Jamani jamani serikali iwaongoze hao watu japo dini wajuwe kwamaana hayo majina tu mimihata moja sikuweza kulishika hata elufi mojatu viongozi waongozeni vizuri hawanduguzetu
Hata mimi na kwavile wanajua naana pia ya majina yao, sio mswahili mweusi tii utasikia anaitwa Krishna jina la kihindi au mtu anaitwa anorld kisa baba alikuwa anapenda kuangalia movie acha niishie hapa
Ana miaka tatu gonga like tuendelee kwenda na nchi yetu ngumu
This is great Africa is rich in culture bigup Ayo tv 🇰🇪🇰🇪 ❤
🤣🤣🤣🤣shikamoo nchi yangu Tanzania nakupendajee!
😂😂😂🇹🇿
Allah Akbar mwenyezi mungu ndie muumbaji wa mbingu na ardhi na wana Adam
Dunia ina maajab
Influence is power...
Msanii gani unaempenda au kumsikiliza.?
Madogo wa kihadzabe wanajibu Diamond.
Hatar mzee
Nishida mondi adi. Mpolini. Ankulikan. Kweli simba
Haya majina yanasababisha NIDA kugoma kutoa Vitambulisho vya Uraia.Umakini unahitajika kwakweli.
Ahahahahahahaha
😆😆😆😆😆😆😆
Hahahahahh
🤣🤣😂😂😂
Nimegundua uzaben hawamjui allykiba wanamjua diamond,we diamond umemfanya nini allykiba!! "Kamongo umemfanya nn pegelee hana maketi"😂😂😂
Aisee nimecheka sana hii nchi ni ngumu sana
Mandishi be like; jina lako nani?
Hadzabe; Oleh-ka-fuf-dwa-ah-su-du-ika.
Kwa kiswahili haiwezekani 😁😁😁😅😅
Mwandishi; de ka brrizz!!!
😁😆😆😆
Salut Sana 🔥🔥 dudu kwee
Love this from kenya
😂😂😂😂😂😂Tanzania nakupenda nchi yangu wewe
Wapo mkoa gani jamani kumbe Tanzania ni story nzuri aisee
Majina yao yana swaga kinomaa😍😍😍
😀😀😀
Dudu kwaya
Wana lafudhi nzuri ya Kiswahili kuzidi Masai na Wachaga.
Mtuache wachagga
Wachaga zero kabisa na wezi haoooo
@@ahz6907 zero kwenye nini na wezi wamekuibia nini ebu jaribuni kuwa na respect jamani
@@palokuthereza2555 pole sana, mengine yaache yapite.
Sio vizuri kuingiza ukabila humu ndugu unakosea
Millrd ayo daaaaaaaaaaaa hiii noma sanna
Chibuu km chibuuu 💪💪💪
Subhanaallah kuna lugha jamani duniani watu wamanyala ndio wanao zungumza hivyo nilifikiria kuwa watu wa Africa ya kusini
Huku siyo Manyara, ni Wilaya Karatu mkoa wa Arusha... Lake Eyasi
@@georgemassebu2083 Makongoro Nyerere ni Mkuu wa mkoa wa Arusha !!!😂😂😂?? .Hapo Manyara sikiliza uzuri utaelewa.
MANYARA is my home and it's blessings for everything tanzanite tarangire mbuga maziwa tribes yani full fululu mpka mbulu
@@manyaraboy nakubali
Hilo jina Ol'enka soe w'an'usuein'ka!🙌😂
Kwa hawa form six wa miaka hii,hawatoweza kuandikisha hayo Majina.
Majina yao yanatamkwa kwa klick language🤣🤣🤣🤣🙌hii jamii inahitaji kumulikwa zaidi Ina kitu Cha kujinfunza ni kivutio kwakweri
😂😂
Oya kausha
Hahaaaa umetishaaq
Daaaaaah noma sana hata mtoa talifa kashindwa kulitaja hilo jina 😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣
Nimependa huyo mwenye miaka tatu🤣🤣🤣
Miaka 3 alafu kwa kujiamini mjanga kweli huyo hajui miaka yake alafu kamuiga diamond
Mwanangu diamond unakubalika mpaka Kwa hadzabe huko porini hebu wanunulie TV ya Sola wawe wanaangalia wasafi
Point! Aende hata aiapige show bila vyombo mradi wamuone live tu
Makarani wa sensa kazi mnayo!!
Huyo alovaa kofia jina lake 🤣🤣
Ila analafudhi nzuri ya kiswahili kuliko Masai na Wachaga.
Hapo wahesabu sensa kazi wanayo!!
😂😂😁 niwenzet hawa kwelii. Nchi ya mama iyooo
Huyu "Ole ka kuku kiswaika" aoe sasa!.... Ok, kuna swali umeli skip sana mtangazaji! Hao nyani ni chakula au ufahari?
Mwanangu Charles TZA tumesoma wote chuo🔥
Hakika Kaka
Jamani unaezasema huko nidunianyingine mungu aliumba kwrli
Jmn tz yetu kubwa 🤣🤣🤣👌👌
Hahahahahahahahah Waliyopangiwa uko kazi wanayo😂😂😂🤣🤣🔥
Watajidownlod
They have links with south Africa tribes u use clicking sound dialect 4 communication
Makarani wajipange na kuandika ayo majina Dah😂😂😂😂
Ebu nitajie jinamoja2 ulio sikia
@@kelvinjustin8168 dododonkoteaj
Mmmmh haya majina tema mate chini so powa kama umeskia jina la mshikaji wa pili vizuuuri litaje.
hayo majina huwezi andika eti . lakini wamepata heshima yangu
Ilo jina la mtu wa pili nimecheka sana hata kwa mzizi siwezi kulirudia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nmesikia majina mengi ya kihadzabe Ila huyo wa pili duu....
Mi napenda sana wanavyoongea eti.🤣🤣🤣🤣
Mamb mtoto mzur
Duuuh hayo majina ni hatari 🔥🔥🔥🔥
Dahh Huku sijui kama nitapaweza nimeomba kuamishwa mtu anaitwa dudukwaaa mara kwakwakuokwaako 😂😂
Ako kakuku ni kakwako kaka wew😂😂😂
Ayo mwambie mondi akapige show huko awape burudani jamani wa tz wenzetu ikiisha sensa
Diamond Platinum
Jamn Tz 🇹🇿 yanguu pend sana inchi yangu
💚 TANZANIA
Tanzania nchi yangu, du!! Mungu alitupatia kila kitu, hawa ndugu na hii lugha sambamba na watu wa NIDA kazi wanayo
😂😂😂😂😂 yaani w mwaandishi unanifurahisha kweli kweli ndugu zangu ni jamii wasandawe
😂😂😂nimekubali aisee majina magumu mtangazaje kasema jina unalijua mwenyewe 🤣🤣
Aaah hyo Kwa kiswahili haiwezekani
Hawana dini hao au wanaadubu jua au.mbn hujawauliza wanachokiabudu , ungewambia mwenyezi mungu ni mmoja tu ,Allah s,w,t. Na mtume Muhammad s,a,w.
Allahu Akbar Allah tabaraq rahman
Jamani jamani serikali iwaongoze hao watu japo dini wajuwe kwamaana hayo majina tu mimihata moja sikuweza kulishika hata elufi mojatu viongozi waongozeni vizuri hawanduguzetu
😂 😂 😂 😂 😂 😂 Jmn mim mwenyewe nimeshindwa ayo majina watu wa sensa kazi wanayo
Mwenyewe nimechoka iyo lugha
Mungu isaidie Africa
Atarii sana kitoweo nyani!!!!
Wonderful names , dont make fun of them just bcoz una jina la kikoloni
Duh! Nimependa sana majina yao na yanafurahisha kinoma japo kuyatamka ni magumu
Jamn...nimewapenda🙈
Duuuh dume tatu za nyani ndo mahari😁😁 big up Tanzania tuko pamoja na wahadzabe
Dudu khweeee😂😂
Hy kwa kiswahili haiwezekani 🤣🤣😁
Dudukwe noma sana
Noma sana😂😂😂
Hilo jina sasa mamae😁😁😁
Duduke ndo mayele wa apo kati😁
Duh!¡! Atari sana dudu kweeee
Diamond platnumz 👑🙌🙌🙌🙌🦁🦁🦁
Make kwanza cheke dudukwe🤣🤣
Huyo dogo ako na miaka mitatu🤣🤣
😂😂😂kidogo nicheke
😂😂
@@nkelamei2870 😂😂
Duh.......
Dah ndoa
Mama Samia angalia Raia wako hukuu😭
Hata mimi na kwavile wanajua naana pia ya majina yao, sio mswahili mweusi tii utasikia anaitwa Krishna jina la kihindi au mtu anaitwa anorld kisa baba alikuwa anapenda kuangalia movie acha niishie hapa
😂😂😂😂😂😂😄😄😄😄😄😄hilo jina la huyo mwenye kofiaaaaaa😆😆😆😆😆
Mpaka ulimi unalia dodod
Subuhanallah..!!
Duuhh mecheklaaa sn
MY WANGU POPOTE ULIPO NALETA KWENU DUME 3 ZA NYANI NA DEBE MOJA LA ASALI KAMA MAHARI 😋😋😋
Huko ni bangi free zone wanaburuza msuba ile ngumuu 😂😂😂😂
Dah hii interview mbona fupi sn milard ayo
Kazi kwenu makarani kwa majina hayoo😂😂😂😂 lazima mtudanganye..
😂😂😂
Haki😂😂😂
Hiii ni TANZANIA
Kweli kabisa daimond anastahili kuitwa simba
sasa hayo majina karani kazi anayo hayaaandikiki hayo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaaaa yaani ni shida sijui ataandikaje do! Tanzania kubwa
Wapo nchi gan
Dudukweee that is my name.
😂😂😂😂 Nimeamua Kusubscribe Hivi hayo ni Majina ya watu au ni Bit
Dah raha sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😃😃😃😂😂😂😂
Namie Naitwa Didakus okwae nyakworon tic
Unalijua mwenewe, mmmh mtangazaji gani
Waulize kama wanamjua Raisi watanzania watakuambia Diamond
Wapatiwe nyama sawai ila sasa kazi ipo kwenye uandishi wa majina yao🤣🤣🤣
😂😂😂😂ni balaaa
Hiv hawa wa2 wapo tanzania hii😆😆😆🤣
Duuuu Dada ukovizuri Unaonekana bongeya fundi
Sasa hapo hilo jina unaliandikaje sasa 🤣🤣🤣 maana mmh kaz
Huko ndo pakwenda kuolea sasa yani dume tatu za nyani na asari unachukua jiko raha sana achana na huku mpaka uwe na milioni mbili na zaid ndo uowe
Nyani sasa kumpta inshu sio km zamani wanapita ovyo kijjn kwetu
nilitamani kuiyona ndefu hii
Simbaaaaaaaaaa 🦁
Huyo miaka tatu atuache kidogo😂😂
Jamani hayo majina duh! Yani kumbe Tanzania inamakabila mengi hiv
😀😀😀😀😀😀 majina ni Noma kweli 😀😀😀😀
Hayo majina hatari Sana ,,, lakini nimewapenda
Unaoji watoto
Dudukweeee 😄😄😄😄😄😄😄😄
Kwahyo wapo inch gan xx
Ukioa huku ujiandae kila wiki ng'ombe.
😂😂😂hii ni ngumu😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Watu w sensa kuandika haya majna mnalo
Majina hayo yanaandikika vipi asee, raisi watakuwa hawamjui wanamjua diamond tuu