Idadi ya waliokufa maji yafika watu 219 nchini

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 тра 2024
  • Idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko imeongezeka hadi watu 219, baada ya vifo 9 zaidi kuripotiwa . Kulingana na ripoti kutoka kwa wizara ya usalama wa ndani zaidi ya familia 41,000 zimepoteza makazi kutokana na mafuriko, ambayo yameathiri zaidi ya watu 223,000 hadi sasa. Serfine Achieng’ Ouma anatupa taswira ya maaşa ya kitaifa ya mafuriko haya.

КОМЕНТАРІ • 39

  • @dhirajshah4933
    @dhirajshah4933 19 днів тому +8

    There should be a national day of National Prayers for a week 🙏

  • @hesbonwataka2809
    @hesbonwataka2809 19 днів тому +11

    Wakenya tumrudie Mungu hii si kawaida🤔🤭

  • @marywambui4136
    @marywambui4136 20 днів тому +9

    My prayer is that God forgive us and let it be a blessing to us have mercy upon our Nation Kenya.

  • @ROBINSHIKUMO-fj4ws
    @ROBINSHIKUMO-fj4ws 20 днів тому +12

    God protect our Country 🙏

  • @phillipem5432
    @phillipem5432 19 днів тому +6

    Please don't just say God have mercy. These is a slight window the Lord God Almighty has open to you to see what is coming during Great tribulation. God's wrath during the time of Noah, you know why He brought floods and destroyed the entire generation. Repent and prepare the way for the coming of the Messiah.Shallom.

  • @elibarikikivuyo5946
    @elibarikikivuyo5946 19 днів тому +2

    Poleni sana

  • @AnorldKiongo-ts1cs
    @AnorldKiongo-ts1cs 14 днів тому

    Poleni Sana Kia wale walioathiriwa

  • @faithi7216
    @faithi7216 19 днів тому +2

    God let your willing be done

  • @nickronoofficial.9563
    @nickronoofficial.9563 19 днів тому +1

    God have mercy on our nation kenya. Forgive us of all oir sins

  • @ruthirene9051
    @ruthirene9051 19 днів тому +2

    God have mercy 🙏🏻🙏🏻

  • @SizzyBraham
    @SizzyBraham 19 днів тому

    This is not normal pliz it's the end time more prayers needed..Repent and prepare the way for the coming of Messiah 🙏🙏

  • @rosemarry1274
    @rosemarry1274 19 днів тому +1

    So sad indeed, God hve mercy on us

  • @user-pv1vg5gg5k
    @user-pv1vg5gg5k 19 днів тому

    Pray for forgiveness achana na mambo ya serikali kwani ndio Mungu na ingekuwa ni moto Bado mngesema serikali saidia

  • @StarboyQuavo1738
    @StarboyQuavo1738 19 днів тому +1

    Ina lillah wa ina illah rajun

  • @thadeusotachi3786
    @thadeusotachi3786 20 днів тому +1

    Aki national govmen

  • @Lamp1400
    @Lamp1400 20 днів тому

    Isn't Loongewan in Samburu County? Just asking.

  • @BonfaceOgwe-wq9ny
    @BonfaceOgwe-wq9ny 19 днів тому

    Tuombe mungu hawa politicians ni ma ghasia kazi yao ni kutenga2

  • @user-zs1yi3db2e
    @user-zs1yi3db2e 20 днів тому +1

    Boleni sana mboma simeadhiliwa

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 20 днів тому +1

    Mungu asante kwa mvua❤❤❤❤❤

    • @rebeccasese9362
      @rebeccasese9362 19 днів тому

      🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️

  • @BonfaceOgwe-wq9ny
    @BonfaceOgwe-wq9ny 19 днів тому

    Na walirecord watu wangapi wa corona? Tuliitaka na ndio hii.

  • @janerosenalianya5227
    @janerosenalianya5227 19 днів тому

    ELNINO NDO HII SASA ITATUMALIZA

  • @susannyambura3759
    @susannyambura3759 19 днів тому

    Heri ibebe chakula kiliko watu weeeh

  • @MillicentOsebe-dm2oe
    @MillicentOsebe-dm2oe 19 днів тому

    God protect our country 🙏🙏

  • @Isaackariankei
    @Isaackariankei 20 днів тому +1

  • @jacklineachieng1131
    @jacklineachieng1131 19 днів тому +1

    Kwani jameni hii mvua ni real ama tumelaaniwa dhambi za wazee zetu

    • @rashidyyusuph4386
      @rashidyyusuph4386 19 днів тому

      Sisi wenyewe hatutendi dhambi? Sema madhambi yetu

  • @PurityKamau-gu8rx
    @PurityKamau-gu8rx 18 днів тому

    Such a sorroful moments n😢

  • @monicahjoseph1476
    @monicahjoseph1476 19 днів тому

    When disaster movies become real😔😔

  • @leyanMoses
    @leyanMoses 19 днів тому

    Pole sana 😂😂😂

  • @OkadapauLukas-me9kg
    @OkadapauLukas-me9kg 19 днів тому

    Let's fight as pray God to calm floods

  • @AgnesKerubo-ks8xz
    @AgnesKerubo-ks8xz 19 днів тому

    Hi

  • @ChristopherMwande
    @ChristopherMwande 18 днів тому

    uga zawanyama

  • @jimmykiguru3611
    @jimmykiguru3611 19 днів тому

    Mvua haitaki kujua malenge

  • @johnonkoba740
    @johnonkoba740 20 днів тому

    Sasa government itawasaidia aje

  • @alikazungu4038
    @alikazungu4038 19 днів тому

    𝐺𝑜𝑑 𝑝𝑟𝑜𝑡𝑒𝑐𝑡 𝑜𝑢𝑟 𝑐𝑜𝑛𝑡𝑟𝑦🙏

  • @ngurukitv4584
    @ngurukitv4584 20 днів тому

    Looking good follow back done and done ❤❤❤❤