''SITAKI TAARIFA YAKE, WAZIRI HAJUI ANACHOKIONGEA '' - MTUFUANO MKALI! MPINA vs MWIGULU BUNGENI...
Вставка
- Опубліковано 2 лис 2023
- ''SITAKI TAARIFA YAKE, WAZIRI HAJUI ANACHOKIONGEA '' - MTUFUANO MKALI! MPINA vs MWIGULU BUNGENI...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PESA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
MUNGU ana inua watu wengi kila itwapo leo, mpina MUNGU akulinde utokapo na uingiapo, unatuwazia mema watanganyika, ushauri wangu kwako, njoo ungana na Lisu, madeleka, mwabukuzi, heche, Lema, tupate ukombozi , mnatuwazia mema watanganyika
Dah mpina uko vizuri kidata hongera
CCM ni janga la taifa namba moja. Majizi tupu
Mpina Oye yaniwecheza naye2 huyo wazili mpaka aachenakucheza anavochezaga
Mpina Mimi Ni CCM Ila hiki kinachoendelea Nakuunga mkono kwa Asiimia 99.9 MUNGU akulinde.
Sisiem ni kansa kubwa inatafuna wananchi😭
Kisesa hongera mna mbunge!!
Good 👍👍👍👍👍👍👍👍
Ni wa Kwanza Bana Leo, lkn inchi hii viongozi wachache Sana Ni waelewa lkn wanainchi tunabaki tunaumia
Kama ni waziri wa kwanza mwizi kiongozi ni huyu anaetudanganya na tai ya bendera ya Taifa
Tanzania atuna viongozi tuna majizi yanayo vaa suti tu
Mpona uko sawakabisa ila bunge la washabiki .Tz hatuwezi kutoboa.Mungu atussidie tuwe wakweli.
Muda wake imeisha baadae ya kusema ukwer
Dah
❤
Narudia Tena huyo mwigulu mwizi asijitetee mkamateni mshenzi anatumia hela zawatu masikini kwakujinufaisha akamatwe
Ni kipindi kigumu sana hii Mawaziri wanageuka kuwa wapinga taarifa bungeni ili kuzima hoja za Wabunge ili hali Wabunge hawa ni wa ccm.
Km kuna jambo haliko sawa ni vema Bunge lifanye kile kilichofanyika kipindi cha Richmond kwa kina Lowasa, Vinginevyo hii ngonjera haitaisha.
Luhaga ni mbuge wa kipekee katika Bunge letu na ndiye mbunge pekee anayenipotezea muda wangu kusikiliza michango yake abarikiwe.
Shida wakati alikuwa waziri alikuwa kimya Ila sasahivi yupo sahihi Sana siku inchi hii akichukua rais mzalendo awafilisi wote waliokula hii inchi kwa muda mlefu
Mpina wakat mwingine anaongea mambo ya maana sana
Hii inaitwa siasa kali😂
Wizi mtupu km ningekuwa.Rais.leo hai.waliotajwa na Mpina nawafilisi mara moja nakifungo juu
Mwiguru mwizi sana
Huyu mwizi sanaa mwigulu
Wasiwasi wangu nikwamba ccm unaweza usirudi kwasababu umekataa kuwa chawa au kupiga makofi au kuwasifia au kuwambia wameupiga mwingi
Yaani mwiguru bhana si awe ananyamaza tu. Anadhalilisha PhD
Kila siku anausishwa na wizi kwanini asichunguzwe au ndo yaleyale
Huyu mwinguru muwemunampima virevi anapoingia bungeni manaake hajuiyupowapi
6
Mwigulu. Na genge lao watatuua wemetuibia san
Waziri hajui Trat na trab halafu ajue miamala halali
Mawaziri wengi wapiga deal😂
Hawa CCM wapo madarakani tangu 1961....kwa kifupi,wote ni wezi.
Izo ni fujo😂😂😂😂😂😂 nimekataa taarifa
Samia kwanini uwa unamlea Mwiguru hivyo uwa umwoni kuwa Sio Mzalendo Plz tulee ili jamaaaa
Wakati mbunge makini Luhaga anachangia hoja, ma-mbumbumbu hata hawajui wanachoongea.
Hakuna nidhamu ndani Bunge la Tanzania
Naona mawaziri hawajui hata wanachokizungumza
Waziri wa fedha ni kelooooo hapa nchini waizi hao na bunge mtu anapotia mchango wa kutetea nchi msikatishe acheni amalize
Duu Aibu yataishia hewani hakuna Sheria itachukuliwa wanasema Yatapita
Kipindi cha kuoneana haya kimepitwa na wakati
Mwiguli mchumi hajui miamala halali na miamala hatarishi!?
Halafu mwigulu anamaneno ya kejeli
Mpina anajitahidi,ila achunge sana kwa CCM kwani CCM ni kama mama wa kambo,huwenda wakamtapika bila ya kumjali kubwa ni mwanachama halali.
Kumama ake alie mchagua huyu ni mjinga mwenzie
Hali ya uchumi naomba muangalie
Ww ndo mbunge wangine story
Mwiguruachana na.moina huoninlm.amakutia aibu
Huyo jamaaa ni mwizi asijitetee
Mpina uko vizuri sana huyo mwigulu ni mwizi
Mpina leo umeamua
Wabunge sindano hiyo, hawapigi makofi
Hata Kama sijui mahesabu akili ya kawaida haikubaliani nae mpina ni muongo Ana hasira na kukosa uwaziri. Alichemsha uwaziri leo anatengeneza mahesabu ya kitapeli
Akili unazo lakini huna utambuzi
Hesabu. Mwigulu ni Mwizi tu
@@stephenmseti5539 wewe ndio walewale tu hela anakaa nazo wizara yote Yuko Yeye tu, Kuna hela ya serkali inatumika bila maandishi
@@2003hintay wewe nawe umelamba asali. Mwigulu ni mwizi tena jizi ambalo lina kiburi. Kama mawaziri wamepiga hela kwenye awamu ya huyu mama ni huyo unaemtetea. JPM aliwagundua mapena yeye na Makamba akawaweka pembeni. Ile tai ya bendera ya Taifa ni ulaghai tu
Mbona Mbowe anapiga Sana hamsemi? Mmerogwa Nini mkiti wa kudumu hamsemi na ukisema tu yatakukuta ya saanane
Mpina una lolote
Kwanini hawa waliotajwa hawajakamatwa mpaka leo