RC CHALAMILA AUWASHA MOTO KWA MWAMPOSA HADHARANI | MNAMUONA MWAMPOSA ANACHEKESHA HUNA TATIZO WEWE.

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 48

  • @honestangalapa4178
    @honestangalapa4178 5 днів тому +2

    Well said Mkuu, ambao hawajapata changamoto hawawezi kukuelewa na kama wanakuelewa na wanapinga basi hao pia ni mawakala wa kizimu. Na utakuta mwingine akipata changamoto anaona heri aende kwa mganga wa kienyeji na sio kukimbilia madhabahu. Kama hujapitia changamoto mwambie Mungu Asante.

  • @KessyRiziki
    @KessyRiziki 19 годин тому

    ❤❤umeongea leo Mungu atusaidie sana na Amtunze Mtume mwamposa

  • @user-sn9yp3sc2f
    @user-sn9yp3sc2f 5 днів тому +3

    Mkuu wamkoa MUNGU akubariki sana,unakarama ya utumishi ndani yako

  • @BraveMajaliwa-gf7ru
    @BraveMajaliwa-gf7ru 2 години тому

    Huyu ndo kasetiwa na serikali uchaguzi unakuja 😂😂😂

  • @allyanthony3489
    @allyanthony3489 4 дні тому +1

    Mkuu wa mkoa barkiwa sana maneno haya niya baraka kabisa na mtumishi wetu Baba Mwamposa Mungu amzidishie maisha malefu

  • @H3s4d
    @H3s4d 4 дні тому

    Hongera mkuu wa. Mkoakwahotuba. Yako🎉😅

  • @AnethJohn-t4q
    @AnethJohn-t4q 5 днів тому +1

    Ni kweli muheshimiwa umeongea point

  • @luciasteven3314
    @luciasteven3314 4 дні тому

    😂😂😂 unafiki na usaliti ndio kitu kilichopo kwenye damu yake 😅

  • @designdesign4426
    @designdesign4426 5 днів тому +2

    Huyu jamaa kapagawa baada ya kumsema vibaya JPM eti kipindichake watu walisaga meno naona laana ishaanza kumkolea hivi jamani ushawahi kuona mtu anamcheka kichaa? au anajiongeleshatu

    • @wilfredlukowo9476
      @wilfredlukowo9476 5 днів тому

      Wewe ni kati ya wanao wacheka vichaa

    • @mohamedkimbwembwe-oi1rm
      @mohamedkimbwembwe-oi1rm 4 дні тому

      Mimi namkubali magufuli sana ila maisha yalikuwa magumu ni kweli au mmesahau neno vyuma vimekaza ila huyu nae nimkosa anawajibu kijeuri na kizarau raia nihilo kosa,na kuenda kanisani pia kosa maana hamna pahali YESU ametenda kazi ndani ya mikanisa

  • @user-fy3cy5fe6q
    @user-fy3cy5fe6q 4 дні тому +1

    sasa chalamila aisee we ni muhubiri

  • @beatricesamwel8161
    @beatricesamwel8161 4 дні тому

    😢😢😢kumbe wanao enda kumtafuta MUNGU mpaka upate majanga hii mpya aisee

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 4 дні тому

    Ukweli Aupingwi Mtu Mwingine Nyumbani Kwao2 Wenye Kumpenda Awafiki Wan4 Kati Ya Watu20 Tena Mnasoma Biblia Au Quruwan Lakini Angalia Wingi Uo Mwenye Nacho Ataongezewa Kweli Mwamposa Akisema Naombeni Milioni Moja Wengi Watatoa Kumuongezea

  • @aminattai2676
    @aminattai2676 4 дні тому

    Kweli kazi anaifanya mpaka anaweza kuwauzia watu mchanga na watu wakanunua,kazi anaiweza.

    • @daudimlamka1239
      @daudimlamka1239 4 дні тому +1

      acha uongo katika vitu usivyojua, kama vip pita tuu sio lazima ukoment, coz hapana wahi tokea ameuza mchanga ila anaombea

  • @chimpayejohn6157
    @chimpayejohn6157 5 днів тому

    Barikiwa saaana

  • @gervasmichael6124
    @gervasmichael6124 5 днів тому

    Mungu azidi kukuinua

  • @benjaminmiselya2622
    @benjaminmiselya2622 4 дні тому

    Mmmh sioni usitawi wa watu wetu kwa mkesha kama hii🤣🤣😂

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 4 дні тому

    Mkuu Wa Mkoa Anasema Kweli Jana Madangulo Yote Yamebaki Wazi Kwenda Kwa Mwamposa Kwaivo Mkuu Wa Wilaya Fulani Akutakuwa Kukamata Madada Poa Alitakiwa Aseme Na Viongozi Wa Dini Kazi Yake Yeye Kusaidia Mikopo2

  • @DenisRukangula
    @DenisRukangula 4 дні тому

    Watu wanamatatizo ndiyo maana unawaona wanakimbilia panapo na uhitaji

  • @woah.africa99
    @woah.africa99 5 днів тому +1

    Mfatilie huyo mwamposa kaja mjini kutafuta pesa za watu tu ataziacha kwa anayo yaganya mmungu anamwangalia tu ipo siku akaponeshe hospitali basi

    • @janehenry1730
      @janehenry1730 4 дні тому

      Yesu aliwaponya wenye haja ya kuponywa si Kila mtu anataka kuombewa kwa Jina la Yesu.

    • @Nick16697
      @Nick16697 4 дні тому

      Pole sana

    • @user-ym6hd7xh3g
      @user-ym6hd7xh3g 4 дні тому

      Kwa kweli poleni sana
      Dunia hii ina mambo ya ajabu

  • @benjaminmiselya2622
    @benjaminmiselya2622 4 дні тому

    Wewe majanga ni moja ya maisha acha uongo😂🤣🤣😂

  • @woah.africa99
    @woah.africa99 5 днів тому +3

    Uongo mtupu mungu kaja kwa mwamposa wakati mambo anayo yanfanya sio ambavyo na bee yesu kafanya leo kuna mana bee wa tofauti mara huyu kaja kwa ufunguo kapewa mara kakutana na mungu mara jua mara wanachapwa mara mtu anatoka juu kwa kama mara wanaogeshwa wanawake makanisani jamani msiewe wajinga wenzenu wanapata pesa ili wajitajirishe madili ya wazungu hayo yote

  • @StartSmall
    @StartSmall 4 дні тому

    Nyie nanyi hili li Chanel lenu mmezidi matangazo Mwanzo wa habari tangazo mwisho wa habari tangazo mnadhani watu hawakereki, bora hayo matangazo ya google yenyewe yanajulikana

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 5 днів тому

    Amekuja kuomba kura huyo 2025 tuonane

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 5 днів тому

    Msanii

  • @user-fy3cy5fe6q
    @user-fy3cy5fe6q 4 дні тому

    Chalamila tangia nimekufahamu leo ndio umeongea

  • @abuuqamar58
    @abuuqamar58 4 дні тому

    Eti mtume😂😂😂

  • @rewardyesse7314
    @rewardyesse7314 5 днів тому

    Ajenge kanisa sasa

  • @Mydearyasin
    @Mydearyasin 4 дні тому

    NAPENDA UISLAM

    • @IsmailMjesh
      @IsmailMjesh 4 дні тому

      Uislam raha sana.......

    • @fredducaunt
      @fredducaunt 3 дні тому

      Nyoko

    • @IsmailMjesh
      @IsmailMjesh 2 дні тому

      @@Mydearyasin Allah atuhifazi sote...... Atupe mwisho mwemaa

  • @godfreyfrancis1013
    @godfreyfrancis1013 5 днів тому

  • @JamesLudovic
    @JamesLudovic 5 днів тому +2

    Mwamposa ni tapeli

  • @aloycelaizer2553
    @aloycelaizer2553 5 днів тому

    Uwe mku zaidi ya hapo😊

  • @aloycelaizer2553
    @aloycelaizer2553 5 днів тому

    Unastahili kuwa mku wa mkoa

  • @ELIYUDIIssaka
    @ELIYUDIIssaka 5 днів тому

    niukweri mutupu muheshimiwa