Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Utu wema ni hazina kubwa mbele za mungu. Ee Mungu tusaidie kuenenda kwa kadiri ya mapenzi yako. Zaidi sana kutenda haki na kuwajali wanyonge ambao ndiyo mfano wa sura yako. Tunapokuabudu tukuabudu kwa moyo na kweli bila unafiki. Mungu utuhurumie
Mungu amekuweka kwa wakati muhimu sana 🙏Mch. Mbarikiwa wewe umebarikiwa songa mbele ulipo nipo🙏✍️
Sauti ya mungu hawezi kunyamazishwa na mwanadamu asieijua kesho yake.
Mm naombea sana sana tena sana ire ndege iriopita kure irani na malawi ingepita na huku tanzania ipunguze wezi
Mpina..umuhimu..wako..hapa..duniani..unaujua..watanzania..wengi..tuko..pamoja..kwa..mungu..ushi..maisha..marefu..amen
Be blessed 🙏🙏 mbunge mpina
Mungu akusimamie mbarikiwa kwa kuliona hilo jamani.. Mpina tumchangia kea lolote..
Mungu azidi kukutumia kadri apendavyo! 🎉🎉🎉🎉
Ubarikiwe mtumishi mpina ni mtu wakuingwa mfano wa Makufuli
Nimekukubali Kweli na Ujumbe Umefika hata kama Awabadiliki Tuwashitaki kwa Mungu.
HAKIKA MPINA MUNGU AKUBALIKI SANA WATUMISHI WA MUNGU WANAKUOMBEA KAMA UNAVYO ONA
Mpina alijitowa Sadaka kwa ajili ya watanzani
Covid mnawaonea sana,mbona wabunge wa CCM ndo kimbelembe kumtosa Mpina na kushinddwa kuwatetea watanzania.
Kweli gwakukaja Mpina waMemuonea sana.
Kweli mubalikiwa ukiwa muoga kama ndugayi mama mama nimekosa kusema nchi imeuzwa
Mpina heli ufukuzwa kuliko kua chawa spika Baki na covd19
Hakika atalipwa mbinguni na duniani
Nimependa muda clip imeruka
Hahahaha baba bado tupo tunatafuta kufunua majina yetu
Mchungaji huyu anaongea kweli
Bwana yesu asifiwe sana mtumishi wa mungu mbarikiwa ongereni sana kazi ya mungu
Anaongea kweli mtupu
Bakisha maneno ,,,unaonywa kila mara lakini wapi,,,,punguza matusi hubiri neno la Mungu achana na mambo ya siasa
Ufahamu wako ni mdogo bila D mbili hutamuelewa mbarikiwa
@@user-qy7he6cl8w mmefeli sana nyie mnayemtukuza huyo mpuuzi wenu mbinguni hamuendi
😂😂😂😂😂umenichekesha sana@@user-qy7he6cl8w
Utu wema ni hazina kubwa mbele za mungu. Ee Mungu tusaidie kuenenda kwa kadiri ya mapenzi yako. Zaidi sana kutenda haki na kuwajali wanyonge ambao ndiyo mfano wa sura yako. Tunapokuabudu tukuabudu kwa moyo na kweli bila unafiki. Mungu utuhurumie
Mungu amekuweka kwa wakati muhimu sana 🙏
Mch. Mbarikiwa wewe umebarikiwa songa mbele ulipo nipo🙏✍️
Sauti ya mungu hawezi kunyamazishwa na mwanadamu asieijua kesho yake.
Mm naombea sana sana tena sana ire ndege iriopita kure irani na malawi ingepita na huku tanzania ipunguze wezi
Mpina..umuhimu..wako..hapa..duniani..unaujua..watanzania..wengi..tuko..pamoja..kwa..mungu..ushi..maisha..marefu..amen
Be blessed 🙏🙏 mbunge mpina
Mungu akusimamie mbarikiwa kwa kuliona hilo jamani.. Mpina tumchangia kea lolote..
Mungu azidi kukutumia kadri apendavyo! 🎉🎉🎉🎉
Ubarikiwe mtumishi mpina ni mtu wakuingwa mfano wa Makufuli
Nimekukubali Kweli na Ujumbe Umefika hata kama Awabadiliki Tuwashitaki kwa Mungu.
HAKIKA MPINA MUNGU AKUBALIKI SANA WATUMISHI WA MUNGU WANAKUOMBEA KAMA UNAVYO ONA
Mpina alijitowa Sadaka kwa ajili ya watanzani
Covid mnawaonea sana,mbona wabunge wa CCM ndo kimbelembe kumtosa Mpina na kushinddwa kuwatetea watanzania.
Kweli gwakukaja Mpina waMemuonea sana.
Kweli mubalikiwa ukiwa muoga kama ndugayi mama mama nimekosa kusema nchi imeuzwa
Mpina heli ufukuzwa kuliko kua chawa spika Baki na covd19
Hakika atalipwa mbinguni na duniani
Nimependa muda clip imeruka
Hahahaha baba bado tupo tunatafuta kufunua majina yetu
Mchungaji huyu anaongea kweli
Bwana yesu asifiwe sana mtumishi wa mungu mbarikiwa ongereni sana kazi ya mungu
Anaongea kweli mtupu
Bakisha maneno ,,,unaonywa kila mara lakini wapi,,,,punguza matusi hubiri neno la Mungu achana na mambo ya siasa
Ufahamu wako ni mdogo bila D mbili hutamuelewa mbarikiwa
@@user-qy7he6cl8w mmefeli sana nyie mnayemtukuza huyo mpuuzi wenu mbinguni hamuendi
😂😂😂😂😂umenichekesha sana@@user-qy7he6cl8w