Wakazi waagizwa kuondoka eneo la Kijabe
Вставка
- Опубліковано 6 тра 2024
- Wizara ya usalama sasa imeonya kuwa huenda maporomoko yanayosababishwa na mafuriko yakashuhudiwa katika eneo la Mai Mahiu kwani mvua inaendelea kunyesha katika eneo hilo lililoshuhudia mkasa wiki iliyopita. Waziri Kithure Kindiki sasa ametoa amri familia zote zilizoko katika eneo la hatari zihame kwa hiari jioni hii lau sivyo maafisa wa usalama watatumia nguvu kuwaondoa.
Tafadhali tujumuike kusali kwa Mungu ili asitishe mvua kwa muda huu na usalama wa wakazi wanaoathiriwa na gharika waendelee na maisha yao ya kawaida. Tuombee Mungu 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Watu wahame tu kwa roho safi,Coz hatutaki Mafa ingine zaidi.
Sioni haja ya serikari kukataa kupanda miti karibu na mto na inasaidia. Karibu gusii region were floods are being controlled by 🌳
I support you 100% ,Wangare Mathai alitwambia musiharibuu Nature coz after sometime. Nature will destroy us all. Tupande Miti ndie dawa peke yake kwa Kenya yetu
Yes
Watutafutie journalist wa Sheng. Sisi watu wa Mutura delicacy hauelewiii hio kiswahili ya TZ
" Hii mtu ni mkenya sio mtz! Wa tz wanakiswahili ya juu sana. Iam told, tanzanians gather together to laugh/ mock our kiswahili hasa kutoka bunge la kenya, this is how our neighbours see us!
@kuschprince3216 and we Kenyans mock and make a laugh Stock out of their broken english.
Huyu reporter kwani ako attachment ama😂ju wueh
"If so, terminate his contract, he can be useful as a clown at childrens birthday parties, hurry up get your cilinder hat, red nose and a slapstick, you must change or loose viewers!
Kiswahili waziri ni ngumu lakini uko na point.
Lakini anajaribu sana
Thank God letoo is back after a long holiday 😊
Heeheeee! Hana over time akaenda holiday tena?!
Hidden mipango hapa watu wanatolewa waede wapi,ikiwa wanatolewa kwa amani basi serikali iwapee mashamba
Oh Lord ,give strength. to CS of IANG.
Hii hali ya mafuriko ikitoka kutakuja waterborne diseases ..plz government foresee this issue and counter it.
😂😂😂 you expect too much from this government....you're funny oooo
Wanahama waede wapi si serikali iwakombolee nyumba Kwa muda woiyi
uhaii na kuhama nini muhimu kubafu machozi ya upizani ODM.
Can someone help this reporter please. His manner of speech is irritating
" He thinks/ regards himself to be cool the way he reads/airs the news, replace this man!
"Msomaji wa taarifa anasoma hali ya kichizi! Angesoma tuu kawaida, where do you get such jiurnalists? Bure kabisa!
Ukona umamaa wewe,,,yeye Yuko kazinii na wewe Ata uliachaa shule class 2
We uko na zako au ujitagazie news zako
@@user-qy5vs6zu6x "The lady presenter is smart, lakini huyu jamaa ni kama ambaye yuko mnada wa kuuza kuku!! Jifundisheni kiswahili, hii ni aibu!!
We unajua unaongelelea nani?
@@kuschprince3216 You are right! The report is speaking like he is holding mnyambo and is about to release it. Citizen actually employs relatives of the known owners and family so don't expect much professionalism