-hc2hl6sn7o
    @user-hc2hl6sn7o Рік тому

    Sawa mh.

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv Рік тому

    Asante waziri mukuuu

  • @SayakuluAyubu-my9kr
    @SayakuluAyubu-my9kr Рік тому +1

    Ruswa, iko hivi Mimi nnataka Nida nikienda kule ofisi ya Nida naambiwa let Nida ya mama yangu Ana maka 60 Hana Nida hapo inakuwaje, Mali IA mwengewe

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi1787 Рік тому

    Tatizo mnaongea tu mngekuwa mnaonyesha mfano mkifukuza 5 .6 hawa wengine watajifunza

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman Рік тому +1

    Magufuli angetumbua zaman hao jamaa.

  • @mayranehemia9469
    @mayranehemia9469 Рік тому +1

    🙏🙏🙏🙏

  • @arthalesha5825
    @arthalesha5825 Рік тому +1

    Eti hawana tv😂😂

  • @MlelwaErasmo
    @MlelwaErasmo 10 днів тому

    Wazili. Mkuu safisana.

  • @rabwarab574
    @rabwarab574 Рік тому

    Nawaheshimu wabunge wote wanaopita ktk majimbo yao bila kupingwa mfano waziri mkuu kassim majaliwa na Hayati Jpm na profesa Mwandosya hawana mba mba mba❤

  • @sanauswahilimovies
    @sanauswahilimovies Рік тому

    Bonyeza hapa kutazama filamu mpya za bongo movie

  • @kennbleirmboya9700
    @kennbleirmboya9700 Рік тому

    tz kikubwa uzima

  • @alibushiri4725
    @alibushiri4725 Рік тому

    Namkubali wazir mkuuu kuliko mama

  • @MjuniJeremiaStephanoZaka-nu8dj

    Tuna imani na wazuri wetu mkuu alistahili kuwa raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania

  • @MlelwaErasmo
    @MlelwaErasmo 10 днів тому

    Ulifaa. Kuwa rais. Inafaa 5:37

  • @hapietz
    @hapietz Рік тому

    All

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 Рік тому

    HONGERA MSAIDIZI WA MH RAIS UNAELEWEKA!! KUMAliIZIA RUSWA ITISHA KURA YA SIRI MUHIMU KUBAINI!

  • @noahlameck1564
    @noahlameck1564 Рік тому

    Mbona sijamuona baba levo akiongea apo kariakoo

  • @allykihambwe6690
    @allykihambwe6690 Рік тому

    Mh,waziri mkuu jambo Hilo TRA nitabia Yao raisi ameagiza wafanyabiashara wanaoanza biashara wasilipishwe Kodi laki jambo Hilo halitekelezwi mpaka Sasa kwani Kuna kampuni imesajiriwa ivi karibu I MWEZI wa tatu hata kazi haijaanza imepipishwa Kodi ningepata nafasi ya kukuona ningekuletea ushahidi wa Kodi tuliyolipa kabla ya kufanya kazi.

  • @jacklinelucas
    @jacklinelucas Рік тому +1

    Hapa nyinyi TRA wezi wakubwa nasasa kuna kamat imeundwa muangalien msije mwagiwa chakula chaa watoto wenu Wazazi wamewasomesha mnataka kuharibu kazi angalien

    • @jacklinelucas
      @jacklinelucas Рік тому

      Mnatubana sana na mtahamiswa hapo

    • @DavidMbwilo-qk1bz
      @DavidMbwilo-qk1bz Рік тому

      TRA nawachukiaa sana kinachowaponza ni maisha ya starehe wanayoiga ndio maana wanakosa uadilifu katika kazi

  • @neemamuro8001
    @neemamuro8001 Рік тому

    Waziri kwasasa tunatwangia maji kwenye kinu. Tangu Magufuri afe walarushwa wamepewa nafasi tena. Hawana wakuwakemea. Mbona wakati wa Magu hayakuwepo?.

  • @LukasMamuya-ub1ot
    @LukasMamuya-ub1ot Рік тому

    Mzee nimekuelewa

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Рік тому

    Mama Samia kwani anasemaje kuhusu mwigulu

  • @ashahassan2120
    @ashahassan2120 Рік тому

    Hyu ndo anapajua raisi jamani

  • @marymremi1051
    @marymremi1051 Рік тому +1

    Mungu mkubwa mie wakati wa kitilya nilizuiwa contena la toi likazuiwa na ikawa mwisho wa biashara

  • @jacksondavid6854
    @jacksondavid6854 Рік тому

    bonge lakiongozy

  • @masikitikomwakyonde1259
    @masikitikomwakyonde1259 Рік тому +1

    Dah ila waziri huyu anapiga kazi ongera sana Mzee najua kutetea Haki ni kazi sana MUNGU aendelee kukulinda

  • @charlesmanase4507
    @charlesmanase4507 Рік тому

    Basi awe rais tu

  • @abdulhakeem959
    @abdulhakeem959 Рік тому

    KUNA JAMAA LIMESIMAMA NYUMA YA WAZIRI MKUU,NALIGANANISHA NA ROBOTI MVU LA MAREKANI

  • @godymbanyi1878
    @godymbanyi1878 Рік тому +2

    Mheshimiwa Waziri Mkuu, hawa wafanyabiashara msiwalegezee kila kitu! Wana mambo mengi yanayokosesha serikali mapato. Wasionewe lakini nao wawe waungwana na wakweli! Biashara zimejaa ujanja mwingi.

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 Рік тому +2

    Wafanyabiashara ni wajanja sana inabidi kuwa making wafanyabiashara wengi hawana maduka na wanauzia kwenye stop na tra wakienda kwenye duka wakifanya assement anonekana anabiashara ndogo wakati Biashara anafanyia stoo

  • @soniaemmanuelmataro9414
    @soniaemmanuelmataro9414 Рік тому

    Na simu wanazotupigia ni kero,

  • @HusseinSaguti
    @HusseinSaguti Рік тому

    Niko tayali

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda6039 Рік тому

    TRA MJIPANGE UPYAA

  • @menaldmbilinyi3518
    @menaldmbilinyi3518 Рік тому

    Chekeni

  • @ThomasSanga-eo8db
    @ThomasSanga-eo8db 6 днів тому

    Saf

  • @samyspesho1698
    @samyspesho1698 Рік тому

    WANASIASA WANAFKI SANA

  • @masikitikomwakyonde1259
    @masikitikomwakyonde1259 Рік тому +1

    Viongozi wetu ni jeuri tu kweli kabisa ni agizo tatizo viongozi wanajifanya Miungu watu

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Рік тому

    Wapo Kwa ajili ya mifuko Yao na advantage ni Kwa kuwa wananchi hawana elimu ya Sheria hizo Sheria haipo kwengine duniani wanajua Sheria.

  • @frankmwakalinga7455
    @frankmwakalinga7455 Рік тому +1

    ❤ Hongera sana waziri mkuu kwa busara zako na hekima zako
    God bless you 🙏🙏🇹🇿

  • @christinagervas2134
    @christinagervas2134 Рік тому +1

    06:04 "waziri mwenye dhamana na wizara yake, makamu wa rais w/mkuu na raisi wakitoa maelekezo kwa mamlaka chini yao ni agizo"
    Then tunategemea Mwigulu aache kutoa matamko ya kukandamiza raia kupitia mamlaka zilizopo chini yake mfano hao TRA Ilihali washasema tamko la waziri ni agizo?

  • @godymbanyi1878
    @godymbanyi1878 Рік тому

    Tufuate sheria.

  • @NRI_1
    @NRI_1 Рік тому

    TRA و ZRB ، الهجرة كلها أكثر الناس تقيدا في تنزانيا

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Рік тому

    Polisi hawahusiki kukagua wafanyabiashara , kuna sheria kandamizi.