Si vyepesi Sana Rais yeyote kumtumbua Waziri wa fedha anless Rais awe hashirikiani naye kwa njia isiyofaaa Yaani mwaminifu kwelikweli awe na hakika hana makando kando ya kipato cha kificho
Serikali hasikilizi wananchi. Power iko kwa watu, na serikali ni ya wananchi. Wabunge wako bungeni kusimamia haki zetu. Kwa sasa serikali ni ya CCM. Na wabunge wanakiwakilisha chama na sio watu. Mishahara yawo inalipwa na wananchi. Katiba mpya inatakiwa haraka kutuokowa kwenye huu utumwa mambo leo. Watu wasitegemee vyama vya siasa kupata haki zawo. Kila mtu awe na uhuru bila vyama. Walioiteka nchi kupitia vyama vya siasa. Tuseme tu haki, Watanzania wengi wako utumwani
Watu mna roho mbaya hata bila sababu. Hivi bila Mwigulu asingekuwepo pale hiyo miradi mikubwa ingekuwa inatekelezeka. Ni ma trillion ya pesa yanahitajika. Usipokuwa na kichwa kama hicho utafanikiwa wapi. Nenda shule ndo ufahamu watu wanavyofanya kazi
Lol you have on of the lowest taxes in the world and there you are still complaining without doing your due diligence!! Make Google your friend kind sir!!
Ebu fikiria kodi asilimia 70 ya matumizi yao asilimia 30 ndio ya maendeleo hahaaa yaani wanamatumizi kama mchwa.Bado wanakopa toka Mwendazake atutoke kukopa kweli kweli na bado hajijulikani zinaenda wapi.Cha kushangaza anajua wanaiba anatamka wanaiba kisha bado anawaweka hao hao watanzania hivi tumelogwa ?
Tz Tatizo shule w congo w Zambia Malawi msumbiji Burundi Rwanda wamekimbilia Mombasa kisa TRA Uganda hawana bandari lkn watu wanaenda Uganda, et rist mapato mtapata je
Watu wanaiba kama hakuna serikali. Watu wanateseka, bunge limetekwa. Wananchi wanaotetea Mali za wanatanzania wanaambiwa wabebe Mizigo yawo watóke bungeni, utafikiri bunge ni la watu binafsi. Uwongo juu ya uwongo. Wabunge wote wakianza kutowa hoja zawo wanamushukuru Mwenyezi Mungu kisha wanamushukuru Rais. Rais amekuwa Mungu wa pili. huku hawatetei haki.. Wenye akiri zetu tunajuwa hizi ni sifa za uwongowa. Wanayoyasema pembeni wanajuwa wenyewe.. Wanaosema ukweli na watetezi wa haki wanafukuzwa bungeni. Haki iko wapi?
Katiba ya nchi yetu hakika ilitudhurumu haki yetu ya msingi ya kupiga kura, kumchagua kiongozi takwa letu sisi wananchi na sio takwa la katiba ya zamani ambayo haina hata mchango wa mawazo yetu sisi kama raia wa sasa tunaongozwa, huko ni kutuburuza, kutulazimisha kukubali maamuzi ambayo hatukushiriki, Dah!. hayati rais wa Iran alipofariki kwa ajali, uchaguzi ukaitishwa ili kupata rais wa wananchi, na hivyo ndivyo inavyotakiwa hata katiba iwe,makamu wa rais hatumchagui sisi, inakuwaje then anakuwa rais na hatujamchagua? au mimi ndo sielewi, basi mnisaidie mawazo.
Mama Abdul, unafurahisha, Kidata jizi, sasa ndo MSHAURI WAKO WA KODI, haaa Watz kweli sisi ni mafala, ilibifi tuingie mitaani jana na sio kesho, ccm wanatuchezea!!
Shida wanakusanya kisha wanaiba pengo linazibwa na mikopo,mzigo unabaki palepale kwa wananchi kulipa deni, hiyo ndio mifumo ya viongozi wa Africa tunaomba Mungu amuongoze.
Samia nchi imekushinda. Una woga mwingi. Huna udhubutu, unawaogopa wala rushwa wenzako. Ripoti ya CAG imekushinda kuifanyia kazi. Tumepiga kelele mpaka tumechoka. Mnakusanya kodi zinaishia kwenye mifuko yenu. Kama hamkujifunza kutoka Kenya basi zibeni masikio.
Kutokopa mama Abdul kunawezekana, PUNGUZA ZIGO LA MATUMIZI YA SERIKALI...mashangingi na mianya ya kupotea kwa pesa za walipakodi, kupitia watendaji wa serikali...na hii kazi ccm haimuwezi.
Professor anasema tunakopa sababu sisi matajiri. Mama hiyo kauli Mh Mwigulu alikuwa atumbuliwe. Ukweli ni kwamba mapato hayaridhishi. Mama matumizi yasiyo ya lazima yapungue. Nashangaa waziri wa fedha halipi kipaumbele. Ripoti ya CAG zinaonyesha pesa nyingi inapotea kwa uzembe wa wafanyakazi. Napendekeza tuwe na sheria kali dhidi ya ubadhirifu wa mali ya umma.
Waziri wa fedha hajtali hali ya watanzania. Huyu yumo kwenye kundli la mafisadi ndiyo maana anasema sisi ni matajiri. Ukiingia kwenye siasa unatajirika bila kuwa na kiwanda. Tayali, kisha mmutayalisha Mtoto wake kuingia kwenye siasa. Tanzania tutawaliwa na Hawo Hawo viongozi wetu. Wakitoka wawo wanashika watoto wawo. Vijijini watu wanakula majani. Watoto bado wanakaa chini. Walisema elimu bure, ni Uwongo. Viongozi wetu wanaishi kitajiri na kufumbia macho shida za wananchi. . Mama anakopa anamwaga, watu kama wakina Mwiguru wanachota, Rais hana habari wanamuziba macho na masikio kwa kumpa sifa, mama anaupiga mwingi. Watanzania tuna shida kubwa sana kwa elimu yetu ndogo.
Haya yote unayokataza yanakujaje kila mara yanajirudia,na ĺundo la kodi tusilolimudu linakujaje?! Uongozi wa juu umeshindwa kubuni vyanzo vya kodi tofauti na kukamua wananchi tu?! Huyu waziri wa fedha hana ubunifu tofauti akaacha kukopa mfululizo huku anatuletea tozo mfululizo!? Loh! Mtatuua lkn na ninyi mtakufa mtaziacha
Viongozi mweenye skio na asikie. Mama kwa utulivu amewapa hekima ktk kuongoza kwenu.hakubakisha kitu. Please go and perform. Asante mamakwa maneno yenye mshiko. I hope wameelewa ulivyowaagia. Mungu barikiTanznia
RAIS wangu kipenzi naomba wezi kwenye utumishi wawajibishwe kama wahujumu uchumi shida iko wapi kufanya maamuzi? Badilisha Sheria ya utumishi watu wafungwe maisha na wafilisiwe Hadi paka wao WATAACHA WIZII!
Kodi bado IPO juu Sana, especially kuna watu wa nao ishi nje ya nchi ambao wanapotaka kurudi nyumbani huja na Mali zao Sasa Kwa Nini walipe Kodi ya Mali zao???wakati nivitu walipata Kwa Kazi zao.
Tra ,takukuru,ewura,tcra,nida ni institution zinazotakiwa ziangaliwe kwa jicho sanifu mlo kwani ni sekta nyeti ktk maendeleo ya nchi why?we lives like this?
Unamtumaje mwizi akafichue mbinu za wizi alizoziweka mwenyewe??? SSH Watanzania siyo wajinga kiasi hicho... Wewe sema umemtoa kidata kwa chuki binafsi... Wewe mama ni wa hovyo sana
Trust me I wonder the same way , !! Like hooooooowww ?😮 yani hai make sense kwa kweli, eti mwizi akawabadilishe wezi wenzie 😂😂😂😂 jamani nimechekaaaaaaa😂😂😂
Mama SMAIA SULUHU HASSAN. Umenena vizuri umeelewaka. Sasa Fukuza kazi Majizi yote serkalini ili update pesa za kuendesha shughuri za serkali.. usiyaoneee huruma kabisa. Ukifanya hivyo utaona hazina pesa zinajaaa tele..
Tatizo tukishauri serikali ndo utasikia ila mimi kama kijana Anaependa nchi yake ukweli mama yangu Rais wangu kumtoa kidata Dar cjui ili sijazungumza vibaya dr es salaam inatakiwa mtu kamq mzee wetu kidata Aliweza sana tena sana
Kuna majizi yanaiba hayashitakiwi alafu wananchi tunakamuliwa kulipa kodi punguza kodi iwe rafiki na mfanya biashara hakuna mwananchi atahepa kulipa kodi,, Kariakoo ukinunua bidhaa ukiitisha risiti unaulizwa upewe risiti ya kusafirisha bidhaa au ya kununulia,
Mtumbue waziri wako wa fedha yeye ndiye KASWENDE KUBWA matatizo yote ya RUSHWA Bandarini, Kariakoo yeye anjua Siri zote na ndiye mtoa maagizo ya kusamehesha KODI. Utawabadilisha Makamishina na Kuwatumbua kwa maelfu lakini hujajibu KIDONDA.
Mama achavupumbavu selikali siyo mumewako. Acha kunyenyekea kiivo unaangamizanchi. Toa kauli za kishujaaa ao wapumbavu wanakucholatu. Kwamala yakwanza nchi itachafuka kwenye uongoziwako
Watu wamewaibia wananchi maskini yab idi kwanza wzfilisiwe pili makama tatu warudishe mali. Marufuku kufanya kazi ya umma milele. Halafu anamteua mtu anayekiri ni mwizi! Unauchekea ufisadi! Ila mtu akipasua picha....
Shida ni hiyo hawaangalii ngo'mbe anahitaji nini mpaka afikie kukamuliwa maziwa, wao kazi yao kukamua tu mpaka ngo'mbe atoke damu badala ya kutoa maziwa
Mwarubain nikutengeneza mfumo mmoja unayokusanha mapato yote ya serikali na taasisi zake,hii kunyesheana vidole hata hujuwi pesa zako zinaibiwa wapi ni uongo,kila unapolala hakikisha umefunga hesabu zako za makusanyo kila siku,kumbuka pesa ni namba unashindwaje kutengeneza mfumo unayoweza kuzibiti rushwa?😊
Sasa km mwizi ushamtangaza hivyo wa nini huyo hii nchi aibu tupu wanaongea km bongo move yaani wizi unachukuliwa km kigezo cha kazi nzuri kutokana na maneno ya Rais
Mama nakupongeza kwa jitihada ZAKO. Ulinip nafasi ya kukushauri, nitakujulisha Kama ifuatavyo:- Watoza Kodi Wana elimu ya kutoza Kodi lakini walipa Kodi hawana elimu ya kulipa Kodi. 2 Walipa Kodi wakifanya makosa Wana adhabu(penalty) Watoza Kodi wakifanya makosa hawana adhabu. Ukubwa wa adhabu unatoa fursa ya watoza Kodi Kutengeneza fursa za rushwa na wizi. 3 mbinu za kushawishi ongezeko la wafanyabiashara NI dhaifu. Njia za wafanyabiashara kupata mtaji NI finyu. Mifumo ya mikopo NI mibovu ( mikopo kausha damu) imezidi na inadumaza biashara. Waziri wa biashara na viwanda awe na eliminate yakinifu ya ujasiriamali ( Entrepreneur ship knowledge know how.)
Ungemtumbua waziri wa fedha ingekua vzr sana maana watanzania tunalalamika ila bado yupo tu daa
kabisa sio siri
Si vyepesi Sana Rais yeyote kumtumbua Waziri wa fedha anless Rais awe hashirikiani naye kwa njia isiyofaaa Yaani mwaminifu kwelikweli awe na hakika hana makando kando ya kipato cha kificho
Serikali hasikilizi wananchi. Power iko kwa watu, na serikali ni ya wananchi. Wabunge wako bungeni kusimamia haki zetu. Kwa sasa serikali ni ya CCM. Na wabunge wanakiwakilisha chama na sio watu. Mishahara yawo inalipwa na wananchi. Katiba mpya inatakiwa haraka kutuokowa kwenye huu utumwa mambo leo. Watu wasitegemee vyama vya siasa kupata haki zawo. Kila mtu awe na uhuru bila vyama. Walioiteka nchi kupitia vyama vya siasa. Tuseme tu haki, Watanzania wengi wako utumwani
Waziri wa fedha ni kwenye group la wapigaji. Wananchi wamelalamika hawasikikizwi. Rais kajifanya bublu. Kuna Siri gani hapo?
Watu mna roho mbaya hata bila sababu. Hivi bila Mwigulu asingekuwepo pale hiyo miradi mikubwa ingekuwa inatekelezeka. Ni ma trillion ya pesa yanahitajika. Usipokuwa na kichwa kama hicho utafanikiwa wapi. Nenda shule ndo ufahamu watu wanavyofanya kazi
sjawahi kusikia speech ya hivi kutoka kwa raisi wa nchi ndugu zangu.kazi tunayo
Mama Samia ukweli ni kwamba kulipa kodi hatuna shida, tatizo kodi zetu za Tz ni za juu mno, zinatuumiza sana
kwahiyo zikipotea kwako huna shida ?
Lol you have on of the lowest taxes in the world and there you are still complaining without doing your due diligence!! Make Google your friend kind sir!!
Ebu fikiria kodi asilimia 70 ya matumizi yao asilimia 30 ndio ya maendeleo hahaaa yaani wanamatumizi kama mchwa.Bado wanakopa toka Mwendazake atutoke kukopa kweli kweli na bado hajijulikani zinaenda wapi.Cha kushangaza anajua wanaiba anatamka wanaiba kisha bado anawaweka hao hao watanzania hivi tumelogwa ?
Tz Tatizo shule w congo w Zambia Malawi msumbiji Burundi Rwanda wamekimbilia Mombasa kisa TRA Uganda hawana bandari lkn watu wanaenda Uganda, et rist mapato mtapata je
Na matumizi yake pia
Kama mama Anasema mnaiba , kwa nini wasistakiwe. Nchi ya ajabu sana.
Sema Rais ni mlalamikaji sana juu wezi badala ya kuchukua hatua ya kuwatumbua very sad
Huyo alipewatumbua mbona hakuwachukulia khatua stahiki kama
Watu wanaiba kama hakuna serikali. Watu wanateseka, bunge limetekwa. Wananchi wanaotetea Mali za wanatanzania wanaambiwa wabebe Mizigo yawo watóke bungeni, utafikiri bunge ni la watu binafsi. Uwongo juu ya uwongo. Wabunge wote wakianza kutowa hoja zawo wanamushukuru Mwenyezi Mungu kisha wanamushukuru Rais. Rais amekuwa Mungu wa pili. huku hawatetei haki.. Wenye akiri zetu tunajuwa hizi ni sifa za uwongowa. Wanayoyasema pembeni wanajuwa wenyewe.. Wanaosema ukweli na watetezi wa haki wanafukuzwa bungeni. Haki iko wapi?
Kwasababu matanganyika ni maoga kama mbwa koko
@@rendiman2878 Na wewe ni raia wa wapi?
@@Mima-cl2im huwa sijibu usenge huo. Mafisi mikishindwa hoja mnaanza kulliza uraia wa mtu kwasababu hamtaki kuambiwa ukweli
Nyie wasenge sijui Wa Burundi ama Kongo, vipi mmetumwa nini kutuchokonoa?
@@Mima-cl2immkongo Huyo! Nadhani wanalipwa na wazungu kutuchokonoa, wasenge wanafirwa hawa
Hongera Sana Mama yetu. Tutanyooka tu. Mdogomdogo. Bado Halmashauri zetu.
Mtu anaeiba anawezaje kupewa kazi ingine???
Unatuambia nini Mama Abdul sisi Watanzania Mafala?
Kama unajua walikuwa wanaiba mbona huwachukulii hatua!!
Nasikia kichefu2
Mh rais wetu Samia, kwann watu au taasisi zinazotajwa na CAG kufuja pesa za uma hawachukuliwi hatua za kisheria na kiwajibishwa
Wachague viongoz kama makonda tutafika na silaah yuko vizuri Sana pia wawe na hofu alya Allah
Katiba ya nchi yetu hakika ilitudhurumu haki yetu ya msingi ya kupiga kura, kumchagua kiongozi takwa letu sisi wananchi na sio takwa la katiba ya zamani ambayo haina hata mchango wa mawazo yetu sisi kama raia wa sasa tunaongozwa, huko ni kutuburuza, kutulazimisha kukubali maamuzi ambayo hatukushiriki, Dah!. hayati rais wa Iran alipofariki kwa ajali, uchaguzi ukaitishwa ili kupata rais wa wananchi, na hivyo ndivyo inavyotakiwa hata katiba iwe,makamu wa rais hatumchagui sisi, inakuwaje then anakuwa rais na hatujamchagua? au mimi ndo sielewi, basi mnisaidie mawazo.
Hivi vyeo vya kupeana vina tabu sana.Mtu anaharibu hapa anapelekwa pale.
Nchi ya kulalamika kila mmoja.Aibu sana
Mama Abdul, unafurahisha, Kidata jizi, sasa ndo MSHAURI WAKO WA KODI, haaa Watz kweli sisi ni mafala, ilibifi tuingie mitaani jana na sio kesho, ccm wanatuchezea!!
Mungu wangu jamani nchi haina rais
😂😂😂acha tu
Nchi ikikosa kiongozi ni hatari sana!
yani ni aibu
Kwahiyo kiongozi ni yule mwendazake siyo mnapenda watu watiwe ktk viroba siyo ndio uongozi😅😅😅
@@hassanmfaume4522 Wewe unapenda Akina Sativa watupwe katavi na huyo Kivwengo wenu sio?
Mama naomba uwe serious na watz
Wengi majizi ,ndo maana nchi haisogei
Mama samia tangaza Daawa barrakaallah
Shida wanakusanya kisha wanaiba pengo linazibwa na mikopo,mzigo unabaki palepale kwa wananchi kulipa deni, hiyo ndio mifumo ya viongozi wa Africa tunaomba Mungu amuongoze.
Mchoma picha ya raisi yupo sero ilihali wezi na mafisadi wanaachwa tu kwa kubembelezwabembelezwa! Tanzania na vichekesho vya viongozi wetu.
Yaaani unajua kwamba ni mwizi afu unampa tena cheo,daaah hatare sana iii
Sikuwahi kuona kushuhudia kusikia Raisi wa nchi anaongea hivi inasikitisha mno
Samia nchi imekushinda. Una woga mwingi. Huna udhubutu, unawaogopa wala rushwa wenzako. Ripoti ya CAG imekushinda kuifanyia kazi. Tumepiga kelele mpaka tumechoka. Mnakusanya kodi zinaishia kwenye mifuko yenu. Kama hamkujifunza kutoka Kenya basi zibeni masikio.
Utafungwa na domo lako hilo, hivi ukiulizwa unaweza kutoa uthibitisho kwa hicho unachomshutumia raisi?!
@@rayisadesigns2646Acha kutisha watu bro
Mwizi anakaa mesa Moja na muheshimiwa! Mwizi.....nani analinda raia na Mali zao? Nani anapambana na kuzuia rushwa?
Kutokopa mama Abdul kunawezekana, PUNGUZA ZIGO LA MATUMIZI YA SERIKALI...mashangingi na mianya ya kupotea kwa pesa za walipakodi, kupitia watendaji wa serikali...na hii kazi ccm haimuwezi.
If there’s system of justice there would be no stealing but caring thieves is not acceptable
Professor anasema tunakopa sababu sisi matajiri. Mama hiyo kauli Mh Mwigulu alikuwa atumbuliwe. Ukweli ni kwamba mapato hayaridhishi. Mama matumizi yasiyo ya lazima yapungue. Nashangaa waziri wa fedha halipi kipaumbele. Ripoti ya CAG zinaonyesha pesa nyingi inapotea kwa uzembe wa wafanyakazi. Napendekeza tuwe na sheria kali dhidi ya ubadhirifu wa mali ya umma.
Kunyongwa tu kama wanavyofanya Uchina au kukata vidole kadiri unavyozidi Kuiba kama Saudi
Waziri wa fedha hajtali hali ya watanzania. Huyu yumo kwenye kundli la mafisadi ndiyo maana anasema sisi ni matajiri. Ukiingia kwenye siasa unatajirika bila kuwa na kiwanda. Tayali, kisha mmutayalisha Mtoto wake kuingia kwenye siasa. Tanzania tutawaliwa na Hawo Hawo viongozi wetu. Wakitoka wawo wanashika watoto wawo. Vijijini watu wanakula majani. Watoto bado wanakaa chini. Walisema elimu bure, ni Uwongo. Viongozi wetu wanaishi kitajiri na kufumbia macho shida za wananchi. . Mama anakopa anamwaga, watu kama wakina Mwiguru wanachota, Rais hana habari wanamuziba macho na masikio kwa kumpa sifa, mama anaupiga mwingi. Watanzania tuna shida kubwa sana kwa elimu yetu ndogo.
Unafiki viongozi raisi akiongea wanasimama wanainama unafiki ,sisi watu weusi alieturoga alishakufa….
Kweli mama
Haya yote unayokataza yanakujaje kila mara yanajirudia,na ĺundo la kodi tusilolimudu linakujaje?! Uongozi wa juu umeshindwa kubuni vyanzo vya kodi tofauti na kukamua wananchi tu?! Huyu waziri wa fedha hana ubunifu tofauti akaacha kukopa mfululizo huku anatuletea tozo mfululizo!? Loh! Mtatuua lkn na ninyi mtakufa mtaziacha
Fisi anapelekwa kwenye mifupa halafu tunaexpect asile mifupa , jamani hivini ni kweli ? 🥴🥴🥴 Time will Tell !!!
Sio kwamba wanakula kulingana na urefu wa kamba yao
Na yeye Samia ndo alisema hivo.
Viongozi mweenye skio na asikie. Mama kwa utulivu amewapa hekima ktk kuongoza kwenu.hakubakisha kitu. Please go and perform. Asante mamakwa maneno yenye mshiko. I hope wameelewa ulivyowaagia. Mungu barikiTanznia
Huwezi kumteua unayejua kuwa alikuwa anaiba. Hii inaumiza sana tena .Binafsi nimesikitika sana.
Jamani ,jamani,Tuafika kweli?Maisha nimagumu
Safi sana mama kwa maneno mazuri nakupenda sana
Hmmm je inafurahisha au je inasikitisha kwamba watu wanaaimbiwa wanajua na wanaiba na wanacheka.
BIG UP mama! Nimeipenda level ya seriousness ktk hotuba. Lakini wahusika ktk system wawajibishwe wanaohujumu mapato
Actions speak louder than words! Otherwise these are mere orders of the day!
Nanni awajibiswe na liniwawajibishe? Ripoti za cag nani aliwajibiswa? Hayo maneno tu
Bila kodi hakuna Maendeleo duniani.Tazama Nchi zote zilizoendelea kodi iko juu Na huduma NI nzuri . Ila sasa Mafisadi WA Tz Wanaturudisha nyuma.😢
Hongera mama,kuwa mkali sana na usicheke na kima.
Viongozi wote ni wezi na mafisadi...Raisi ndio kiongozi wao asijifanye hajui...tena yeye ndie mwizi mkubwa...nchi hii imejaa mafisadi...
Bora tufe sisi watoto wetu waishi kesho,hatuna rais hapa
RAIS wangu kipenzi naomba wezi kwenye utumishi wawajibishwe kama wahujumu uchumi shida iko wapi kufanya maamuzi? Badilisha Sheria ya utumishi watu wafungwe maisha na wafilisiwe Hadi paka wao WATAACHA WIZII!
Mwigulu yupo njiani nawengine nimeshasoma nyakati
Allah ajaalie Kila lakheri
Usiyumbe mama endelea mbele
Kodi bado IPO juu Sana, especially kuna watu wa nao ishi nje ya nchi ambao wanapotaka kurudi nyumbani huja na Mali zao Sasa Kwa Nini walipe Kodi ya Mali zao???wakati nivitu walipata Kwa Kazi zao.
Mama safiiii
Punguzeni VAT ni kubwa mno wekeni walau iwe 12% ili waingizwame walipa kodi wengi zaidi
Tra ,takukuru,ewura,tcra,nida ni institution zinazotakiwa ziangaliwe kwa jicho sanifu mlo kwani ni sekta nyeti ktk maendeleo ya nchi why?we lives like this?
Mmmmhhh mungu tuhurumie.
2:28 magufuli tuu
Kwa kauli hii ya Rais ni kama kusema "Mchawi mpe mwanao akulelee"
Samia wetu mpendwa, tafadhali ondoa matumizi yasio ya lazima serekalini, mfano, magar ya garama, kwa baadhi ya viongoz,
Mama Suluhu
Nataman siku moja. Nikutane na mama. Nimwambie njia nyingine ya kupata pesa. Nampenda sana
Andika hapa ataona😂😂
Niambie mimi tukazipige hizo hela
Tunashida miaka5
Bashe jee
Unamtumaje mwizi akafichue mbinu za wizi alizoziweka mwenyewe???
SSH Watanzania siyo wajinga kiasi hicho...
Wewe sema umemtoa kidata kwa chuki binafsi...
Wewe mama ni wa hovyo sana
Trust me I wonder the same way , !! Like hooooooowww ?😮 yani hai make sense kwa kweli, eti mwizi akawabadilishe wezi wenzie 😂😂😂😂 jamani nimechekaaaaaaa😂😂😂
Anahistoria ya wizi arafu Tiss inapatika kazi nchi ngumu hii
Mama SMAIA SULUHU HASSAN.
Umenena vizuri umeelewaka.
Sasa Fukuza kazi Majizi yote serkalini ili update pesa za kuendesha shughuri za serkali.. usiyaoneee huruma kabisa. Ukifanya hivyo utaona hazina pesa zinajaaa tele..
Mawaziri anawagopa,au hakuwatea yeye
Huo uwezo hana.
Huyo ndo ataiba zaidi ya hao
Hii inchi bwana watu wanatwa wainzi bado unapeta cheo maajabu..
IV KUNA MTU KAEGEMEA UKUTANI au nimeona vibaya❓
Tatizo tukishauri serikali ndo utasikia ila mimi kama kijana Anaependa nchi yake ukweli mama yangu Rais wangu kumtoa kidata Dar cjui ili sijazungumza vibaya dr es salaam inatakiwa mtu kamq mzee wetu kidata Aliweza sana tena sana
Ninaimani hakuna mtanzania wamaisha ya chini anakuhitaji ww mama
Mtu amegundulika ameiba lakn achukuliwi sheria za uwiz
Kuna majizi yanaiba hayashitakiwi alafu wananchi tunakamuliwa kulipa kodi punguza kodi iwe rafiki na mfanya biashara hakuna mwananchi atahepa kulipa kodi,, Kariakoo ukinunua bidhaa ukiitisha risiti unaulizwa upewe risiti ya kusafirisha bidhaa au ya kununulia,
Kila la kher
Mtumbue waziri wako wa fedha yeye ndiye KASWENDE KUBWA matatizo yote ya RUSHWA Bandarini, Kariakoo yeye anjua Siri zote na ndiye mtoa maagizo ya kusamehesha KODI. Utawabadilisha Makamishina na Kuwatumbua kwa maelfu lakini hujajibu KIDONDA.
Waziri ndiyo fisadi,tumbua mawaziri wako,huyo umemuonea,
Tuwape kura wapinzani
MAMA KAWAIDA YETU WATANZANIA NIWATU MAJUNGU UKIFANYA VIZURI WATAKUJENGEA CHUKI MUACHEWAZIRI WA FEDHAA
Mama achavupumbavu selikali siyo mumewako. Acha kunyenyekea kiivo unaangamizanchi. Toa kauli za kishujaaa ao wapumbavu wanakucholatu. Kwamala yakwanza nchi itachafuka kwenye uongoziwako
Kumbe walikuwa wanaiba
Haya sasa
Leo ndo umejuwa ????
Sina lakusema zaidi ya😂😂😂😂 maana kama mwizi wa kuku yupo segerea au kauwawa wezi wa fedha ya serikali❤❤❤
Watu wamewaibia wananchi maskini yab idi kwanza wzfilisiwe pili makama tatu warudishe mali. Marufuku kufanya kazi ya umma milele. Halafu anamteua mtu anayekiri ni mwizi! Unauchekea ufisadi! Ila mtu akipasua picha....
Ote hao ni wezi
Tukodishe management ya TRA kutoka nje kwa mwaka mmoja tu....Wabunge pia wanapaswa kulipa kodi
Mbna mna bembelezana sasa sheria hazchukuliwi
Wanaotumbuliwa warudishe Mali yote
Ao wanalipwa msahara mkubwa alafu unawachekea kuwa mkali kama umeshindwa kaapembeni ata akuna point uloifanya apo
Kwa kuongezea maneno ya Rais, mkumbuke kwamba mtakufa na kama mmeiba sana hamtaenda navyo kwa Mungu mtaenda na roho tu. Rais kasema cheo ni dhamana tu
Inchi NGumu hii bila mageuzi ya kimfumo taifa litasota saana
Nikweli mama ila angalieni kiwango mnacho toza
Shida ni hiyo hawaangalii ngo'mbe anahitaji nini mpaka afikie kukamuliwa maziwa, wao kazi yao kukamua tu mpaka ngo'mbe atoke damu badala ya kutoa maziwa
Uwelewa mdogo eti wewe kubadiliuso umeshindwa hlafu unamtaka uliemteuwa abadiliuso umefeli vbya haijawai tokea toka uhulu
Wafanyakazi wa TRA wana mihela na mali zinazozidi mishahara yao, nao wadokozi. Pia wafanyabiashara nje ya mji hawatoi risiti kabisa na hawana hofu.
Na mwigulu ndo tatizo kubwa katika taifa hili wengine ndo wanafuata.mwigulu jamani
Hamna kitu hapa.....hata hiyo hela mliyo kopa mmeiba.....madeni sisi ndo tutalipa.....anyway nadhani mnaona yakiotokea kenya
Angemtumbua waziri wa Fedha,ni mwizi halafu kiburi cna
Mungu tusaidie wewe peke yako hakuna mwingine. Na waziri wa fedha je? Mmmh .
2:28
Mama usiogope vimbe mungu zamana uliopewa utakuja kuulizwa komaa maangu nyoosha kama mtangulizi wako kwahili umenikuna
Mama kata mzizi hayo matawi unayaonea tu
Mwarubain nikutengeneza mfumo mmoja unayokusanha mapato yote ya serikali na taasisi zake,hii kunyesheana vidole hata hujuwi pesa zako zinaibiwa wapi ni uongo,kila unapolala hakikisha umefunga hesabu zako za makusanyo kila siku,kumbuka pesa ni namba unashindwaje kutengeneza mfumo unayoweza kuzibiti rushwa?😊
Maneno mazuri kbx, tatzo linakuja wap? Rais au wateule wake? Rais mm nakuelewa sana lkn skupi kura maana unaoteua wote ni mizgo,
Ni ajabu kiongozi kulalamika. Watanzania tupo milioni 60, kwanini akumbatiwe mwizi mmoja! Wapo wenye sifa, shida hawajui kuimba mapambio kusifia.
Sasa km mwizi ushamtangaza hivyo wa nini huyo hii nchi aibu tupu wanaongea km bongo move yaani wizi unachukuliwa km kigezo cha kazi nzuri kutokana na maneno ya Rais
Mama nakupongeza kwa jitihada ZAKO. Ulinip nafasi ya kukushauri, nitakujulisha Kama ifuatavyo:- Watoza Kodi Wana elimu ya kutoza Kodi lakini walipa Kodi hawana elimu ya kulipa Kodi. 2 Walipa Kodi wakifanya makosa Wana adhabu(penalty) Watoza Kodi wakifanya makosa hawana adhabu. Ukubwa wa adhabu unatoa fursa ya watoza Kodi Kutengeneza fursa za rushwa na wizi. 3 mbinu za kushawishi ongezeko la wafanyabiashara NI dhaifu. Njia za wafanyabiashara kupata mtaji NI finyu. Mifumo ya mikopo NI mibovu ( mikopo kausha damu) imezidi na inadumaza biashara. Waziri wa biashara na viwanda awe na eliminate yakinifu ya ujasiriamali ( Entrepreneur ship knowledge know how.)
Mama hii ni kweli kabisa, waambie wapunguzue kukopa