ALICHOKIONGEA SHEIKH OTHMAN MBELE YA RAIS SAMIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024
  • Kongamano la WANAWAKE likiongozwa na RAIS SAMIA.

КОМЕНТАРІ • 177

  • @safinajuma7310
    @safinajuma7310 Рік тому +13

    Mashallah shukran shekh othman maalim twakupenda kwa ajili ya ALLAH ALLAH akujalie umrii na afya njema sichoki kusikiliza mawaidha yako Mashallah

  • @katore1982
    @katore1982 Рік тому +12

    Masha Allah TabarakaAllah sheikh Maalim Allah akujaaliye kheir uzidi kutufunza nakutujuza dini yetu aamen yaRabb

  • @aminanahimana8759
    @aminanahimana8759 Рік тому +5

    Ma Sha Allah Tabaarakallah Allah akujaze kheri Duniani na Akhera Sheikh wetu na oote walohudhuria hapo🤲🤝🤝

  • @user-gx3qv7gr6f
    @user-gx3qv7gr6f Рік тому +11

    MashaAllah Allah barik 🙏 well saying keep it up we need people like u❤ ☪️

  • @eshaalidziza5660
    @eshaalidziza5660 Рік тому +6

    MashaAllah MashaAllah naomba wakenya pia wapate rais muslim mwenye imani ya dini tuwe wenye kufata rules za kislam❤

  • @mwaramimwarami1479
    @mwaramimwarami1479 Рік тому +12

    Baaraka llahu fik, kwakweli sheikh Othman amebalikiwa hekma,busara na kipaji cha kuongea+kuskilizwa,hachoshi mazungumzo yake

  • @rhiophiri6857
    @rhiophiri6857 Рік тому +2

    watching you from lusaka zambia sheikh othman malim, may Allah swt bless you and indeed bless us all, the world needs people like you, well said,we have benefited a lot

  • @Aminamuhamed
    @Aminamuhamed Рік тому +4

    Aslamu alaykum warhmatullah wabarakat maashaallah barakallah FIIKIY SHEKHE WETU Othman maalim baba mwenye hekma hakika umeruzukiwa inshaallah ALLAH akulipe malipo mema duniani na akhera inshaallah 🤲❤

  • @shamte9musicofficial126
    @shamte9musicofficial126 Рік тому +6

    Allah akuhifadhi shekhe mi nakukubali sana

  • @abeliever6823
    @abeliever6823 Рік тому +4

    زادكم الله عزةً وشرفا وكرامة شيخنا الفاضل

  • @aswilasaif2455
    @aswilasaif2455 Рік тому +7

    Shukurani sheikh Othman mungu akujaliye umri na pepo

  • @saladinkamis7814
    @saladinkamis7814 Рік тому +1

    Mashallah sheikh mwenyezimungu akubarikie na akuzidishie ilmu

  • @JumaJuma-p9c
    @JumaJuma-p9c Рік тому +1

    Allah akbar! Shekh wangu mungu akujalie mwisho mwema

  • @warejr4597
    @warejr4597 Рік тому +1

    Masha Allah shk.othman Allah akupe umri mrefu

  • @navystreetF1
    @navystreetF1 Рік тому +2

    Maashallah this sheikh is my best his eloquence is off the hook

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 2 місяці тому

    Mashallah allah atujaalie tuwe ni miongoni mwa waja wema ba akulinde na akuhifadhi kwa kuwa mkwel❤

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim5438 Рік тому +3

    MA SHA ALLAH SHEIKH UTHMAN MAALIM
    JAZAKA ALLAH KHAIR.

    • @husseinibrahim5438
      @husseinibrahim5438 Рік тому +1

      Pokea salam kutoka Marekani USA 🇺🇸 akhi Huyu ni ndugu yako Hussein Ibrahim .

  • @KhadijaNgozi-ln4ww
    @KhadijaNgozi-ln4ww 3 місяці тому +1

    Mwenyezi.mungn.akupe.maisha.marefu.shekh.wetu

  • @RukiaKassim-i5y
    @RukiaKassim-i5y Рік тому +14

    Sheikh Othman Maalim M/Mungu atakulipa pepo kwa ufasaha wako wa kuwaelekeza watu mambo ya kheri

  • @rahmamohammed9678
    @rahmamohammed9678 Рік тому +7

    Assalamu Aleykum warahmatullah wabarakatu
    Alhamdhulillah
    ALLAAHUMMA SALII WA SALIIM ALA SAYYIDINA MUHAMMAD WALA ALIHI WA ASS HABIHI WA JIMAIN ❤️❤️

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Рік тому

    Mashallah tabaraka llah 🥰 ALLAH awajaalie kheri walio hidhuriya na watakawo fwatiliya Kila mwenye uzito ALLAH amuwekeye wepesi 🤲

  • @nuruauni588
    @nuruauni588 5 місяців тому

    Mashaallah mashaallah pongezi kwa mama samia inchi itakuwa na baraka na amani kwajili kuipa kipao mbele dini.🫡

  • @IssaSkuni-n1e
    @IssaSkuni-n1e Рік тому +2

    Wa kwanza leo naomba like zang🙏🙏

  • @learningire3759
    @learningire3759 Рік тому +1

    Maashallah very precise and to the point. Are rhey equal those who know and those who don't know.

  • @mdsaid1527
    @mdsaid1527 Рік тому +1

    ❤❤wallah huy shekhe akiongea na mawaidha yake mm yananisisimua roho yangu nampenda sana nilitafuta sana namba yake ila namuomba Allah sku nimuone live Allah akuhifadhi akupe hekma sana na nuru alokupa

  • @zainabuibrahim4766
    @zainabuibrahim4766 Рік тому +3

    Mashaallah.
    Natamani kuwa mkazi wa Zanzibar.
    Nawapenda sana nyoote kwa ajiri ya Allah

    • @mamyomar1241
      @mamyomar1241 Рік тому

      Akipenda ambaye umetupenda sisi kwa ajili yake.

    • @bakarsaid4573
      @bakarsaid4573 Рік тому

      Nasisi pia tunakupenda kwa ajili ya ALLAH

    • @ashabakary1462
      @ashabakary1462 2 місяці тому

      Na sisi tunakupenda pia karibu Kwa ajili ya Allah

  • @jumanassor8836
    @jumanassor8836 Рік тому +2

    Mashallah!
    Allah amuhifadhi sheikh Othman M

  • @allyiddy3562
    @allyiddy3562 Рік тому

    Jazaakallah Khair kwa kutukumbusha tarehe ya kiislam ilipo anzia

  • @issashebe11
    @issashebe11 Рік тому +1

    Jazaka Allah khair shekh

  • @zaujiaahmed8803
    @zaujiaahmed8803 Рік тому +2

    Shekhe Umeongea vizuri Mpaka unapendeza .unaeleweka .Basi ukiwa Kwenye mawaiza Yako usifoke Sana Uwe unaongea Ivyo Wanaoniunga mkono Nipeni like zangu.

    • @aliomar5589
      @aliomar5589 Рік тому +3

      Kwani anafoka ktk mawaidha yake?

    • @khadijamasare420
      @khadijamasare420 Рік тому +2

      Nammi nilitaka kuuliza swali Kama hilo,yaani sjawahi kusiliza mawaidha ya shekhe Othuman maalim ya kufoka jamani,anaongea hivi hivi yaani huachi kkuskiliza mawaidha yake

    • @ashabakary1462
      @ashabakary1462 2 місяці тому

      Hafoki sh.othmna sjui kamaanisha nn

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 Рік тому +1

    MASHAALLAH TABARAKA RAHMAN ASANTE SANA SHEKH

  • @ibrahimsalum1351
    @ibrahimsalum1351 Рік тому

    Mashaallah sh othman maalim nafrahi sana kuskia mawaidha yako naelimika sana na nashawishika sana kujifunza Allah akulipe darja kubwa sana 🙏

  • @RayRey-ji1em
    @RayRey-ji1em Рік тому

    اللهم انفعنا ببركتهم ونفحاتهم وأسرارهم اللهم آمين يارب العالمين.

  • @KhadijaKipua-dw7yz
    @KhadijaKipua-dw7yz Рік тому

    Sheikh Othman maalim Allah akuzidishie kheri ya duniani na ahera

  • @salhakiseki3302
    @salhakiseki3302 Рік тому +1

    Ma sha Allah, Sheikh Othman Unajua Sana

  • @raheemaal-hady9328
    @raheemaal-hady9328 Рік тому +1

    Maa Shaa Allaah Rabby amjaalie umri mrefu wenye barka Sheikh Othman Maalim

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Рік тому

    Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! ALLAHU BAARIK

  • @rehemastambuli2348
    @rehemastambuli2348 Рік тому

    Almdulilah shekhe mora hakuzidishe kheri na barack

  • @ZUHURAKHALFAN-mc8nd
    @ZUHURAKHALFAN-mc8nd Рік тому

    MASH ALLAH Allah akueke Sheikh OTHMAN

  • @SwalehKidume-wd2cd
    @SwalehKidume-wd2cd Рік тому +2

    Maneno mazuri Masha Allah lakini mazingira ndio hayakuandaliwa vizuri baina ya wanawake na wanaume

  • @IssaSkuni-n1e
    @IssaSkuni-n1e Рік тому

    Allah akupe kila la kheri akusameh madhimbi yako na akurehem Amiin

  • @UstadhImran
    @UstadhImran Рік тому

    Mashaallha mungu akupe kilalenye kheri na ww ❤❤

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 Рік тому

    Shukran lillah shukran kathyra jazakallahulkhayr 🤝

  • @fatyakauga2951
    @fatyakauga2951 Рік тому +2

    Othuman maalim nakupenda sana

  • @radujuma
    @radujuma Рік тому

    MashaAllah sheikh othman nakupenda kwaajili ya Allah

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk Рік тому

    ALLAH ambarik Alie asisi HUO mpango na sisi WAFUASI. Kuna watu HAPO wataropoka KUA hiio ni BIDAA. WAKATI tupo mamilioni ya WAISLAM wala HATUJUWI kama kuna MWAKA wakiislam. Sisi tunaujua sana MWAKA WA KANISANI HUU WA 2023.

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 Рік тому +1

    Barrakkah Allaah huu fiek kwa mawaidha yakooo….

  • @aishaalbalushaishabalush8291
    @aishaalbalushaishabalush8291 Рік тому +2

    tunamshukuru Allah kwa kukuweka wewe sheikh othman maalim hauko kiuchawa uko ki kusudio la Mungu maneno uliyoyatamka hapo kwanzia uongoz wakiafrica had kudharau mazur ya mtu wakiafrica yanayo wasaidia wafrica wote inchini kwao hukuogopa kusema ukweli nadhani samia kayasikia na kinakikwete wameyasikia wao ndio wanatabiya hiyo wanadharau mazur ya magu ya kuendeleza africa wameleta ya wazungu yakuangamiza wafrica we samia nagenge lako lakibakikwete na kinamakamba mmesikia maneno hayo kiongoz au kiumbe ukiwa katka maisha yako ya dunian ukashindwa watendea mazuri wenzio basi we sio kiongoz muhimu dunian walasio kiumbe muhimu dunian nadhan Mungu kakufikishia ujumbe kupitia sheikh huyu uongoz wako unauwa sana watanania nakulia kilasiku na njaa isio isha 😢

  • @rahmajaffar794
    @rahmajaffar794 Рік тому

    MashaAllah ,ahsante kwa kujitoa na kututoa kwenye hasara kwani binaadamu wote wako kwenye hasara isipokuwa wale waloamini na wakatende mema na wakausia haki na subira.Mola wetu tujaalie tuwe miongoni mwa watenda mema na utuepushie chuki ndanI ya nafsi zetu

  • @jumamchina9038
    @jumamchina9038 Рік тому +1

    Jazzak Allahu Khairan

  • @abdulnuliat-ny7nf
    @abdulnuliat-ny7nf Рік тому +1

    Shukran ya sheikh wetu 👏👏

  • @rukiagambere8050
    @rukiagambere8050 Рік тому +4

    Mashaallah

  • @allykombo2992
    @allykombo2992 Рік тому +1

    mashaallah othman uko vizuriii

  • @bongotrendshd7988
    @bongotrendshd7988 Рік тому +1

    Shukrn Mimi naomba kufanya kazi kwenye tv yenu kama inawezekana

  • @omaryally3489
    @omaryally3489 Рік тому

    Allha akupe mwisho mwema shekh inshallah

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Рік тому +2

    Masha Allah

  • @jannahjidoo3310
    @jannahjidoo3310 Рік тому

    My Sheikh Allah barik

  • @mariamthabit9773
    @mariamthabit9773 Рік тому

    Maa'shaa Allah barakallah fiykum

  • @suhel5209
    @suhel5209 Рік тому +1

    MashaAllah huyu sheikh amepewa kipawa na hekima.

  • @yunisabdiri2499
    @yunisabdiri2499 Рік тому

    Shukran sheikh mungu akueke miaka mingi

  • @AllyMohamed-o8w
    @AllyMohamed-o8w Рік тому +1

    Baraka lahhu fiih..

  • @mutanabbiabbas337
    @mutanabbiabbas337 Рік тому +1

    Shekh mkumbushe uyo Anae jiona mungu mtu mwambie uwongoz ni Amana ya allaha

    • @idrissamohamed1100
      @idrissamohamed1100 Рік тому

      Kama huna cha kuchangia acha kufuru,,Unamdhaniaje mwenzio kitu ambacho hajakiwaza..

    • @mamyomar1241
      @mamyomar1241 Рік тому

      ​@@idrissamohamed1100anajiona Mungu mtu kivipi hapo sijaelewa.

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko Рік тому

    Mashaallah jazakumllah kheri

  • @jumannemuhammad2073
    @jumannemuhammad2073 Рік тому

    Mashaallah uislam raha tu❤️❤️❤️❤️

  • @abdallahmaftah6469
    @abdallahmaftah6469 Рік тому +2

    رضي الله عن شيخنا الفاضل عثمان معلم

  • @IlyasaMuhd
    @IlyasaMuhd Рік тому

    Mashallah sheikh othuman

  • @twahahango3968
    @twahahango3968 Рік тому

    mashaallah akhenate shkh

  • @AllyMohamed-o8w
    @AllyMohamed-o8w Рік тому +1

    Maashaalah

  • @issakawaya8315
    @issakawaya8315 Рік тому

    Allah atuzidishie mahaba ya kupenda calendar yetu

  • @SalimMohamed-o3j
    @SalimMohamed-o3j 3 місяці тому

    Maashalaa

  • @saumusaid7825
    @saumusaid7825 Рік тому +1

    Mashaaallh 🥰

  • @ZainabuKilumbaki
    @ZainabuKilumbaki 6 місяців тому

    Mashallah

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 2 місяці тому

    Takbiriiiiiiiih hakika

  • @zainabuibrahim4766
    @zainabuibrahim4766 Рік тому

    Mumependeza sana tunamuomba Allah atulinde nafitina na Hasadi

  • @ZakariaMohamed-bc5zl
    @ZakariaMohamed-bc5zl Рік тому

    Mashallah one day I will meet with u inshallah

  • @rajabufarahani1418
    @rajabufarahani1418 Рік тому

    Maashallah sheikh wetu

  • @MohammedIslam-t2n
    @MohammedIslam-t2n 8 місяців тому

    Mashallah kwa hilmu shukran

  • @sadakimwaki9791
    @sadakimwaki9791 Рік тому +1

    Mashaalah ❤

  • @Baharia
    @Baharia Рік тому +1

    MaShaAllah

  • @nassorhemed3953
    @nassorhemed3953 Рік тому

    Masha allah 💯 alhamdullahi

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Рік тому

    🥰🥰🥰mashaallah shekhe wetu

  • @bilo1106
    @bilo1106 Рік тому

    I love you so much shekhe langu ❤❤❤❤❤

  • @mohamedmuya9648
    @mohamedmuya9648 Рік тому

    Maasha,Allah Maalim

  • @saidJeneby-zk8xh
    @saidJeneby-zk8xh Рік тому

    Mashallah tabaraka llah

  • @MwanaidiMohammed-bm6qg
    @MwanaidiMohammed-bm6qg Рік тому

    Shukraan Allah akuvbariki

  • @KhadijaHaruna-d3t
    @KhadijaHaruna-d3t Рік тому +1

    Mashaalah

  • @fahmiabdulla7690
    @fahmiabdulla7690 Рік тому +1

    MASHAA ALLA

  • @zalharashid1300
    @zalharashid1300 Рік тому

    a,alykum nimependa san allah atakulipa ostadh.. umeongea ya haki na mlengwa alielengwa awe makin juu ya kuyafnyia kz,

  • @halimaomari3415
    @halimaomari3415 Рік тому +1

    Mashaa Allah Mashaa Allah sheikh wetu

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 Рік тому +1

    Mashaalah huyu kweli ni mwanazuoni

  • @sospeterJames-q6p
    @sospeterJames-q6p Рік тому

    mashaallah nakupenda xana

  • @salmasaid1521
    @salmasaid1521 Рік тому

    Mashallah❤❤❤

  • @allybakari7888
    @allybakari7888 Рік тому

    MASHAA ALLAH

  • @yahayamubaruku9825
    @yahayamubaruku9825 Рік тому

    Allah akuongoze zaid

  • @feisalmwinyi2429
    @feisalmwinyi2429 Рік тому

    Maneno mazimaaa hayaaaaaaaaa asofaham hafaham tenaa, neno la doby na neno asemalo alojuu mara nyingi humuangusha alochini.. Inshaallah maneno haya yawe funzo kwetuuu sote yaaaaarab

  • @jumannekambi232
    @jumannekambi232 Рік тому

    Barakallah fiika

  • @aliseif2691
    @aliseif2691 Рік тому

    MASHALLAH.

  • @MkadamAlyMachano
    @MkadamAlyMachano Рік тому

    nmekupend kw mafundch mem kwak❤❤❤😢😢😢😢😢

  • @aminatambi9831
    @aminatambi9831 Рік тому

    This is true.we should think twice .

  • @asyasaid5012
    @asyasaid5012 Рік тому

    Masha Allah😢😢😢😢😢