Shuhudia mwanzo mwisho mwili wa Yusuf Manji ukizikwa Florida, Marekani
Вставка
- Опубліковано 30 чер 2024
- Mwili wa aliyewahi kuwa Mwenyekiti na mfadhili wa Yanga, Yusuf Manji, umezikwa usiku huu Orlando, Florida nchini Marekani baada ya kuswaliwa katika Msikiti Al Hayy.
Manji alifariki dunia akiwa hospitalini nchini Marekani, ikiwa ni miezi miwili tangu alipofanya mahojiano marefu na Mwananchi Dijital akiwa jijini Dar es Salaam.
Siku zote tuombe M Mungu atupe mwisho mwema
Hakika ndio lakumuomba Allah
Kabisa
Mmh mtihan uwo wallah 😢 mwenyezi mungu amsamehe madhambi yake
Sasa kama tajiri kazikwa hivi je masikini anazikwaje huko i love Tz🇹🇿
Huyu SI tajiri Huko Marekani, Tajiri wa Tanzania kwenye Nchi ya Watu Ambao, Wanawaona Wahindi ni Miungu Yao, Marekani watu Huwa hawaende Kula Pilau Kwenye Misiba, Kila Mtu ana Shughuli zake, Kumbuka Maiti ni Mzoga tu, kama Mizoga Mingine.
Maskini unachomwa moto
@@NuruBomba nasikia Wana sagwa au uzikwe kwa kusimama bajeti stidhi
@@NuruBomba nasikia Wana sagwa au uzikwe kwa kusimama bajeti stidhi
@@NuruBomba aridhi yao bajeti
Ya Rab, na sisi Atupe Husniy Alkhatimah Amiin
Maisha ya mwanadamu ni kama maua tu yanachanua baada ya muda yananyauka😢 dunia ni kituo cha kupita tu na kuendelea na safar tusijisahau kwani kila pumzi moja unayopumua ndivyo umri wako wa kuishi unavopungua
Aendelee kumpumzika kwa Amani kweli pesa haina thamani mbele ya kifo, Pendaneni jamani na kumrudia Mungu maana sisi sote tuu wapitq njia tunapata wapi kiburi cha duniani
Well said @hawaelymaricca
Rip
Rip
Umasikini kitu kibaya sana Tz tungefunga barabara nchi za watu familia tu inazika😭
Nasikitika kwamba kwa nini kazi kwa huko,huyu alikuwa ni mtz mwenzetu,huku angepewa mazishi ya hishma kubwa kwa kweli,ila basi,ardhi ni iyo iyo tu.pole manji na wanao.
Mazishi ya heshima hayakupeleki mbinguni
Nilicho gunduwa hawajataka wafiki wa serekali wangejaa kuoji mambo kibao ambayo niyakinafki
C kazi labda alkua na uraia wa hiyo nchi
@@janifajani8875 hakika unacho kiongea nikweli
Baba yake pia arizikwa hapo pia hakuna chaajabu kikubwa duaty❤❤❤
Asiyekujua hakuthamini hii inaonyesha hilo hana watu wanaonjua huko ni familia tu si sawa na huku kwetu ingekuwa hatari maana watu wa mpira na wa ccm mahutuba kibao lakini wapi ila Cha muhimu amefika na Allah tunakuombea umpokee kwa amani😭😭😭
Allaah Amrehem Ampumzishe Fii'jannah, pamoja na Wa Islam wote, Amiin thumma Amiin
Amiin yarrab
Hii sikweli
Kwani nimuuslam yule kama muislam mbonakazikwa hivyo
Innalillah wainnaillaih rajiun..Pumzika Kwa amani ndugu yetu Yusuf Manji.. Allah akujalie kauli thabiti Insha Allah
Allahuma Ameen 🤲🏾
Watu Msijifanye Amjui Omba Mungu Mwenyewe Kabla Ya Kufa Usisubili Kuombewa Umewaeka Watu Wa Kukuombea Duniani Wako.Pia Wanyama Wakali C Bola Uyu Ameonekana Wapi Kazikwa Kila Mtu Ajiombee Akiwa Hai Kosa Lao Lipi Apo Kumzika Eshima Ya Binadamu Uzima2 Ukifa Eshima Yako Inaenda Unakoenda Kukaa Mpaka Kihama Ndio Funguo Yako Ya Moto Au Peponi
Yusuph alikua mtu mwemye roho nzuri sana
Uwe mwislamu,uwe mktisto,uwe mpagani,ainayeyote ya mazishi utakayoganyiwa.Bado hakimu wetu ni mmoja tu!Mungubpeke yake
Uislamu Una utaribu wa kuzikwa na c kuzikwa kama kuzikwa Tu na pia waislamu hakimu wao ni Allah na wakristo hakimu wao ni yesu tunaamini tofauti,Ndo maana waislamu tunaenda misikitini na wakristo kanisani Kila mtu na Mungu wake.
NDUGU YANGU,CHANGAMOTO KUBWA KWENYE MAMBO YA IMANI NI ELIMI NDOGO,ANAETUKANA HAPA,HUENDA HATA "A" HAIJUI,NA AMEKUA KWENYE MAZINGIRA YA NAWA UENDE KANISANI/MSIKITINI,KIUFUPI NI KWAMBA,AMEMEZESHWA MANENO YA BIBLIA AU QURAN,BORA ANGEMEZA MWENYEWE,SASA KAMEZESHWA,MZEE!,KUMTAPISHA ALICHOMEZESHWA NI SHUGHULI KWELI KWELI."DUNIANI MNAYO DHIKI,ILA JIPENI MOYO,MIMI NIMEUSHINDA ULIMWENGU",MWISHO WA KUNUKUU.
Matusi ya nini sasa mnaswara?Pilipili usoila yakuwashia nini? Jikague,nafsi yako inakutosha. Tafuta namna uinusuru.
Kwa Mungu hakuna cha Mnaswara, Ni maisha uliyoyaishi Duniani period. Baki hivyo 👋 hivyo.
Mwenyezi mungu ampunguzie madhambi yake
Inawahusu nn mtu atajuana naMungu wake acha ujinga
Ulaya na marekani hawaziki kama sie uvae sanda tu huko lazima utiwe kwenye sanduku alafu kaburi moja kuna grofa 2 mpka 3 shimo ilo ilo mnazikwa watu 2 au 3 kwa mpangilio lkn au yy Tajiri kwa sabab anawez kuzikwa pekee yake alipie shimo miaka 50 au 100 pia inawezekan uwo ndy utaratibu wao ulaya na marekani yte na canada
Lkin waislam hawazik na jeneza!lkin sasa, kabur moja marehem wa tatu!.... ? Sasa hpo nje majin yakuwaje
Inna lilahi wainna ilayhi rajiuun Allah atupe mwisho mwema
Kengemwenyewe mbwakokowewe hujuikitu mazishi ktk dini ni ibada nakila ibada inataratibuzake acha kusemea mambo usiyo na elimu nayo
Mbona kazikwa ivi subhanallah
Ndo keshazikwa sasa, imeisha hiyo
Ndugu yetu yake yameisha kazi tunayo tulio bakia timche mungu sana
pumuzika kwa amani.
Wangemleta hata tanzania wamuage kwa heshima kaajili vijana wengi katoa support kwa tanzania
Miislamu unamuagaje ndugu popote arrdhi mambo. Ya kusaafirisha musiba hayafai katika uislamu utakapo vutia watu wakuzike hapo hapo
Mbona mwinyi walimuaga@@user-yj5on8cz3e
RIP,,,,, hawa wenzetu watakua na uraia wanchi mbili,Marekani kama sio raia huzikwi huko
TUJIFUNZE KITU HAPA.
KIFO KINAAIBISHA MWILI.
TUSIPAMBANE SANA NA MAISHA YANAYOISHA. Tuzikane aina zote za mwili, tuwekeze maisha yetu rohoni ambako maisha hayakomi. Mali si kitu tunaziacha, tumwachie mungu maisha yetu. TAZAMA VIDEO HII KWA MAKINI UTAELEWA .
Subhallah Huwo Ndio Ukweli Tuaache Kuipa Kipau Mbele Ndunia Kwa Anasa Mali Na yote Yatakayo Kuwa Hayatatufaa Kesho Akhera Tuaangalie Sana Kuhusu Hilo Allah Msameh Mjawako Wajawako Wote Waliotangulia Na Utajaalie Khusnilkhatima Njema Yarabiy..
@@muhammadmuhammad5043 ✔
Enh pumzi Zina tuhadaa sana wanadamu alioko makaburini walikuwa mahodari kama sisi ukiwa na chembe ya Imani Kila siku katika maisha yako usisahau kuhusu kifo tumezaliwa dhalili na tuna Rudi dhalili wallah mwenyezi mungu mkubwa Allah akbar 😭
@@user-wl8qm2yj2c Allah Akbar mwenyezi mungu ni mkuu, tumche yeye tuinusuru ahela yetu tusinusuru vyeo, utajiri na anasa za dunia hii itakayokuja kukunjwa kunjwa kama karatasi na kutoweshwa. Kupitia kifo cha mmoja Mungu huachilia vipindi vya masomo tujifunze, tujirekebu na tujiadibu wapi nafsi na roho zetu zilipo? tuna hali zipi, je ni za dhambi au ni za mema
Ata tukiziacha kwani mbaya tukiwa nazo??
May his soul rest in peace
Mbona sijaona ka mwana ndani Dunia wote ni mchanga
Kuna kuzikwa na kufukiwa inna lillahi wa inna ilayhi raji'un poleni kwa msiba familia ya manji na mashabiki wa timu ya yanga Kuondokewa na mwenyekiti wa zamani
Mungu ninaiombea roho yake kwa mema yake umjalie apumzike kwa amani.
Acheni ushamba kazikwa kislam tofauti kidogo
Em tuambie ndo kazikwaje kiislam hivyo
Hajazikwa kiislam mjomba,usijidanganye😢😢😢😢
Nchi yenyewe ya makafiri. utazikwaje kiislamu marekani uislamu wao wa kuigiza hamna maazishi ya namna hiyo
Mnabishana nini sasa !! Kama kaingia ardhini ndo keshazikwa, hizo sheria ni mbwembwe tuu za humu duniani cha msingi sote tunarudi udongoni, urudi kikafiri, sijui urudi kihindu, sote ni mavumbi !!
@@MinskBelarus-il2tlAmezikwa kiislam kabisa, Huku tunaweza Mwanandani kisha tuzibana na miti, lkn Marekani wanazibia na vipande vya zege. Kwenye mwanandani
Allah amsameh makosa yake na atupe mwisho mwema
NA NDIO MAANA TIMU ZILIKUWA AZIFANYI VIZURI NA WAKO WENGI WANAJIFANYA WATANZANIA KUMBE C WATANZANIA
Dah muombee Dua kwanza timu utaiyacha kama alivyoiyacha
Kumbukeni mwimbo wa Samba Mapangala:"Dunia tunapita eee,binadamu ni mchangaa eee. ......itakayobaki ni milima"
Inna lillah wainailah raji-un.
Hii ndo dunia inayotuhangaisha kutwaa kuchaa,tuishi tutakavyoishi tuwe matajiri tutakavyokuwa au tuwe masikini tutakavyokuwa lkn mwisho wetu ndo huu,kwann sasa tuchukiane😢,visasi vya nn?
Huyu mbona alikuwa mtu mwenye pesa zake:kwanini hakurudishwa Tz way au mwenyewe alitamka azikwe huko? Mwenyezi Mungu muweke mahala pema peponi Amina 😭😭😭😭😭
Ami nimeshangaa kweli kweli kwann azikwe huko jamaniiiii
amin mungu ampumzishe kwaaman
Mbona amezikwa tofauti na maziko ya waislamu
Mabadiliko siku izi tekinolojia
Huko Sio buza ndg yngu n marekan akuna mamb ya kupig chepe
Hao ni mashia, hawafuati mafunzo sahihi ya uislamu
Marekani huzika hivyo acheni ushamba
Kwani ajazikwa au halafu utaka wachimbe likaburi lireeeefu kama bongo mazingira ya Tz sio ya saudia wa USA
Hivi baadhi yetu sisi Watanzania tumerogwa na nani kiasi cha kutumia muda mrefu hata kutukanana juu ya kifo chaYusuf Manji!Tunahoji nini!Mbona hatuhoji kwa nini majizi yanayotajwa ktk report ya CAG hayachuliwi hatua za kisheria?
Mara 1000 wangemsafirisha tanzaniya kuliko huko walikomzika pesa wanazo sijui walifikiri nini kumzika hivo haya mungu mkubwa tumwachiye yeye ndo hakim wa kweli na mjuzi wa wajuzi
Baba yake alizikwa hapohapo nadhani ndo maana yao kubwa awe karibu na mzee
Ili watie stori sio
Aliamua yeye kabla hajafa akifa azikwe alipo zikiwa baba yake huko malekani
Muislam popote anazkwa atanwamzike.vyivyote km Ni MJA WA Pepin ataingua tu ishallah Pepon Allah amsamehe mazambi yk na Sisi atupe mwisho mwema amin
Ila ukimzika vyovyoye bila ya kufuata misiki ya uzikaji ni kosa na watakaomzika hivyo watapata dhambi.
Kwa nn kazikwa Marekani?
Watanzania acheni USHAMBA, ukizikwa na mamilioni ya watu haufufuki. Wenye pesa ndefu hua hawa fungi ndoa za mamilioni ya watu wamejaa wanapenda mambo yawe kifamilia tu!! Kusikia na familia tu, ni sawa kabisa na jambo la busara sana!!
Asant mungu Kwa kuzaliwa tanzania unazikwa na katapila pesa zote izo mungu ailaze roh ya mareem maali pema peponi
Yaan ww acha tu.
Mbona siwaoni masheikh kwa wingi zaidi ya kuwaona member wa frimason tu
May God rest his soul in peace. remember in life you come empty handed you go empty so it is irrelevant how you are buried according to your richness of life on earth.. we came from the ground empty handed we go back to the ground empty handed and leave all our wealth on earth.. All wealth belongs to the creator .. Amen
Huyu jamaa alikuwa ni wa dini gani ? Mimi nikidhani ni muislam lakini naona amezikwa kitwaghuti
Hujaona video yake mwili ukionbwwa msikitini nahayo maneno unazani niyadini gani
KUMBE MANJE ALIKUWA MMAREKANI C MTANZANIA NA NDIO MAANA ALIKUWA FISADI NA WIZI
Magu alijua
Mmh 😢😢😢😢
Nimependa mazishi yake. Mungu ampe kheri
Hata angezikwa vip haimsaidii yey kwenda mbinguni km ni wa kuzimu ni wakuzimu kam ni wambinguni ni wambinguni tu .. kila la heli pesa siyo kila kitu tujitahid kuwa na mwisho mwema 😊
Mbon mazishi hayaelewek kabur fup😢😢
Subiri ufe wewe ,wakuzike kwenye kaburi refu , stupid question
Unaonyesha uko Dunia ya miaka ya zamani sana uko nyuma kama miaka 300 hivi tembea tembea kidogo acha kukaa bongo peke yake
😂😂😂😂huko hakuna waganga wa kwenda kutoa viungo vya binadamu.
Mazishi ya kiislam hayana tajir wala masikini wote ni sawa vazi moja tu nguo nyeupe mungo wa pipi ardhi ndio tandiko mola atupe safari njema na kauli thabit.mola amsameheme makosa yake na mlaze mahali pema peponi amiin .innalilah wainnai laihirajiwn .sisi sote ni wa mola na kwake tutarejea .
Kaziikwa marekani eeeh h
Mbona amezikwa kikristo Manji?
mbona jeneza tena hadi ndani ya kaburi?na anafukiwa bado akiwa ndani ya kaburi?au sijaelewa Dini vizuri.
Innalillahi wainnalillah rajiun
Mbona kazikwa kikafiri😢
😂😂😂
Kiuhalisia hakuzikwa kiislamu,jamani bora angeletwa Tanzania tukamzika!!!!!
Mbona kazi kwa na jeneza
Na mimi nimeuliza hivo hivo
Rip 😭😭😭🙏
manji Gani huyu aliekua muelekezaji wayanga au
Ndio yeyw
razima apate ugonjwa wamoyo mana kasheshe alioipata awamu ya tano sio mchezo
Yaani ndugu zangu nyie ni washamba akyamungu,sasa mlifikiri ulaya wanazika kama nyingi wamakonde wa kumemena!?? Shenzi!.
Sio ushamba ni uelewa tumekaa huko ulaya na mpaka sasa tupo inategemea kuna watu wamezikwa kama bongo tu ispokua Huyu hakua muislam wa dhehebu la suni ambao hao wamezoea kuzika huku ni hiari yenu hulazimishwi uzike vipi so hakuna standard ya watu wazikweje
We mngese umakonde umekujaje hapo? Muka Sana ww koto kubwa Sana Acha au utonambwa? Au lwafinau? Wamakonde ndo mfano wako cndyo Acha upuuzi
INNALILLAH WAINAILAH RAJIGHUNA 😢
🙏🙏🙏
Amezikwa kiislam ndugu zangu hapo usasa ndio mwingi sema tunataka vumbi litimke
Kiislamu wakati maiti imekazws kichalichali.
Maiti ya Kiislamu kaburini hailazwi kichalichali. Kama si Muislamu nakuomba usinitusi.
Rest in peace
Innaalillah wainnaailayh raajiuun 😭
Jamani mbona mnatoleana mapovu kiasi hivyo sisi ni waja wa Mungu na kwake tutarejea.
Matendo yake mtu ndiyo yanayomkutanisha mtu na Mungu wake na si aina ya maziko. Wapo wanaoungua kwenye nyumba, magari au ndege. Haimanishi kwamba hawatauona ufalme wa Mungu.
😢😢😢
Dini haina nchi ya watu
Stephano wewe ni noma
WAHINDI WALITAKA WAPANDE NDEGE KWENDA MAREKANI KUMZIKA NDUGU YETU
Huu ndio mwisho wa kila mwenye mwili baada ya pambano kali la maisha ya dunia hekaheka za kusaka mali majina na heshima mwisho unalazwa mavumbini kama alalavyo mnyama kimya hakuna longo longo wala hakuna ukanja nja amli ni moja kusubili mshahala kwa kazi zetu zote
Ww acha tu
Unaesema acheni udini we ni zombi aujui misingi ya imani ya kiislam ko tulia
Inalillah wainna ilaih rajiuun
Kuna tabia za kijinga kupitiliza. Nilifikiri waumini wa imani yake wangetumia muda wao kumwombea dua muumini mwenzao badala ya kulalamikia mazishi yake, kwamba kazikwa kikafiri!
Inawezekana wee ndo ukawa mjinga mana hutambui hisia za watu na Iman zao kwa Mungu wanao Muamin!badala yake ubongo wako unatukuza tamaduni za watu na kutoamin kinachotakiwa ukiamin
Kwali Dunia si kitu tajiri anazikwa na greda alaah ndio Kila kitu
Tafuta pesa usafiri acha kukaa bongo huku ulaya hatunaga muda wa kushika koleo tunafukia na Gleda kurahisisha kazi
Sorry jmn napenda kujua kwani alikuwa ameshahama Tanzania anaishi Marekan? Na je ni muhindi au mwarabu?
Shia alien kimatibabu
Tz wanakuja kutuibia tu, matajiri walio wengi wanaishi nchi za kitajiri
@@user-sj1rf8ij7falikua ktk matibabu ya muda mrefu, tuache chuki maisha ni mafupi, yy nitajiri aliweza kupata matibabu nchi yeyote ile,kuhusu utajiri wake hakupata bure alitumia akili na jasho lake! Kama nirahisi kafanye nawewe tukuone
kuzikwa usa 🇺🇸 inamana anacheti cha uraiya wa marekani yoyo ambeye anacheti chamarikani lazima azikwe marekani ajalishi kafia wapi
Kifo Cha yusufu manji ni mawaidha Kila mmoja ajiandae na hayo makazi ukisema ni WA motoni nawewe unajijua ni wawapi? Kila mmoja ajijadili yeye mwenyewe atakufa wapi na atakwenda na Nini Kwa mola wake huwezi kumuhukumu mwenzako nawewe hujajua hukumu Yako fikiria na wewe hukumu Yako ukimjadili mwenzako utapata hasara.
Kwa maana hio huyo Manji amezikwa Kiislamu ama? Nauliza hivyo maana nahisi kama wameilaza maiti chali. Sijui nimeeleweka.
Naomba nijibiwe na Waislamu tu. Ndio watanielewa.
Allah amrehem😢😢
Dahh mbona hajazikwa kiislamu
Matajiri wakizika hawachafukagi na mchanga wa kaburini hiyo mambo kwao mwiko
Inna Lillah wainna ilayhi raajiuni allah ampe kauli thabit
Hii safi wakuda kule
R.I.P Manji
INNALILAAH WAINAIRAH RAQIUN
Tumrudie yesu kristo
Tajiri unazikwa na mikatapila Ama kweli dunia tunapita
Naunapoteza muda kumjadili mwenzako jijadili wewe mwenyewe
Uislam wa magharibi bana asa ndo vitu gani sasa
Yn hjb i
kwan manji hakua mwislamu mbon kazikwa na sanduku ?????
Mm uyu si muislam uyu ss mbona wmazima ivi kaa mungu wangu
Inaonyesha hujawatoka nje ya bongo pole sana iko siku utajua mazishi kama hayo ndiyo mpango mzima
@@guydonacklandgereta3805yani ngumu kuwaelimisha hawaelewi niutaratibu wa pahala uliko, na kufuata utaratibu kwa nchi kama hizi nikawaida mbona
@@guydonacklandgereta3805captain waonesha una ulimbukeni fulani wa maisha ya nje ya nchi eneee????
Nawao wakazikwe kalifonia km niraic
Kila Tz akili zetu matokon kazikwa vibaya mara aletwe Tanzania kwani ukizikwa tanzania ndo unaenda mbinguni au??? Yaaani mtu akifa hana thamani tena tendeni mema mkamrudie Muumba wenu ili mkifa roho zetu zikastareheee
NA MTOTO WA KIKWETE NI MUUJUMU UCHUMI ALIKUWA ANA TETEA SANA MANJE
Innallillah waina ilaih rajuun, inafikirisha kidogo mbona kama amezikwa si katika nguzo za kiislamu?? nauliza kwa hoja
Sisi huzikwa kwa sanda, pia huifadhiwa kweny mwanandani si kwenye jeneza.
BINADAMU HAPPO NDIO MWISHO WETU TUKAE TUTAFAKARI DUNIA NI MAPITO
Haya sio mazishi ya kiislamu..
Elewa kila nchi in taratibu zake za kuzika
YA KI ISLAMU YAKOJE
haya ndiyo maziko sahihi
unazijua haki za maiti wa kiislamu?
kasome uelewe kwamza
@@hamynaskasome ww kwanza maana hata huo uislamu huujui
Ml@@hamynas
Si wangemsafirisha tu kwao tz