TUTAZUNGUMZA LUGHA NGUMU HAIJAWAHI KUTOKEA''MWABUKUSI AENDELEA KUSHIKIA BANGO BANDARI NA DP WORLD..

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 лют 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►UA-cam: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

КОМЕНТАРІ • 241

  • @user-zj4ii6uf7t
    @user-zj4ii6uf7t 5 місяців тому +11

    Hongera sn Kaka yangu mwabukusi kwa kulipigania hili Taifa bila hivyo Taifa letu tutalipoteza,tunamshukru sn kwa kutuamsha watanganyika na watanzania kwa ujumla!!!Mungu wa mbinguni azidi kukubariki na kukukingia kwa Kila hatali,, MUNGU mbariki mwabukusi Mungu ibariki Tanganyika Mungu ibariki Tz yetu tusonge mbele kwa ajili ya nchi yetu tuko pamoja

    • @robbymzee3423
      @robbymzee3423 3 місяці тому

      Mungu ibaliki Tanzania iendelee kutuletea wasema kweli

  • @JesuinaBabili
    @JesuinaBabili 5 місяців тому +16

    hakika Taifa tupo msibani na hiyo lugha ngumu uliyonena umetutendea haki wana wa Nchi hii …Baba wa Mbinguni akutunze na kukupa ulinzi daima Wakili Mwabukuzi… Barikiwa sana …

  • @seifmohd5357
    @seifmohd5357 5 місяців тому +8

    Asante sana mkuu tunakuelewa sana Mungu azidi kukupa nguvu ili uweze kututetea wanyonge cc

  • @justice607
    @justice607 5 місяців тому +25

    Mimi ni mwenyekiti wa Ccm, mkoa flani lakini nakubali nondo zako Advocate

  • @user-py9jj5yr9l
    @user-py9jj5yr9l 5 місяців тому +6

    Mungu azidi kukupa maisha marefu najifunzaga mengi sana kwako

  • @batwelimahenge7850
    @batwelimahenge7850 5 місяців тому +13

    Asate mkuu
    Nakuelewa sana pamoja sana

  • @danielmpanguko759
    @danielmpanguko759 5 місяців тому +5

    Umeongea sahihi sana Kaka Mwabukusi, kutembea na bahasha za kuomba ajira kila siku haina tofauti na maandamano.

  • @dominiclyamchai9561
    @dominiclyamchai9561 5 місяців тому +13

    Mwabukusi WAPE VIDONGE VYAOOOO,TEMA MADINI MWANANGU.NCHI HII IMEKWISHA KABISA.

  • @user-rr1ds9jm1q
    @user-rr1ds9jm1q 5 місяців тому +11

    Safi sana ongea ukweli

  • @davidtuya9586
    @davidtuya9586 5 місяців тому +5

    Asante Sana mwabukusi mungu akubariki

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 5 місяців тому +13

    Uyo ndo mwambukusi msomi makini

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 5 місяців тому +9

    MWABUKUSI NAKUKUBARI SANA WEWE MZARENDO WA UKWELI C MNAFIKI

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 5 місяців тому +9

    Mwabukusi nakuelewa sana CCM kwasasa ni mwenda wazim na uyo mmamma wao

  • @jesaminzo
    @jesaminzo 5 місяців тому +2

    Huwa sijutii kupoteza bando langu kukusikiliza Hon Advocate Mwabukusi❤

  • @godwinkasaizi882
    @godwinkasaizi882 5 місяців тому +4

    Amen and this is true. We need seriously Reform

  • @pidiusDominick-qi7nl
    @pidiusDominick-qi7nl 5 місяців тому +3

    Mungu akupe maisha marefu

  • @yussuph-lx7cu
    @yussuph-lx7cu 5 місяців тому +5

    Mwabukusi ni Martin Luther king wa TANZANIA ,HONGERA MWABUKUZI ,,WEWE NI MKOMBOZI WA TANZANIA YETU ,CCM WAMEGEUKA KUWA WAKOLONI WEUSI

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 5 місяців тому +8

    Napenda hoja zako mungu akulinde wakili Mwambukusi

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 5 місяців тому +3

    Asante MUNGU akubariki mwabukusi

  • @amosjoseph7241
    @amosjoseph7241 5 місяців тому +5

    Akili kubwa sana

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 5 місяців тому +7

    Kweli limebemendwaa aiseee😂😂😂😂

  • @user-cl5yq6ne3q
    @user-cl5yq6ne3q 4 місяці тому +1

    Amina sifa kwa Mungu alie waimba watu kama hawa majasiri wa kukemea maccm haya. Mungu ongeza wengine zaidi the name of Jessus

  • @StephenLetta
    @StephenLetta 4 місяці тому +2

    Nakukubali. Akili yako na uzalendo siyo vya kutiliwa shaka

  • @giztony2009
    @giztony2009 5 місяців тому +3

    Aisee Tanzania ina watu hadimu sana😊😢😢😢

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 5 місяців тому +3

    Unatosha kuwa mwalimu wangu.... Napenda kujifunza kwako

  • @athuman7480
    @athuman7480 5 місяців тому +4

    Ila mwabukusi akigombea uraisi chadema inapita vizuri tu

  • @amanicarloschissanga4811
    @amanicarloschissanga4811 5 місяців тому +3

    Heshima nyingi kwako kamanda mwabukusi, tupo pamoja mkitangaza lugha ngumu kiongozi tutaizungumza wote mpk hawa manyang'au wajue kwmb hatutanii

  • @user-ky3eu3zt8o
    @user-ky3eu3zt8o 4 місяці тому +1

    Kaka Mungu kakuweka hapo kwa kusudi lake hakika sisi tunakuelewa sana Mungu akulinde

  • @phillipmasungwa7365
    @phillipmasungwa7365 5 місяців тому +8

    UPO SAHIHI KABISA MWAMBUKUSI.

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 5 місяців тому +3

    MUNGU wa Mbinguni akulinde Mwabukusi🎉🎉

  • @samhadas788
    @samhadas788 5 місяців тому +2

    Asante Kaka ❤❤

  • @danielaudax6755
    @danielaudax6755 5 місяців тому +1

    uko sawa bro yaani sawaa kabisa

  • @hamphumichael7194
    @hamphumichael7194 Місяць тому

    Tanganyika ❤Mungu azidi kutubariki tuna vichwa Sanaa

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 4 місяці тому +1

    Uko sasa kabisa kiongozi ✊🏽

  • @user-ok6lv3je4b
    @user-ok6lv3je4b 4 місяці тому

    Mungu akulinde bila mungu huwezi

  • @siamollel6051
    @siamollel6051 4 місяці тому +1

    Mungu Akutunze kwajili Ya Tanzania

  • @festokastory5282
    @festokastory5282 4 місяці тому +2

    Mwabukusi aungwe mkono na kila mtanzania mwenye akili timamu

  • @user-jx5ze9wz8e
    @user-jx5ze9wz8e 5 місяців тому +1

    Nakukubali sana kamanda uko vizuri san ccm na wabunge wao hawana maana yoyote

  • @user-fh1wg4jv9i
    @user-fh1wg4jv9i 5 місяців тому +1

    Kichwa kimeshiba maarifa ndani ya kichwa nakubali sana

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi 5 місяців тому +3

    Ccm wasipotuelewa, tutawelewesha kwa njia ambayo wataijua. Jamani tupambane machawa wamechachamaa wanapinga mazurI wamepewa kitu na ccm

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398 5 місяців тому +1

    Uko sawa kaka

  • @faustinemangula8424
    @faustinemangula8424 5 місяців тому +2

    Mwambusi umekaribia kuwa mtumishi wa Mungu.

  • @juliusryoba3142
    @juliusryoba3142 7 днів тому

    Hakika kila magumu yana mlango wa kutokea, Kaka mwabukusi tunakuombea Afya njema utuongoze ktk kulikomboa Taifa hili. UKWELI ni kwamba tusipotambua Siasa ni maisha tukaachia watu wachache viongoz mithili ya NAPE watatuchezea sana na nchi hii haitakaa iweke mifumo Bora ya utawala wa sheria sambamba na kuinua uchumi wetu kama nchi.

  • @bonifasimichael1320
    @bonifasimichael1320 4 місяці тому

    Respect kiongozi Mungu akulinde ipo siku wakati itafika tu

  • @rahimhassan6722
    @rahimhassan6722 5 місяців тому +2

    Nakufaham sana kwa lugha hi yaleo..ccm ni mizimu majambazi

  • @omaryjudasymwanga7172
    @omaryjudasymwanga7172 5 місяців тому +5

    Alafu yanaibuka majitu hata A.E.I.O.U hayajui inaandikwaje alafu yanakwambia mitano tena yani hata broo makonda akifufua mautumbo yanayoliza watu waliopo na wasiohusika ila wanalia kwa kuona wenzao wanapita kwenye upuzi gani ndani ya nchi yenye watalam kila anayekuja anakuja nalake mtu anakaa mahali miaka 60+ kanakuja kajinga kamoja eti ondoka hapa umevamia yani uzaliwe usomeshwe alafu uwarudie watu mlivamia hivi mpo serious makonda anachofanya nikizuri maana anafufua kaburi ambazo zimezikwa mpaka watu saba ndani sasa subirini mda wa fidia tuone mtalipa ngapi maana uhuni huu sijui

  • @sportsnewjs4330
    @sportsnewjs4330 Місяць тому +1

    CCM ni HATARI sana kwa uhai wa Taifa letu la Tanzania 🇹🇿 kwa sasa
    Ukweli Wananchi tusipo amsha hakili zetu, basi Raslimali na vitegauchumi muhimu, CCM watauza vyote

  • @user-do5by8jl6g
    @user-do5by8jl6g 4 місяці тому +1

    Chai moto kikombe moto salam ziwafikie ccm

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph7877 4 місяці тому +1

    Mwamba nakukubali sana

  • @peterkasanga-fw7th
    @peterkasanga-fw7th 5 місяців тому +1

    Sisi watanzania tumezidi uoga, uwanja wa mpira wanaujaza lkn kwenye masilai ya taifa watu tupo mbali kama hayatuhusu MUNGU awabaliki kemeeni hawa uwauwa nchi niyawote.

  • @nicholasakeya6790
    @nicholasakeya6790 4 місяці тому

    Iam from kenya i like on how u express ur self

  • @sospeterodhiambo6869
    @sospeterodhiambo6869 5 місяців тому +4

    Uko sahihi kbs Ila ukisoma comments za watu wengi wetu ni wajinga wa kutupwa hawaelewi kitu na hata ukimuuliza akupe hoja hata moja Hana na hajui Ama kweli tulinyimwa elimu maksudi ili ujinga uendelee

    • @user-dp1ch6vv6z
      @user-dp1ch6vv6z 5 місяців тому +1

      Kweli kabisa na isitoshe mabwege wengi wasio helewa ni wale wanao ishi kwa shemeji zao na kulala sebleni kama baiskeli wakijuwa maisha wameyamaliza.

    • @joycejoel1633
      @joycejoel1633 5 місяців тому +1

      Sospeter hao wanao comment ujinga sio kwamba ni wajinga ila ndo wale ambao Genge la wahuni wa chache ni ndugu zao .

  • @herielimushi
    @herielimushi 5 місяців тому +1

    Kweli kaka yangu

  • @user-ow3km3xy8k
    @user-ow3km3xy8k 4 місяці тому

    unatupgania baba lakn wengin wanakuona kama mpuuz tu mungu akulinde baba

  • @asanterabikimaro9081
    @asanterabikimaro9081 4 місяці тому

    Uko sawa mkuu.❤

  • @bonifasimichael1320
    @bonifasimichael1320 4 місяці тому

    Wame mdhohofisha tundulisu Mungu katuletea msemaji mwingine na Mungu ataibua wakina mwabukusi wengine. Chadema Ni chama makini

  • @richardsalim1042
    @richardsalim1042 4 місяці тому +1

    Yupo thabiti ni hatar,let say ndio Rais patanoga sana

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya5860 5 місяців тому +2

    Sema hii nchi inaliwa na watu wachache

  • @PaullKapagala
    @PaullKapagala 4 місяці тому +1

    Mboe ungekuwa kama huyu mean bukusi tungekuelewa ondoa upole

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 5 місяців тому +3

    Rais ajae ni mwambukusi sio samia na hatukutaki kabisa samia achia tanganyika yetu hatukutaki

    • @denismnubi7001
      @denismnubi7001 4 місяці тому

      Tumuchagie ela za kuchukua fomu ya urais huyu mwamba anatufaa kabisa

  • @richardsalim1042
    @richardsalim1042 4 місяці тому +1

    Huyu mwamba ni pafect kinoma mpaka raha kumsikiliza

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 місяців тому +2

    👊✌️✊

  • @bonifasimichael1320
    @bonifasimichael1320 4 місяці тому

    Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki viongozi wa CHADEMA

  • @user-hl9xu4vo1q
    @user-hl9xu4vo1q 2 місяці тому

    Yaani mpaka nimejikuta nadondosha michozi, kwann watu wenye usubutu kama hawa wasipewe nchi!!

  • @user-jf7rg1ux9l
    @user-jf7rg1ux9l 4 місяці тому +1

    Safar ya matumain inaonekana.

  • @user-kp4zp1lr4u
    @user-kp4zp1lr4u 4 місяці тому

    Mungu akuongezeee nguvu imeongea point kwenye swala wafugaji

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola 5 місяців тому +1

    Natamani achukue fomu nchi itakaa sawa

  • @SimonLimuruti
    @SimonLimuruti 5 місяців тому +1

    Wakili wetu mungu tu ndio atake kukuilipa,kweli naomba tukipata dola kuongoza nchi wewe upewe uraisi au umakamu kabisa unnafaa

  • @willymdeka6034
    @willymdeka6034 5 місяців тому +2

    Na mfumo wa chadema umebemendwa na mwenyekiti wa kudumu

  • @jaberalyafei274
    @jaberalyafei274 5 місяців тому +2

    Si kweli bwaaaaana sema kweeeeeliii> weweeeeee

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 5 місяців тому +1

    Huyu jamaa mbabe haogopi dah maneno yako mazima lakini kelele hazifiki pahala wamezuia mpini ww umezuia shoka itakuchinja tu

  • @user-ye3xp1lf7i
    @user-ye3xp1lf7i 5 місяців тому +1

    Kakanakukubari sana

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k 4 місяці тому +1

    Kweli wamasai wanaonewa

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398 5 місяців тому

    😮asate kaka erim nzali sana

  • @BartolomeuHenrique-mx1fn
    @BartolomeuHenrique-mx1fn 4 місяці тому

    Unaendelea vizuri kutetea nchi

  • @user-jk6we5qu2x
    @user-jk6we5qu2x 4 місяці тому

    Pamoja mkuu unaipenda nchi yako

  • @user-ux8ms6ky9i
    @user-ux8ms6ky9i 4 місяці тому

    Kweli kaka sisi wakulima wa kahawa miseny tunapangiwa bei na watu ndo maana kahawa zote zinakwenda 10:40 uganda zote zinatoka tz

  • @victorgerryson2695
    @victorgerryson2695 14 днів тому

    President

  • @skylevelmedia7581
    @skylevelmedia7581 4 місяці тому

    Speek speek 💪

  • @fikirially7875
    @fikirially7875 4 місяці тому +1

    Mmemkuta Rais mwenye ustahamilivu 2020 mngejarabu kutanua hiyo midomo kwa yule mwamba mngejua serikali ipo kazini acha ubaguzi wa nchi kipindi cha magu ulikuwa wapi nenda kasimamie familia yako kwanza umalize migogoro kule kwenye familia yako.

    • @MussaSelemani-wz5np
      @MussaSelemani-wz5np 4 місяці тому

      ndio maana tulimuua nahuyu akileta ukuma wake naye anakufa

  • @MathiasNzungu
    @MathiasNzungu 4 місяці тому +1

    Wachungaji tunakuombea

  • @user-yj9un6iz9c
    @user-yj9un6iz9c 5 місяців тому +1

    Mbona unafoka ndugu yangu na wewe bado sana kwenye siasa naona kama unalala Mika sema sera zako wewe

  • @user-ub6nh5zq4f
    @user-ub6nh5zq4f 5 місяців тому +1

    Tumekuelewa baba

  • @user-no6sg5vc5z
    @user-no6sg5vc5z 4 місяці тому

    Natamani niwanunulie simu wananchi niwawekee bando pia wakusikilize jamani akili kubwa kama hiii inateketea kwenye kizaungu tusaidie

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 5 місяців тому +1

    Ni wenye akili tu watakuelewa ila watanganyika wamepofushwa na ccm wasione mbele Kuna nini

  • @ZenaMwakalambile
    @ZenaMwakalambile 5 місяців тому +1

    Kama sio maigizo kwani bandari ziko studio,kafanye fujo kwenye hiyobandari.

    • @allonjoseph5467
      @allonjoseph5467 5 місяців тому

      hivi ww unamaanisha ww upo salam?? au unapepo lina kusumbua ccm imekuwa jini linalo nyonya wana nchi wake ipo siku utajua hujui mungu yupo acha azungumze ss tunamuelewa

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t 5 місяців тому +1

    Wewe ni mwamba mtu na nusu nakuunga mkono brother

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 5 місяців тому +5

    WEWE MWANA SIASA WA MAENDEREO WA UKWELI ASIEKUJUA AKUJUI

  • @MariaCassian-e2i
    @MariaCassian-e2i 7 днів тому

    Unaongea ukweli sana ila hawapo watu wasikivu kwa sasa wanebaki mabepari tu wakiafrika

  • @prudencemushi6948
    @prudencemushi6948 4 місяці тому

    Nimerudi kusikiliza tena leo kujitia hasira...😊

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h 4 місяці тому

    Kazi ya maskio ni kuskia

  • @LeahSangawe
    @LeahSangawe 5 місяців тому +1

    Sema baba. Ndio maana wanajenga shule nyingii walimu hakuna. Elimu ni ndogo sanaaa. Ndio maana wanahongwa elfu kumi. Wanauzq hakim zao. Watoto. Wao wanasoma ulaya. Haha wanatuandalia Taifa la wajinga😅

  • @user-dl1mg2qf4n
    @user-dl1mg2qf4n Місяць тому

    Kwa hivyo Dubai sio Nchi ila Tanzania ni nchi? Sometime nyinyi wasomi mnatufanya mazuzu, watu waliotuacha mbali sio nchi ila Tanzania ndio nchi😂, sectors karibu zote hakuna nchi haina wageni

  • @bonifasimichael1320
    @bonifasimichael1320 4 місяці тому

    Chadema mpeni mwabukusi agombee urais Atabeba mpaka ya vipofu bila ushabiki mwabukusi anatosha

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho 5 місяців тому +1

    Ww ni mzaredo wetu

  • @denismnubi7001
    @denismnubi7001 4 місяці тому

    Aisee tumuchagie ela ya fomu ya urais huyu mwamba anatufaa ksbisa

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 5 місяців тому +1

    NA ANAEKUELEWA ANAKUELEWA VIZURI SANA

  • @user-dl1mg2qf4n
    @user-dl1mg2qf4n Місяць тому

    😢Duuh basi kwa sauti hii unayo itumia ni ya kikoloni kabisa, Zungumza kiswahili ili nguo yake iliyochaka akuelewe vizuri, Aa

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Місяць тому

      Kwaani wewe umesoma kwa lugha gani mpaka unamhukumu mwabukisi

  • @user-ii7yn2sd3i
    @user-ii7yn2sd3i 4 місяці тому

    Dini ndo zinazotutafuna achilia mbali hili swala ni la kitaifa na kisisasa lakin uamuzi wa swala hili limekaa kiimani zaidi

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 2 місяці тому

    Wewe mwambukusi mbona ni tupu kabisa, unahitaji kiki kupitia ujinga wa watu wachache wasio jitambua.