LIVE: KIMENUKA, BODI YA SUKARI WANAJIBU YOTE, MPINA ALIPULIWA VIKALI, "NI MPOTOSHAJI"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лип 2024
  • #uhondotv #uhondotv

КОМЕНТАРІ • 17

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 2 дні тому +2

    Watu wanaiba kama hakuna serikali. Watu wanateseka, bunge limetekwa. Wananchi wanaotetea Mali za wanatanzania wanaambiwa wabebe Mizigo yawo watóke bungeni, utafikiri bunge ni la watu binafsi. Uwongo juu ya uwongo. Wabunge wote wakianza kutowa hoja zawo wanamushukuru Mwenyezi Mungu, huku hawatetei haki. Ni Mungu kisha Rais Samia. Wenye akiri zetu wan amps Rais sifa za uwongo. Wanaosema ukweli na watetezi wa haki wanafukuzwa bungeni. Haki iko wapi?

  • @nsajigwamwakalonge5702
    @nsajigwamwakalonge5702 2 дні тому

    Wezi wanatamba hii nchi bana utazani haina jeshi

  • @EdwardKwiyanga
    @EdwardKwiyanga 2 дні тому

    Kiongozi unakosea xn lkn pia unamkosea mungu acha kila mtu aubebe msalaba wk hicho unacho jaribu kufanya acha kbx

  • @ABUYSELEMAN
    @ABUYSELEMAN 11 годин тому

    Bashe anapambana sana ila wabongo hawana fadhila

  • @nestor384
    @nestor384 2 дні тому

    Huyu naye anaongea upuuzi gani.. they are lying Ukweli wote Mpina alishausema.. Full of lying😌

  • @froma3732
    @froma3732 День тому

    Huyu ameweka wazi kila kitu lkn Kuna wingine hawataki kufahamu kwahivo tuwaache vile Munavofahamu

  • @ABUYSELEMAN
    @ABUYSELEMAN 11 годин тому

    Uyo mpina anamajungu anachuki binafsi na Bashe acheni upuuzi msioelewa

  • @DonaldMasunga-l6d
    @DonaldMasunga-l6d 2 дні тому

    Zee zima halafu lichawa.

  • @athanaskipeto572
    @athanaskipeto572 2 дні тому

    Napita tuu

  • @AdelinaAloys
    @AdelinaAloys 14 годин тому

    Wewe nawe una majibu ya uhongo nchi hii ni hatsrishi kilichofanya unatoa kibari tofauti na wazalishaji wakati muda wa kufika mzigo wao bado na tukichunguza leseni zao zilikatwa kwa muda mfupi ili waingie mchongo wa biashara Richmond nyingine kwenye akili akikusikiliza anagundua uhongo wa bodi

  • @yassinmuamba2526
    @yassinmuamba2526 2 дні тому

    Huyu ni mpumbavu sisi tunaelewa tutakutana mahakamani

  • @protasreshola9744
    @protasreshola9744 2 дні тому

    Hoja mkuu tumia kiswahili au wewe si wakwetu kwani aass eea yaaa naa si kiswahili

  • @protasreshola9744
    @protasreshola9744 2 дні тому

    Mchakato kauli kujilnda

  • @isayasemunguruka103
    @isayasemunguruka103 2 дні тому

    Amna kitu hapo mchongo

  • @methuselamiligo614
    @methuselamiligo614 2 дні тому

    Mochongo

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 2 дні тому

    Hakuna majibu yeyote. Ni kukingiana vifuwa na kuwafanya watanzania wajinga