Butter Curdling 1. Temperature Of Ingredients 2. Add Liquids In Stages 3. Correct Amount Of Liquids 4. Mix/whist Correctly 5. Think Of Using Cake Enhancers
Na kwann inakua na ukakasi ukila an ikiwa ya moto nzur kama kawaida lakin ikishapoa tu inakua na ukakasi au kwa sababu naitia kwenye friji kabla haijapoa? Naomba sababu
Kweli kabisa inanikera
Yaani juzi tu ndio nimetokewa na hiki kitu. Niliumia sana. Asante ubarikiwe.
Ahsnt mziwand
asante sana
Thanx my best hakika Nami Nilikuwa napata shida hii sasa leo Nimepata jibu asante.. Mungu akutunze best
Asante dada nimekuelewa vizuli sana
Shukran dia
Asanteee Kwa darasa zuri mungu akubariki
Amiin
Nakupenda MZIWANDA UNANIFURAHISHA SANA NAELEWA SANA NIKIKUSIKILIza 💗
Karibu sana ❤
asante sana kwakweli ww simchoyo ubarikiwe
🙏❤
Na kwann inakua na ukakasi ukila an ikiwa ya moto nzur kama kawaida lakin ikishapoa tu inakua na ukakasi au kwa sababu naitia kwenye friji kabla haijapoa? Naomba sababu
Improvers ni kitu gani
Mm imenitokea kwenye kuchanganya icing sugar na blueband ndo vimekatika shida nm
Ni kweli, inakata na inajitenga na ute wa yai yaan butter juu na majimaji chini
Samahani ety kama huna mixer unaweza brend ute wa yai?
Ahsante sana Mziwanda ila naomba kuuliza ni lazima keki kuweka maziwa?
Kweli imenitokea Hadi keki inakatika yenyewe ilivo laini, nitafanyia kazi najua nitakuwa nilipiga sana
Improver ndo nn
Nashukuru kwa kunielewesha kwani hta mie ilinitokea
Kwani dada Hadi maji tunaweza kuweka??
Hello nataman sana kujua kutengeza kek maana nikitu nachopenda toka moyon lakin kila nikijarbu inatoka vibaya
Mtafute mwalimu akufundishe live class au kama uko busy tafuta online class pia ingia you tube jifunze
Your voice is sooo soothing big up from 🇰🇪 kenya
🙏🙏
Nambo kujua nozzle nibey gani dazan
Asante dada nimependa ila iyo improver ni bei gani inapatikana wapi
0768859358 Mziwanda shops
Asante mwalimu wangu mzuri. Hivi kuna tofauti gani kati ya cake gel na cake improver
Ni kitu kimoja makampuni ndo tofauti tu
Nimekuelewa shida yangu ninavifaa vya kienyeji
Kwa cake ya kilo 1 improver natakiwa wela kiasi gani?
Nadhani Kijiko kimoja cha Chakula kama Ntakuwa sahihi
Ooh ok asante
Cake za shughuli usiweke gel labda za biashara Kama cupcakes
Unawez kusaga kwenye brend
Nimechanganya katika utaratibu wote lakini keki yangu inakuwa haichambuki na inakauka kabla ndani haijachambuka
😢na mimi jamanii najaribu hii ya pil inakatika sasa vipimo itakuwaje
Mimi nikitaka kupika cake or waffles kila kitu natowa usiku inakuwa in room temperature
Mi huona cake ukaweka improver inatoka radha halisi ya cake eti
Ukikatika keki ukipika inakuaje
Hapa kwenye kuweka mayai yote ndio ninakovuruga
Juzi nilijaribu kupika keki lkin uji sukari iliyeyuka ikawa chini na juu ndo likaja hilo povu Yani kama niliweka maji😭😭😭 sijui nilikosea nini
Fuatilia hizi sababu na uzingatie upigaji wako please
@@mziwandabakers8297 kesho tukiamka salama ntajaribu tena...
ᑭᖇOᗰOᔕᗰ 😇