Vifaa vya Keki 1
Вставка
- Опубліковано 11 лют 2018
- VIFAA VYA KEKI 1:
1. Miksa
2. Mabakuli size tofauti tofauti
3. Mzani
4. Vikombe na vijiko (measuring cups & spoons)
5. Misukumio
6. Pasi
7. Pizza cutter
8. Spatula (rubber)
9. Kisu cha kupambia keki
10. Rula na tape measure
11. Chekecheo
12. Mchapio (mkubwa na mdogo)
13. Set ya nozo
14. Modelling tools
15. Msumari
16. Seti ya brashi
17. Mikasi
18. Mifuko ya kupambia
19. Tantebo (turntable)
20. Makopo ya kuokea
21. Kisu cha zigzag (serated knife)
22. Waya wa kupozea
23. Foam pad, kutengenezea maua ya fondant
24. Cupcake liners (karatasi za kuokea cupcakes)
25. Toothpicks
26. Kata (cutters) za maua mbalimbali
27. Kichana cha icing
Instagram: / lawracakes_202
Facebook: web. lawracakesda...
Napenda jua gharama ya jumla kwa vifaa hivyo vyote
Asante kwa somo la Leo dear Laura.
Asante dada.. Vp una darasa.. Naitaj sana kujifunza jaman
Samahani unaweza kutaja bei ya vyombo vyote vinavyotumika kwa pamoja tusaidie sisi wa mikoani
Asante sana dada ww simchoyo kabsa wa receip
Shukran nimefurahi kujuwa vitu va keki
Duuuuh vitu Vingi sana
nimedhamilia kujua kutengeneza delious cake in shaa Allah
Asante sana Dada ningependa unifundishe
asanteeeee
Dada unaelekeza vizuri sana
Wow
Asante mwaya
Asante dada
shukran nitakutafuta
asante sana Lawra cake kwa darasa
Nice mamy
Tips mnauzaje
Samaani kweli nimeupenda ufundishaji wa kiukweli mimi nimejifunza kutengeneza cake kwa kufuatilia clips zako,kinachonisumbua ni uwandaji wa cup cake,
asante
Uko vizur dada
Asante kwa kutuonyesha hivyo vifaa! je unaviuza? Kama unauza Ni Sh. ngapi vikiwa full?
DADA unaweza kufundisha
nitkuunga mkono my thanx
Iv piping tips ni shngap
na tuwekee bei ya vifaa tujue
Nimekupenda bule Dada nashindwa kupamba pleas msaada wako
naitaji ivyo vifaa vina patikn wap
Je keki za kopa inakuwaje
maitaj ivyo vifaa
Vipimo va keki nataka
Mwapatikana wapi. Niko nje ila nikirudi kenya naomba kujua pale mko nije haswaa ninunune kila kitu kwa sababu nataka niendeleze biasha yangu iwe kubwa in sha Allah
Hizo tips mnauza bei gan?
Nauliza zinauzwa bei gan vyote
naomba kujifunza jinsi ya kutengeneza foundant pls and pls help me jaman i need it
Dada mm nahitaji hizo piping bag na vidude vya kupambia pleas on kutafutaje
naomba ricep ya cup cake dada
Mbona huonekani?umepiga picha kwa tecnowereva?
najifunza.lakini.sinavifa
Mimi nimependa mafunzo yko na natafuta baadhi ya vitu ulivyo elezea vyo kuoka keki,naeza kukupata vipi na wapi?
napenda kujua kopo la nch 6 linapika kiasi gani,nch 8 na nch 10 pia zinapika kiasi gani
nakufuatilia unafundisha vizuri sana dada naomba unielekeze vipimo vya kutengenezea foundant mfano:icig sugar 3 niweke vijiko vingapi vya gelatine, glucose syrup,grceline naomba msaada wako dada
Nakupenda bure je nikitu gani kinaifanya cake kuonekana nyeupe ndani? Cake nyingi ninazo kutana nazo kwenye mashuhuli mbali mbali zinakuwa nyeupe ni nini hasa kinafanyika mpaka zinc Kuwa nyeupe kinawekwa kitu gani hasa
Kirima ya keki hawi sijuwi kufanya
nahitaji hivyo vifaa
Dada nimefurahi kweli kujua. Mimi nipo Iringa Mufindi nitapataje?
Mnapatikana wapi
Ututajie na bei
Sante dada ntakutafuta mpendwa
namipia naitaji kujifunza
Kama nahitaji hivyo vitu nitavipataje na nishilingi ngapi mim niko kondoa
hi dea huwa munafuta wapi
He naweza kutumia icing sugar
Je naweza tumia icing sugar badala ya sukari
unapatikana wapi
Machine ya cake kiasi gani
Hv mixer znauzwa bei gan
Munapatikan wap na hivyo ukihitaji utavipataje
Nahitaji kujua darasa lenu lipo lini? Nahitaji kuwa mwanafunzi wenu
Tunaomba darasa la keki unafundishia wapi?na duka lenu la vifaa lipo wapi?tunaomba no
Gharama za hivyo vitu vyote ulivyovionyesha hapo ni tsh ngapi
vifaa vyooote hvyo ni bei Gan plz
naomba bei ya tuntable
Vifaa vyake vinapatikana wapi dada
Unapatikan wapi
nahitaji plz
Naomb nahitaji kujua
Unapatikana wp hapa dar duka lako
ukitaka kujifunza kwako shillings ngap
Naomba namba zako dada
Unadarasa?
Duka lenu lipo wap
nahitaji kujifunza mnadarasa
Makopo ya kupikia cake sh ngap
Naomba namba pliz
nataka kujua mnapatikana wapi
Na mnauzaje hivyo vifaa kwa MTU ambaye hana kifaa hata kimoja kwa hapo
hiyo miksa inauzwaje
no ya sim
Dada naomba namba zako naitaj kujifunzaa
Nipo dodoma napataje hivyo vifaa na bei
Tuelekeze jinsi ya kupamba cake
Nikitaka kupata vifaa vya kurembea keki nitafanyaje mi nipo mbali
Naweza nikapata mawasiliano yako Dada
Erick Paschal 0765519445
Mbona hamsemi mnapatikana wapi, na vifaa vya muhimu vinagharimu sh ngap?
Ubungo riverside, kuna namba za simu hapo, wasiliana nao
kujifunza bei gani nije
Mpo wapi?
mm nahitaji baadhi ya vifaa kutoka kwenu tuandikie namba yako
Ninase Munniy 0765519445
Nahitaji vifaa
Namba mawasiliano yenu na pia nambie wapi mnapatikana
+255 755 647 084
una darasa? nahitaji kujifunza
Ndio, wasiliananasi kwa 0765519445
Hawakiotojo mapishi y'a kashata
Hawa kitojo mnauza huw muchu
maashallah
Unatoa mafunzo kwa bei gan
0654477495 ncheki
Nahitaji vifaa nitext 0752996836
total cost ya ivo vifaa ni ipi
Mkoani mnatuma??