REV. DR. ELIONA KIMARO: UNA KITU GANI MKONONI MWAKO?
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- IBADA YA KUSIFU NA KUABUDU : 02/10/2022
KICHWA CHA SOMO: UNA KITU GANI
MKONONI MWAKO?
"WHAT'S IN YOUR HAND"
Kutoka 4 : 1 - 5
2 Wafalme 4 : 1 - 7
Kutoka 4 : 1 - 5
1 Musa akajibu akasema, Lakini, tazama, hawataniamini, wala hawataisikia sauti yangu; maana watasema, Bwana hakukutokea.
2 Bwana akamwambia, Ni nini hiyo uliyo nayo mkononi mwako? Akasema, Ni fimbo.
3 Akamwambia, Itupe chini; akaitupa chini, nayo ikawa nyoka; Musa akakimbia mbele yake.
4 Bwana akamwambia Musa, Nyosha mkono wako, kamshike mkia; (akaunyosha mkono wake akamshika, naye akageuka kuwa fimbo mkononi mwake;)
5 ili kwamba wapate kusadiki ya kwamba Bwana, Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, amekutokea.
2 Wafalme 4 : 1 - 7
1 Basi, mwanamke mmoja miongoni mwa wake za wana wa manabii alimlilia Elisha, akasema, Mtumishi wako mume wangu amekufa; nawe unajua ya kuwa mtumishi wako alikuwa mcha Bwana; na aliyemwia amekuja ili ajitwalie wana wangu wawili kuwa watumwa.
2 Elisha akamwambia, Nikufanyie nini? Niambie; una kitu gani nyumbani? Akasema, Mimi mjakazi wako sina kitu nyumbani, ila chupa ya mafuta.
3 Akasema, Nenda, ukatake vyombo huko nje kwa jirani zako wote, vyombo vitupu; wala usitake vichache.
4 Kisha uingie ndani, ukajifungie mlango wewe na wanao, ukavimiminie mafuta vyombo vile vyote; navyo vilivyojaa ukavitenge.
5 Basi akamwacha, akajifungia mlango yeye na wanawe; hao wakamletea vile vyombo, na yeye akamimina.
6 Ikawa, vilipokwisha kujaa vile vyombo, akamwambia mwanawe, Niletee tena chombo. Akamwambia, Hakuna tena chombo. Mafuta yakakoma.
7 Ndipo akaja akamwambia yule mtu wa Mungu. Naye akasema, Enenda ukayauze mafuta haya, uilipe deni yako; nayo yaliyosalia uyatumie wewe na watoto wako.
Mhubiri: Rev. Dr. Eliona Kimaro
Kwa maoni na ushauri:
Mch. kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Email: rev.kimaroe1@gmail.com
Watching from kenya mchungaji strong message lazma upitie magumu ndiposa upate ushuhuda i gonna fire the world again🔥🔥🔥🔥🔥Ameeeeeen you have made my day plz ni kanisa gani hili kanisa la neno lililo hai
Somo hili limenifundisha kitu cha muhimu sana na kunibariki🙏. Asante Baba Mchungaji, Mungu azidi kukubariki.
Mungu nakushuku kwa sauti yoko kupia mtumishi wako
Nabarikiwa sana nawe Mtumishi wa Mungu, Nikiwa mjamzito nilipita magumu sana, mahubiri yako yaliniponya na kunifariji, nilijifungua mtoto wa kiume na nimemwita ELIONA, nikipata Kibali nitakuja Kijitonyama kushuhudia. Ubarikiwe.
Barikiwa sana baba mchungaji
Mungu Yu mwema sana
Amen, nimebarikiwa sana na neno. Mungu azidi kukubariki mchungani.
Mungu wa mbinguni akubariki dr.kimaro nabarikiwa sana, natamani sana uwe kiongozi wa chi hii
Amen 🙏 Mwenyezi Mungu akubariki baba mchungaji ,Mungu naomba univushe 🙏
Dr Kimaro Tunashukuru Sana Kwa Kuifundisha Tanzania kuhusu onjili iliyo ya kweli. Mungu Aeendelee Kukutumia Mtumishi wa Mungu Kwa Ajili ya Taifa la Mungu la TanAnua. Runajivunia utume wako. Mungu Aeendelee Kukuongoza, Kukulinda, na Kukubariki ili tuendelee Kubarikiwa. Ameni.
Mimi ni mkenya,mchungaji unanijenga kila uchao,baraka za mwenyezi mungu zikuandame kila wakati
I Gonna fire the world again. AMEN AMEN AMEN God bless you Rev. Inspiration msg.
Kazi njema mtumishi wa mungu
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu Rev. Eliona Kimaro
Mtumishi wa Mungu Kimaro.Homilia zako hazichakai.Kila siku zipo hai.
Oh I'm gonna fire the world
again!!!
Mungu asinyamanze hata siku moja, mafundisho yako yamenivusha pakubwa Sana. Barikiwa Baba
Rev is such a blessing to today's reality.
What do l have in my hands!
Am really blessed by the preaching.
Mçhungaji Leo umenifundisha Somo zuri ubarikiwe sana
Mchungaji Mungu akutunze akuinue zaidi
Mungu azid kukupa maisha marefu hapa dunian mtumsh wa mungu
Asante sana kwa somo mtumishi wa Mungu nime barikiwa sana🎉🎉🎉
POWERFUL SERMON hard time created a strong person. OMG BLESSES TO DR.ELIONA KIMARO. I ADORE ALL HIS TEACHING TECHNIC! LIKE U!.
Nabarikiwa sana na mahubiri yako Mungu akupe miaka mingi duniani
Mungu akubariki na mahubiri yako .ninatatizo ya kaka yangu kupiga mke kila wakati na kuoa sana .
Amen
Ubarikiwe mchungaj nabarikiwa sana na mafundisho yako
Asante baba mchungaji mungu akubariki
Amen, ahsante kwa neno mtu wa Mungu, ubarikiwe, ni ukweli baba huku saudi hatusikii taste ya food, samaki ni kama kiziki cha mti kilio osa,potatoes ni mbaya waja tu,lakini Mungu ni mwaminifu miaka 2 na miezi 10.
Mtumishi MUNGU AKUBARIKI Sana kwa mafundisho mazuri MUNGU atusaidie tuipende nchi yetu na kuiombea.
Asante kwa ujumbe wa uvivio mungu akunzr daima
Hakika ni kwa neema ya mungu,tumetabasamu tena,nakutakia likizo njema utuombee, mchungaji,mungu akubariki
Am blessed with the message by mchungaji eliona
Much blessed with this message . Watching from Meru Kenya. It has met my point of need.
Asante mchungaji sisi tunaishi ni kwa neema yake mwenyezi mungu
Mwenyezi Mungu azidi kukubariki Mchungaji 🙏🙏
I'm fire the world again! BARIKIWA BABA KUHANI Dr ELIONA KIMARO. Wewe ni jembe LETU KUBWA unayetufundisha yote kwa MOYO mkuu kusudi sote kumjua MUNGU na kumcha na tubarikiwre
Amen nabarikiwa na neno
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Glory to God Father
Namdhukuru mchungaji kunikumbusha Kuna nilicho nacha amen
Siyo unafaa tu kuwa kiongozi wa kiroho!
Wastahili kuketi Ikulu"
Hakika Bwana yu mbele yako""
Praise Lord Jesus Amen.
Be Blessed Rev. Eliona Kimaro
Baba Mungu akubariki Sanaa
I'm gonna 🔥 the world again
Amina baba kimaro
Mungu aniwezeshe kufanikiwa kupitia Madhabahu hiii
Ninaliya mutumishi wetu, Sammy Mumbesa😢😢😢 Covid ilisha tiya kidonda mu roho
AMINA MCHUNGAJI KIMARO FROM KILIFI KENYA
God, have mercy on me, giving me wisdom to use what l have in my hands. God help me.God fill me with excellent brain like that of my Lord Jesus to see clearly and know how to start using what l have to progress 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Thank you, Jesus.
Ahsante sana
Amen Rev.Dr.Kimaro mahuburi na mafundisho yako yamefanyika baraka sana kwny maisha yang nazid kubarikiwa siku baada ya siku Mungu azid kukutunza
Barikiwa saana Mtumishi Wakweri
Kweli mafundishi ni mazuri kiroho na kiuchumi Mungu tusaidie
Ubarikiwe mtumishi wa mung
Amina🎉🎉🎉
Karama yake itakuzwa zaidi.Anacho kisema ni sauti ya Mungu.
Mungu aendelee kukubariki Baba Mchungaji kwa kuendelea kutubariki kupitia neno la Mungu kila uchao.🙏🙏
Mahubiri mengi yako ninavyo isikiya je wewe ni agrikani au catholic lakini ulitoka Islam.
I'm gonna 🔥
🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 Amen.
Amen 🙏. Mungu azidi kukuinua.
Asante baba mchungaji! Nasikia kubarikiwa sana nikiwa kenya, taveta.
Ameeen
I gonna fire the world again in Jesus name. Amen
Na Mahubiri haya hakika Mungu atafanya
Wewe nimwanauchumi ambae serikali ikikusikiliza nchi inaweza ikapaa kama mushare.
Kwanza serikali haiko kwenye kilimo. Ingenunua ndege zamizigo na tungelima mboga matunda natungeirisha Dunia kwakweli
Amin
Ameeeeeeeen
Niombe igonna fire the world again mchungaji ni mchungaji yakobo nahitaji upako wa roho mtakatifu Ninna kitu mkonono mwangu
I GONNA FIRETHE WORKD AGAIN. AMEN
Amen🙏
Ameeen
🇰🇪🇰🇪🇰🇪👩🏾🏫
I gonna fire the world
Ameen
p
pppppopp
pop
Ufunuo 3:11
Ni ukweli niko uku,watu ni wengi sana lakini awatembei mchana ,na chakula chetu ni mchele na mikate mikavu ,kila siku,ni neema tu tulio nayo
Wapi huko mkuu
Q
Amen
Amen
Amen
Amina baba mchungaji Mungu akubariki sana
Amen
Amen
Amen baba barikiwa sana