YESU SI MUNGU MASKOFU WAMJIA JUU MZEE WA UPAKO
Вставка
- Опубліковано 3 чер 2024
- #GRC kwa mzee wa upako (Athony Lusekelo)
Follow our Social Media:
FB: / mzeewaupakotzz
IG: / mzeewaupako_tz
TIKTOK: / mzee__wa__upako
Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za UA-cam Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.
Haqq siku zote inakaa juu, Ahsant mzee Allah akuongoze ktk uislam
Isaya 9:6 ...Naye ataitwa jina lake, mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu
Hii ndio njia sahihi ya kutetea Yesu Kristo kuwa Mungu.
Neno litasimama milele.
13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; (Tito 2:13)
Baba uko sawa nakubali na unatuelimisha hiyo kazi ni ngumu sana mungu akutie nguvu
Mnapotozwa Alafu mnasema mnafunzwa
Anakupoteza hakufundishi
@@SiriliNachan kwahyo ww unaona uko sawa mungu kumfananisha na mwanadamu mungu hana ushirika na kumbe chochote haitaji nguvu nyingi kutambua hilo
❤❤❤❤❤❤Kipawa nilichonacho nilikitamani kutoka kwako miaka hiyo. Nilimuomba Mungu akanishushia biblia ikanijaa kichwani, chanzo ni ww.
Jeremiah 10:16,19
Warumi 9:5
Nachomkubali @mzeewaupako anajenga msingi WA andiko Kwa uwazi WA maandiko MENGI. Sio Hawa wengine wanaotegemea andiko Moja lisilo WAZI. Wewe ni Chief Bhana
Watu hawakumwelewa Yesu na hawata mwelewa milele. Yesu alikuwa binadamu aslimia 100.
Ajidhaniae amesimama aangalie asianguke
Tabiriwa na manabii kama yeye waseme utakuja,zaliwa kiroho kama yeye,fufua watu kama yeye,tebea juu ya maji uliwa na usurubiwe fufuka siku ya tatu na upae angani ikielekea paradiso,kama wewe ni mwanadamu kama yeye.
Kuna watu walikuja kuwapoteza kwa kuwatia iman nakuwafanya wasitumie akil na ndo mana wanajifichia kwa roho mtakatifu pale unapowambia ukwel ila naamin kupitia mchungaj wao kuna vitu vtawafanya watafakar
Km ww usingemwelewa ndo mana bibilia inasema alifanyika kuwa mwili ko yesu n mungu
Mzee wa upoko ni muukweli
Kondoo aliyepotea
Allah akuongoze zaid.imebaki sehem ndogo tu utakua umenyoooka mzeee
Anapotea
Upofu wako ndio kikombe chako , ila Mungu n mwenye rehema anakuhtj Zaid so sisi kama wakristo tunakuombea uione rehema n pia jifunze kusoma bible vizuri n roho mtakatifu akuongoze uyapate mafunuo haya , maaan mpinga kristo yupo mbioni n anafamya kazi
Ck zte ukiamua kua mkweli jipange mawe utakayopigwa n mengi sn, keep up Lusekelo Allah is the only God✌️
Ashapotea huyo
Asante cheef Kwa mafundisho yako
kwani mshikaji wa upako kakosea wapi mi kwangu sahihi mungu na yesu vitu viwili tofauti
Soma Neno Mzee wa upako wafilipi 2:5-10 jitahid kujua unabii acha kudanganya watu wa Mungu na msome nabii Isaya vzr
Yesu ni Mungu.
Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.
Isaya 9:6
Ww hushasema mtoto amezaliwa huo ni mpango wa Paulo Yesu katabiriwa na malaika gabrieli na hutabiri huo aliyopewa bikira maria kuwa hatapa mtoto na mtoto huyo jina lake hataitwa Yesu sasa huo mpango wa mtoto amezaliwa jina Emanuel ni mpango wa wapagani waliokupeni dini ukisoma matendo ya mitume 11:25-26 hutapata jibu
Mungu hajazaliwa na yeyote wote waliozaliwa na mwanamke siku zao za kuishi ni chache Mungu hana mwisho
mungu haonekani na bibilia inaema vivyo na atakae muona mungu anakufa sasa iweje yesu awe mungu
acha kukalili
someni maandiko
jamani, acheni mambo ya kurithi
Tutumie akili zetu mungu alizotupa,, mungu atatuuliza tulizitumiaje
Kwahio mungu alimuumba maria ikisha maria akamzaa mungu na kumnyonyesha. Ikisha mungu akakamatwa na binaadam akauliwa na binaadam 😂. Yani mnaona kama kungu ni kipande cha nguru eeh
Mungu hawez kutahiriwa na kiumbe wake aliemuumba,
Swadakta
Yeye mwenyewe anaajichanganya, mwili wa nyama aliotoka nao kwa Mariam aliuvua palepale alipokufa msalabani, anasema Yohana baada ya miaka 30 alimwona akiwa na. Mwili mwinginekabisa, mwili wenye utukufu, anasema alipomwona alizimia, kwanini azimie maana alimona Mungu. Tizama sifa alizomwona nazo, macho kama miale ya moto, sura kama mwangaza wa jua, sauti kama wa maji mengi nk. Alikua na mwili wa utukufu, mtukufu ni Mungu tu, kwanini manajichanganya afu mnasifiana.
Kwahilo lakusema alitahiriwa ni pale unapomwangalia Yesu kibinadamu, ili akubalike katika jamii ilibidi afanye hayo ili aishi na jamii Ile ili aweze kuwahubiri Habari njema, hebu fikiria kama angekuja kwa utukufu ule wa mbinguni, nani angeweza kuwa nae karibu? Alijishusha ili injili itufikie. Kwahiyo usimwangalie Yesu in a human perspective. Mtizame Yesu yule aliekuwepo kabla ya Ibrahim babu yenu, Yule Yesu katika Yohana 1:1-14, yaani pale tunaposoma kuwa alikua neno nae neno alikua kwa Mungu, nae neno alikua Mungu, akafanyika Mwili nao utukufu wake tukaona kama utukufu wa mwana pekee wa Mungu. Jamani kwanini hatusomi maandiko? Yaani alikua kwa Mungu nae alikua Mungu. Ila sisi wanadamu tukamwona kama mwana pekee wa Mungu. Mnataka andiko lipi mjue kuwa alikua Mungu? Ee baba wasamehe maana hawajui wayafikiriayo.
Nyie ambae mmeshawahi kumuona Mungu tuambie anafananaje?
Yesu ni mtume kwa wana waisirail tu sio dunia nzima
Kwaiyo we unapindana na yesu au maana yeye anasema ametumwa ulimwenguni ili kuokoa ulimwwngu
@@rogatimushi689 bibilia haibadiliki maneno yanakua ni yale yale binadamu ndio mnabadilisha
Pole
Uko sawa mzee kabisa yani mungu hazai hajulikani alivyo yesu watu waliish nae na alimuomba Amuepushe na baraa
divine guidance
Mzee wangu nimekuelewa❤❤🎉🎉
Lazima wapinga kristo watokee ili unabii hutimie kwahiyo Mimi sishangai hiyo kwasababu na juwa tupo mwisho wa Dunia na hayo yote yalisha tabiliwa habali za mpinga kristo
Wana macho hawaoni wanamaskio hawasikiii leo sio Muislam kasema kukwambia Mungu ni mmoja bali mzee wa Upako ndio anakuwekeni wazi kuwa Mungu mmoja na Yesu sio mungu
Yesu n mwana wa mungu na mungu hazai binadam anazaa mungu
Yesu siyo Mungu. Mwenyezi Mungu ni mmiliki wa Ulimwengu ambao una Sayari zaidi ya Trillion 2 na anajua vilivyomo. Yesu si mmiliki na hajui chochote kuhusu Sayari zote hizo. Mungu hana hofu lakini Yesu alikuwa na hofu wakati alipopata habari anatafutwa na maadui zake. Mungu hajaribiwi na Ibilisi lakini Yesu alijaribiwa.
Yesu alimjibu shetani usimjaribu bwana Mungu wako , soma biblia wewe
Yesu ni Nabi tu wala siyo Mungu
@@user-wq4pl5dv6bpia hajamaansha hvyo ulvyoelewa ww.
Anamaansha pnd akfanya km shetan alvyomuamulu bc atakuw kamjaribu Mungu baba
Ukweli tusiopenda kusikia
Mungu atatutia nguvu hata mbuyu ulianza kama mchicha
Ungekua unajua vyema maandiko unpeeled kuwa huu si ukweli ni upotofu. Wanafunzi wake wakamuuliza unasema unakwenda kwa baba tuonyeshe basi huyo baba, akasema nalikua nanyi siku zote hamkunijua? Lakini maeneo mengi tu anajitanabaisha kuwa mimi niko ambae niko, mimi ni alfa na omega. Lakini maandiko yanathibitisha kuwa Yesu ni Mungu, ukitamani tuyachakate nambie tuendelee nikuthibitishie.
soma Yohana Sur ya 1 yote hapo utaelewa uungu waYesu
@@joshuandone468 kweli lakini hakusema yeye ni Mungu... ndio point yake anakusudia Kwa Nafasi yake yesu kulinganisha na Sisi wanaadam Daraja yake ipo Juu, ila kwa Mungu Hafanani nae. I think Hapo ndio Anakusudia.
Huo ndo ukweli mungu Hali,hashikwi na usingizi Wala kulala,halii Bali anachukia,hacheki Bali anafurahi,haendi chooni, hakuzaa Wala kuzaliwa, hafi Wala kufufuka ukiona mungu unaye muabudu anasifa hizo jua umepotea upotofu ulio dhahiri Wala usilete ujanja ujanja maana wengine wanasema Kuna mungu wa mwili na waroho uo ni uhuni2
Upo sahihi Sana Mzee wa upako, wafundishe watu wanahubiri utamaduni wa Warumi wanafanya kua Injili.
Upo sahihi sana
😂😂 Mzee mbona unajichanganya tena Mara Yesu sio Mungu mara Mungu.
Lkn ktk yote najua Mungu uliniamin kuwa kwenye kizazi hiki,one day nitayang'oa haya mana mi nyundo yako uliniambia wazi YESU WEWE NI MUNGU
Ata yesu alimulizaa petro watu wabasema mimi ni nani petro hakamjibu wew n mwana wa Mungu ulie hai🙏🙏🙏
bado kitambo kidogo tu mzee wa upako utaweka wazi ukweli wote
Neno la Mungu lilikuwa kwa Yesu.Tulizungumza na Mungu aslimia100 kupitia kinnywa cha Yesu.aliye muona yesu alimuonaMungu kwa NENO sio kwa kwa umbo.na ukweli huu haupingiki.Lusekelo yuko sawa.
Yesu ni mungu nafsi ya pili na kabla hajapewa jina la yesu alifahamika kama neno na alikuwepa kabla ya dunia kuumbwa rejea kitabu Cha mwazo mungu amesema na tumfanye mtu Kwa sura na mfano wetu alikuwa na yesu
Yohana akumuona yesu, aliona mfano wa mwanadamu, Mzee muongo sana uyu yani anasoma Biblia aelewi sijui ni mlevi😂😂
Yesu anakuona tubu KWA maneno Kuntu yasiyo na uzima wala uhai ,wewe sio mkristo ,sis wakristo tunaamini Yesu ni MUNGU , MUNGU pamoja nasi baba wa Milele
soma vizuri biblia.huyo mzee wa upako anatoa maandiko kwa biblia.someni biblia ndio utajua
Huyo ni tapeli tyu yupo ki pesa
Mzee wa upako unanena vema sana barikiwa sana
Umesema kweli Mzee wa Upako Mwenyezi Mungu akubariki.
Kanisa ni moja tu ,katoliki la mitume
Yesu sio mungu
Yesu n mungu
Yesu siyo mungu ila ni Mungu
Yesu ni mungu tu wew endelea kukataa na yesu ndiyo njia ya kweli na uzima na mtu aendi kwa baba pasipo yeye yesu ambaye ni njia
❤❤❤❤❤❤❤❤
Amen
Na ni mwisho wa sheria
Sasa ndio nini 😂😂😂
Ati Yesu ni mungu, mtu haendi kwa baba pasina yeye😂😂😂
Ndio maana Mungu akaanda Jehanam kwa vilaza wajinga kama hawa.
Upo sahihi sana. Na Mungu akuongoze uzidi kuiona nuru.Ameen.
Mungu mmoja nafsi 3. Yesu ni Mungu, Mungu ni neno, Yesu Kristo ni neno, akafanyika mwili akaja kwetu nasi tukaona utukufu wake!! Yohana 1:1-14, Yesu ni Mungu Warumi 9:5, Tito2:13. Kwahiyo mzee wa upako ww ni mpinga Kristo. Utaangamia tu!! Tubu leo hii.
Haangamii Kwa Kusema Ukweli. Soma Vizuri Biblia Au Sikiliza Ama Uliza Haujui. Usinukuu vipengelee Usivyovijua. Rudia Maneno YEROI YEROI MBONA Umeniacha Bwana Yesu Akiomba Msaada Kwa Mungu Wake.
@@nurdinmfamau3493 No no no. Isaya 9:6 Yesu ni Mungu mwenye nguvu mfalme wa amani. Huwezi kuniambia kitu ww mpagani usiyejua kitu.
@@user-cw8zn2dn6m Eti Yesu Ni Mungu Na Mungu Atakuwa Nani.
@@user-cw8zn2dn6m Ukweli Umekufikia Mengineyo. Mengine Aongoki Mwenye Kuongoka Ila Kwa Matakwa Ya Wetu Mlezi.
@@nurdinmfamau3493 andika point vizuri maana hata sikuelewi. Andika kitu vizuri ueleweke
WARAKA WA KWANZA WA YOHANA 5
20 NASI TWAJUA KWAMBA MWANA WA MUNGU AMEKWISHA KUJA, NAYE AMETUPA AKILI KWAMBA TUMJUE YEYE ALIYE WA KWELI, NASI TUMO NDANI YAKE YEYE ALIYE WA KWELI, YAANI, NDANI YA MWANA WAKE YESU KRISTO, HUYU NDIYE MUNGU WA KWELI, NA UZIMA WA MILELE.
AMEN!!!💖💖💖
Yes yes yes
Kweli kuyaelewa maandiko kazi ngum sana aiseee
Ukweli huu wakristo wengi hawataki kuusikia.Mzee wa upako umefanya sehemu yako,kazi ni kwao wenyewe siku ya kiama hutawajibika ktk jambo kama hili.Mara nyingi maubili yako huwa ni logical sana.M.Mungu akuongoze uzidi kuiona na kuisimamia kweli.
Amen Mzee nakubaliana nawe mia kwa mia ubarikiwa
Safi sana
Lusekelo yupo sahihi na namuomba MUNGU hamfishe hali ya kuwa muislam
Mzee wa upako ako sawa kabisa na watu wajifunze kutoka kwake
Pombe sio nzuri jamani.
Nakukubali sana mungu akupe umri mrefu
🙌🙌🙌🙌
Token KWA huyu mtu ni NABII WA MWONGO ,Yesu ni MUNGU MILELE
We bado sana nakushauri usikubali kusomewa maandiko jitahidi kuchunguza maandiko matakatifu ya biblia utamjua yesu ni nani maana yeye mwenyewe anasema ni mwana wa mungu
Jitathmini mzee
uko sawa
MUNGU YUKO NDANI YA YESU NA YESU YUKO NDANI YA MUNGU NA SISI TUNAOMWAMINI YESU KRISTO KAMA BWANA NA MWOKOZI WETU TUKO NDANI YA YESU NA YEYE YUKO NDANI YETU. ......
Wapinga Kristo
Unatakiwa na wewe uje na hoja
Hajampinga Kristo msikilize vzr
kabisaa biblia ilituonyaa!!!
Kwan Kristo anakazi gani mbinguni wakati huu
Yesu anajitambulisha kuwa ni Mungu Yohana 1:1_5
Wewe hauna akili nasiyo kosa LAKO na ndio maana bibilia zenu Kila mwaka Zinabadilishwa vifungu mala viongezwe mala viondowe ondeo vifungu siyo kola lako Mimi nawalaumu mashetani wanao potosha watu 😢😢😢😢
Hatauseme yesu si mungu haitamufanya kutokuwa mungu danganya Hao ambao hawasome maandiko
si ndo hapo, sana sana anajizidishia dhambi za uzeeni tu, kamwe biblia haitobadilika
Ndomana Mungu alimpa kila mtu akili na macho ukiamua kusikiliza uvundo ni wewe tu! "Mungu akasema naTUMFANYE MTU KWA SURA YETU" Mwanzo 1:26 mwanzo 11:7 isaya 6:8 tito 2: 13 ufunuo1:3-6 ukipotea umechagua
jamani hiv kwenye tv asaivi anaonekana Chanel gani Masada plz
Acha kufundisha watu uongo sifa zote alizanazo Mungu na Yesu anazo,utahukumiwa Kwa kufundisha uongo huu sijui kama unafundisha Kwa kutokujua au Kwa kujua
Karibu kwenye Uislamu, muda unaisha huo.
Achana na music, muda ndio huu. Mjadala uungu wa Yesu kwenye Uislamu una majibu ya wazi.
Mzee umekuwa mwiba sana kwenye ukristo aise
😂😂uyu mzee kashachanganyikiwa maneno yote ayo anayoyatoa ni ili apewe hela duuh ndo maana kafulia
Hakika Hekima za wanadamu mbele za Mungu ni upuuzi Anthony lusekelo rudi miguuni pa Yesu ukatubu nafasi bado ingalipo😥
Ivyo mungu ndoanapenda
Mzee wa upako anaelewa Bible na haubiri kama kibaraka Yesu ni mshirika wa Mungu na sio Mungu hata yeye alisema "mimi ni mzaliwa wa kwanza wa baba yaani Mungu" lakini alisema kwanini kuniita mwema mwemani Mungu pekee yake" kwavyo Yesu anatutambulisha ukuu wa Mungu
Hiyo njia ulioichangua mzee itakuangamiza mungu anachukia upotoshaja@
Haki mandiko yana timia wewe unaye sema yesu sii Mungu naa fikiri wewe ni mzee wamashatani
Ni kweli kabisa Yesu siyo Mungu na wala hakuhusika ktk kuumba hii dunia ila ni nabii wa Mwenyezi Mungu na wanaomwita mungu na kumuabudu hiyo ni imani yao maana kuna wanaoabudu ng'ombe na masanamu pia wapo hivyo msimlaumu mzee wa upako
HEBU KAFIE MBELE HUKO, DINI YAKO YENYEWE INATEGEMEA MSINGI WA WAKRISTO, YAN BILA UKRISTIO HAMNA DINI NYIE MAKAFIR YA KIISLAM... QURAN KARIBU YOTE TUMEJAA SISI NA WAYAHUDI TU JINSI MNAVOWASHWA🤣
YESU NABII HUKO KWENU KWA BABAKO SIO KWA WAKRISTO!! NIACHE KUWAAMINI MITUME WA YESU WALIOKULA NAE MEZA MOJA NIMUAMINI CHIZI MMOJA ALOKUJA MIAKA 600 BAADA YA YESU KUPAA MBINGUNI🤣🤣 HATA SURA HAJAWAHI KUMUONA WALA KUMUOTA, ANAAMKA TU ANAKUJA KUWADANGANYA, CHIZI LINGINE NI HILI LA 2024 LISILOJUA LINACHOKIABUDU..AFU LIKIWA KANISANI KWAKE LINAOMBEA WATU KWA JINA LA YESU HUYO HUYO ANAESEMA SIO MUNGU NI MTUME...MXIUUU!!!!
MNAABUDU MUNGU MWEZI, MNAABUDU JIWE NA KULIBUSU KUOMBA KWENE HILO JIWE, WEHU WENZENU KIBAO WANAKUFA KWA KUKANYAGANA HUKO MECCA KISA KUGOMBANIA KULIGUSA JIWE🤣🤣🤣🤣🤣🤣HEBU KAMRUSHIE SHETANI MAWE HUKO MECCA USITUPGIE KELELE..KATIKA WATU WALIOCHANGANYIKIWA NA KUDANGANYWA NA MUDI NYIE WAISLAM..HAMNA DINI !!!
Yesu ni Mungu mzee, ebu tutafsirie na izi mistar :😂
Wahebrania 1:19
Warumi 9:5
Jeremiah 10:16,19 na subiri
Mzee huyu tuwe nae Makin Sana
1 Timotheo 3:16 Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulika kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu.
Mathayo 1:23
[23]Tazama, bikira atachukua mimba,
Naye atazaa mwana;
Nao watamwita jina lake Imanueli;
Yaani, Mungu pamoja nasi.
Pambana na zambi watu wajitakase YESU analudi kwani masomo Yamaha antoney lusekelo koo wewe umeona ndio somo lakubabadilisha my iyo Y😂ao ao 5:57 washilika wako wapi mitume namanabi I walisimama kuya zungumuzia
UBARIKIWE SANA KWA UKWELI MZEE WA UPAKO
roho ya upotevu hujishuhudia yenyewe kwa yenyewe.
Nabii Isaya alishaona na kutabiri kuja kwa "MUNGU MWENYE NGUVU", lakini kizazi cha leo baadhi wanapinga kwa kutokujua kwao, kwa kuwa hawamjui Mungu, wanajitumikia wenyewe na kuwadanganya wengi ili waangamie pamoja naye.
a simple reminder:go thru a metaphysics of IAM whereby Jesus himself said he is AIM
Mkristo anayejielewa live leo nimemuona UA-cam, sio hawa maandaz wanaowakta wachungaji mitume mamae
Tatizo la afya akili ni hatari mno hasa wajiitao viongozi😢
Kaeni Chocho hikinikiama chawazungu nawarabu wanahiria afrka wafanye wananaume kuzaa kama mwanamuke mungu tusahidie namajaribu yawatu weupe
YESU NI MUNGU.
Mzee wa upako kazi unayo umekosea sn
Nimekuelewa Lusekelo
Kumtambua kisha kumshusha Yesu kunahitaji matumizi ya akili huku moyo ukautenga kando hapa ndipo roho mtakatifu wa kweli utahisi anakuingia na kuelewa zaidi...
Huyu Mzee n mlevi yesu ni mungu utake usitake
Wewe ndo mlevi 😅😅😅😅 Mungu hajazaliwa na mwanamke yeyote Yule.... Mungu hajafa wala mungu hawezi kupigwa na kusurubiwa na aliyowaumba 😅😅😅😅😅 una feli wapi wewe..... Yesu siyo mungu na wala Hana uungu wowote ule
Ati mungu wenu kazaliwa na mwanamke?
##Wazungu wamedanganywa vibaya
Mzee wa upako kachanganikiwa,,, acha konyagiii mzeee
Biblia inakushangaa.
Unavosema nisawa kabisa yesu ajawahi kuwepo duniani nistor za hao manguruwe na mungu mnaemuabudu sioyule original vais x vesa
Huwezi kumjua Yesu bila yeye kujifunua kwako,mathayo 11;27 Yesu ni Mungu hakuna ubishi.Wanaochanganywa na maandiko nawashauri waokoke kwanza,waishi maisha matakatifu,wajazwe Roho mtakatifu ndipo watamuelewa vizuri 1wakorinto 2;13(atajifunua kwao).Waulize wanaosema kuwa Yesu si Mungu ,waliambiwa na Roho mtktfu au wamepotelea kwenye maandiko? Maandiko hayo yameandikwa kwa uongozi wa Roho mt ,hivyo ukitaka kuyaelewa lazima ujazwe Roho yuleyule maana hayatambuliki kwa hekima ya kibinadamu,thx
Kwahiyo wewe mbwa unataka kusema yaani wewe wakati unakuja dunia ulipita sehemu ya siri ya mama yako na huyo mungu wako yesu wakati anakuja duniani alipita sehemu ya siri ya Mariam yaani kwenye uchi wa Mariam Sasa wewe siutakuwa ni taira huyo ni mungu gani wa hivyo
@@hajimasoud7210 kwa njia hiyo ya matusi na ubishi hautamjua Yesu,naomba akusamehe nami nimekusamehe maana hujui au unajua nguvu zinazokutumia..Mpokee Yesu,uliishi neno lake ,ujazwe Roho mtakatifu ,atajitamburisha kwako ya kuwa yeye ni nani,Asante ,Mungu akupe kipawa cha wokovu shekh
Acha matusi aisee, wewe unaupofu wa kimaandiko, Yesu mwenyewe anakwambia mimi ni alfa na omega yaani wamwanzo na wamwisho, tena anasema kabla ya Ibrahim mimi niko, Yesu anatamka kwa kinywa chake. Sasa kama alikuwepo kabla hata ya Babu wa mababu Ibrahim, wewe unamzungumziaje kibinadam, tizama usiwe kama wale waliomsurubisha maana alipojitanabaisha kuwa yu Mungu waliona amekufuru nakumsema kuwa anafundisha mafundisho mapotofu maana walikua na idea kama zako, Tumwombe atuokoe nakututoa kwenye upofu huo. Usitukane maana u naupofu wakimaandiko.
@@hajimasoud7210 umemuelewa vzuri uliekomenti kwake au unajibu kudhihirisha ujinga wako amejibu alichosoma na wewe lete ulichosoma sio ushabiki na ujinga ujinga lete maandiko yanayozuia yesu kutokua Mungu kwenye biblia
Amen amen
Ukiona unapongezwa na wapinzani wako, yaani wenye imani nyingine, jiulize umekosea wapi.
Huo ndio ukweli hata kama unauma mmedanywa sana
Watu wamemsubilia shakahola yesu hajaja wamekufa kwa njaaa jamani Imani nyingine hizi 😭😭
Mathayo 3:17 na tazama sauti kutoka MBINGUNI ikasikika ikisema huyu ndiye mwanangu nipendezwaye naye msikilizeni yeye
❤❤❤❤
ROHO MTAKATIFU anaitwa pia ROHO WA MUNGU, pia anaitwa ROHO WA KRISTO.
WARUMI 8: 9
Lakini ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu, ninyi hamwufuati mwili; bali mwaifuata roho. Lakini mtu awaye yote asipokuwa na Roho wa Kristo, huyo si wake.
Haiwezekani Roho akawa wa Mungu na akawa wa Kristo, halafu Kristo asiwe Mungu.
Eti kazaliwa mtoto yaani kuna siku mungu alikuwa ni mtoto anafungwa nepi kama watoto wengine jamani mataira punguzei huo utaira wenu
nakuuliza swali wewe mjiga mtume muhamad aliyemwambia yeye ni mtume ni nani nijibu tafadhali
Wakristo weng hawasom bibilia ni wafata mkumbo wakat yesu akiwa tumbon mwa mam ake nan alikuw anaongoza dunia kama yesu ni mungu mzee wa upako uko sawa
Swali la kijinga kabisa😅😅
Sisi WaUNITARIAN japo nasi pia ni wa Kristo kwetu sisi Yesu si Mungu ila Mtoto au Mtumishi wa Mungu au Kikomboleo pekee na kiumbe wa Kwanza wa Mungu na ni mpatanishi pekee kati yetu na Mungu yaani Yahwe. Someni Biblia Yote enyi wakristo jina.
Wanao amini yesu ni Mungu siyo kola lao wanastali maombi na kuelimishwa vizuli
Mungu ni mmoja katika nafsi tatu ;baba ,mwana na roho mtakatifu
Biblia inakushangaa.
Na ndio maana unaelewa?
Ila unaidhalilisha sana diploma yako. Hujui hata maana ya Neno akavaa mwili????
Nyie Wafata mkumbo tuna mungu wangapi tumia akiri mungu amewapa akiri msiwe mnakula nguruwe ili mjue ukweli
Kwa nini hawa viongozi wa kikristo ni wanafki na kuukataa ukweli ni matapeli wataishia jehanamu
❤❤
Ukileta hoja yoyote inayomhusu Yesu kristo lazima huwe na ushahidi kamili wa kwenye Bible sio kusema vile unavyowaza hiyo nimbaya na upotoshaji wa Neno la Mungu.
ANGALIA = 13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; (Tito 2:13)
Kama yesu ni Mungu siku ile Yuko msalaban alisema eloieloi Mungu wangu mbona unaniacha?