Rehema Simfukwe - Huniachi (Live Music Video)
Вставка
- Опубліковано 30 тра 2024
- HUNIACHI ni wimbo wenye kutukumbusha UKUU na uweza wa MUNGU wetu na KWELI iliyo kwenye AHADI zake! Kwa mazingira yoyote yale YEYE amesema HATATUACHA. AHADI zake ni KWELI na ZIMEHAKIKISHWA.
Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe; na katika mito, haitakugharikisha; uendapo katika moto, hutateketea; wala mwali wa moto hautakuunguza. Isaya 43:2
Live Recorded at Jakaya Kikwete Convention Center -Dodoma Tanzania
Song Composed by Samuel Yonah
Soprano:
1)Sarah John
2)Anna Masero
3)Joyceline Kato
Alto:
1)Elizabeth Hange
2) Happiness Humbo
3)Hannah Malumbu
4)Maryline James
Tenor:
1)Joshua Lugendo
2)Hagai Ipyana
3)George Sangiza
MD/Arranger/MainKeys - Samwel Yonah
Aux1(Synth Lead) - Victor Daniel
Aux 2 (Brass/Synth Cord) - Alfred Yonah
Aux 3 - (Marimba/Bells/Synth) Nasamwa Mwangosi
Guitarists:
Guitar 1🎸 - Andrew Kaniki
Guitar 2 - Emmanuel Robert
Bass Guitar -Raphael Shayo
Bass Guitar - Emmanuel Materu
Acoustic - Bezalel Mwandete
Drums:
Charles Singano
Peter Kiondo
Hospitality: Lightness Rhody, Praygod Ulomi, Sadwel Grishael
Lyric Interpreter: Venisia Z Mzonya
Audio Mixed/Mastered by Samuel Yonah/Samyonstudios
Decorations/LED Screen: Simply Special Decor
FOH Sound & Backline Equipment & Stage & Lights : HaddyPro Company Ltd
Make-up: Shatafrica Beity Store
Designer: Jujustitches
Powerful song! I like ve the creativity involved, from the melody to the video to the anointing! More grace to you and your team!! Ubarikiwe sana Rehema
Ubarikiwe sana mama yangu
Wakenya site twasema hatatuacha
Amen
Kabisa 🥳🥳🥳
This my song
This is so profound huniachiii❤Israel Mbonyi song 4days ago🎉Sarah K new song 4 days ago eeeiy this is amazing there is something about June 🎉🎉Huniachii aaah uko nami eeeiy
From Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪the grace that is upon this lady glory to God .
Beautiful song.
Glory to God
If you are from Kenya gonga like hapa tukisonga 😊
😊😊
Mbarikiwe sanaa
Psalms 23 the lord is my shepherd he will never leave me nor forsake me in Jesus name 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Be blessed 🙌 😊
Msimu Mpya umeingia katika maisha yangu! Ktk ulimwengu wa kiroho naona vile ambavyo Mungu ameviachilia kuanzia mwezi Juni... Naona baraka juu ya baraka sababu nipo naye sitaogopa lolote ambalo shetani ameliweka njiani!... If you want to connect you can like this
Amen amen
Amen. M in that season too.
Ahsante MUNGU Kwa kutupa Mjumbe Wako ktk Kizazi chetu, Sister (Rehema Simfukwe.) Ombi langu Mungu niinue na mm Siku Moja Ili nifanye Collaboration na Mtumishi wako huyu maana umeweka vitu vikubwa Ndani yangu Ila Bado ni Muda wangu wa kuviatamia.
I can't get enough of this song ...Kenyans in the house 🤚🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen
Amen
@@rehemasimfukwe I would like to meet you one day when you come to Kenya
Wow amazing one ,mungu haniachi
This song feels like a big hug from God. Ulisema huniachi loving the vibes
Huu ni ukiri wangu Kwa mwezi huu mpya wa June na kuendelea Mungu hataniacha
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 blessed from Kenya. Minister Rehema Simfukwe is a real blessing.
Ameeen
Wow I LOVE THIS💯
This song reminds me on how God has always been on my side 😢
Eiiiiiiiiyyyyy❤❤❤❤❤❤❤
Huniachiiii Yesuuuuu
Uko namiiiiiii
🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Nakukubali sana rehema
Umesema uko nami
Amen, outfit on point well done. Warembo wa Yesu angelic voices God bless you all🎉🎉🎉❤❤
Mungu ainuliwe zaidi, ubarikiwe sana 🙏
That day at JAKAYA CONVENTION ....DODOMA ....Cant forget .....nilikuwa nakusubr kwa ham aiseeee be blessed 😘😘
Ameen
baraka tele dada.Mungu akuinue zaidi
Whoever reading this, God never sends you into a situation alone,🙌🙌🙌🙌🙌🙌 God goes before you, He stands beside you, He walks behind you. Whatever situation you have right now be confident. God is with you. Ameen
Amen 🙏
Amen 🙏
Ameeen
Oooh my lord my lord 🙌🙌🙌Your song isn't just a tune; it's a journey of emotions, a melody that unites hearts. It's like a warm hug that reaches deep within, touching the very essence of connection.
Amen amen
Kama umebarikiwa na nyimbo weka like hapo
Ameen
Uuuuuu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Waooooh,,usiniache Bwana
Wooow So sweet,stress reliever❤❤😊 Minister Rehema to the fullest 😊🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🤍🤍🤍more Grace dear❤
Ni kweli mungu hajawai niacha,it's dad's anniversary and mungu amekua nami,,,I feel blessed by this song.
Amen hatamuacha kabisa
Mungu amekuinua sana dada ila nakuombea sana Mungu usijekengeuka maana umaarufu unawatoa wengi kwa Yesu sbb ya ulimbukeni wa mafanikio na wengi wamepotea sana kuharibika wamebaki na majina ya kuwa hai lkn wamekufa kiroho siku nyingi sana .ndio maana Kuna watu wanalia Mungu awainue lkn mungu hawainui sbb anajua wakiinuliwa tu mafanikio yanawatoa rohoni.Mungu akutunze sana pmj na mafanikio yako Bado ukae kwa Mungu na ajivunie ww
Amen
At all times no 1 fun u bless me alot with ur songs en usipotee ivo tena I really missed ur voice
Halisi God bless you🎉🎉🎉🎉
In these season when you are waiting upon the Lord no matter what happens.It is you and you no one else am Standing upon God's Promises upon my life.❤
🙌🏾🙌🏾
On repeat💃💃 another hit song🔥🔥 blessings dada 🙏
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hongra sana Dada kazi nzuri na Mavazi yako pia yanaleta utukufu wa Mungu ❤❤❤
Ameen
Bwana hauniachi
Ulisema huniachi🎉🎉🎉🎉🎉
kama umeipenda nipe lik😌
Sitaogopa ata kitu juu yesu iko namiye
Tanzanian Sinach🎉❤❤❤
Glory to God
Aniachi hata dada Rehema, Mungu Akubariki,sana 🎉🎉 tuko pamoja
🙌🙌🙌🙏🙏🙏❤️ barikiwa sister 🔥🔥
Apa hakika siachwi aisee🥰🔥🔥🙌
Hongera sana my Young Sister kazi nzuri sana barikiwa
Asante sana mpendwa umetubariki na wimbo wenye nguvu za Mungu.Hakika haniachi.Barikiwa zaidi
Awesome ❤
Uko nami😊
Giving thanks to God for being with me during the whole process of my life
😇😇😇😇😇😇😇😇😇😇😇😇
🙌🏾🙌🏾🙌🏾
🙌🏾🙌🏾🙌🏾
This is my testimony tooo .
Thaank youuuu daddyyy❤❤❤❤
I was there , ibada ilifanyika Dodoma
Asante sana DADA yetu kwa kufanyika baraka kwetu hakika MUNGU anatenda kwa watu wake 🎉
Ameen
Huni achi Bwana ❤
Sinach wa East Africa🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🔥🔥🔥🔥🔥
Wow loving this from Kenya
Powerful. More grace Rehema
Barikiwa sana
Wow, i like the message, the melody, the creativity, the dressings, Be blessed more
hallelujah 🙌 Good sound 👏
From KENYA 🇰🇪
Huniachi Bwana am your daughter Daddy🙏🙏🙏
From Tanzania 🇹🇿🇹🇿 watching 🔥🔥🔥🔥
Ameen
The lord is my Shepherd 🙏
Wimbo mzuri Sana, hongera Sana Rehema.
Ameen
Hii nzuri sana ,huniachi kabisa uko nami
🙏 Amen
Ameeeen.. great song indeed from rehema simfukwe..
Musicians na MD samyonah mmetisha sana humu...
Mi5 tena
Ameen
One of my favorites.you bless me alot with your songs my big sister may GOD continues to bless you.
😍🙌🔥🔥
Hapa tuna zaburi ya 23 safi sanaa
🙏 thanks for watching
Wow!! Wow!! Powerful song minister of God
Umesema Huniachiiiiiiiii❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ huu wimbo umegusa moyo
Powerful, congratulations
Amen baba Ubarikiwe sana
Natamani tufanye colabo kwa sababu wewe ni muimbaji ninaye mkubali sana
Bassist👌🔥
Tazama mimi nipo pamoja nanyi hata ukamilifu wa dahari.
Ameen
Amen
Wooow
Mungu ni mwema sana❤
Amina mtumishi wa mungu 💕 mungu akuinue katika uimbaji wako Dunia itambue mungu hatuachi kamwe🙏🙏
Hallelujah Hallelujah Glory be to God 🙏🏽
Ameen
Wimbo wa baraka sana ,
God bless you mama
Amen
Ubarikiwe sana mwanangu kazi yako ni njema nakupenda nakuombea
Amen 🙏
Another Deborah from congo
Hakika Mungu huniachi
Heavenly song✨❤️
Ur my Role model since I was a kid I love ur new song be blessed Glory to God..........he will never leave me
Ameen
The Aah part is my favourite ☺️
Great hook
We love you mamaaaa❤❤❤❤
🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Bwana ndie msada wetu
Mwenyezi Mungu aibariki kazi ya mikono yako
Halleluya
Nyimbo zako zinanibariki Sana dadaa
Amen 🙏 😊😊
My sister on 🔥🔥🔥🔥🔥
Good job Minister. To God be the praise
Amen sana
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu kwa kazi nzuri
Ameeen
AMEN
umebarikiwa sana Dada Rehema, Mungu azidi kuikuza huduma yako
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤thanks again
Barikiwa Sana Kwa wimbo nzuri sana
🙌🏾🙌🏾
Hallelujah 🙏 all praise and honor to you Lord God
Kweli Ako na mi weee Asante dada kwa kutuhudumia Dani ya Christo. Neema tele e ❤❤🎉
Halleluya
Nice song Mungu hawe nawe Kila wakati
Amen
Huniachi❤❤❤love it.... Favor be with you mamaa❤
Nafarijika tu apa. Yesu ni Ngome acha tu....
Ameen
Anointing oil flows with power and might. Blessed from 🇰🇪.
#HUNIACHI🎉🎉
Huniachi🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪