Well said Mkuu, ambao hawajapata changamoto hawawezi kukuelewa na kama wanakuelewa na wanapinga basi hao pia ni mawakala wa kizimu. Na utakuta mwingine akipata changamoto anaona heri aende kwa mganga wa kienyeji na sio kukimbilia madhabahu. Kama hujapitia changamoto mwambie Mungu Asante.
Huyu jamaa kapagawa baada ya kumsema vibaya JPM eti kipindichake watu walisaga meno naona laana ishaanza kumkolea hivi jamani ushawahi kuona mtu anamcheka kichaa? au anajiongeleshatu
Mimi namkubali magufuli sana ila maisha yalikuwa magumu ni kweli au mmesahau neno vyuma vimekaza ila huyu nae nimkosa anawajibu kijeuri na kizarau raia nihilo kosa,na kuenda kanisani pia kosa maana hamna pahali YESU ametenda kazi ndani ya mikanisa
Ukweli Aupingwi Mtu Mwingine Nyumbani Kwao2 Wenye Kumpenda Awafiki Wan4 Kati Ya Watu20 Tena Mnasoma Biblia Au Quruwan Lakini Angalia Wingi Uo Mwenye Nacho Ataongezewa Kweli Mwamposa Akisema Naombeni Milioni Moja Wengi Watatoa Kumuongezea
Mkuu Wa Mkoa Anasema Kweli Jana Madangulo Yote Yamebaki Wazi Kwenda Kwa Mwamposa Kwaivo Mkuu Wa Wilaya Fulani Akutakuwa Kukamata Madada Poa Alitakiwa Aseme Na Viongozi Wa Dini Kazi Yake Yeye Kusaidia Mikopo2
Uongo mtupu mungu kaja kwa mwamposa wakati mambo anayo yanfanya sio ambavyo na bee yesu kafanya leo kuna mana bee wa tofauti mara huyu kaja kwa ufunguo kapewa mara kakutana na mungu mara jua mara wanachapwa mara mtu anatoka juu kwa kama mara wanaogeshwa wanawake makanisani jamani msiewe wajinga wenzenu wanapata pesa ili wajitajirishe madili ya wazungu hayo yote
Nyie nanyi hili li Chanel lenu mmezidi matangazo Mwanzo wa habari tangazo mwisho wa habari tangazo mnadhani watu hawakereki, bora hayo matangazo ya google yenyewe yanajulikana
Well said Mkuu, ambao hawajapata changamoto hawawezi kukuelewa na kama wanakuelewa na wanapinga basi hao pia ni mawakala wa kizimu. Na utakuta mwingine akipata changamoto anaona heri aende kwa mganga wa kienyeji na sio kukimbilia madhabahu. Kama hujapitia changamoto mwambie Mungu Asante.
❤❤umeongea leo Mungu atusaidie sana na Amtunze Mtume mwamposa
Mkuu wamkoa MUNGU akubariki sana,unakarama ya utumishi ndani yako
Huyu ndo kasetiwa na serikali uchaguzi unakuja 😂😂😂
Mkuu wa mkoa barkiwa sana maneno haya niya baraka kabisa na mtumishi wetu Baba Mwamposa Mungu amzidishie maisha malefu
Hongera mkuu wa. Mkoakwahotuba. Yako🎉😅
Ni kweli muheshimiwa umeongea point
😂😂😂 unafiki na usaliti ndio kitu kilichopo kwenye damu yake 😅
Huyu jamaa kapagawa baada ya kumsema vibaya JPM eti kipindichake watu walisaga meno naona laana ishaanza kumkolea hivi jamani ushawahi kuona mtu anamcheka kichaa? au anajiongeleshatu
Wewe ni kati ya wanao wacheka vichaa
Mimi namkubali magufuli sana ila maisha yalikuwa magumu ni kweli au mmesahau neno vyuma vimekaza ila huyu nae nimkosa anawajibu kijeuri na kizarau raia nihilo kosa,na kuenda kanisani pia kosa maana hamna pahali YESU ametenda kazi ndani ya mikanisa
sasa chalamila aisee we ni muhubiri
😢😢😢kumbe wanao enda kumtafuta MUNGU mpaka upate majanga hii mpya aisee
Ukweli Aupingwi Mtu Mwingine Nyumbani Kwao2 Wenye Kumpenda Awafiki Wan4 Kati Ya Watu20 Tena Mnasoma Biblia Au Quruwan Lakini Angalia Wingi Uo Mwenye Nacho Ataongezewa Kweli Mwamposa Akisema Naombeni Milioni Moja Wengi Watatoa Kumuongezea
Kweli kazi anaifanya mpaka anaweza kuwauzia watu mchanga na watu wakanunua,kazi anaiweza.
acha uongo katika vitu usivyojua, kama vip pita tuu sio lazima ukoment, coz hapana wahi tokea ameuza mchanga ila anaombea
Barikiwa saaana
Mzee we dini ganii
Mungu azidi kukuinua
Mmmh sioni usitawi wa watu wetu kwa mkesha kama hii🤣🤣😂
Mkuu Wa Mkoa Anasema Kweli Jana Madangulo Yote Yamebaki Wazi Kwenda Kwa Mwamposa Kwaivo Mkuu Wa Wilaya Fulani Akutakuwa Kukamata Madada Poa Alitakiwa Aseme Na Viongozi Wa Dini Kazi Yake Yeye Kusaidia Mikopo2
Watu wanamatatizo ndiyo maana unawaona wanakimbilia panapo na uhitaji
Mfatilie huyo mwamposa kaja mjini kutafuta pesa za watu tu ataziacha kwa anayo yaganya mmungu anamwangalia tu ipo siku akaponeshe hospitali basi
Yesu aliwaponya wenye haja ya kuponywa si Kila mtu anataka kuombewa kwa Jina la Yesu.
Pole sana
Kwa kweli poleni sana
Dunia hii ina mambo ya ajabu
Wewe majanga ni moja ya maisha acha uongo😂🤣🤣😂
Wewe ni mpuuzi saana
Uongo mtupu mungu kaja kwa mwamposa wakati mambo anayo yanfanya sio ambavyo na bee yesu kafanya leo kuna mana bee wa tofauti mara huyu kaja kwa ufunguo kapewa mara kakutana na mungu mara jua mara wanachapwa mara mtu anatoka juu kwa kama mara wanaogeshwa wanawake makanisani jamani msiewe wajinga wenzenu wanapata pesa ili wajitajirishe madili ya wazungu hayo yote
na wewe nenda kafanye ili utupije pesa
Nyie nanyi hili li Chanel lenu mmezidi matangazo Mwanzo wa habari tangazo mwisho wa habari tangazo mnadhani watu hawakereki, bora hayo matangazo ya google yenyewe yanajulikana
Amekuja kuomba kura huyo 2025 tuonane
Msanii
Chalamila tangia nimekufahamu leo ndio umeongea
Chalamila uwa anaongea
Eti mtume😂😂😂
Ajenge kanisa sasa
NAPENDA UISLAM
Uislam raha sana.......
Nyoko
@@Mydearyasin Allah atuhifazi sote...... Atupe mwisho mwemaa
❤
Mwamposa ni tapeli
Mama yako je?
Uwe mku zaidi ya hapo😊
Unastahili kuwa mku wa mkoa
niukweri mutupu muheshimiwa