Familia iliyoponea Mai Mahiu
Вставка
- Опубліковано 1 тра 2024
- Juhudi za uokoaji na kutafuta waathiriwa zaidi zinaendelea katika eneo la Mai Mahiu kaunti ya Nakuru siku nne baada ya mafuriko kusababisha vifo vya zaidi ya watu 50. Na huku baadhi wakiendelea kuwaomboleza jamaa na kukadiria hasara, kuna wale ambao wanaomshukuru maulana kwa kuwa hai. Serfine Achieng’ Ouma ametuandalia taarifa ifuatayo inayotupa taswira ya mseto wa hisia kati ya wale wanaoomboleza na wale wanaofurahia kunusurika kifo.
Poleni sanaa waathiriwa wote. Those in hospitals .we wish you quick recoveries. God is Able.
Mungu wetu niwewe ndie mweza yote tuonekanie na utuokoa wewe ni mungu mwenye huruma na upendo tunakuitaji baba
James Kirobe is a broken man, thoughts and prayers our brother 🙏
He needs counselling sana 😢
Haki poleni sana MUNGU Atukumbuke ,this is God judgement only repentance can save us.
Pole Sana brother 😢😢
Poleni xana
Poleni sana
Pole😢
Poleni😢😢
where is the Government to assist
Did they vote mca ama wako Nairobi
at times me hushangaa na mungu
Usishangae... Ask him for a new drainage system and you shall receive 😂😂😂
Repentance_and_holiness, Prepare The Way, The Messiah Is Coming
God have mercy on us
How about he gives us a new drainage system instead of mercy? Si Hio itasaidia?
Mungu yuko
Mwambie atupatie drainage system mpya
Kwa mini hi mvua ingeua hawa viongozi wetu