TAZAMA MWILI WA MANJI UKISWALIWA MSIKITINI MUDA HUU MAREKANI, MWANAE ALIA KWA UCHUNGU
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- Mwili wa aliyewahi kuwa Mwenyekiti na mfadhili wa Yanga, Yusuf Manji, ambaye umeswaliwa katika Msikiti Al Hayy uliopo Florida, Marekani.
Mwili wa Manji unatarajiwa kuzikwa leo Julai Mosi, 2024 nchini humo.
Mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake mahali pema peponi, Amina
Allah SW umpe makazi mema mja wako... Amin !
Arafatmahmud kama kitu hukijui uliza kaka ACHA ushabiki wa madhehebu nisome unijue nikusome nikujue hatito gombana
Swala ya jeneza ni Dua, kama ilivyo swala ya mtume,tukiambiwa tumswalie mtume hatusomi faatiha
Kusoma surat fatiha katika sala ya maiti si lazima.rudini mkasome wapendwa
innadina indallahil islam,hakuna dini ya haki isipokuwa ni uislam.
Inlilaahi wainalilah rajighun mwenyezi mungu ampe khauli thabiti ndugu yetu
Allah ampe kauli thabiti!
Allah amsamehe makosa yake
Anapokufa mtu hukatika matendo yake ila mambo 3,swadaqa ya kuendelea, mtoto mwema na elimu yenye manufaa
Mungu amlipe anachostahiki mshia huyu mtume Muhammad Sala na Salam ziwe juu yake amesema hakika pepo imezuiliwa kwa kila mtu wa bidaa
Wanachama wa yanga siwaoni hapo,innalilah wa Ina ilayhi rajiun
INNAH LILLAH WAINNA ILAIH RAJ OON
Hakutakaga KUKAA na watu wa kher Hilo ndio balaa lake ukisha kufa ALLAH atufishe ktk uislaam n sunna hiyo ndio salaama yetu
Hiyo ndio swala ya maiti kwa mashia, haina Surat Al Fatiha, pia katika dua ya imamu ameomba amfufue pamoja na maimamu, maimamu 12 wa Kishia.
Surat Fatiha wamesoma kimya kimya pamoja.
Nyinyi mtafufuliwa pamoja na akina boka, omi na suma
Duuh kwel kazi ipo
@@ibrahimomari2458kivip et
Huna elim kaka
Kwa wale msiojua ndugu yetu alikua raia pacha
Imani yao ni hiyo kwa hiyo kila binadamu huamini anachokiaminj na hakuna binadamu mwenye uhakika wa dini ya kweli wote tunaamini maandiko tu
Allah kaleta kitabu akamleta na mtume saw kuufundisha ummah,ikiwa hadi leo hujui dini ya kweli ni ipi umekula khasara nzito
Shia akakute aloyatanguliza katika kuwatukana wabora wetu
So mtanzania huyo kwa mini azikiwe marekani
Mmmmh mashia jaman hii swala ya maiti kweli 😂😂😂😂😂
Swala ya maiti ni ipi..?
@@RashidKarata-y1h bila alihamdu
Kila nafsi itaonja umauti
Si ndio hao unaowaona au unataka rangi?
Kila nafsi itaonjaa mauti rala manji
Innah lillahi wainna illahi rajjiun
Innalillah wainna ilayhi raajiuun
Innah lillah wainnah illah rajiuna
Duh kumbe alikua Shia Allah amlipe anachostahiki duh ushia sawa Na ukristo
Kla nafc itaonja pepo na umaut
Swalatul maiti ina takbira 4 hapo nimesikia 5 na takbira ya kwanza sijasikia wakisoma suratul fatiha
Hao sio waislamu, ni mashia ndio maana utaratibu wa ibada zao ni tofauti na wetu
@@ramadhanihashibae9805Mapokezi tofauti...Haya tuwachie wenyewe Allah ndie anaejua usahihi zaidi...Waislamu ni 1 duniani.
@@ramadhanihashibae9805utaratibu wa Ibada uko tofauti kivipi?
@@ramadhanihashibae9805mashia pia niwaislam
Kuna madhehebu mengi ya kiislam
Shia ni miongoni mwa wa waislamu, tofauti zilizopo ni ndogo sana hivyo tupo pamoja nao.
Hatuwezi kusema sio waislamu wakati wanatambua uwepo wa Allah Subhanah Wataalah na mtume wake Muhammad SAW.
Ushia mtupu hapo
Inalilah