CAMERA ZA SIRI ZILIVYONASA WIZI WA MAMILIONI / WAZIRI BASHE AWA MKALI, "INATOSHA".

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 тра 2024
  • CAMERA ZA SIRI ZILIVYONASA WIZI WA MAMILIONI / WAZIRI BASHE AWA MKALI, "INATOSHA". #breakingnews #trending
    GADI TV ndiyo
    Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kwa huduma ya Matangazo au Habari pamoja na maoni na ushauri usisite kuwasiliana nasi kupitia namba za simu +255 769 780 063 au e-mail: gaditvhabari@gmail.com
    Don't forget to SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT and SHARE!!! # GADI TV
    Thanks.

КОМЕНТАРІ • 262

  • @mohamedS-yd9wh
    @mohamedS-yd9wh Місяць тому +36

    Mh. Bashe kwa kuwa upo kwenye kusema ukweli kutetea haki zipatikane kwa wanaostahiki kutetea wanyonge Allah akusimamie akuhifadhi akujaalie elimu busara hekma na ujasiri

  • @zuwenarajab6675
    @zuwenarajab6675 Місяць тому +28

    Waziri Bashe na waziri Silaa nawakubali sana. Allah awahifadhi na walinde na kila shari.

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 Місяць тому +12

    Mwenyezi Mungu akulinde Mh BASHE . Iendelee kuwapigania Wakulima wa TZ.

  • @abdulrahmanally1412
    @abdulrahmanally1412 Місяць тому +19

    Bashe you are the outstanding Minister and you deserve more

  • @thomassenga2526
    @thomassenga2526 Місяць тому +18

    Safi kabisa kijana piga kazi

  • @danielmsuya720
    @danielmsuya720 Місяць тому +2

    Bashe Ubarikiwe sana wewe Kijana Mungu akutunze.

  • @hillshipping5117
    @hillshipping5117 Місяць тому +6

    Kwakweli wewe Bashe,slaa Allah awalinde kwa hassada zao wanao taka kuwachafua mnaweza na mtaweza zaid hakuna kurudi nyuma mpaka kieleweke inshaAllah

  • @55goodmen
    @55goodmen Місяць тому +24

    Huyu Mh Bashe is hard worker jamani abarikiwe sana hes intelligent wise and genuinely PAN AFRICANiST...Africa we badly need these heros i believe he can be even be a President !!!

  • @vivianjosephsamwelimushi2345
    @vivianjosephsamwelimushi2345 Місяць тому +6

    mungu akusimamie kwa kazi nzuri waziri bashe uwazi ndio maendeleo ya taifa

  • @allynassor1119
    @allynassor1119 Місяць тому +4

    Nakuelewa ktk kupambana na haki mungu akuongoze ktk kusimama na Tanzania

  • @shabaniramadhani8026
    @shabaniramadhani8026 Місяць тому +27

    Una sifa zote za Uwaziri brother

    • @EK-kp2np
      @EK-kp2np Місяць тому +1

      Zaidi ya uwaziri 🤲

  • @mwaisumbemwaisumbe2585
    @mwaisumbemwaisumbe2585 Місяць тому +8

    Brilliant minister 👏

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n Місяць тому +12

    Wanatupiga sana mkuu ata kwenye mbaazi..

  • @NescharlesMalando-xm6lg
    @NescharlesMalando-xm6lg Місяць тому +6

    Safi kbx bashe!!tunahtaji viongoz kama wew!!

  • @adeltuszakumuha9618
    @adeltuszakumuha9618 Місяць тому +8

    kila siku CAG anasema wizi hakuna kinachofanyika.

  • @bharyasarbjit1187
    @bharyasarbjit1187 Місяць тому

    Hongera sana sana sana Mhe Bashe wewe Simba kabisa you know how to Handle Tapelis so keep it up Help the Poor Hardworking Farmers. Hongera sana kwako na RC songwe. God bless you Always..

  • @fatmamsindi4612
    @fatmamsindi4612 10 днів тому

    Asante sana Mhe. Rais Samia, kuona hiki kichwa na kumpa full minister.Bashe is very Intelligent.I like him

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur Місяць тому +6

    Mh, Bashe mimi siku zote nasema Ushirika ndiyo chanzo cha umasikini katika Nchi hii

  • @upendoeliya7682
    @upendoeliya7682 Місяць тому +1

    BASHE MUNGU BABA AKUPE UHAIIIII MREFUUUUI
    NAKUPENDAGA SAAANA 💕

  • @sabinuskomba2535
    @sabinuskomba2535 Місяць тому +3

    Very excellent, Mwenyezi Mungu akulinde

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Місяць тому +13

    Ufisadi tu,mko kuleana, nchi ni shamba la Bibi kweli,mama anakula nao mafisadi wenzake, RIP JPM

  • @peterlangay6469
    @peterlangay6469 Місяць тому +9

    Ila nimefikiria sana nikagundua kumbe tanzania watu wenye uwezo wa kuwa maraisi wapo wengi sana shida ni kuangaliana usoni tu

    • @ThomasIkerrs
      @ThomasIkerrs Місяць тому +2

      Wapo wengi,ila hawatakiwi, kwa kuwa wanazuia kula za watu.

  • @JacksonMtese-gn4so
    @JacksonMtese-gn4so Місяць тому +9

    Bravo

  • @sebastianmwakulya8146
    @sebastianmwakulya8146 Місяць тому +1

    Safi sana mh waziri unjua na mungu akubariki endelea

  • @deogratiusmakindamakinda3797
    @deogratiusmakindamakinda3797 Місяць тому

    Mungu ni mwema kazi nzuri waziri bashe siku zote msema kweli hapendwi

  • @andrewmagwila1602
    @andrewmagwila1602 Місяць тому +2

    Watu wanaosimama kusema umweli vita yao huwa ni kubwa sana nakuombea sana Mungu akulinde na kila visasi juu yako kwa haya uliyosema wakisikia lazima watapanga vita na ww ndio maana nasema Mungu akulinde sana mh waziri bashe nchi hii Inamuhitaji sana Mungu watu hawana huruma kbs wamekuwa walafi kupindukia utadhani wataishi milele hapa

  • @MARKOLuoga-lx9yw
    @MARKOLuoga-lx9yw Місяць тому +8

    Hata kwenye mahindi tozo ninyingi mheshimiwa wapunguze

  • @khomeinially3165
    @khomeinially3165 Місяць тому

    ❤Mashaa allaah Mashaa Allah wallah nakupenda sn kwaajili ya aallah uko sawa n unaumakin sn ktk wizara yko allah akuongoze n akunusuru n hasad inshaallaah

  • @KioJuma
    @KioJuma 3 дні тому

    Namfuatilia bashe miaka mingi yupo 10000% ana kipaji sana atumiii nguvu km mpina jamn unaarufu ni kipaji uasitumie nguvu mpina

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Місяць тому +1

    Musimusahau ally happy wapo watatu tu bashe silaa nahuyu jamaa wapo vzuri sana munguawalinde

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk Місяць тому

    Hongera Mr Bashe wafungwe jela maisha hao hawafai

  • @TwahiliMassudi
    @TwahiliMassudi Місяць тому +2

    Saf sana mkuu wa kilimo umetishaa mkuu

  • @KioJuma
    @KioJuma 3 дні тому

    Hicho ni kipaji kw bashe mungu akulinde yaan anafafanua mpk rahaaaa

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Місяць тому +1

    Waziri bashe mtuu wamaana kabisaa asante sana na mungu akubariki na ambariki raisi kwa kukuteua kututetea wakulimaa mtu wamaana kabisa

  • @DM_15
    @DM_15 Місяць тому +1

    Sasa brother Husen Bashe kwanini tusikuombee kwa Mungu maisha yako iwe njema! Trust me Mungu kasha sikia hiisauti yangu kitoka ndani ya moyo wangu naye Babayangu wa mbinguni atakubariki sawa sawa na impendezavyo. Amen

  • @matildayasini1777
    @matildayasini1777 Місяць тому

    Mh. Bashe Allah akusimamie katika shughuli za kuleta maendeleo na kuinua kipato kutokana na kilimo nchini Tanzania.

  • @user-bm5ov6kx3c
    @user-bm5ov6kx3c Місяць тому +1

    ❤❤❤❤duuu amakweli sisi tu ndio tunakula ugali dagaa hii nchi inapigwa tungefanana na Dubai

  • @iddimakunguto3143
    @iddimakunguto3143 Місяць тому +2

    Ongera sana mh.

  • @hillshipping5117
    @hillshipping5117 Місяць тому

    MashaAllah, Allah akusimanie kwakweli wakulima tunaumia mm nimeanza kilimo mh bashe kaza hivyo hivyo wacha wapige miruzi hawalijui wafanyalo nikweli wanataka kukuchafua Allah atakuengua kwa hassada zao hawata kupaka matope hao waongo pambana Bashe msaidie mama samia huna baya wache na laana zao pambana Allah atakunusuru kwa kila mabaya yao wataadhirika hao.

  • @FidasMwaiteghelesya-hw9qs
    @FidasMwaiteghelesya-hw9qs Місяць тому

    Hongera Bashe ila siasa safi sana alie tufunga ndiye alie tufungua sisi ni asante

  • @angelnicholaus9248
    @angelnicholaus9248 Місяць тому

    Kweli hii wizara inakufaa,nakukubali sana mr.Bashe.

  • @godwinkasaizi882
    @godwinkasaizi882 Місяць тому +1

    You always smart. Big up

  • @nazraseiban1082
    @nazraseiban1082 Місяць тому

    Surely you are a patriot...congrats👏👏👏

  • @HulumaKisakali
    @HulumaKisakali Місяць тому

    Asante wazili Mungu akulinde unatutetea wwanyonge tunaibiwa sana

  • @BigoIshanshu
    @BigoIshanshu Місяць тому +1

    Mungu wangu, Bashe ni JPM mtupu, mungu amlinde baada ya samia tunahitaji kiongozi wa namna hii

  • @user-oo3kc2cj8n
    @user-oo3kc2cj8n Місяць тому

    Ukiwa bungeni ni hv sasa big up sana bashe sio kama wengine kazi yao kunyoosha tu tai na kupiga makofi hawachangii maendeleo apana

  • @PraisefulFAITH-pr8sc
    @PraisefulFAITH-pr8sc Місяць тому

    Upo vizuri mhe.

  • @allykalaile-ek3zg
    @allykalaile-ek3zg Місяць тому

    safi sana muheshimiwa bashe upo vzr

  • @margarethmwaibasa3697
    @margarethmwaibasa3697 Місяць тому

    Waziri Bashe Yesu wangu akulinde dhidi ya wasiopnda kuambiwa ukweli.Hakika wewe ni shujaa usiogope Mungu atakuwa upande wako atakulinda utokapo na uongiapo na ulalapo.

  • @nassorshaaban7295
    @nassorshaaban7295 Місяць тому +3

    Nakupenda sana kiongozi Acha Tumuombe Mola ajaalie uje kuwa Rai's Kwa Nchi yetu hii

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Місяць тому

    Mungu ni mwema❤kaka bashee Mungu akutunze sana ulinzi mkubwa ni Mungu tu

  • @tiijuma795
    @tiijuma795 Місяць тому +2

    Ah mie napita tu sina uwezo wa kutafuta wakili anisimamie kesi. Ikiwa makofi kidogo waniite tu nije niyaongeze kw tukio lilofanyika🚴🚴🚴

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv Місяць тому

    Huyu BASHE is very important minister in our country

  • @paulremigiuspaul3293
    @paulremigiuspaul3293 Місяць тому

    Stay blessed Mkuu

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Місяць тому +1

    Saf sana bashe huwa nakukubali endelea kutetea wanyonge ilitakiwa wafikishwe mahakamani ila ndoivo tena

  • @petromasolwa9754
    @petromasolwa9754 Місяць тому +6

    God bless u Bashe

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Місяць тому

    safi sana mh mbashe nakuelew sana bro

  • @-ef3wr1087
    @-ef3wr1087 Місяць тому

    Uko Sawa Tanzania Tunakupenda sana

  • @ahmadseaman3487
    @ahmadseaman3487 Місяць тому

    masha Allah
    thanks so much

  • @KioJuma
    @KioJuma 3 дні тому

    Mpina umuwezi bashee maan bashe anakipaji marais wote wamemchagua kuwa wazir ww mpina ujachaguliws vipindi vyote jiulize bashe anajibu kw points technically at siss tusiosoma anaeleweka muda kiasi akuna tenda msimu yupo technically sana sana namtabiria wazir mkuu ajaw bashe anajua kujibu ni kipaji sana basheee

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Місяць тому +4

    Sioni mwingine katika Mawaziri, labda kidogo Dotto!

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani1186 Місяць тому

    Mwenyezi mungu akupe uzima na afya uendelee kuwatetea wakulima

  • @lawskuli9876
    @lawskuli9876 Місяць тому

    Hawa ndio aina ya mawaziri tunaowataka kwenye nchi hii. Hongera Mhe. Bashe but take care kwani wapo wataochukia

  • @matungwaByarugaba
    @matungwaByarugaba Місяць тому

    Tuna kukubali kaka.unaichapa kazi.Usisahau zao la miti hakuna bei wala aoko rasmi boss wangu.Nakuombea uzima kaka Bashe.

  • @estonmosha769
    @estonmosha769 17 днів тому

    This person is something else

  • @MasumbukoKilunga-mf7sg
    @MasumbukoKilunga-mf7sg Місяць тому

    Huwa nakuelewa vzr Sana Broo

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r Місяць тому +17

    Mama ukimaliza mdawako mungu akijalia muangalie huyu bashe mpigie hatadebe awe raisi wetu,

    • @kasimkassam9565
      @kasimkassam9565 Місяць тому +1

      makonda naye y uko vizuri sanaa

    • @adeltuszakumuha9618
      @adeltuszakumuha9618 Місяць тому

      Acha hizo

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 Місяць тому

      ​@@adeltuszakumuha9618asilimia kubwa ya wanaocomment humu wanajaji mtu kwa kazi moja tu nzuri waliyoiona.

    • @valenakomba7686
      @valenakomba7686 Місяць тому

      JAMANI UCHAGUZI WA 20/25 TUUANGALIE UPYA. YUSIMCHAGUE MTU KWA KUMUONEA HAYO. TUWE WAKWELI JAMAANI..HASA SISI TUNAOTESEKA KIMAISHA TUANGALIE SANAA .

    • @jeffhard5773
      @jeffhard5773 Місяць тому

      Hapa tunaongelea bashe na sio makonda Wala madereva

  • @WaibiFrederick
    @WaibiFrederick Місяць тому

    Stabilization fund very good approach. to agricultural development program for our farmers.

  • @user-je5uc6bd8m
    @user-je5uc6bd8m Місяць тому

    Mungu akuepushe. Na mahasidi. Wasiotaka maendeleo ya watanzania

  • @robertgallus85gallus52
    @robertgallus85gallus52 Місяць тому +1

    Hili ni jembe haswa,Mungu akulinde Baba.Tunataka viongozi km wewe.

  • @Jal210
    @Jal210 Місяць тому

    Great minister mheshimiwa Rais you have good section of the Kilimo minister

  • @saidkhalifa34
    @saidkhalifa34 Місяць тому

    Huyu nikweli msaidizi mzuri wa mh Rais hongera sana mh Rais

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 Місяць тому +1

    Mawaziri ni wawili tu, Mh bashe na Mh Jerry slaaa

  • @Mina.15
    @Mina.15 Місяць тому

    Good job 👏 my cousin we love you 🥰 🇺🇸🇺🇸

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva1719 Місяць тому +1

    Mama nnaomba PM akistaf naomba BASHE awe pm.
    Mtanishukuru baadae

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee Місяць тому +1

    Bashed, slaa, doto bila kumsahau makonda ingawa so waziri watanzania tunawaelewa sana

  • @sophiemsuya6507
    @sophiemsuya6507 Місяць тому +1

    Kwa nchi hii, hayo ni ya kawaida jamani. Hiyo ifanywe kwa wizara zote mtaona mengi Sana. Watanzania wa hali ya chini tunateseka sana kwa mambo mengi mno.

  • @bahatikamihanda3689
    @bahatikamihanda3689 Місяць тому +1

    Ndg zangu watu kama Bashe wapo ingawa ni wachache,tatizo ni kwaba juhudi zao haziugwi mkono na mfumo utakuta wote walio usika ktk wizi huu wataendelea kupeta tu! Mwisho wasiku Bashe atapigwa chini atawekwe mwana siasa fulani kama Nape tutarudi kulekule.

  • @user-xy9xf9re9y
    @user-xy9xf9re9y Місяць тому

    Mungu akubaliki Kwa kusema ukweli ao Wacha Fu Wana sthaik kufukuzwa kazi mara1

  • @agathonkalolela9278
    @agathonkalolela9278 Місяць тому +4

    Mungu atakulipa bashe! Wewe ni mtu na nusu

  • @ebitariho9720
    @ebitariho9720 Місяць тому +1

    Hizi ndio kazi za intelligence inatakiwa ifanye . Sio mambo ya kukimbizana na chadema

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt Місяць тому

    Oooh allah nakuomba mola wangu simamia haki itendeke kwa uwezo na utukufu wako

  • @alinaswesimkonda7951
    @alinaswesimkonda7951 Місяць тому

    Bashe binafsi nakukukbali Sana, tusaidie na huku Momba Songwe, bei ya Mpunga ni ya chini sana

  • @isayaamulike
    @isayaamulike Місяць тому

    Sihangaiki na udhaifu wako
    Nazingatia tu ubora wako Mungu akulinde mheshimiwa

  • @ScolasticaKinyage
    @ScolasticaKinyage Місяць тому

    Mungu akubariki baba.

  • @mossyfimbo3577
    @mossyfimbo3577 Місяць тому

    Sasa tumesikia kazi nzuri saana Waziri ongera sasa wezi mnawajua je mnachukua hatua gani kwa hao walio chukua Mabillion ili hayo yanarudishwaje

  • @kamndemwakitosha1439
    @kamndemwakitosha1439 Місяць тому +1

    Wale vijana waliopelekwa kwenye Mashamba kulima, maendelelo vipi?

  • @julianamwalongo6047
    @julianamwalongo6047 Місяць тому

    Karibu Sana mtwara

  • @user-cf9oi4xr9n
    @user-cf9oi4xr9n Місяць тому

    Nakukubali sana

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa237 Місяць тому

    Mbona kwenye mitandao Mh Bashe anasemwa vibya dhidi ya Mkuu wetu?
    Huyu Mh kweli si mchapa kazi tu bali ni muadilifu kwa nchi yake .

  • @EdwinMtokambali
    @EdwinMtokambali Місяць тому +1

    Wewe ni mtoto wa mkulima kitengo umekiweza mh.waziri ✓

  • @innocentkyungai1138
    @innocentkyungai1138 Місяць тому

    You deserve to be president of this country

  • @hassansalumkuvenga
    @hassansalumkuvenga Місяць тому

    basha mungu akujalie uwe na moyo huohuo mana wakulim wanateseka sana

  • @proscoviarwegasira4946
    @proscoviarwegasira4946 Місяць тому +4

    Sasa hiyo ni wizara ya kilimo, je wizara zingine kuna usalama?

    • @rabomunde3550
      @rabomunde3550 Місяць тому

      Mmh!
      Ndugu yangu tunapigwa nchi hii

  • @HassanHaji-uu8km
    @HassanHaji-uu8km Місяць тому

    Kwani ni DHAMBI kwa kila mwenye MADARAKA kuwa MUADILIFU? Hizi ni zama za viongozi kujitathmini wenyewe kabla ya kutathiminiwa na RAIAA. Minister Bashe go go goooo, "IF GOD BE WITH YOU, NONE CAN BE AGAINST YOU my brother.

  • @restcyprian1598
    @restcyprian1598 Місяць тому

    Fanya kazi mh. Ndiyo maana watoto wa maskini hawapati haki

  • @rosesemkiwa3338
    @rosesemkiwa3338 Місяць тому

    Mungu wangu simama na mtoto wako Bashe

  • @husseinomary-dg1wx
    @husseinomary-dg1wx Місяць тому

    Mungu akulinde ila hao ina bidi wauliwe maana wezi wanakufa ntafulai wakiukumiwa kifo

  • @fikrahuru9452
    @fikrahuru9452 25 днів тому

    Karibu na Mbozi kwenye kahawa tunaibiwa

  • @drkalokola5861
    @drkalokola5861 Місяць тому +1

    Watanzania waminifu wote wamekufa