watching you from lusaka zambia sheikh othman malim, may Allah swt bless you and indeed bless us all, the world needs people like you, well said,we have benefited a lot
❤❤wallah huy shekhe akiongea na mawaidha yake mm yananisisimua roho yangu nampenda sana nilitafuta sana namba yake ila namuomba Allah sku nimuone live Allah akuhifadhi akupe hekma sana na nuru alokupa
Nammi nilitaka kuuliza swali Kama hilo,yaani sjawahi kusiliza mawaidha ya shekhe Othuman maalim ya kufoka jamani,anaongea hivi hivi yaani huachi kkuskiliza mawaidha yake
ALLAH ambarik Alie asisi HUO mpango na sisi WAFUASI. Kuna watu HAPO wataropoka KUA hiio ni BIDAA. WAKATI tupo mamilioni ya WAISLAM wala HATUJUWI kama kuna MWAKA wakiislam. Sisi tunaujua sana MWAKA WA KANISANI HUU WA 2023.
tunamshukuru Allah kwa kukuweka wewe sheikh othman maalim hauko kiuchawa uko ki kusudio la Mungu maneno uliyoyatamka hapo kwanzia uongoz wakiafrica had kudharau mazur ya mtu wakiafrica yanayo wasaidia wafrica wote inchini kwao hukuogopa kusema ukweli nadhani samia kayasikia na kinakikwete wameyasikia wao ndio wanatabiya hiyo wanadharau mazur ya magu ya kuendeleza africa wameleta ya wazungu yakuangamiza wafrica we samia nagenge lako lakibakikwete na kinamakamba mmesikia maneno hayo kiongoz au kiumbe ukiwa katka maisha yako ya dunian ukashindwa watendea mazuri wenzio basi we sio kiongoz muhimu dunian walasio kiumbe muhimu dunian nadhan Mungu kakufikishia ujumbe kupitia sheikh huyu uongoz wako unauwa sana watanania nakulia kilasiku na njaa isio isha 😢
MashaAllah ,ahsante kwa kujitoa na kututoa kwenye hasara kwani binaadamu wote wako kwenye hasara isipokuwa wale waloamini na wakatende mema na wakausia haki na subira.Mola wetu tujaalie tuwe miongoni mwa watenda mema na utuepushie chuki ndanI ya nafsi zetu
Maneno mazimaaa hayaaaaaaaaa asofaham hafaham tenaa, neno la doby na neno asemalo alojuu mara nyingi humuangusha alochini.. Inshaallah maneno haya yawe funzo kwetuuu sote yaaaaarab
Mashallah shukran shekh othman maalim twakupenda kwa ajili ya ALLAH ALLAH akujalie umrii na afya njema sichoki kusikiliza mawaidha yako Mashallah
Masha Allah TabarakaAllah sheikh Maalim Allah akujaaliye kheir uzidi kutufunza nakutujuza dini yetu aamen yaRabb
Ma Sha Allah Tabaarakallah Allah akujaze kheri Duniani na Akhera Sheikh wetu na oote walohudhuria hapo🤲🤝🤝
MashaAllah Allah barik 🙏 well saying keep it up we need people like u❤ ☪️
MashaAllah MashaAllah naomba wakenya pia wapate rais muslim mwenye imani ya dini tuwe wenye kufata rules za kislam❤
Baaraka llahu fik, kwakweli sheikh Othman amebalikiwa hekma,busara na kipaji cha kuongea+kuskilizwa,hachoshi mazungumzo yake
Uyo ana kipaji sio bahati Mashaa Allah
watching you from lusaka zambia sheikh othman malim, may Allah swt bless you and indeed bless us all, the world needs people like you, well said,we have benefited a lot
Aslamu alaykum warhmatullah wabarakat maashaallah barakallah FIIKIY SHEKHE WETU Othman maalim baba mwenye hekma hakika umeruzukiwa inshaallah ALLAH akulipe malipo mema duniani na akhera inshaallah 🤲❤
Allah akuhifadhi shekhe mi nakukubali sana
زادكم الله عزةً وشرفا وكرامة شيخنا الفاضل
Shukurani sheikh Othman mungu akujaliye umri na pepo
Mashallah sheikh mwenyezimungu akubarikie na akuzidishie ilmu
Allah akbar! Shekh wangu mungu akujalie mwisho mwema
Masha Allah shk.othman Allah akupe umri mrefu
Maashallah this sheikh is my best his eloquence is off the hook
Mashallah allah atujaalie tuwe ni miongoni mwa waja wema ba akulinde na akuhifadhi kwa kuwa mkwel❤
MA SHA ALLAH SHEIKH UTHMAN MAALIM
JAZAKA ALLAH KHAIR.
Pokea salam kutoka Marekani USA 🇺🇸 akhi Huyu ni ndugu yako Hussein Ibrahim .
Mwenyezi.mungn.akupe.maisha.marefu.shekh.wetu
Sheikh Othman Maalim M/Mungu atakulipa pepo kwa ufasaha wako wa kuwaelekeza watu mambo ya kheri
Assalamu Aleykum warahmatullah wabarakatu
Alhamdhulillah
ALLAAHUMMA SALII WA SALIIM ALA SAYYIDINA MUHAMMAD WALA ALIHI WA ASS HABIHI WA JIMAIN ❤️❤️
Mashallah tabaraka llah 🥰 ALLAH awajaalie kheri walio hidhuriya na watakawo fwatiliya Kila mwenye uzito ALLAH amuwekeye wepesi 🤲
Mashaallah mashaallah pongezi kwa mama samia inchi itakuwa na baraka na amani kwajili kuipa kipao mbele dini.🫡
Wa kwanza leo naomba like zang🙏🙏
Maashallah very precise and to the point. Are rhey equal those who know and those who don't know.
they are not equal
❤❤wallah huy shekhe akiongea na mawaidha yake mm yananisisimua roho yangu nampenda sana nilitafuta sana namba yake ila namuomba Allah sku nimuone live Allah akuhifadhi akupe hekma sana na nuru alokupa
Mashaallah.
Natamani kuwa mkazi wa Zanzibar.
Nawapenda sana nyoote kwa ajiri ya Allah
Akipenda ambaye umetupenda sisi kwa ajili yake.
Nasisi pia tunakupenda kwa ajili ya ALLAH
Na sisi tunakupenda pia karibu Kwa ajili ya Allah
Mashallah!
Allah amuhifadhi sheikh Othman M
Jazaakallah Khair kwa kutukumbusha tarehe ya kiislam ilipo anzia
Jazaka Allah khair shekh
Shekhe Umeongea vizuri Mpaka unapendeza .unaeleweka .Basi ukiwa Kwenye mawaiza Yako usifoke Sana Uwe unaongea Ivyo Wanaoniunga mkono Nipeni like zangu.
Kwani anafoka ktk mawaidha yake?
Nammi nilitaka kuuliza swali Kama hilo,yaani sjawahi kusiliza mawaidha ya shekhe Othuman maalim ya kufoka jamani,anaongea hivi hivi yaani huachi kkuskiliza mawaidha yake
Hafoki sh.othmna sjui kamaanisha nn
MASHAALLAH TABARAKA RAHMAN ASANTE SANA SHEKH
Mashaallah sh othman maalim nafrahi sana kuskia mawaidha yako naelimika sana na nashawishika sana kujifunza Allah akulipe darja kubwa sana 🙏
اللهم انفعنا ببركتهم ونفحاتهم وأسرارهم اللهم آمين يارب العالمين.
Sheikh Othman maalim Allah akuzidishie kheri ya duniani na ahera
Ma sha Allah, Sheikh Othman Unajua Sana
Maa Shaa Allaah Rabby amjaalie umri mrefu wenye barka Sheikh Othman Maalim
Aamiin. Aamiin
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! ALLAHU BAARIK
Almdulilah shekhe mora hakuzidishe kheri na barack
MASH ALLAH Allah akueke Sheikh OTHMAN
Maneno mazuri Masha Allah lakini mazingira ndio hayakuandaliwa vizuri baina ya wanawake na wanaume
Allah akupe kila la kheri akusameh madhimbi yako na akurehem Amiin
Mashaallha mungu akupe kilalenye kheri na ww ❤❤
Shukran lillah shukran kathyra jazakallahulkhayr 🤝
Othuman maalim nakupenda sana
MashaAllah sheikh othman nakupenda kwaajili ya Allah
ALLAH ambarik Alie asisi HUO mpango na sisi WAFUASI. Kuna watu HAPO wataropoka KUA hiio ni BIDAA. WAKATI tupo mamilioni ya WAISLAM wala HATUJUWI kama kuna MWAKA wakiislam. Sisi tunaujua sana MWAKA WA KANISANI HUU WA 2023.
Barrakkah Allaah huu fiek kwa mawaidha yakooo….
tunamshukuru Allah kwa kukuweka wewe sheikh othman maalim hauko kiuchawa uko ki kusudio la Mungu maneno uliyoyatamka hapo kwanzia uongoz wakiafrica had kudharau mazur ya mtu wakiafrica yanayo wasaidia wafrica wote inchini kwao hukuogopa kusema ukweli nadhani samia kayasikia na kinakikwete wameyasikia wao ndio wanatabiya hiyo wanadharau mazur ya magu ya kuendeleza africa wameleta ya wazungu yakuangamiza wafrica we samia nagenge lako lakibakikwete na kinamakamba mmesikia maneno hayo kiongoz au kiumbe ukiwa katka maisha yako ya dunian ukashindwa watendea mazuri wenzio basi we sio kiongoz muhimu dunian walasio kiumbe muhimu dunian nadhan Mungu kakufikishia ujumbe kupitia sheikh huyu uongoz wako unauwa sana watanania nakulia kilasiku na njaa isio isha 😢
MashaAllah ,ahsante kwa kujitoa na kututoa kwenye hasara kwani binaadamu wote wako kwenye hasara isipokuwa wale waloamini na wakatende mema na wakausia haki na subira.Mola wetu tujaalie tuwe miongoni mwa watenda mema na utuepushie chuki ndanI ya nafsi zetu
Jazzak Allahu Khairan
Shukran ya sheikh wetu 👏👏
Mashaallah
mashaallah othman uko vizuriii
Shukrn Mimi naomba kufanya kazi kwenye tv yenu kama inawezekana
Allha akupe mwisho mwema shekh inshallah
Masha Allah
My Sheikh Allah barik
Maa'shaa Allah barakallah fiykum
MashaAllah huyu sheikh amepewa kipawa na hekima.
Shukran sheikh mungu akueke miaka mingi
Baraka lahhu fiih..
Shekh mkumbushe uyo Anae jiona mungu mtu mwambie uwongoz ni Amana ya allaha
Kama huna cha kuchangia acha kufuru,,Unamdhaniaje mwenzio kitu ambacho hajakiwaza..
@@idrissamohamed1100anajiona Mungu mtu kivipi hapo sijaelewa.
Mashaallah jazakumllah kheri
Mashaallah uislam raha tu❤️❤️❤️❤️
رضي الله عن شيخنا الفاضل عثمان معلم
Mashallah sheikh othuman
mashaallah akhenate shkh
Maashaalah
Allah atuzidishie mahaba ya kupenda calendar yetu
Maashalaa
Mashaaallh 🥰
Mashallah
Takbiriiiiiiiih hakika
Mumependeza sana tunamuomba Allah atulinde nafitina na Hasadi
Mashallah one day I will meet with u inshallah
Maashallah sheikh wetu
Mashallah kwa hilmu shukran
Mashaalah ❤
MaShaAllah
Masha allah 💯 alhamdullahi
🥰🥰🥰mashaallah shekhe wetu
I love you so much shekhe langu ❤❤❤❤❤
Maasha,Allah Maalim
Mashallah tabaraka llah
Shukraan Allah akuvbariki
Mashaalah
MASHAA ALLA
a,alykum nimependa san allah atakulipa ostadh.. umeongea ya haki na mlengwa alielengwa awe makin juu ya kuyafnyia kz,
Mashaa Allah Mashaa Allah sheikh wetu
Mashaalah huyu kweli ni mwanazuoni
mashaallah nakupenda xana
Mashallah❤❤❤
MASHAA ALLAH
Allah akuongoze zaid
Maneno mazimaaa hayaaaaaaaaa asofaham hafaham tenaa, neno la doby na neno asemalo alojuu mara nyingi humuangusha alochini.. Inshaallah maneno haya yawe funzo kwetuuu sote yaaaaarab
Barakallah fiika
MASHALLAH.
nmekupend kw mafundch mem kwak❤❤❤😢😢😢😢😢
This is true.we should think twice .
Masha Allah😢😢😢😢😢