"Mnachoma moto nyumba na watu bado mnawafunga? "- John Heche

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 152

  • @kitongojitz6476
    @kitongojitz6476 5 років тому +3

    nikiwa kama mhamasishaji wa vijana kanad yakinondoni mh Henche 2po pamoja 2020 kileleni gonga like apa kama wew nikijana

  • @silversilas3634
    @silversilas3634 5 років тому +6

    Mbunge wangu yupo vzr sana mungu akutangulie uko vzr

  • @georgenjeri7196
    @georgenjeri7196 5 років тому

    John Heche for president ! from Kenya

  • @kelvinmbena8144
    @kelvinmbena8144 6 років тому +3

    mheshimiwa ahsante sema hata wasipokuelewa au wakubeze mungu ndo anaejua ipo siku mungu atajibu ubalikiwe heche.

  • @annacarlos7925
    @annacarlos7925 6 років тому +11

    Mungu akulinde heche point tupu umeongea

  • @juliusuronu8812
    @juliusuronu8812 6 років тому +7

    Wewe ni kiongozi hasa Mungu akubariki kwa kuongea ukweli

  • @redimnapaul9311
    @redimnapaul9311 6 років тому +11

    UMEONGEA POINT SANA!UMEWASEMEA WANYONGE! UNGEKUWA KARIBU MAFUTWA YALIYOMIMINWA DAUDI KUWA MFALME NINGEKUMIMINIA KICHWANI

  • @tracyjustice1600
    @tracyjustice1600 6 років тому +2

    Sema Mh. Cheche amna kuogopa huo ndio uongozi, vichanga kimara wanalala nje jua mvua yote yao inasikitisha sana

  • @jensennashon6147
    @jensennashon6147 6 років тому +4

    Mhe. Heche 👍🏽👍🏽👍🏽

  • @japhetnzunda5421
    @japhetnzunda5421 6 років тому +1

    Mungu akubaliki hata wapinge hoja yako mungu ndiye anatujua sisi watoto wake

  • @flaviankiria435
    @flaviankiria435 6 років тому +7

    Duh! Heche unatisha kweli Chadema ndio habari ya mjini.

  • @gangangan1478
    @gangangan1478 6 років тому +3

    Safi sana Mh. Heche!!!

  • @jomogimonge8333
    @jomogimonge8333 4 роки тому +1

    big up heche kumbe hatukukosea

  • @frankmahalanha6867
    @frankmahalanha6867 6 років тому

    Mungu akupe maisha marefu maana kuna hekima na busara ndani yake. Kwa kweli ninakuombea saana kwa mtumishi wa Mungu nazan kila mtu akisikiliza hii clip nazan atapata hekimu na busara kutoka kwa Muumba wetu. Mungu akubariki kwa kweli

  • @zakayosanga1430
    @zakayosanga1430 Рік тому

    mungu akubariki mshhua

  • @jumakinonono-jj4zy
    @jumakinonono-jj4zy 13 днів тому

    Uyu jamaa alikua mbunge wa nchi nzima nimemfatiria Sana uchangiaji wake yaan hajawa tu mbumnge wa Tarime Ila alikua mbunge wanchi yaan daah mungu aendelee kukulinda mzee

  • @mtakitibezuka9604
    @mtakitibezuka9604 6 років тому +24

    heche uko sawa tuko pamoja ngoja 2020 kitaeleweka 2 waache wataipenda wenyewe

    • @anozacha611
      @anozacha611 5 років тому

      👊👊👊👊👊👊👊👊

  • @wilbardmussa8232
    @wilbardmussa8232 6 років тому +3

    Safi sana Heche, nakupongeza sana

  • @lovenessgoodluck3486
    @lovenessgoodluck3486 6 років тому +8

    Bg up heche

  • @chancemtitu1852
    @chancemtitu1852 6 років тому +3

    Mi CCM lakin nimekuelewa mheshimiwa umeongea poiint🙋

  • @faridmobji
    @faridmobji 6 років тому +5

    Awakukosea kukuchagua big up

  • @kimatamasasi6582
    @kimatamasasi6582 6 років тому +1

    big up jembe safi sana

  • @charleslaizer1749
    @charleslaizer1749 6 років тому +1

    Big up sana Mh Heche

  • @sojaman7825
    @sojaman7825 6 років тому +2

    wote mngeungana nakutusemea ingekuwa safi sana

  • @johnmabochela15
    @johnmabochela15 6 років тому +3

    uko vzr all things when you talking is true

  • @moudkinjiki9842
    @moudkinjiki9842 4 роки тому

    Sema tata heche

  • @jeremiahmasunzu3437
    @jeremiahmasunzu3437 4 роки тому

    Separation of power ...haipo🙏🙏

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 4 роки тому

    Heche oyee

  • @TitusNiwemugizi
    @TitusNiwemugizi 6 років тому +4

    Hilo suala la airport umeongea point sana. Spidi ya ujenzi na utaratibu uliotumika inaacha dukuduku sana

  • @brownmshan2629
    @brownmshan2629 6 років тому +1

    Asante heche!!

  • @danielhasunga8740
    @danielhasunga8740 6 років тому +10

    nitakitunza kitambulisho changu cha mpiga kula

  • @petermwandenuka3711
    @petermwandenuka3711 6 років тому +1

    Moja kati ya wabunge wanaoniinspire ni John Heche, hajawahi kuwa muoga kusema kweli.

  • @thadeipeter2592
    @thadeipeter2592 6 років тому +10

    Ukweli mchungu.ambao mzalendo yoyote lazima aupongeze.

  • @paulojosephy6338
    @paulojosephy6338 6 років тому +9

    Axante xana heche wapasue

  • @godfreymashana6111
    @godfreymashana6111 6 років тому +8

    umeongea point kabisa baba

  • @jasminasha9551
    @jasminasha9551 6 років тому +5

    Asante sana kwa kutusemea Yaani inauma sana tunazidi kuwa maskini kwa bomoa bomoa serikalini inatuumiza sana

  • @ndikumanakalenzo2440
    @ndikumanakalenzo2440 6 років тому +4

    duuuuh haya bhana

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 6 років тому +2

    Daaaaa hii issue ya Uwanja wa Ndege mimi pia cjajua kwa nini imekua hivyoo!!! Daaaaa hii INJIii

  • @kato_tz
    @kato_tz 6 років тому +10

    Duh bro umeongea Fact, Narudi darasani kusoma uchumi sana sana topic ya DD & SS VS Economic Development bila kusahau Market segmentation/Niche

    • @erickchikawe9109
      @erickchikawe9109 6 років тому +1

      Uko sawa kamanda

    • @johnsonbagambi1908
      @johnsonbagambi1908 Рік тому

      Hapo tatizo sio shule unafik,kujipendekeza,kutojiamin na uzwazwa wasomi nchi hii ndo changamoto

  • @pauljohn3321
    @pauljohn3321 5 років тому +2

    Mh,heche msema ukwel mpenz wa Mungu,simamia ukwel

  • @lovenessgoodluck3486
    @lovenessgoodluck3486 6 років тому +17

    Kweli kbsa heche ya ukweli ongea baba no uoga ila ksho utitwa htiana

    • @anozacha611
      @anozacha611 5 років тому

      👍👍👍👍👍👍👍👍👍

  • @nathanmapunda1052
    @nathanmapunda1052 4 роки тому

    Nakuelewa sana mzee baba

  • @renatusmgina4003
    @renatusmgina4003 6 років тому

    God ukwel husmama daima

  • @vickypoul9117
    @vickypoul9117 6 років тому +5

    Safiiii baba umeongea

  • @hamisimwilola3220
    @hamisimwilola3220 6 років тому

    nice heche man of people

  • @shidaseleman7922
    @shidaseleman7922 6 років тому +6

    daah kwel aiseee

  • @ceciliajimmy5652
    @ceciliajimmy5652 6 років тому +1

    Ukweli unauma wakitingwa ni tarifa taarifa taarifa. Hovyooo!

  • @brianbrayoo1590
    @brianbrayoo1590 6 років тому +1

    Positive thoughts

  • @kelvinalex5644
    @kelvinalex5644 6 років тому +1

    wanyonge wataeleweka tu na Kiongozi wao ,

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 6 років тому +4

    upo sawa mbunge

  • @nestokisima5193
    @nestokisima5193 5 років тому

    Unatutetea sana watanzania ila tatizo ni kwamba unaowatetea hawajielewi

  • @matikosillamunanka9987
    @matikosillamunanka9987 6 років тому +10

    Hahahaha Safi

  • @nkwabimayunga473
    @nkwabimayunga473 6 років тому +11

    100%nakuunga mkono kila jambo jema lipimwe kwa fainda ya watanzania wote bila kujali rangi yake au chama alichotoka kazi bila mipango hovyo watanzania weye hali ngumu wanayaona kwa macho

  • @santibaniusabdy8857
    @santibaniusabdy8857 5 років тому

    Heche kumbuka tulipokatana mapanga kipindi kile tukiwa warisya mimi ndo nilikupa huo ujasiri wa kuwapasua vichwa akina wazir mpango

  • @neemayo4693
    @neemayo4693 3 роки тому

    Jamani tatizo sio chama tunaangalia ukweli na kazi

  • @mariammobeto5512
    @mariammobeto5512 4 роки тому

    Daaaaah tatzo wa2 wanapigwa sas me nmechok hta kupiga kura

  • @sebastianmmary7040
    @sebastianmmary7040 5 років тому

    asante chief

  • @michaelmuchomerson2658
    @michaelmuchomerson2658 4 роки тому

    Good bro.

  • @hanzunimgogoro5722
    @hanzunimgogoro5722 5 років тому

    Upo uzuri kaka

  • @jacquelineboazy4641
    @jacquelineboazy4641 6 років тому +4

    Nyie Ccm tukutane 2020

    • @greensky9607
      @greensky9607 6 років тому +1

      Jacqueline Boazy tutakutana, sijui mna kitu gani cha kuwaambia wananchi kuwa mmewafanyia zaidi ya kuropoka hovyo na kuongozwa kwa matukio, ila CCM inayo mengi tu ya kusema mbele ya jamii, mfano kuubadili muonekano wa mji wa mbeya kwa barabara Safi na zenye kuvutia ambazo sugu aliwadanganya wananchi mbele ya Waziri mkuu kuwa ni jitihada zake pamoja na meya, bila ya kusahau na bukoba ambapo kama kawaida yenu rwakatale naye akasema ametafuta pesa wakati ni Serikali iliyopeleka fedha za kusimamia ukarabati wa miundombinu, Niishie hapa sababu najua wajua kuwa CCM imefanya meeengi ndani ya miaka 2

    • @jacquelineboazy4641
      @jacquelineboazy4641 6 років тому

      Mtanzaniahalisi 2910 kwan hƙo mɓy mnaongozwa na mbunge gan?? Halaf ss hatupoƙei kodi za wananchi hatuwez fanya kitu zaid ya kuihimiza serikali ifanye kama wananchi wavotaka na ndo maana pamoja na kwamba hatujafanya kitu ila ni watetez wa wananchi upinzan na ccm mnatetea serikal so wananchi!!

    • @mokhimji
      @mokhimji 6 років тому

      Hamna cha CCM wala CHADEMA! Watanzania kwa ujumla tumekosa Uzalendo! Sekta ya Elimu tumeidharau kwa miaka mingi na tunaendelea kuvuna matunda mabaya. Tunajaribu kuiga Utamaduni ya Maghribi na tunajisahau wenyewe. Tunahitaji Raisi ambae ni Mchapakazi kama JPM (bila Ubabe) na ambae ni Mnyenyekevu kama JMK (bila Commission)

  • @macgeorge7693
    @macgeorge7693 6 років тому +1

    Selikali hii itoke madalakani hata Kwa nguvu absult nchi imeozaaa itoke tu selikali hii afai

  • @crianussyliacus1995
    @crianussyliacus1995 6 років тому +3

    Yani zahanati ya kwetu ukienda unapenda panadol ata vipimo hamna

  • @mbogomagembe6318
    @mbogomagembe6318 6 років тому +3

    tunataka wabunge kama hawa wanaongea ukweli ,kuliko kupeleka wabunge kama mbunge was bunda vijijini boni ketele yeye alienda kutafuta hela tu

  • @chongenyambarya2538
    @chongenyambarya2538 6 років тому +1

    Uko sawa imekubalika mtoto wa sikuda

  • @abbamohamed6302
    @abbamohamed6302 6 років тому +1

    nakuunga mkono kwa asilimia zote ndg yng heche maana km 185 cyo padogo

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary8743 6 років тому +1

    1000% fact

  • @fantmpango5506
    @fantmpango5506 6 років тому +3

    Kuna nyumbu niliskia inaomba taarifa, ccm mtuonee huruma tumechoka mbona mh heche kaongea fact tupu?

  • @mulyainternationalmediakay679
    @mulyainternationalmediakay679 5 років тому

    Ok

  • @goodluckstepheny582
    @goodluckstepheny582 6 років тому +3

    Talime heche ni madini msimpotezeee

  • @erasmusnzibonela5151
    @erasmusnzibonela5151 6 років тому +1

    2020 wakitaka kujua watanzani tumechoka polic wasisimamie kula ili waone

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 4 роки тому

    Painful truth

  • @delebm543
    @delebm543 6 років тому +6

    semeni tu msiogope

  • @johnrogath1066
    @johnrogath1066 5 років тому

    Daaaaah so sad why this shits happening jmn

  • @yusufukazamba2391
    @yusufukazamba2391 5 років тому

    Mhe Heche tunakuelewa baba

  • @gaspermassawe7397
    @gaspermassawe7397 6 років тому +9

    Mh .Huko vizuri sema tu NI kwamba MAJINGA YA KUSHANGILIA KILA KITU HAYAWEZI KUKUELEWA,stupidities

    • @greensky9607
      @greensky9607 6 років тому

      Gasper Massawe na majinga ya kutokuelewa yatamshangilia heche

    • @sadaramustafa8401
      @sadaramustafa8401 6 років тому

      Mtanzaniahalisi 2910 we ndo mjinga mkubwa

    • @anozacha611
      @anozacha611 5 років тому

      Kweli kabisa👍👍👍👍👍

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 6 років тому +7

    hivi huyu serikali ni nani? maana nina hasira nae haswa

  • @godypatrick6485
    @godypatrick6485 6 років тому

    Unaongea ukwer sana good kamanda

  • @onesmolwambano9349
    @onesmolwambano9349 6 років тому +2

    millard mbona umekata hapo kwa mobutu

  • @JoyceGeorge-qv4ck
    @JoyceGeorge-qv4ck 6 років тому +1

    chademe oyeeeeeeeee

  • @mwitereginakimbwi4924
    @mwitereginakimbwi4924 6 років тому +4

    kama mobutu na zaire yake

  • @fantmpango5506
    @fantmpango5506 6 років тому +6

    Hizo billion wangekopesha mabenk nasi zingetufikia tu, sasa uwanja chato halafu kinyemela watanzania hatujui kupitia bunge. Kweli wajinga ndiyo waliwao

  • @abdulkalimbenz7011
    @abdulkalimbenz7011 Рік тому

    Kwa nn usigombee uraisi

  • @mkmtepah9376
    @mkmtepah9376 6 років тому +3

    nisawa kabis

  • @ezekielmwadomba4675
    @ezekielmwadomba4675 5 років тому

    MUNGU BARIKI HECHE NA WA BUNGE WOTE WA UPINZANI KWA JINSI WANAVYO TUTETEA WA TANZANIA! HECHE UNAONGEA MPAKA MA CHOZI YANANITOKA.MUNGU AKUBARIKI HECHE!!! Freedom is coming tomorrow! !!!

  • @erickmsuha1390
    @erickmsuha1390 6 років тому +1

    serikali ikifanya vizuri lazima tuseme,pesa za dawa zinaletwa,tuishauri serikali ituongezee bajeti ya kununua dawa maana 33% ya bf ni ndogo sana kwenye manunuzi ya dawa.

  • @joshuamkali4598
    @joshuamkali4598 5 років тому

    kwakweli kunavitu vinaendeshwa kiimla nakuwafanya Watanzania hawayaoni.
    alafu viongozi waandamizi wamejaa kujipendekeza mpaka wanatia aibu wanasahau kwamba kesho yaja na watakuja kuwajibika mbele za Mungu na kwa Watanzania

  • @amirmotors9735
    @amirmotors9735 6 років тому +1

    hospital hazina dawa juz tu nimempeleka mama hospital bomba na dawa zakuchomea tumeambiwa tukanunue

  • @jonaslameck1563
    @jonaslameck1563 6 років тому +1

    Kuna nyumbu et anasema taarif ..hovyo kabisa yanafata mkumbo tu ...tunakuelewa heche

  • @johnsonbagambi1908
    @johnsonbagambi1908 Рік тому

    Mtaniiiiiiii

  • @ezekieledson502
    @ezekieledson502 6 років тому +2

    facts t

  • @mashaallahmashaallah1658
    @mashaallahmashaallah1658 3 роки тому

    Jembe la msoma

  • @ferdinandnkamu8638
    @ferdinandnkamu8638 6 років тому

    Wananchi tunafahamu hiyo ni Kampeni ya KATA FUNUA inayoendeshwa na watumishi wa umma ambao wameshawishika kuitekeleza kwa kutengeneza mazingira ya kwafanya wananchi kuichukia serikali.

  • @ishivamgimba3672
    @ishivamgimba3672 5 років тому

    Hii serikali ya ccm nimbovu sina na sijahi kuona serikali kama hii kule mbarali wakulima wa mpunga mwaka juzi waliuza junia moja la mpunga sh,100000 mpaka 120000 leo hii junia moja la mpunga linauzwa 40000 mpaka 50000 nadhani utaangalia afu pima na wanasema hii niserikali ya wanyonge

  • @onesmolwambano9349
    @onesmolwambano9349 6 років тому +1

    nchi ishakua ya kifalme bashite ndio mtoto wa mfalme hamna jinsi tutafika tu

  • @williamsamweli1100
    @williamsamweli1100 Рік тому

    Duuh

  • @julianusnambert2237
    @julianusnambert2237 6 років тому

    bora uwe rais

  • @mariamj8219
    @mariamj8219 6 років тому +3

    daaaa tungepata watu kama wewe wa 4 Burundi Amani ingekuwepo

  • @daudichrchristopher8564
    @daudichrchristopher8564 5 років тому +1

    2020 ccm achieni madalaka pumbavu nyie

  • @michaelmuchomerson2658
    @michaelmuchomerson2658 4 роки тому

    Mura uni nekohanchere buchwa igo, nyora otarateta nengakohae umwiseke weito mura. Gamba baigweeeee.

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima1455 6 років тому

    Huyu mbunge yupo sawa