LITAKUFA JITU!! ENG.HERIS ATANGAZA USJALI MPYAA! YANGA NI BALAAA! AKITUA YANGA TISHIO AFRIKA...
Вставка
- Опубліковано 1 тра 2024
- #tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumoNukuu#mamelodi
- Спорт
Chama na kibu haoooooooo
Ni maneno tu ya mkosaji tu ukweli simba mnaumia na bado mtaumia sana kwa kauli zenu zinawaponza
Naona watu wanaumia fatilieni yenu sio ya mwananchiiiii
Kuna watu wamejambishwa na wameshtuka kua tayari wamejambaaaa🎉🎉🎉😅😅😅😂😂😂😂😂
Hatatiiii
😂😂😂😂 yangaaaaa hatuna dogo😂😂😂🎉🎉🎉🎉
WANANCHI HATUNAGA JAMBO DOGOO😂😂😂😂😂😅😅😅
Yanga nitimu kubwa hata ifungiwe usajili watasajili tu Si watalipa hela?
Wewe kaa na kolo lako huko yatu yanakuhusu nini yanga,tukudanganye usidanganywe unaumia nn,?!
Ww unayedai wamefungiwa hujui kweli,masharti yaliyowekwa yakitimizwa usajili unaendelea.Masharti yenyewe ni kulipa fedha tu
Jamani naskia KIBU anaenda YANGA eti kweli
Yanga wamemsaini Kibu
Hayakuhusu ila usajili lazma uumie
Nilikuwa nawaamin ila siku isii mmekuwa waongo sana
Nyie wamongoli mmezoea mangungu amlete manzoki kwenye mkutano ndo muamini eeehh 🤓🤓🤓 au Alikwe mchambua mchele kama mlivyofadhili interview yake kule Cairo eeehh 🤓🤓
Msimu ujao tunataka nusu fainali 💚💛💚💛💚
Ada umelipa
Za kambole mshalipa?
@@hassanabdala7383kalipe wewe 😅😅
Nusuwakt kadizinafutwa
@@AyubuMsindo 🤣🤣🤣🤣 .... Ukwel ana ujua abdelhak benchika bhanaa , kama ameondoka na ameacha report basi ifanyieni kazi ila mkianza kufata mapambio ya viongozi wetu .... Tutachukua ubingwa mpaka akili zenu zitakapo kaa sawa 🤣🤣🤣
Changamoto za MAdundukA zilizia 1.since mnamleta manzoki kwa mkutano mkuu - hii ilionyesha hampo seriously kabisa
2. Suala la kambi mkafanya fashion kwenda kambi ya picknik wachezaji wengine waligoma wengine wakapelekwa makundi kwa makundi hakukua ile pre - season yenu ilikuwa ya kimazabe mazabe 🤣🤣🤣🤣
3. Usajili wa wachezaji wa viwango vya kifusii kwenye dirisha kubwa like Sawadogo, Jefferson, outarra, Dejan, okwa hii ni changamoto pia
4. Mabadiliko ya kuwaacha wachezaji wazuri Sana na kuleta wenye viwango sawa na wale wa tandika mabatini 🤣🤣🤣 Baleke na Moses Phiri out then Pa Omar jobe na Fred Michael Koblan vunja bei in
5. Kuwa bize na issue za yanga imewafanya wao wa move on madunduka Waka move out kwenye malengo na mipango Yao Kila siku wanaimbishwa nyimbo mpya na wao wanacheza ngoma wasio ijua 🤣🤣🤣
Ukiachana na ubovu wote huo ila nikija kwenye point yako kwa ku outline mbeleko za MAdundukA tokea msimu huu ni shida bin balaaa
1.penalty 9 za Sadaka Ahsante MALOGO kwenye msimu huu saidoo kapiga penalty 5 kwenye magoli yake 7 Kisha chama ana penalty 3 za Sadaka Ahsante MALOGO.... Hili hamzungumziiii kabisaa 🤣🤣🤣
2. Viporo visivyo na sababu za msingi wakat Simba na yanga wote walikuwa kimataifa - sababu za ovyo ovyo mnamegeana viporo mnasusa susa mpewe viporo 🤣🤣 nakukumbusha miaka 3 nyuma Simba alikuwa na viporo 8 duuuh
4.Mbona hamkuuliza swala la Hussein kazi kupewa kadi ya njano kwa faulo ya ndani ya box ☑️ maana ilipaswa itokewe kadi na penalty kwa mkupuo
3. Kwenye kipigo Cha 1-5 Hamkuona kitendo Cha shomari kapombe kumdaka Mudathir yahaya Abbas kwenye box ? Mbona mlikuwa kimya hamkuona kama ilistahili kuwa kadi na penalty ??? Au mlikuwa mmefumba macho
4. Namungu wanasema hivi ilikuaje che Malone amegongana na kipa wake ayoub Lakred Kisha maamuzi anakataa goli anasema ni faulo ?? Happy happy Kennedy Juma na kipa wake ayoub Lakred wanafanya Tena 😅 then refa anasema walete kati wanataka kujua Sheria ipi zilitumika kwenye maamuzi ya Yale matukio mawili ???
Sasa tuna mchukua nonga na bikison mtaona motoo
Ni kambole
Yanga wangemchukuwa miquison maana anakuja upya kisoka kwasasa
😅😅😅 hamna kitu pale ...... Madunduka wenyew wanatafuta njia wamfukuze ,,,, kaka kwani we ukiambiwa umchukue kibu Denis prosper mgeni rasmi - mkandaji na miquissone unaenda na nani ?? Kibu denis ni kuchukua onana + miquissone + pa Omar jobe + mangungu + try again + na wengine wa 3 = Kibu denis
Miquison wa Nini hakuna kitu pale😊😊😊
Bangala.
Atakuwa yaniki bangala
Kambole huyo yule mzambia
We mwanga
Huna jipwa tunakujua zaidi ya kujikweza
Kombole
Akili zako hazikutoshi, ndipo utajua kuwa hujui.
Lazima finali msimu ujao
Kuna kambole jama
Mama du Dumbia (beki la chani) + Kambole ndiyo wanaodai inavyosemekana.. tetesi kubwa ni hao... Na shida siyo Kwamba usajili haukukamilika... Ni Kwamba wanadai hela zao yanga ...
Tumeshalipa kadi zetu za uwanachama hivyo mambo yamekaa sawa .... Nyie ambao hamjalipa tulipenii pia
Jambisha mabwegewako siosimba Simba taasisiww wanasimba msitishke kmawalichukuwa mcheza taalabu nawakampamba sasa mnababaika nanini waimbataalabu hao
Haya mambo hayataki hasira
fuatilia yenu achana na wananchi. halafu acha matusi utafungwa
Jifunze kuandika kwanza shoga ww
Tuliza mshono
Baado hawajasema.
Danganyeni mazoba wenu wa Uto team imefungiwa kusajili mnajikosha kupotezea
Utashangaaa
Muda utaongea
Poleni Nguruwe
😂😂😂 ngungu njooo umlete manzoki Kuna watu Wana mbwinya mbwinya huku wameshaanza kuogopa huku 😊😊😊
Mangungu mwenyew analia huko aliko, Ahmed Ali kimya anajua wananchi tupo kazini , try again 🤣 halafu we unajikakamua huogop Wala haumiii yaniiii ?? Nyie ndo mnakuja kuiba simu taifa sio kuangalia mpira 🤣🤣🤣
Kuna watu wamejambishwa na wameshtuka kua tayari wamejambaaaa🎉🎉🎉😅😅😅😂😂😂😂😂
Wewe kaa na kolo lako huko yatu yanakuhusu nini yanga,tukudanganye usidanganywe unaumia nn,?!