#Mzee

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 лис 2020
  • JUMAPILI HII USIKOSE KONGAMANO KUBWA LA DUA SALA NA MAOMBEZI LITAKALO AMBATANA NA VIFUNGO KUTAKUWA NA MAJI YA UPAKO NA MAFUTA YA UPAKO KWA UTIMILIFU UTAKAYO MALIZA UCHAWI NA MASHETANI MIKOSI NUKSI NA BALAA MAJI YA UPAKO HAYA YANA UWEZO WA AJABU NA PIA MAFUTA YA UPAKO YA UWEZO WA AJABU UKIAMINI KUSAIDIKA NI LAZIMA .KUFUNGULIWA NA MIUJIZA TELE. TUTAKURUHUSU UJE NA TATIZO AMBALO UTATOKA NALO USIOFU CHIEFMWANTEMBE AMEKUWA BARAKA KWA WENGI KATIKA ARDHIZI YA TANZANIA KWA MIAKA 37 SASA KUPITIA YEYE MUNGU AMEKUSA WENGI NI MZEE WA UPAKO CHIEF MWANTEMBE BISHOP ANTONY LUSEKELO HAYAA SHIME KANYANGA TWENDE WAKATI WAKO NI SASA. HATASHUGHULIKA NA MATATIZO YAKO BILA KUCHUKUA DINI YAKO. KWA MAWASILIANO 0754606082 KABLA YA KUPIGA ANDIKA SMS UTAJIBIWA KWA WAKATI. Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
    Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
    Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za UA-cam Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.

КОМЕНТАРІ • 189

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 12 днів тому

    Mzee karibu sana Kigoma ufungue huduma huku, mm nakutamani sana. Mungu amekujaria misuri ya ukweli.

  • @martinakyoo148
    @martinakyoo148 Рік тому +2

    Hili la kukurupuka tu nakujiita bila kusubiri kazi ikutambulishe ,kutokutambuliwa na serikali, Mzee Wa Upako umenena vyema ubarikiwe Sana.

  • @shadrackpaulomabula
    @shadrackpaulomabula Рік тому +2

    Hongera sana Mzee wa Upako kwa kuisema kweli yote nimekuelewa sana

  • @mactweve3353
    @mactweve3353 Рік тому +1

    this servant of God has preached the truth of God, may God's blessings be upon him and his children

  • @rev.asanterabi7440
    @rev.asanterabi7440 Рік тому +3

    Lusekelo hongera sana. Naona umerudi sasa! Maana awali ulianza kuhubiri vitu vya ajabu. Hizi ndizo jumbe za wakati. Mungu akuwezeshe udumu katika njia sahihi.

  • @Alex_Sesh
    @Alex_Sesh 3 роки тому +4

    Mzee wa upako Mungu wa binguni akubariki sana. Watanzania wanayo bahati sana wewe kuzaliwa Tanzania. Tunaomba sana usambaze umeme hadi Kenya.

  • @rosendanshau2674
    @rosendanshau2674 Рік тому +1

    Nakupenda baba Wakati wa Mungu umefika sasa

  • @wisembuya7891
    @wisembuya7891 Рік тому

    Baba ubarikiwe sana sasa unahubiri injili ya kweli hakika umebadikika sana kwa sababu nilikua nakufuatilia hakika unaipiga lnjili ya kweli na MUNGU AKUPE NGUVU UENDELEE KUHUBIRI IJILI YA KWELI.

  • @frankmwinuka3413
    @frankmwinuka3413 4 місяці тому +1

    Ubarikiwe sana Transformer.

  • @yustomroki1419
    @yustomroki1419 Рік тому +1

    Safisana Pastor Hakika Umenifanya niwe nakufatilia Hizi ndizo jumbe Zinazo Paswa kuhubiriwa Za kuwa Ambia wana Wa Mungu Ukweli .Safi Sana,, Hapo Nime kuelewa Vyema

  • @urbanmission3072
    @urbanmission3072 Рік тому

    Nakukukubari SANA mzee wa upako,yaani mi kwa upande wangu tangu zamani namkubar pekes mzee wa upako

  • @mkanulamajid500
    @mkanulamajid500 Рік тому +2

    Jamani hamuoni hata kusikia hamsikiii manabii wa uwongo wamejaa African na Tanzania amkeni mzee kaamua kuwafunulia maneno yenye ushahidi ubarikiwe inshalaaah

  • @godfreymaiko2126
    @godfreymaiko2126 2 роки тому +1

    Barikiwe mtumishi wa Bwana.

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 12 днів тому

    ❤❤❤❤ mm nakupendaga sana Mungu akutunze❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @brezenetcomputers9081
    @brezenetcomputers9081 Місяць тому

    Nakukubali sana mungu akupe mwisho mzuri maana mwanga unauona

  • @sebastianzongoro8915
    @sebastianzongoro8915 Рік тому

    Asante kwa kusema ukweli

  • @medsonsanga4813
    @medsonsanga4813 Рік тому

    Ubarikiwe kwaa kuigeukia njia ya Bwana halisi maana uliteleza kunakipindi

  • @WILLIAMCHINA
    @WILLIAMCHINA Рік тому

    Mungu Akubariki

  • @nyandasalasi2271
    @nyandasalasi2271 Рік тому

    Barikiwa sana mchungaji kwa kusema ukwel

  • @mpokimwakaje8178
    @mpokimwakaje8178 2 роки тому

    Amina mwantembe

  • @gideonmphunami2448
    @gideonmphunami2448 Рік тому

    Hongera sana Mtumishi kwa kusema kweli hakika itakuweka huru

  • @Victor-qu5nz
    @Victor-qu5nz Рік тому

    Amen from Kenya

  • @gabrielnjiapanda3710
    @gabrielnjiapanda3710 Рік тому

    Hakika Mungu akutie nguvu mtumishi,Endelea kuihubiri injili ya kweli ya Mungu aliye hai.

    • @LeticiaMwalongo-qc8hb
      @LeticiaMwalongo-qc8hb Рік тому

      Mzee wa upako unaongea kwelikweli tupu, naomba unifafanulie maana ya hiyo alama hapo ukutani

  • @gregorybundala4963
    @gregorybundala4963 Рік тому +1

    Huu ni uponyaji wa kifikra mkubwa sana kwa kweli ubarikiwe sana.

  • @thomasbugwano5114
    @thomasbugwano5114 Рік тому +1

    Umetisha

  • @peterndumbalo6637
    @peterndumbalo6637 Рік тому

    Amina 🙏🏿

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 12 днів тому

    Love you so much❤ Baba

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 Рік тому +1

    Umeongea ukweli kabisa mzee mungu akubariki mimi binafisi sijaona mtume wala nabii hukuna kabisa angalao moses kulora angalau hawa wote matapeli watupu

  • @martinsimtenda5990
    @martinsimtenda5990 Рік тому

    Naipenda Sana huduma yako

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Місяць тому

    Kweli Kabisa Yesu Alisema. Atakuja Nabii Lakini Sasa Siku Izi Manabii Kila Kanisa Cha Ajabu Wanamuubili Yesu Wakati Wao Manabii Siku Izi Vituko

  • @mohamedmahmudali9346
    @mohamedmahmudali9346 Рік тому +1

    Ipo siku ya Mungu utakuja shahadia na kubadili dini ,kwani nishakufatilia clip zako kama7 nahisi uko ukweli unaujua ,,zaidi Mungu akufanyie wepesi inshallah 🙏

    • @jonasimwanzi3632
      @jonasimwanzi3632 Рік тому

      Unafikilia uo ugaga wako aufanyi kazi kwa jina la yesu

  • @Elimunamalezi
    @Elimunamalezi Рік тому

    Nakuelewa pastor

  • @samuelinnocent953
    @samuelinnocent953 2 роки тому

    Amina amina chief

    • @fredrickmapunda3110
      @fredrickmapunda3110 Рік тому

      Unateseka sana nahuduma zawenzako mbona wewe unamadudumengi wenzio hawakusemi umejaribu kujiita nabii umechemka uliuza mifagio na miti umeiwwekea upako umechemka kweri Dunia inamambo.

  • @Elecovid
    @Elecovid Місяць тому

    Ww shetani mungu anakuona unavyofanya maigizo

  • @bampirenema9871
    @bampirenema9871 Рік тому +1

    Amen 🙏🙏🙏🙏

  • @johnlightmkose4723
    @johnlightmkose4723 Рік тому

    Sasaivi nakuelewa ila huko nyuma ulikuwa umepotea njia
    Ubarikiwe sana

  • @petermgaya9693
    @petermgaya9693 Місяць тому +1

    Ww ndio unayeijua dini wengine wezi tu

  • @apostlepeterdan2336
    @apostlepeterdan2336 2 роки тому

    🙏🙏 Amen

  • @patrickraymond729
    @patrickraymond729 2 роки тому

    Amina

  • @melaniazacharia3357
    @melaniazacharia3357 3 роки тому

    Amen

  • @ezekielmwadomba4675
    @ezekielmwadomba4675 Рік тому

    BIG UP MZEE WANGU ANTHONY

  • @giftuiso3489
    @giftuiso3489 Рік тому

    Hakika mtumishi Mungu amekutumia kuwaokoa Wakristo wanaopotea Mungu akupe kusema vyema kila wakati

    • @abeidkhamis6130
      @abeidkhamis6130 Рік тому

      Usijichanganye huyu mtu anaye mwita Paulo kua nabii naye amepotea pia

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Рік тому

      @@abeidkhamis6130 Aya nabii khamis

  • @charlesmapunda5905
    @charlesmapunda5905 2 роки тому +4

    Huyu jamaa alivyo anza ufreemason wake alikua anatembea n Mabodiga kibao saizi sijui kakosea Masharti hakuna Bordigard wala upako aliojifanya kaupata na hawa waumini sijui wametoka vijiji gani kwani hata mimi nilisha ingia chaka

  • @tazbernardmanda5176
    @tazbernardmanda5176 Рік тому

    naona uamsho umekufikia sasa barikiwa

  • @JamesIbrahim-el4zw
    @JamesIbrahim-el4zw Рік тому

    Nawepi

  • @fundiwamoldzapevingblock6378

    The had master

  • @oscarjackson2973
    @oscarjackson2973 3 роки тому +1

    Balikiwa mtumishi

  • @kamarajoshua8719
    @kamarajoshua8719 2 роки тому

    Ameni

  • @thomaswegoro4331
    @thomaswegoro4331 2 роки тому +2

    Moja Kati ya hotuba Bora zaidi. Amina. Naongezea
    Matendo ya mitume 1 tunaona watu 120 waliitwa Katika interview ya kumpata mbadala wa Yuda iskariot na wakapatikana 2 yaani Yusto na Mathia Kisha Mathia kua mshidi.
    Kama Katika kipindi kile walipatikana 2 wenye sifa, vipi Sasa????? Tusome biblia

  • @alexmasea2425
    @alexmasea2425 2 роки тому +1

    We mwenyew nabii wa uongo

  • @raymondsekabigwa5907
    @raymondsekabigwa5907 Місяць тому

    Wewe kama kimya bwana, kwanza kujiita Mzee WA upako ni kunifananaisha na Mungu. Kufuru wewe

  • @deusdatuschristian9127
    @deusdatuschristian9127 Рік тому +2

    Mwenyezi mungu akubariki mzee wa upako unasemaga ukweli

    • @gfydfdf8869
      @gfydfdf8869 Рік тому

      Ameeni 🙏 Mungu akutunze mchungaji Roho mtakatifu asidikukuwapaka mafuta yake.maana manabii wengi niwaongo.wanatafuta pesa manabii niwanganga wa kinyeji wanamizimu ya utambuzi .maana makanisa Yao wanatabili.

    • @gfydfdf8869
      @gfydfdf8869 Рік тому

      Ameeni 🙏 Mungu akutunze mchungaji Roho mtakatifu asidikukuwapaka mafuta yake.maana manabii wengi niwaongo.wanatafuta pesa manabii niwanganga wa kinyeji wanamizimu ya utambuzi .maana makanisa Yao wanatabili.

    • @gfydfdf8869
      @gfydfdf8869 Рік тому

      Ameeni 🙏 Mungu akutunze mchungaji Roho mtakatifu asidikukuwapaka mafuta yake.maana manabii wengi niwaongo.wanatafuta pesa manabii niwanganga wa kinyeji wanamizimu ya utambuzi .maana makanisa Yao wanatabili.

  • @nelsonbreidon6600
    @nelsonbreidon6600 Рік тому

    Nikweli mtumishi wa Mungu saiz waongo wengi wana jiita mitume na nabii

  • @seifrashid3664
    @seifrashid3664 Рік тому +2

    Mzee wa upako Tabia ya kungalia pesa ukipewa mathabauni waca

  • @luisdamianojekapu7136
    @luisdamianojekapu7136 Рік тому

    🙏🙏🙏

  • @UfunuoSt
    @UfunuoSt Рік тому

    Kuna ukweli fulani umeongea, ubarikiwe kwa hilo.

  • @sifamanyori-kf9vq
    @sifamanyori-kf9vq Рік тому

    Kumbuka rusekerwa wasingeku manambii husingehishi mungu anakuona

  • @benardwankoka3447
    @benardwankoka3447 Рік тому

    Uko sahihi mkuu

  • @reginamarwa8636
    @reginamarwa8636 Рік тому

    Sauti ya MTU aliaye nyikani...itengenezeni njia ya Mungu yanyoosheni Maputo yake

  • @muhammedsuleiman2137
    @muhammedsuleiman2137 2 роки тому +1

    You are one of them.

  • @chachamturi259
    @chachamturi259 Місяць тому

    Mnajua jaman maneno yasiwafanye mkatekewa tatizo lawatanzania tunapenda kuangalia hapa hatuangalii nyuma huyu mzee anamaneno matam lakini life style yake ndo inatia mashakaa

  • @dorcasnsemwa411
    @dorcasnsemwa411 Рік тому

    Kila kitu kina feki na original, kikubwa watu wa mungu kila kitu tukipime kwa neno la mungu

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 Рік тому +1

    Msipokuwa waislam hamtaamini mtakachoenda kuona

  • @mjumbewaaganoduniani
    @mjumbewaaganoduniani Рік тому

    Acheni kudanganya watu manabii wengi ni wa uongo hunena mambo ya duniani wa kweli hunena maneno ya ufalme wa mbinguni. Alisema Yesu watatokea wengi hao wote ni wa dunia hunena mambo ya duniani hayo ndio matunda yao.

  • @NicholausNkumira-ue8fe
    @NicholausNkumira-ue8fe Місяць тому

    Manabii WA uongo wako wengi Sana, mtawatambua Kwa matendo Yao. Hata Lusekelo akisema Yesu SIYO Mwana WA Mungu yaani Mungu mwana, jua na yeye atakuwa Nabii wa Uongo.
    Maana imeandikwa kila roho isiyokiri kuwa Yesu NI Mwana WA Mungu NI ya uongo.
    Hata akisema Yesu SIYO Kristo na wafuasi wake NI WA Kristo atakuwa Nabii wa Uongo na mpinga Kristo.
    Wakristo tuwe makini Sana, Bwana Yesu alitutahadharisha Sana.

    • @johnsonbernald11
      @johnsonbernald11 27 днів тому

      lusekelo anaongea kupitia biblia, biblia inasema yesu ni mwana wa mungu na sio kama wachungaji wanavyotudanganya eti yesu ni mungu, je mungu alitahiliwa? mungu alikuwa na ndevu?

    • @neemamajana3078
      @neemamajana3078 12 днів тому

      Lusekero kwa mjibu wa maandiko ni mkweli

  • @fundiwamoldzapevingblock6378
    @fundiwamoldzapevingblock6378 Рік тому +1

    Nimeupenda ujumbe niujumbe mzur maana unafundisha

  • @lwihokajigili24
    @lwihokajigili24 Рік тому

    HAMMA KITU HAPA...NJIA UNAYOTUMIA KUKOSOA WENGINE ILI UONEKANE MZURI WAKATI NIWALEWALE....NI NJIA ZURI YA KUJIPATIA WAUMINI WENGI NA KUJISAFISHA KWA JAMII...TUBU RUDI KATIKA NJIA YA KWELI

  • @MichaelmotikaLaiser-dl6wm
    @MichaelmotikaLaiser-dl6wm 4 місяці тому

    Huna lolote mzee wa bapa konyagi KUUBWA!!

  • @georgembise7234
    @georgembise7234 Рік тому

    Unasema wewe ndo muhubili mwenye nguvu kiliko wote !!!😂😂😂😂!!!mungu atusaidie,lkn mm nawaeshim watumishi wote nawapenda nawaeshim

  • @michaelgilbert1531
    @michaelgilbert1531 Рік тому

    Uchief mwantebe umeupata wapi

  • @WilsonJohn-or6rl
    @WilsonJohn-or6rl Рік тому

    Tuache wivu tupige kazi ya Mungu.
    Kwani mzee wewe uko juu ya Bibilia inayotambua fivefold ministries in Ephesians 4:11 kama kuna feki manake ilianza kuwepo original.

  • @aloycesilwela3485
    @aloycesilwela3485 Рік тому

    Ktk Siku umeongea basi ni leo

  • @gideonmwaweza8177
    @gideonmwaweza8177 Рік тому

    Neno la Mungu niukweli huyo ndo MUNGU

  • @Elecovid
    @Elecovid Місяць тому

    Hata we mchungaji wa uwongo tu

  • @jumanneselemani2172
    @jumanneselemani2172 Місяць тому +1

    SILIMUNI MJE KWENYE UISLAM

  • @andrew29468
    @andrew29468 2 роки тому +5

    Kuna ukweli mkubwa alichoongea no matter what!

    • @leonardmwayeya13
      @leonardmwayeya13 Рік тому

      Mzewaupako maubiriyako nimatam yanaraza tumbua majipu kuuza maji yamia 500 Hadi 10000 mwaipopo Hadi udingo kijiko 500

  • @modestshikilana4610
    @modestshikilana4610 Рік тому

    Sioni sababu ya kulumbana, fundisheni neno acheni kulumbana. Mbona hata wewe ulipiga wengi tu.

  • @ramadhanzengwe3876
    @ramadhanzengwe3876 2 роки тому +7

    Upo sawa mzee wa upako mitume yote ni ya uongo hakuna mitume sasahivi mtume wa mwisho alikuwa mtume muhamad s.a .w

  • @solomonlaizer9213
    @solomonlaizer9213 2 роки тому

    Ni kweli tumtegemee Mungu mwenyewe

  • @rambostalon2888
    @rambostalon2888 2 роки тому

    Iyo peramidi vp

  • @charlessigunga
    @charlessigunga Рік тому

    Nikelu transifoma

  • @sebastianzongoro8915
    @sebastianzongoro8915 Рік тому

    Nakuelewa unatoa mafundisho unaelewesha kupitia maandiko matakatifu wengine ni kelele tuu

  • @clemencemillanzi6750
    @clemencemillanzi6750 Рік тому

    Umemaliza mzee huna deni tena, na maneno yako, watu wenye akili yataishi mioyoni mwao daima.

  • @ezekielmwadomba4675
    @ezekielmwadomba4675 Рік тому +1

    MITUME NA MANABII, WATA JIJU!

  • @arnoldethan8699
    @arnoldethan8699 Рік тому

    Wivu unatesa Kanisa la Bwana la Bwana.

  • @NicholausNkumira-ue8fe
    @NicholausNkumira-ue8fe Місяць тому

    Wakristo waweje waislamu wakati wanamfuata na kumwamini Yesu Kristo kuwa yeye ndo njia na kweli na uzima mtu hawezi kwenda Kwa Baba bila kupitia njia yake?
    Mwaminini Yesu kuwa Bwana na mwokozi WA Maisha yenu ili na nyie mje mfike mbinguni Kwa Mungu Baba.

  • @katabanyamasala7943
    @katabanyamasala7943 3 роки тому +2

    Ubarikiwe

    • @MzeewaupakoTz
      @MzeewaupakoTz  3 роки тому

      Amina

    • @josephemmanuel388
      @josephemmanuel388 Рік тому

      muchungaji nilikuwa ckupendi lakini sasa nakupenda sana nanitakuja kanisani kwako kusali

    • @josephemmanuel388
      @josephemmanuel388 Рік тому

      @@MzeewaupakoTz nilikuwa ckupendi lakini sasa nakupenda sana nanitakuja kanisani kwako kusali.🙏🙏🙏🙏

  • @StevenCredoMTV
    @StevenCredoMTV Рік тому

    Tunahitaji injili kama hizi

  • @sebastianungimba4676
    @sebastianungimba4676 2 роки тому +1

    Waambie wapuuzi hao

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 2 роки тому

    KWANI MBONA MITUME TU NA MANABII WANAOTENDA MIUJIZA NA ISHARA JE HAO WA VINYAGO NA NYOTA NA MWEZI WAKO JE

  • @damasipipingo271
    @damasipipingo271 3 роки тому +2

    Ubalikiwe mzeee

  • @johnlightmkose4723
    @johnlightmkose4723 Рік тому

    Leo umetubu
    Sasa umeokoka endelea kujishusha utainuliwa kuliko mwamposa na nabii geordevi wa arusha yule muhuni wa freemason

  • @user-qs8vi4fd6m
    @user-qs8vi4fd6m Рік тому

    Hakika kwa maneno yako pekeee tunabalikiwa

  • @user-qp7ym1lb8y
    @user-qp7ym1lb8y 9 днів тому

    Tatizo unakunywa pombe

  • @maclaudismail6606
    @maclaudismail6606 25 днів тому

    Hahahaa nabii masanja unasikia

  • @bonifasemmanuel4700
    @bonifasemmanuel4700 2 роки тому +1

    Umeongea vizuri ila na wewe ni mmoja wao

  • @barakanestory3521
    @barakanestory3521 2 роки тому

    Hivyo ni vijembe sio upako.Penda neni,acheni, Mwamposa ni nabii na mtume,na mungira.,Na wengine wengi,anaye juwa,,nabii au mtume ni mungu wewe huwezi kujuwa.Huwezi kujuwa mungu kamchaguwa nani? Muache mungu ndiyo atajuwa.

  • @abbyadams8691
    @abbyadams8691 2 роки тому

    Hawa wahubiri wa siku hizi vurugu tupu! Wengi wao ni wa mchongo.

  • @rosendanshau2674
    @rosendanshau2674 8 місяців тому

    Yaani mzee waupako wewe ningekua Dar ningekupa zawadinabii mwingine anasema watu wauze vitu.mkemee huyo

  • @alexmzumbwe1328
    @alexmzumbwe1328 Рік тому

    Umeanza kueleweka