Mpina alipuka Bungeni kuhusu trilioni 360 za Makinikia; amtaja Magufuli, aibua Trat na Trab
Вставка
- Опубліковано 1 лис 2022
- Mbunge wa Kisesa Luhwaga Mpina (CCM) kwa mara nyingine leo ameendeleza moto wake bungeni kuhusu malimbikizo ya kodi zaidi ya Sh360 trilioni zinazotajwa kuwa zinatokana na makinikia.
Leo Jumatano Novemba 2,2022 Mpina amesema ni wakati sasa Watanzania kujua nani alitoa kauli ya kusamehe kodi hiyo kwa nchi masikini kama Tanzania ambayo inahitaji kodi ili iweze kupanga maendeleo.
Nimekuelewa sana Mh mpina, your the only on mp in Tanzania
bora ungekuwa Rais wa Tz mpina.. hivi hizo mbz zingne zinakula kodizetu bila chango
Safi sana mh.mpina mbunge wa kisesa
Asante mh.Mpina.
Nakukubali sana mbunge makini
Mungu akulinde tuu
Safi sana mpina upigaji umeludi sasa ivi
Mungu akulinde
Salute sana mpina
huyu jamaa kabaki peke yake mzalendo bungeni mungu amsaidie na amsimamie
hata kama hujui kusoma unaelewa kinaongeleka nn love mpina
Msema kweli ni mpenzi wa mwenyezimungu.
Tunashukuru mmetupunja tunawasamehe na zingine nchi imeshakuwa ngumu sana hii ,
Ila uwe makini haya majizi yakiongozwa na........yasije yakakuondoa kama.......
Saluti kwako mheshimiwa
Mwanamme anaongea wote wameufyata
Mpina uko sawa kaka, kama watanzania wa Hali ya chini wanasubuliwa na kodi zisizo na mashiko vip pesa ndefu namna hiyo isamehewe? Ni vyema tukajitathimini wana CCM
mungu akuongoze siku zote
Heshima kwako mpina v,hakika wewe Ni mbunge wa wananchi
Tunakuzungushia wigo wa Damu ya Yesu
wanamwonea Mma mbona wakati wa JPM
Salute to you hon. Mpina nakukubali sana gombea urais 2025 nina uhakika hakuna wa kukushinda samia yeye ni rais wa muendelezo wa awamu ya tano baada ya jpm kuuawa hakuna mtanzania aliyemchagua
Baba tutakukumbuka ,angelikuwepo daa
Mpina for Tanzania....wengine ni waharibifu tu.
Kaka endelea kutoa hoja kama hizi, maana wewe ndie mwakilishi wa wazalendo, japo ukija kurudi nyuma ntakuhama mara moja kwa sasa tupo pamoja kwa hizi hoja za akili nyingi kama unavyohoji.
shida bahofia anaweza kupotea..maana anavyovisema vinawagusa wengi....
Uzalendo kama huu ndo unahitajika katika nchi
Mpina tuko nyuma yako Ila kuwa makini jamani😭😭😭😭😭😭
Bonge la kiongozi🇹🇿
Mnatuchosha akili tuu,mnatuongezea tozo walalahoi halafu mnasamehe matajiri
Uko sawa kabisaaa
Sema sema mpina waambie majambazi hao kutwa kukopa miradi aliyo acha baba magufuli haikamiliki umeme maji shida imebaki miradi ya kuletewa magonjwa tupate chanjo watu wage pesa
SEMA ukweli mkuu watu niwezi
Ccm mnatia aibu
Bunge limebaki la mpina na msukuma tu
Kazi nzuri mpina
Uyu ndo mpina ninae mjua Mimi.
Mpina unajisumbua liccm uwa nilaivyo miaka yote,
VIP WABUNGE WOTE WANGEFANYA KAMA MPINA
sasa ccm simtoke madarakan
kama wabunge ote wangeungana kulitetea taifa kama anavyofanya Mpina Akika taifa lingesonga mbele ila kwakua umebaki pekeako mpina acha tuendelee kukuombea na kumuomba Mungu atupe wabunge wenye uzalendo.
Nahitaji tushindanishe waliosoma na ambao hawajasoma, katika kutatua madudu kaya ambayo yanaturudisha nyuma kwa maendeleo ya Taifa letu. Tusichezeane kwa mambo muhimu.
Viongozi wetu kueni na uchungu na nchi yetwatulipe tu pesa Ili itusaidie kuinjenga nchi yetu 355tilion zetu
Kama fedha nyingi zinaliwa bila bunge kupitisha hii ni hatari kazi za bunge ni kushauri na kusimamia serikali kweli kuna jambo hilo mjitafakari.
huyu ndo mpina
Limefuga wapigaji wengi, hapo yakusikiza tu, ilolichama, halina wazalendo ukiwakuta. Wanaapa unajua tumepata mzalendo, balaatupu, sisi tunamkubali JPM % 100
Uko ok uccm hauja kuvaa kabsa kabsa mzalendo wa kweli
Waumbue hao wapigaji
Wanao takiwa kulipa kodi hawaguswi sa TRA wafanyeje ni vigogo.
Angekuwepo JPM hao wote waliotajwa wangenyea ndoo mchana kweupo
Hoja njema,Ila kwa utaratibu wetu 2025 kura hazitatosha kwa amri
🤠🤠🤠
Wasome wanaiba kisome ati trap na tret mm shule sina najulia wap masula la trap na tret
Unatakiwa uwe Raisi 2026 wewe ni mzalendo.
Kabisa
Mpina wewe ndie mbunge uliyebaki mzarendo wote Hawa wapigaji kazi kutunyonya watanzania
Hawa ccm mungu anawaona ipo siku inshaall mungu atawahukumu tuu
Unashangaa nini mbunge wakati mmebaki wezi watupu?ccm ndivyo tulivyo wazoea mkibakitu wenyewe ndo zenu chadema hawamo
Huyo mama yao anawalea
jeshi la m2 mmoja kwamakini watakumaliza unahoja pesa za makinikia? easy to follow difficulty to oppose.
Kiukweli wabunge wetu wapo. Km wale wanyama waotokaga tz hd ke....juzi walimpigia Muigulu makofi wakati anahitisha hili swala leo wanampigia tena makofii Mpina
Mpina mtu na nusu
Sasa pesa izoo mlonazo mnatulaza na njaa watanzania tulokuwa tupo milion 68 pesa iyoo trilion 360 gawa watu milion 68 kila mmoja atapata kias gani tuanzie maisha
Na mlioandika hii taarifa mbona mmeandika trilioni 360 badala bilioni 360 kama anasema mpina?,huu ni upotoshaji wa taarifa sahihi mkifungiwa mnaanza kulalamika.
Mbambamba nyingi bila katiba mpya
Leta hoja binafsi bungeni kuijadili Trat and Trab , wizi mtupuuuu
Nchi hii wasomi tuwaeleweje?
liccm likidondoka ndio watanzania tutakomboka
Dah kumbe Symbion ishalipwa haraka hivi?
Huyu si alikua wazir? anajifanya hajui kinacho endelea? Anahoji bilion 300 mbona hatuambii zilipo trilion 1 .3 zilizopotea kipindi kile yeye akiwa wazir? Kwann hakuongea wawakati ule profesa Assad alipo lazimishwa kustaafu au kwa vile yeye alikua wazir? Ccm ni ile ile.
Muulizeni wazili wa maaliasili ,amefanya janja gani baada ya kuteuliwa.
We ndo mpina bati mbaya kabaki peke yake msukuma kashakula chake
Dah! Ila hii nchi washkaji zangu..... bas tu.
Madudu yote haya ni wakati wa JPM
@@shabaniissa3464 msema pweke mshindi, hayati wetu hawezi jibu..
Ukimsikiliza mpina unajua kua ccm na serikali yake ni wa hvyo na bunge halijui majukumu yake
Mze mpina chapa kazi meshimiwa
Zina samehewaje...wao wanawasamee madeni yenuu
.........
Madeni yapi? Mpaka sasa huna akili ya kujua wanakukopesha walichokuibia?
Majambazi ni mengi mno
JPM aliwahi kusema nikiondoka mimi yatarudi yale yale, ndio haya tuyaonayo hivi leo ni upigaji kila iitwapo leo
Ebwana wee hakuna cha JPM wote ndo ao ao, izo trilion toka 2019, 2020, hela yote iyo imesamehewa na nani?
Bola mungu amfufue magufuli
Kwan pesa zimepigwa wakat gani
safi sana
We
Lissu alisema haya watu wakamuona mnafiki
Mpina pambana mpaka mwisho awo wangine wapigaji na wanajua 2025 apana apana