BILA UOGA MFANYA BIASHARA AWACHANA MAWAZIRI, SIOGOPI MTU YOYOTE, TRA NI KICHOMI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 23

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Рік тому +8

    Majaliwa ww ni bonge la kiongozi. Mungu pekee akutunze kwa ajili ya nchi yetu. Much respect Papa. Natamani sana kufanya kazi na wewe mkuu

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 Рік тому +3

    Naona Majaliwa rais ajae baada ya mama samia kumaliza muda wake...

  • @ramadhanikalungwana8377
    @ramadhanikalungwana8377 Рік тому +1

    Jamani kweli maendeleo tunataka,ila naona Kuna shida!!! Heb nunua umeme wa tsh 20,000. Kisha uangalie unakatwa shs ngapi!!!

  • @hamisimsosi6237
    @hamisimsosi6237 Рік тому +2

    Daa huyu dada amenigusa hapo kwa wachina kweli Hawa jamaa wameipandisha Sana kkoo ni ukweri usiopingika♥️♥️♥️😭😭😭

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 Рік тому +1

    Ndiyo nikishalipa kodi miaka 20 harafu nikifilisika ni sawa na mstaafu kwanini na sisi tusipate kiinua mgongo ?

  • @masaimollel2525
    @masaimollel2525 Рік тому

    Mwigulu anacheka anaona mnapoteza mda wenu na nguvu bure mwisho wa siku anarudi ofisini,kuendelea na uporaji wake kupitia vijana wake.

  • @omarisaid7318
    @omarisaid7318 Рік тому

    Mm tunakutegemea Sana malizahayo watoto wakiliya ujuwe kunajambo halihi ya fd machine ikomee viwandani na bandarini wananchi tukadiriwe sababu hatukusoma tumeshidwa na hiyo bishara hakuna nchi inayo jegwa kwa siku moja

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 Рік тому +1

    Wizi wizi...tumechoka...

  • @summanelson5523
    @summanelson5523 Рік тому

    Kodi ni kubwa sana kwenye magari. Na sisi waturuhusu tumiliki vitu. Tunajichanga ndiyo tunaweza kununua!!! Safi sana.

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 Рік тому +1

    Tatizo remote iko msoga

  • @Elly-o7i
    @Elly-o7i Рік тому

    Asante dada kwa sauti yako wanawake wanapuuziwaga wakitoa lalamiko lakini jamani dada ameongea kea uchungu sana

  • @masaimollel2525
    @masaimollel2525 Рік тому

    Enzi za magufuri mgambo walichukua ndizi kule mwanza mgambo akafutiwa cheti chake cha mgambo yale mambo saasaiv hakuna,tena unweza kukuta yule mgambo amesharudi kuwa mgambo tena yaan we acha tuu

  • @bettymeshack7759
    @bettymeshack7759 Рік тому

    Na Sisi waturuhusu kumiliki vitu😂

  • @hassanosman3824
    @hassanosman3824 Рік тому

    Mwigulu umeshiba aachaa kazi hujui kitu umeshiba hujali ondoka huoni haya????

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 Рік тому

    Kwetu kuna afya mazingira levy fire leseni ya biashara na nyingine nyingi...

  • @victorernest7702
    @victorernest7702 Рік тому

    Sasa kikwazo kipo wap kama kuongea ukweli mpk umnyang'aNye maiki .. ndio mnao sabisha migogoro maana kumsema mtoto wa kiongozi kosa

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 Рік тому +2

    Ameweka nne ana minya pumbu tu

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 Рік тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @fatmashaibumkwpo2488
      @fatmashaibumkwpo2488 Рік тому

      😂😂😂anakenua tu kama kapakanzwa pilipili ya meno

    • @farajiissa560
      @farajiissa560 Рік тому

      @@fatmashaibumkwpo2488 kaz kubana pumbu tu hii mijamaaaa sijui ikoje

    • @marymgimwa
      @marymgimwa Рік тому

      Tunaviziana kama wakoloni loooh

  • @oningoindungai
    @oningoindungai Рік тому

    mama unasema ukwel

  • @DaudNgodilo
    @DaudNgodilo Рік тому

    Harafu unakuta kiongozi anakwambia anafanya kazi kwa bidii kumbe wizi tu, hivi kweli magufuli angekuwepo huo uchafu ungeonekana kweli? At the end watu wanasema mama anaupiga mwingi dah