Maashallah Dadaangu Allah akutangulie ktk maisha yako inshaallah usivunjwe moyo na wajinga toa elimu kadrri uwezavyo kabla Allah hajachukua roho yako naona unakitu chakuiachia jamii yakiislamu kabla ya mauti yako Allah akulinde nahusda Dada yangu kipenzi
Huyo sheikh samir ni mjinga kutia udhu ni sunna Mtume hajasema asheherekewe siku ya jambo la udhu ni sunna kila wakati hizo ni shubuhati za watu wa bidaa
Kumbe huyu dada nae hafai sasa wee ukisema sheikh mohammed bachu kakosa adabu kwa sheikh samir na wewe unaemwita sheikh bachu tarumbeta la mawahabi una adabu 😂😂😂😂 لقد صدق من قال تأدبوا ثم تعلموا
Sio wenyeakili bali wenye elimu ndio walio fahamu dada toa dozi had wakuelewe kwini huyo bachu yeye hatoi mada bali n mwenye kupinga mashehe wajuzi wa elimu
Hey tuliya a aibishwe huyo bachu weenu. Haki ni ya woote hakuna cha mwanamke au kiume. Tume pokea hadisi ngapi kutoka kwa Aisha? Kwahio tuliya huyu mara akojooe mara manakwe amjiibu. Hiyo ni fedheha kutoka kwa Mungu. Atafakari.
Tumekuelewa dada lakini jiheshimu walimu wapo na wanafundisha vizuri tuu kama hujaelewa huu si ugomvi hili ni somo. Tulia kwako umuangalie huyo mume mwenzio. Mungu yupo acha choko choko usije ukapazwa. Na jina ni: Sheikh Nassor Bachu. Allah amaze mahala pema 🤲................ TENA.
Assalam aleikum Kindly Nauliza kwa upole tu huyu ummi Aisha ana mume au ameolewa kama bado InshaAllah uku kwetu kwa sunna bado tuna nafasi ya kumsitiri na mambo kama haya InshaAllah.
Dah yaani kwa mtazamo wangu mdogo inaonesha kwamba huyu Sheikh Mohammad Bachu yeye anajua kila kitu yaani mambo yote anayajua katika dini kila Sheikh au Mwalimu akiongea katika jambo katika dini basi lazima amradi. Ila naomba Sheikh Muhammad naomba ufahamu kuwa hakuna anaejua kila kitu na binadamu aote Wallah Billah Tallah hatuwezi kuwa na ufahamu mmoja akili sawa. Dah masheikh kuweni makini katika daawah zenu. Allah akubarikini kwa daawah zenu.
Yeye anapoona sehemu haijakawa sawa anaweka sawa nae akikosea anawekwa sawa na mara kadhaa anaseme na yeye ni mwanaadamu kwahiyo makosa yapo. Na mara kadhaa ameshaomba radhi pindi anapoona anakosea
Inamana yeye anaelimu kubwa kuliko masheghe wote huyujamaa anamihemko sana yadini hekma hana adabu hana kanatafuta umaarufu kupitia dini ngoja apambambane nahuyo mtoto mwenzie
Wewe mwanake kaa nyumbani hii si KAZI yako ila hata huna la kuambia watu na ufahamu wako ni batil kabisa Shukran saana ustadh Bachu umefahamika vizuri saana
Hebu usimdanganye,,, muusie kwanza ajitunze kama mwanamke… na fitna zote kajiweka mtandaoni…. Kama wampenda kama muislamu ungemuusia aitoe hii sauti mtandaoni…
Mwanamke unadhihirisha sauti yako kabisa halfu unajibizana na mwanamke unaleta Shubha dada yetu katika Iman halfu watu wanachekea hilo swala allah atuongoze 🙌🙌
@@IsmailSanga anachofanya sio katika taratibu zilizoachwa na mtume pia hawana dalili ya wazi ya kutetea maulidi bali wanachofanya ni kumu attack mtu binafsi hapo ndo wanapoleta mtihani katika dini ila yote kwa yote Allah atuongoze na atupe mwisho mwema
@@abuunuaymiaffasiyassalafiy1089 kama kaolewa huo ni mtihani mkubwa na lazima atakuwa kaolewa na mtu wa maulidi mwanamke anaeijua sunnah vizuri hawezi kuja kubishana na wanaume mitandaoni
Wewe Dada nenda kampige raddi muumeo dayuthi ataikosa harufu ya pepo kwa kisauti chako naona ujinga umekuzidi hujui hata waongea nini Samiri kakaa kimya ati aja Dada (fitna) Allah akuongoze wakujibu hoja miongoni mwa masufi wapo hatukueliwiii.
Assalaamu alaykum warahmatu llaah, ndugu zangu waislaam tupunguze matus dini yatu nidini ya ustaarabu huyu dada yetu anatumika vibaya kwanza dini sio biashara wanawake hutumika katika biashara kwaupande wa matangazo nikivutio kimoja wapo, lakini sheria hairuhusu kudhihirishwa sauti ya mwana mke mbele ya wanaume kosakubwa dada yetu anatakiwa alete istghfaari kwa mola wake kwa kosa hilo napi napenda kumkumbusha kua neno dhikri ni utajo wa Allaah kwa hiyo ndani ya salaamu kuna utajo wa Allaah asitofautishe dhikri na salamu kwa sababu mtume kama ange itikiya nilazima angemtaja Allaah. Ndio akasema mm nachukia kumtaja Allaah nikiwa sina UDHU, Na usimuite mtu tarumbeta la wahabi kwanza unamkosea Allaah Allaah amemuumna kiumbe wake na akajisifu we unamfananisha na tarumbeta dini inatutaka tuitane majina mazuri ww unawaita watu majina mabaya katika suuratl ahzaab Allaah anasema waiteni kwa majina ya baba zao ikiwa hamuyajui nindugu zenu kaatika dini kwahiyo huyo nindugu yako katika dini je na ww uki itwa tarumbeta la makhurafi itakua umeonewa? fahamu yakua kila unacho kisema na unacho kifanya kina dhibitiwa kwa kuandikwa na siku ya qiyama utakwenda kukikuta tahadhari sana na ulimi wako usije ukaja kujuta sasa hivi una watu watakusapot ujinga lakini adhabu uta adhibiwa pekeyako wala hito waona hao.
wailaikum salam tumekuelewa nduguyangu ila maneno hayo wambiye mawhabi kwasababu ndo walio.anza kutukana mashekh zetu nakuhusu sauti ya mwanamke mbele zaunaume unakusidia wanawake wa kisufi tu au unakusudiya wanawake wote
@@SirmaSirma-p8p we mwehu unajua sheria ya Allah kwa mwanamke kwenye uislam au unaropokwa, we unaona yupo sawa uyo dada acheni kuwaita watu motoni kwa ujinga
@@SirmaSirma-p8pKasome ndugu yangu, kusoma dini yako ni lazima kwa muislaam sidhani kama Allah utakuja kumjibu hukuwa na elim ndo maana ibada nyengine hukufanya kwa usahihi. Unakosaje uwelewa kwenye dini ya Allah lakini uwelewa wamambo mengine unao?
Shekh bachu huyu ummu Aisha inaonekana anakutaka mm Nakushauri muoee tu. Anataka kuolewa na ww huyuuu SI Bure hii halafu inaonekana atakuwa mzuri pengine..
Ewe dada yangu mche Mungu acha kumsema vibaya Sheikh Mohammad bachu mche Mungu...elmu yako ni finyu sana mdada...ivyo bc soma na pia utoke kwenye upotevu na kutetea mambo ya maulidhi...maana maulidhi ni bidaa
@@RumeisarajabMkungoma ... Muhammad bachoo hata adabu Hana kwa iyo Wacha asemwe vibaya vyenginovo na aende kwa wakristo wenzake huko atuachie uislam wetu yenye sio muislam
@@ibbu-tzhakina hoja,,, mimi swali langu nauliza… mtume amesema tuchukue elimu wapi??? Na imam maalik ni nani??? Ukielewa hili swali utajua hakusema haki chochote… na ufahamu wake ni mchache
Mtume aliyasema haya itafika wakati watu watajifaharisha na kujiona na elimu kupotea leo kubishana kutana majina yasio faa ndo tumekuwa wa mbele cha ajabu waislam kwa waislmu ndo wanagombna uwislmu umekuja kuleta kitu kimmoja leo watu wanaishi kwa matabaka km timu za mpira tutafika kwa Allah na tutaulizwa tuliupigania au tuliugawa uwislamu Allah atupe hatima njema inshaallah
Shekhe Bacho huyu ni Hindu wa zama hizi bar Hindu wa zama za mtume alibadilika sijui huyu Hindu wa maulidi atabadilika lini Allah amoongoze bakllah hii imondokee huyu , kiumbe dhaifu , ameshindwa kulea familia najumhendi mume wake , wewe dada huna aibu kwanza nakujua harahayaya huna Allah akusiri dah subhanallah .
Mwanamke hata Aibu huoni Hata kisasi mke kwa mume hakuna umepata wapi huo ujasiri alafu umeandikiwa subhanallah Mwenye mke amnasihiiii mke wake ,,,,Mama kapike hivi vitu vina wenyewe
Wee dada Allah anasema ولا تنابزوا بالألقاب hapo siku ya Qiyama utapunguziwa thawabu zako apewe bachu mana umemdhulumu heshima yake kumuita tarumbeta si umuite tu bachu jifikirie pole sana kwa kutojielewa
Na km hali hii ilikua ni kwa Sahaba wa Mtume vp atakua Mtume mwenyewe vp watakua maswahaba ambao kila mmoja alitaman yeye atajwe vzur na Mtume SAW, maswahaba ambao wakiskia mtu anafanya kheri wanataka wao wazidishe zaid wakishindana kukimbilia kheri. Allah atuongoze ktk hili giza zito mbele yetu 🤲
@@mwalimulossilamsuya1944 wewe kusema watu wawache upumbavu kuleta Madhehebu sasa tuambie kwa uwelewa wako Madhehebu ni kina nani na ni yapi Madhehebu unayo juwa wewe?
Wanaokemea sauti ya mwanamke kwa sababu ya haqqi anayoifikisha ni chukitu umari ibnu khattwaab alikosolewa na mwanamke kuusu kuweka kiwango cha mahari na akakubali kua amekosea amiirulmuuminiin hiyo ndo haqqi
Sio kuwa sauti ya mwanamke,,, kila kinachoelekeza kwenye dhambi ni dhambi… nishaona comment ikisema sauti yake nzuri… wal iyaadhu billah. Pampja na kuwa hana haki alioisema. Ila hakuelewa na kakimbia kurecord ati kuraddd… wah… nimepata aibu kwa niaba yaka
Assalaam alaykum, wewe ndio hujui maana ya tuhur, we unatafsir tuhur ni kuoga janaba tuu? Au heidh? Mtume swala llah wasallama anasema: Laa swalat lighair tuhur (hii hadithi ipo katika milango ya udhu na si heidh) Baaraka llah fiyka. Na'aam
Kwani mtume hajaeleza kuhusu uzao wake kua watu wafunge jumatatu sasa watu wanahangaika na nini kama kweli asa wanataka radhi za ALLAH anakutia hao wanaotetea maulid hawatumii jitihada kuwafahamisha watu wafunge iyo j3
Hutu alikua anatafuta umahiri. Wala uelewaji wake ndio mdoooooogo. kama kawaida ahlul bidaa. Huyu hata ni aibu kwake maanake hata mtoto wa miaka kumi kaelewa… subhanallah. Mtake msitake,,, bidaa ya maulidi haiwi dini mpaka kiama kisimame walillahi lhamd
@@mmmnstudio9344 KWANI wewe mwarabu? Au ndio nyie likisomwa Shairi la KIARABU kumsifu bosi huwa mnafkiria Ni quran?. KWANI bachu kasoma Aya GANI iliosema SHURUTI Ni kutia udhu KABLA KUSOMA HADITHI?!
Huyu dada majibu anaeyatoa si yeye anaepekua vitabu anahada , kaadikiwa karatasi ili ajibu msikilizeni vizuri, tena hata hishima hana afai hata, kama hivi alie muoa kazi anayo
Unataka HAQQI AU unataka majibu katoa Nani!. Bachu anajikanyaga TU. JAMBO sio AMRI ya Allah sw wala Mtume saw HALAFU anasingizia ATI Ni wahyi HUO. 😂 Wahyi kapewa tabiina 😂, HII Kali ya mawahabi
@@rayisadesigns2646 mwenyewe amejidhalilisha maana Bachu amekubali katika kutawadha kabla ya kusoma hadithi Sasa maulidini hua watu wanaenda kusoma hadithi ama wanaenda kusoma barzanji .. mwambieni huyo mama atafute watoto alee asijiingize katika fani ambazo Allah amemkataza anatafuta moto kwa lazima...
@@jamilahjamilah4157 wewe ndio umesoma ??? Waliosoma wanafwata yanayowahusu na ukweli katika dini. Ww uliskia wp mwanamke amepewa ruhusa ya kupaza sauti yake mbele ya hadhira iliyojaa wanaume ama na wewe ni wale wale munaoongea musioyafanya
@@OmarSalum-y9c kama una akili zilizo fika na mwaka kama bachu anavyo kosa adabu kwenye kilpu zake kwa kutukana na kukashifu wanachuoni na masheikh ni bora ajibiwe na mwanamke, kiukweli amekuwa kevo kwa jamii ya kiislam pasina ya kutizama analokataza ni maslahi yapi yanapatikana mbele ya umm wa kiislamu.
Allah atuongoze na atujalie ufaham. Wallahi hakuna muislaam anae jitambua namwenye hof ya Allah kisawasawa anaeweza kuendelea kuwaskiliza na nakuwatii hawa mashekh wanao sapoti maulidi nashindwa kuelewa maana ya elimu ni nini kwasababu Shekh bachu anakosoa majambo wanayo yafanya kwania ya kuzindu umma wakiislaam. Lakin hawa ndugu zetu hawajawahi kujibu kwakunufaisha umma bali utafuta uchochoro tu wakujificha ili waendelee kuwapoteza waislaam wewe ni shekh na elimu ulio nayo ili uwe bora kwa Allah uwe mwenye kuwanufaisha watu tayar umekosolea kuusu maulidi tuchotaka kujua nakuskia sisi wanafunzi utuambie nani ameturuhusu sisi waislaam kusherehekea mazazi ya mtume? Kwadalili ya Qur aan na sunna tunacho kiitaji Shekh Samir ni elimu yako itunufahishe sio kuwatuma vibaraka wenye miemko naushabiki ktk dini ya Allah naleo mmeenda mbali mmekuja nahuyu Dada maskin ajitambui mpaka sasa Mola wake anamtaka awe vp kwanza kaonyesha kabisa hana sifa yakuwa mke wamtu kwasababu kama ameweza kumchamba shekh Bachu Allah amuhifadhi nahali yakuwa anamuona tu kwe mitandao uhalisia wake amfaham, itakuwaje kwamumewe wakikosana chumbani? Allah akuongoze Kwenye njia ya sawasawa dada angu.
Mumekosa adabu hadi mnasukuma mwanamke awatetee masufi tufuateni sunnah safiiiiiii ya mtume salallahu alayhi wasalaam bila kuzidisha au kupunguza muogopeni Allah subhannahu wa taala kiasi cha kumuogopa
@@hassanisihaka910 heri mm mjinga kuliko nynyi mnataka hadithi za mtume salallahu alayhi wasalaam ziende na Hawa za nafsi zenu ila hapa hamna kitu masufi mlishindwa kujibu hoja ya bachu mkatupia mwanamke ujahil ni kama uzungu kweli n mna raha sana mkiskia akitoa matusi hamna haya kweli usufi na kama ukafiri kweli wapi mwanamke anafaa kuweka darsa ati anaelimisha watu wakae huko waelimishane wao hukoooo hatutaki tabu cc kueni n adabu na dini
We demu nenda kakate vitunguu tu uwanja ulio uingia hauna ubavu nao kaa chini usome maelezo ya bachu yapo wazi qatada,imamu maalik na aamash walikuwa ktk quruunu mufadhala na mtume amesema watu Bora qarne yake Kisha wanao fuata,Kisha wanao fuata lkn jambo la maulid limezuka baadae sana ktk daula ya abasiya wameanzisha mashia makafiri
Wewe mwanamke Allah akuongoze koz unathubutu kudhihirisha sauti yako hadharani jua ya kwamba utajaulizwa na mlezi wako kwa kitendo hicho..na laiti ungelutaka kuelimisha umma basi ungeandika raddi yako isomwe na mume au kaka au yyt katika Maharimu zako..usiwe na shauku ya kuelimisha watu huku unaiangamiza nafsi yako kwa kudhihrisha pambo ambalo ni special for your husband..mtake Allah msamaha na utubue dada angu na usiwe na pupa yakuongea mbele ya wanaume ili kuilina stara yako Allah akusamehe ndg yangu Mche Allah
Assalam alykym Maasha Allah umeongea vzr Allah akubariki, lkn pia nimepata suali hili: Ivi pambo linaponinginizwa pasi na kujulikana mwenyewe hukumu yake ipi? Na kama linajulikana mwenyewe ikoje? Ikitokezea mwanamke ana kitu muhimu kukifikisha kwa jamii (tuachane na hilo lililoongelewa) na akawa hana maharimu anayeweza kulifikisha kwa wakati huo afanyeje? Iwe la dini au la mazingira ikoje? Allah akubariki akhuy
Mbona sauti ya mama Aisha ilisikilikana, au alikua akihadithia vipi tabia za Mtume? Tatizo lenu mnaendeshwa na tamaa za nafsi, mkisikia sauti ya kike tu mnawaza mambo fulani. Kazi mnawaza ngono tu.
Wallah nyinyi makhulafi jitahidini mnavyojitahidi hamtopata njia kukimbilia mpaka mnashindwa mpaka hamuezi kujibu wanawakoe ndio waji kupambana.Haka kajimwanamke hakana hata elimu kisha kaone waume zake wamefumuliwa haka kajinga ummu Aisha ndio kapambane😂😂😂
Ewe mwanamke muogope Allah, acha kudhihirisha sauti yako tena kwa jeuri ya kuwadogosha wanachuoni, ivi waijua nafasi ya wanachuoni na salafi waliotangulia tena wadhihiri kwa kutetea uzushi katika dini ya Allah, kuwa na nidhamu wewe mwanamke Allah kakutukuza acha kujidhalilisha mtoto wakike maulid yatakua ni Bida na uzushi mkubwa katika dini yetu ya uiislaam popote itakapokua na yeeyote atakae sema maulid ni uzushi na wanachuoni wana nafasi kubwa katika dini ya uiislaam.
Acheni kumshambulia huyo bint kwasab anahaki ya kumuongoza yule alie potea kam nyinyi amuezi acheni bachu afunzwe na mwanamke maan😂akili zake ziko kwenye ndevu😂
Maashallah Dadaangu Allah akutangulie ktk maisha yako inshaallah usivunjwe moyo na wajinga toa elimu kadrri uwezavyo kabla Allah hajachukua roho yako naona unakitu chakuiachia jamii yakiislamu kabla ya mauti yako Allah akulinde nahusda Dada yangu kipenzi
ALLAHUMMA AAAMIIN
Huyo sheikh samir ni mjinga kutia udhu ni sunna Mtume hajasema asheherekewe siku ya jambo la udhu ni sunna kila wakati hizo ni shubuhati za watu wa bidaa
Kumbe huyu dada nae hafai sasa wee ukisema sheikh mohammed bachu kakosa adabu kwa sheikh samir na wewe unaemwita sheikh bachu tarumbeta la mawahabi una adabu 😂😂😂😂 لقد صدق من قال تأدبوا ثم تعلموا
Wewe mama mpuuzi sana kondooo jistirii utulie.
Sio wenyeakili bali wenye elimu ndio walio fahamu dada toa dozi had wakuelewe kwini huyo bachu yeye hatoi mada bali n mwenye kupinga mashehe wajuzi wa elimu
Hongera kazi nzuri mwanzo mzuri
Acheni kupotosha SHEIKH SAMIR TUMEMUELEWA NA SHEIKH BACHU PIA TUMEMUELEWA. mwanamke sauti yako ni nzuri sanaaa iweke kwaajili ya mumeo huko chumbani.
DADA WATUMIKA VIBAYA DINI HAITAKI HIVYO ULIVYO FANYA
Hey tuliya a aibishwe huyo bachu weenu. Haki ni ya woote hakuna cha mwanamke au kiume. Tume pokea hadisi ngapi kutoka kwa Aisha? Kwahio tuliya huyu mara akojooe mara manakwe amjiibu. Hiyo ni fedheha kutoka kwa Mungu. Atafakari.
@@AthumaniBakari-o6r inataka nini 😂😂
ww unasem km anapotosh hebu rudi kwa allah umuombe msamaha
Tumekuelewa dada lakini jiheshimu walimu wapo na wanafundisha vizuri tuu kama hujaelewa huu si ugomvi hili ni somo.
Tulia kwako umuangalie huyo mume mwenzio.
Mungu yupo acha choko choko usije ukapazwa.
Na jina ni:
Sheikh Nassor Bachu. Allah amaze mahala pema 🤲................
TENA.
Assalam aleikum
Kindly Nauliza kwa upole tu huyu ummi Aisha ana mume au ameolewa kama bado InshaAllah uku kwetu kwa sunna bado tuna nafasi ya kumsitiri na mambo kama haya InshaAllah.
Leo mungu amuonesha bachu kua ww sasa unafaa kujibizana na wanawake, mashaallah mungu akupe majaza mema ewe hurul ayn mjibu vizuri huyo tarumbeta
Shida ni kuwa sheikh awe wao tu, asiyekuwa wao huyo wamkosee adabu. Na wanamradi. Ahsante dada. Ufahamu pia ni rizki.
Samahan kk Nini maana ya kumradi mtu?
Ukhty Maa Shaa Allah kwa ufafanuzi mzuri na naona nikweli kabisa bachu una ufahamu finyu katika dini na Wewe Ukhtiyetu ndie unae mfaa kumfafanulia
Ummy Aisha,mwanamke jisitiri,maulidi si Ibada,usiitie bei sauti yako,mtume kawatabiria moto wanaotengeneza ibada mpya.
Maashaa llah ukhti mungu akuhifadhi
Dah yaani kwa mtazamo wangu mdogo inaonesha kwamba huyu Sheikh Mohammad Bachu yeye anajua kila kitu yaani mambo yote anayajua katika dini kila Sheikh au Mwalimu akiongea katika jambo katika dini basi lazima amradi.
Ila naomba Sheikh Muhammad naomba ufahamu kuwa hakuna anaejua kila kitu na binadamu aote Wallah Billah Tallah hatuwezi kuwa na ufahamu mmoja akili sawa. Dah masheikh kuweni makini katika daawah zenu. Allah akubarikini kwa daawah zenu.
Yeye anapoona sehemu haijakawa sawa anaweka sawa nae akikosea anawekwa sawa na mara kadhaa anaseme na yeye ni mwanaadamu kwahiyo makosa yapo. Na mara kadhaa ameshaomba radhi pindi anapoona anakosea
MAWAHABI kazi Mnayo.
Inamana yeye anaelimu kubwa kuliko masheghe wote huyujamaa anamihemko sana yadini hekma hana adabu hana kanatafuta umaarufu kupitia dini ngoja apambambane nahuyo mtoto mwenzie
Yani allah atunusuru kwa kweli dada acha kutenguwa watu udhu iyo sawuti yako ina tamanisha na kama una muamini allah tafadhali usirudi kujitangaza
Wewe mwanake kaa nyumbani hii si KAZI yako ila hata huna la kuambia watu na ufahamu wako ni batil kabisa Shukran saana ustadh Bachu umefahamika vizuri saana
Maa shaa Allah ukhiy allah akulinde na kila shari hasad na fitna Allah akuzidishie elimu zaidia hio
Na akujaalie pepeo ya firdaus
Hebu usimdanganye,,, muusie kwanza ajitunze kama mwanamke… na fitna zote kajiweka mtandaoni…. Kama wampenda kama muislamu ungemuusia aitoe hii sauti mtandaoni…
Dada yangu hayamambo hauyawezi achana nayo na waache wanaume wafanye hivyo ww nenda kumuhudumie muumeo acha kueka sauti yako hadharani kwan pia inachangia Iblis maana sauti yako MASHAALLAH
Ana sauti nzuri sanaa , hajui sauti yake ni ni utupu kutusikilizisha
Nana Aisha alikuwa akifundisha nyakati za maswahaba, je alikuwa hatumii sauti? Ama sauti yake ulikuwa mbovu?
@@ABBASDOLOLOni ilmu ama mizozo
Namuomba Ustaadhi Bachu ampuuzie huyu ukhty na Allaah amuongoze hakika amepotea waziwazi
Wapumbavu mpo wengi kapotea bachu wewe unamwona mtu mwingine shida kweli
Mwanamke unadhihirisha sauti yako kabisa halfu unajibizana na mwanamke unaleta Shubha dada yetu katika Iman halfu watu wanachekea hilo swala allah atuongoze 🙌🙌
Uyuu. Bintii kwanzaa kaolewaa. Kama kaolewaa mumewe. Bas. Ata kua. Dayuth. Ana tulegezea saut tu
@@Bombwejr18 Dada amekosea, Ila kinachotakiwa hapo ni hadith.
@@IsmailSanga anachofanya sio katika taratibu zilizoachwa na mtume pia hawana dalili ya wazi ya kutetea maulidi bali wanachofanya ni kumu attack mtu binafsi hapo ndo wanapoleta mtihani katika dini ila yote kwa yote Allah atuongoze na atupe mwisho mwema
@@abuunuaymiaffasiyassalafiy1089 kama kaolewa huo ni mtihani mkubwa na lazima atakuwa kaolewa na mtu wa maulidi mwanamke anaeijua sunnah vizuri hawezi kuja kubishana na wanaume mitandaoni
Abu nuaayimi,hayo maneno ni sadaqat kabisa hakuna mushikila.
Bachu upo sawa, una ongea vitu Kwa dalili ila wewe dada nakuonea huruma sana! Pole sana Allah akuongoze wewe na waliokutuma insha Allah
Bachoo ni padri
Dalili zipi ameonesha Bachu kuliko huyo dada
Wewe Dada nenda kampige raddi muumeo dayuthi ataikosa harufu ya pepo kwa kisauti chako naona ujinga umekuzidi hujui hata waongea nini Samiri kakaa kimya ati aja Dada (fitna) Allah akuongoze wakujibu hoja miongoni mwa masufi wapo hatukueliwiii.
KUJIBU HOJA HAJIBU
ANAANZA KUONGEA MAMBO MENGINE KABISA!
Jibu HOJA ZA DADA YETU? acha kulalamika
iyo maana yake bachu hajafkria levle y kujibzana na shekh samir kapewa demu tu amgaragze nd lavle zake hahahahahha
Ukthy manchallah allah kuifadhi piya akuelimishe
😂😂😂😂😂😂😂 DAH UYO DADA ANAMASHAKA SAAN TENA ANACHEKESHA SAAN DAH
mche allah wedada hujajua matumizi ya saut yako nadhambi unazo beba kwenye audio hii
Assalaamu alaykum warahmatu llaah,
ndugu zangu waislaam tupunguze matus dini yatu nidini ya ustaarabu
huyu dada yetu anatumika vibaya
kwanza dini sio biashara wanawake hutumika katika biashara kwaupande wa matangazo nikivutio kimoja wapo, lakini sheria hairuhusu
kudhihirishwa sauti ya mwana mke
mbele ya wanaume kosakubwa
dada yetu anatakiwa alete istghfaari kwa mola wake kwa kosa hilo
napi napenda kumkumbusha kua
neno dhikri ni utajo wa Allaah kwa hiyo ndani ya salaamu kuna utajo wa Allaah asitofautishe dhikri na salamu
kwa sababu mtume kama ange itikiya nilazima angemtaja Allaah. Ndio akasema mm nachukia kumtaja Allaah nikiwa sina UDHU,
Na usimuite mtu tarumbeta la wahabi kwanza unamkosea Allaah
Allaah amemuumna kiumbe wake na akajisifu we unamfananisha na tarumbeta dini inatutaka tuitane majina mazuri ww unawaita watu majina mabaya katika suuratl ahzaab Allaah anasema waiteni kwa majina ya baba zao ikiwa hamuyajui
nindugu zenu kaatika dini kwahiyo huyo nindugu yako katika dini
je na ww uki itwa tarumbeta la makhurafi itakua umeonewa? fahamu yakua kila unacho kisema na unacho kifanya kina dhibitiwa kwa kuandikwa na siku ya qiyama utakwenda kukikuta tahadhari sana
na ulimi wako usije ukaja kujuta
sasa hivi una watu watakusapot ujinga lakini adhabu uta adhibiwa
pekeyako wala hito waona hao.
wailaikum salam tumekuelewa nduguyangu ila maneno hayo wambiye mawhabi kwasababu ndo walio.anza kutukana mashekh zetu nakuhusu sauti ya mwanamke mbele zaunaume unakusidia wanawake wa kisufi tu au unakusudiya wanawake wote
@@darajanidamnamkandamiza motoni uyo dada haifai, akamtii mumewe awe na haya sio ivi anakua kama hayawani
Kwa hyo MTU anapoikosea dini ya mwenzingu mwanamke hapasw kukemea na kama ataongealea chumban ss tuliokua hatuna uelewa tutajua WAP?
@@SirmaSirma-p8p we mwehu unajua sheria ya Allah kwa mwanamke kwenye uislam au unaropokwa, we unaona yupo sawa uyo dada acheni kuwaita watu motoni kwa ujinga
@@SirmaSirma-p8pKasome ndugu yangu, kusoma dini yako ni lazima kwa muislaam sidhani kama Allah utakuja kumjibu hukuwa na elim ndo maana ibada nyengine hukufanya kwa usahihi. Unakosaje uwelewa kwenye dini ya Allah lakini uwelewa wamambo mengine unao?
Maashaallah Allah akulipeni dada yangu na sh sameer,huyo kijukuu cha kiyahuri,poti la kikristo bila ya kujijua,
Shekh bachu huyu ummu Aisha inaonekana anakutaka mm Nakushauri muoee tu. Anataka kuolewa na ww huyuuu SI Bure hii halafu inaonekana atakuwa mzuri pengine..
Picha yake ipo apo juu mwanzo
Aowe Sufi !!! Bora Aowe mnaswara kuliko sufi
Bora uoe sufi ndugu yangu kuliko mnaswara kwa 7bu sufi ni muislam ndugu zangu vipenzi
Mimi nimeoa sufi ila mbona kabadilika
@@OmarSalum-y9c Bora mnaswara kuliko sufi ,
Ewe dada yangu mche Mungu acha kumsema vibaya Sheikh Mohammad bachu mche Mungu...elmu yako ni finyu sana mdada...ivyo bc soma na pia utoke kwenye upotevu na kutetea mambo ya maulidhi...maana maulidhi ni bidaa
Muhammad bachoo ni sawa na padiri tu sio muislam kwa sababu yeye ni wahabi na mawahabi sio waislamu
Kweli💯
@@RumeisarajabMkungoma ... Muhammad bachoo hata adabu Hana kwa iyo Wacha asemwe vibaya vyenginovo na aende kwa wakristo wenzake huko atuachie uislam wetu yenye sio muislam
@@chinammasai9967 hivi kaka yangu umejiona kweli ulicho ongea mche Mungu wacheni wawatuhumu wanazuoni tuwapeni eshma zao
Mbona huyo dada anaelimu kubwa kuliko huyo Bachu mwenyewe?
Dada Ana Hoja Tena Nzito, (IMAMU NNAWAWIY R.A) Hakua Swahaba kabisa, Suala ni kua Mawahabi tupeni hio Hadith, Kwa Alicho Kifanya Imamu Malik, Kutia Udhu Kabla hajasoma Hadith Ya Mtume (S.A.W) Mbona Dada yetu ana Hoja. !!!
Wewe labda hujasoma unaunga mkono mwanamke kupaza sauti yake mbele ya jamii
Hajasema anaunga mkono kupaza sauti usigeuza maneno. KASEMA ALICHOKISEMA KINA HOJA, HIVYO MAWAHABI WAJIBU HOJA.
Naam huyu mwana dada yupo sahihi kabisa sana
Ila tatzo lilokuwepo panawatu hushika yale wasemayo masheikh zao hatakama ni makosa
@@SAIDIYABUSHINGEDJUMA wewe ndo hujasoma
@@ibbu-tzhakina hoja,,, mimi swali langu nauliza… mtume amesema tuchukue elimu wapi??? Na imam maalik ni nani??? Ukielewa hili swali utajua hakusema haki chochote… na ufahamu wake ni mchache
Mtume aliyasema haya itafika wakati watu watajifaharisha na kujiona na elimu kupotea leo kubishana kutana majina yasio faa ndo tumekuwa wa mbele cha ajabu waislam kwa waislmu ndo wanagombna uwislmu umekuja kuleta kitu kimmoja leo watu wanaishi kwa matabaka km timu za mpira tutafika kwa Allah na tutaulizwa tuliupigania au tuliugawa uwislamu Allah atupe hatima njema inshaallah
Huyu mdada kaja kujiuza umu mtandaoni au mana simuwelewi mm anachokisema yy anamladi shekh bachu au anawasikilizisha watu sauti yake na kutoa michambo
Acheni kumsema dada vibaya ikiwa mnamuamini Allah subhaanahu wataala anawaelewesha vizuri mbona
Haraaam sauti yake apeleke bwanake, ni haraam mwanamke kurusha sauti yake mtandaoni, hatuhitaji ma dai wakike. Analeta uyahudi
Tiwa aya kuwa niharamu mwanamke kurusha sauti mtandaoni@@ZakariaBoy-fv3kh
Kwa iyo alichokiongea uyo dada kwa hakipo kwa mtazamo wako?
Yatumie maskio yako vizur wewe Wacha kupindisha unapenda mpaka Unakua kipofu
Shekhe Bacho huyu ni Hindu wa zama hizi bar Hindu wa zama za mtume alibadilika sijui huyu Hindu wa maulidi atabadilika lini Allah amoongoze bakllah hii imondokee huyu , kiumbe dhaifu , ameshindwa kulea familia najumhendi mume wake , wewe dada huna aibu kwanza nakujua harahayaya huna Allah akusiri dah subhanallah .
Mwanamke hata Aibu huoni Hata kisasi mke kwa mume hakuna umepata wapi huo ujasiri alafu umeandikiwa subhanallah Mwenye mke amnasihiiii mke wake ,,,,Mama kapike hivi vitu vina wenyewe
kapata uo ujasiri kw sbb kasoma sio km ww kapuku mafta ya kuku
Nani kakuambia mwanamke kazi yake nikupika?
Asalamu alykm waislm tunaenda wp hebu tuache mijadala tasa
unatangaza sauti ili utongonzwe hao vip???
sio lengo lake
Ndy lengo hilo😂😂😂
Ma shaa Allah....walakin usijitoe dhahiri kutenganisha dini kwa kumuita mtu mawahabi....
Wee dada Allah anasema ولا تنابزوا بالألقاب hapo siku ya Qiyama utapunguziwa thawabu zako apewe bachu mana umemdhulumu heshima yake kumuita tarumbeta si umuite tu bachu jifikirie pole sana kwa kutojielewa
ni kweli kabisa
Sio kweli ww mdada hebu usikurupuke kua Adabu kwenye maongezi yako
Huyu dada anajua nafasi yake kwenye uislamu
Na km hali hii ilikua ni kwa Sahaba wa Mtume vp atakua Mtume mwenyewe vp watakua maswahaba ambao kila mmoja alitaman yeye atajwe vzur na Mtume SAW, maswahaba ambao wakiskia mtu anafanya kheri wanataka wao wazidishe zaid wakishindana kukimbilia kheri. Allah atuongoze ktk hili giza zito mbele yetu 🤲
MashaAllaha maalim Mmaa Ummu Aisha Mwenye Ezi Mungu akuzidishie Elimu tumekuelewa kama mama mlezi
Acha UPUMBAVU..TUMIENI MUDA WENU KUWAUNGANISHA WAISLAM SIO KULETA MAMBO YA MATHEHEBU..MADHEHEBU YATATUPELEKA WAPI?..
@@mwalimulossilamsuya1944 kaka mwanzo nini maana ya Madhehebu?kwa sababu kuijuwa Dini bila kupitia Madhehebu huwezi kuijuwa Dini
@@mwalimulossilamsuya1944 wewe kusema watu wawache upumbavu kuleta Madhehebu sasa tuambie kwa uwelewa wako Madhehebu ni kina nani na ni yapi Madhehebu unayo juwa wewe?
@@mwalimulossilamsuya1944 na kama hujui Madhehebu ni kina nani TUBIA OMBA KWA MWENYE EZI MUNGU
we muongo
Mama pioneer imani sauti yako pia ni tupu..
We bint haujasimama vizur kwenye dini Allah akuongoze
MUACHE AJIBIWE, KWANI SIKIO LA KUFA HALINA DAWA.
Dada mashallah Allah akuhifadhi kwa rehma zake
Unapongeza ushuzi wa dada yako jiulize wewe ndo umemuoa alafu anaropokea watu huku bila hoja za kielimu
SAS ww dada hiyo ni radi au taarifa ya habar kaaa mpikie mumeo huku achia wengine
Mwambie
@@MasoudChoum-pp1ob Kinachotakiwa ni hadith inayodhibitisha hayo.
HahahahahahahahahhH
Tusaidie Majibu kwa Ajili ya Bachu basi? Tupatie hio Hadith kwa Ajili yake.
Tusaidie Majibu kwa Ajili ya Bachu basi? Tupatie hio Hadith kwa Ajili yake.
Wewe bint haifai sauti yako kuchomoza mbele ya hadhara za wanaume mitandaoni huo ni utomvu wa adabuu! Jiheshimu uheshimiwe🙏
Assalam alaykum 'Enyi watu wa bidaa iv kweli hamtaacha kuongeza vitu vyenu katika dini ya Allah mpaka akawaangamize ?
Wa Allahu mustaan,,, mwanamke anapata wapi nguvu ya kuongea hapa
We mwanamke akili zako sio mzuri
Au huyu mwanamke hana mume subhana Allah Leo hiii mwanamke anasubutu kunyanyau sauti amche Allah uyu dada
masufi wamechemka kwa bacho hadi mnaleta wanawake?
Huyu Bachu kweli mwanaharamu mungu amlani
Chunga neno lako la kumwita muislam mwenzio mwana haramu ujue halitaachwa Bure Dai lako hilo
Kwani mwanamke hapaswi kuwa mwalimu?....leta vitu mama❤
Kwanza mwanamke mwenyewe anaonekana hata adabu Hana
Ahsante dada, Allah akuhifadhi
Usufi ni mtihan
Mbona anasoma nani kamuandikia?
Mashekh wake😂
ما شاء الله
Huyu dada ana sauti ya kupika vyakula tu sio kazi yenu hii mama. Na video pia ungetoa basi tukuone
@@NasirJussa Huyo dada kasema leteni hadith inayofundisha hivyo,So mnaleta ujanja ujanja kwenye dini.
@@IsmailSangaswadakta
anza ktoa ww iy vdeo tuone sura yako ya mbuzi
😂😂😂
Ww mwanamke kazi yako ni kukata vitunguu nakutandika kitanda ukamsubiri mumeo hapa biidaa hainyamaziwi
😅😅
Wanaokemea sauti ya mwanamke kwa sababu ya haqqi anayoifikisha ni chukitu umari ibnu khattwaab alikosolewa na mwanamke kuusu kuweka kiwango cha mahari na akakubali kua amekosea amiirulmuuminiin hiyo ndo haqqi
Uongo.
Toa ushahidi katika hadith sahihi siyo porojo
Sio kuwa sauti ya mwanamke,,, kila kinachoelekeza kwenye dhambi ni dhambi… nishaona comment ikisema sauti yake nzuri… wal iyaadhu billah. Pampja na kuwa hana haki alioisema. Ila hakuelewa na kakimbia kurecord ati kuraddd… wah… nimepata aibu kwa niaba yaka
Kwan alimkosowa kwa njia ipi na ukija nahoja ile ilikuwa Zaman kumbuka uislam haupo mpya ama wazaman
Toa riwaya sahihi inayothibitisha hilo unalosema
Subhana ALLAH wewe dada Allah akuongize kwakuiachilia sautiyako namna hiyo lkn hayo ni maneno ya wanawake
Wewe tarumbeta la mawahabi unaadhilika Sasa unajibiwa na wadada
Hebu fanya usawa katika kuskiliza acha ushabiki yuko sawa bachu
Namaana Bachu hajui tofauti ya tohara na udhu!!!!
Assalaam alaykum, wewe ndio hujui maana ya tuhur, we unatafsir tuhur ni kuoga janaba tuu? Au heidh?
Mtume swala llah wasallama anasema:
Laa swalat lighair tuhur (hii hadithi ipo katika milango ya udhu na si heidh)
Baaraka llah fiyka. Na'aam
ukhty Aisha bachu Yuko sahihi ila kilichokukera ww ni kuambiwa maulidi yameletwa na makafiri na ndio sahihi
Na wataudhika sana sababu hawana jipwa masufi
@@hassanWanjiku mawahabi ndo kabisa
Swadakta!..
Dada nenda kapike hio sio kazi yako mume wako ana njaa
Mwenye akili anaona bachu yupo sahihi lkn huyo dada anaongelea chuki tu kwa nasoro bachu.
We mshabiki sio msimi ndo mana ukasema hivyo
Lkn ukisikiliza kwa makini na ukawa unataka kufahamu basi utafahamu tu
Kwa kweli mawahabi wanachopinga ni maulidi tu bidaa za kwao km kawaida, mazuzu hawa😊
Leteni Aya au Hadith inayosema ukiadithia hadith za Mtume uchukue udhu!!.
Huyo mgonjwa wa kike anaelimisha nini hapo naona sijaona akisoma hadithi yyte hapo yaani kama anatangaza mpira tu au movie
@@bukharymohd977 Nyie hamumuoni huyo vuvuzela wenu!
A alaykum kweli nimeamini wallahi sio vizuri kuakashfu wanaoni naona wazi madhara yake kudhalilika kwa shekh bachu
Mwanamke lake jiko huku anatafuta nn??
Towa hadithi isemayo kazi ya mwana mke ni jiko tu?
Watafuta hatar ya Mola wake huyo bibie
@@Humud-in6qk wacha ushabiki na kutowa hukumu bila ya elimu
Anatafuta bwana huyu
Kila jambo unataka hadithi ww mwanamke lake jiko ndio haitakikani kuanika sauti yake@@jimjam-xg7rv
Kwani mtume hajaeleza kuhusu uzao wake kua watu wafunge jumatatu sasa watu wanahangaika na nini kama kweli asa wanataka radhi za ALLAH anakutia hao wanaotetea maulid hawatumii jitihada kuwafahamisha watu wafunge iyo j3
KUJIBU HOJA HAJIBU
ANAANZA KUONGEA MAMBO MENGINE KABISA!
Jibu HOJA ZA DADA YETU? acha kulalamika
Kuzungumza mambo vengine kivipi
Ummu Aisha hili ulilo fanya Leo nikosa kutoka nje nakubishana na wanaume
Omar (RA) ale bora kuliko bachu alikosolewa na mwanamke mbona hakumtolea jeuri
@@musakibwana4596 mtaumia sana, BACHU yafaa wanawake ndio wasutane NAE MAANA akiona wanaume anajikojolea🤣
Hutu alikua anatafuta umahiri. Wala uelewaji wake ndio mdoooooogo. kama kawaida ahlul bidaa. Huyu hata ni aibu kwake maanake hata mtoto wa miaka kumi kaelewa… subhanallah. Mtake msitake,,, bidaa ya maulidi haiwi dini mpaka kiama kisimame walillahi lhamd
Huyu Dada majibu yake yako wapi mbona hajielewi
Msikilize kwa lengo la kumuelewa
Bachu huyu Mama ana Elimu kwa kiasi kinachofaa kuzingatiwa.Sasa narudia kuku nasihi kasome kwanza ili ufahamu vizuri unachotaka kuzungumza kielimu
Kasome kwanza dada,acha kuongea kiswahili kingi bila aya wala hadithi
@@mmmnstudio9344 KWANI wewe mwarabu? Au ndio nyie likisomwa Shairi la KIARABU kumsifu bosi huwa mnafkiria Ni quran?. KWANI bachu kasoma Aya GANI iliosema SHURUTI Ni kutia udhu KABLA KUSOMA HADITHI?!
لا يزال المتعلم عالما إن أيقن الجهل. فإن ظن يوما أنه قد فقد جهل...mambo gani mtu alosoma akawa mwelewa amuite mwenzake mjinga
Huyu dada majibu anaeyatoa si yeye anaepekua vitabu anahada , kaadikiwa karatasi ili ajibu msikilizeni vizuri, tena hata hishima hana afai hata, kama hivi alie muoa kazi anayo
Mwambie bachu atoe hadhi au Aya!
Punguzo ushabiki na utuliye mfunzwe elimu ni kama bahatlrie na haki aichaguwi ama kumpendelea mtu yeyote
@@jimjam-xg7rv Elim IPI!!?
Mnaleta uhuni kwenye dini.
Unataka HAQQI AU unataka majibu katoa Nani!. Bachu anajikanyaga TU. JAMBO sio AMRI ya Allah sw wala Mtume saw HALAFU anasingizia ATI Ni wahyi HUO. 😂 Wahyi kapewa tabiina 😂, HII Kali ya mawahabi
Asante data ila usitumie maneno ya kejeli 17:56 katika kujibu au kuonesha chuki.
Naomba sheikh bachu asimjibu huyu dada maana kaja kutatuta waume huku 😂😢😂
Sindano imepenya
@@rayisadesigns2646 sindano gani na ameongea uzushi n uongo mtupu Sasa ajibiwe nini hapo na ujahil wake ....
@@rayisadesigns2646 mwenyewe amejidhalilisha maana Bachu amekubali katika kutawadha kabla ya kusoma hadithi Sasa maulidini hua watu wanaenda kusoma hadithi ama wanaenda kusoma barzanji .. mwambieni huyo mama atafute watoto alee asijiingize katika fani ambazo Allah amemkataza anatafuta moto kwa lazima...
Wee nabachu wote hamja soma someni acheni kudanganywa bachu hajaui na ww unaye sema kafata waume kasome
@@jamilahjamilah4157 wewe ndio umesoma ??? Waliosoma wanafwata yanayowahusu na ukweli katika dini. Ww uliskia wp mwanamke amepewa ruhusa ya kupaza sauti yake mbele ya hadhira iliyojaa wanaume ama na wewe ni wale wale munaoongea musioyafanya
Kuna uzao bora zaid wakusherehekea kuliko huu wa bwana Mtume صلى الله عليه و سلم mpenzi wetu.
Mwanamke unatangaza sauti yako dunia nzima?
Inna lillahi wa inna ilaihi rajiuun.
shubuhat
Sauti tu unawaza uroda, wacheni matamanio ya Nafsi.
KUJIBU HOJA HAJIBU
ANAANZA KUONGEA MAMBO MENGINE KABISA!
hv ww mwanamke humuogop mungu hujui km saut yako nifitina hvy kwel wew ndio mwenye elim mpumbavu mkubwa
Acha mawahabi wafundishwe na kina Dada Sasa, maana tukiwafundisha siye vidume itabidi tuwapige bakora😂😂😂
Icho kidada hakina mume kama Una Imani hamna haja ya sauti yako kuxkika
Bora Sasa huyu achiwe wanawake ajbizane nao sababu ndio size yake wanafana nao Kwa maneno Na vtendo
😂😂😂😂😂😂😂
Msie na mihemko bachu yuko vizuri sana hata kama mtasema hana elimu na hajasoma hata sehemu 1 ila kijana anajua sannnnnna
Kiukweli ajibiwe na wanawake tu huwenda atapata akili
Acha ujinga soma kwanza hii elimu ya huyu mwanamke umeona kua huyu ana elimu ya kumshinda bachu ndugu yangu mzuri tuachu ushabiki
@@OmarSalum-y9c kama una akili zilizo fika na mwaka kama bachu anavyo kosa adabu kwenye kilpu zake kwa kutukana na kukashifu wanachuoni na masheikh ni bora ajibiwe na mwanamke, kiukweli amekuwa kevo kwa jamii ya kiislam pasina ya kutizama analokataza ni maslahi yapi yanapatikana mbele ya umm wa kiislamu.
Hivi huyu mwanamke anapata wapi nguvu kuweka kasuti kake mbele ya wanaume hapa ndipo ujue hiki kiumbe ni hatari sana😡😡😡
Allah atuongoze na atujalie ufaham. Wallahi hakuna muislaam anae jitambua namwenye hof ya Allah kisawasawa anaeweza kuendelea kuwaskiliza na nakuwatii hawa mashekh wanao sapoti maulidi nashindwa kuelewa maana ya elimu ni nini kwasababu Shekh bachu anakosoa majambo wanayo yafanya kwania ya kuzindu umma wakiislaam. Lakin hawa ndugu zetu hawajawahi kujibu kwakunufaisha umma bali utafuta uchochoro tu wakujificha ili waendelee kuwapoteza waislaam wewe ni shekh na elimu ulio nayo ili uwe bora kwa Allah uwe mwenye kuwanufaisha watu tayar umekosolea kuusu maulidi tuchotaka kujua nakuskia sisi wanafunzi utuambie nani ameturuhusu sisi waislaam kusherehekea mazazi ya mtume? Kwadalili ya Qur aan na sunna tunacho kiitaji Shekh Samir ni elimu yako itunufahishe sio kuwatuma vibaraka wenye miemko naushabiki ktk dini ya Allah naleo mmeenda mbali mmekuja nahuyu Dada maskin ajitambui mpaka sasa Mola wake anamtaka awe vp kwanza kaonyesha kabisa hana sifa yakuwa mke wamtu kwasababu kama ameweza kumchamba shekh Bachu Allah amuhifadhi nahali yakuwa anamuona tu kwe mitandao uhalisia wake amfaham, itakuwaje kwamumewe wakikosana chumbani? Allah akuongoze
Kwenye njia ya sawasawa dada angu.
Unamtaka bachu sikiliza vzuri ndio ujibu kwanza sauti yako haifai kusikika Kisha leo umepata ujasiri kusimama kumjibu mwanaume
Mumekosa adabu hadi mnasukuma mwanamke awatetee masufi tufuateni sunnah safiiiiiii ya mtume salallahu alayhi wasalaam bila kuzidisha au kupunguza muogopeni Allah subhannahu wa taala kiasi cha kumuogopa
Mbona wewe mjinga sanaa kwani mama Aisha aliposimulia hadithi ni makosaa
@@hassanisihaka910 heri mm mjinga kuliko nynyi mnataka hadithi za mtume salallahu alayhi wasalaam ziende na Hawa za nafsi zenu ila hapa hamna kitu masufi mlishindwa kujibu hoja ya bachu mkatupia mwanamke ujahil ni kama uzungu kweli n mna raha sana mkiskia akitoa matusi hamna haya kweli usufi na kama ukafiri kweli wapi mwanamke anafaa kuweka darsa ati anaelimisha watu wakae huko waelimishane wao hukoooo hatutaki tabu cc kueni n adabu na dini
Ww dada jeuri ya kutoa sauti mbele za wanaumme umeitoa wapi?
We demu nenda kakate vitunguu tu uwanja ulio uingia hauna ubavu nao kaa chini usome maelezo ya bachu yapo wazi qatada,imamu maalik na aamash walikuwa ktk quruunu mufadhala na mtume amesema watu Bora qarne yake Kisha wanao fuata,Kisha wanao fuata lkn jambo la maulid limezuka baadae sana ktk daula ya abasiya wameanzisha mashia makafiri
😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤ bachu umekimbiya ukowapi hhhhhhhhhhhh bachu huna elim Rudi darasa ni
Ameitwa akasomeshwe mambrui amekataa😅
Kumbe bachu ni muongo kiasi hicho 😊😂😂😂
😂😂😂 BACHU ASEMA KUTIA UDHU KABLA YA KUSOMA HADITHI NI WAHYI ( YAANI QURAN) IMETEREMSHWA KWA IMAMU 😂😂😂😂😂
Wewe mwanamke Allah akuongoze koz unathubutu kudhihirisha sauti yako hadharani jua ya kwamba utajaulizwa na mlezi wako kwa kitendo hicho..na laiti ungelutaka kuelimisha umma basi ungeandika raddi yako isomwe na mume au kaka au yyt katika Maharimu zako..usiwe na shauku ya kuelimisha watu huku unaiangamiza nafsi yako kwa kudhihrisha pambo ambalo ni special for your husband..mtake Allah msamaha na utubue dada angu na usiwe na pupa yakuongea mbele ya wanaume ili kuilina stara yako Allah akusamehe ndg yangu Mche Allah
Assalam alykym
Maasha Allah umeongea vzr Allah akubariki, lkn pia nimepata suali hili:
Ivi pambo linaponinginizwa pasi na kujulikana mwenyewe hukumu yake ipi?
Na kama linajulikana mwenyewe ikoje?
Ikitokezea mwanamke ana kitu muhimu kukifikisha kwa jamii (tuachane na hilo lililoongelewa) na akawa hana maharimu anayeweza kulifikisha kwa wakati huo afanyeje? Iwe la dini au la mazingira ikoje?
Allah akubariki akhuy
Mbona sauti ya mama Aisha ilisikilikana, au alikua akihadithia vipi tabia za Mtume? Tatizo lenu mnaendeshwa na tamaa za nafsi, mkisikia sauti ya kike tu mnawaza mambo fulani.
Kazi mnawaza ngono tu.
Masha Allah
Mashaallah bidada wenye akiri watakuelewa
Mashekhe wanawachanganya watu na baadhi ya watu hata wanaacha dini kabisa. Kazi kwenu, endeleeni!
Allah akuongoze uijue sunnah na uache uzushi
Wallah nyinyi makhulafi jitahidini mnavyojitahidi hamtopata njia kukimbilia mpaka mnashindwa mpaka hamuezi kujibu wanawakoe ndio waji kupambana.Haka kajimwanamke hakana hata elimu kisha kaone waume zake wamefumuliwa haka kajinga ummu Aisha ndio kapambane😂😂😂
Mashallah mama ilimu umetupa nakukunalisana
We dada mche allah , nasaha haukupaswa kunyanyua sauti kwenye media ya dizain yoyote zaidi ya hapo tusubili kiama
Mashallah ukhty huyu kajamaa ni kajitu kapumbavu sana
Jina alopewa ni zuri TARUMBETA
Mnampamba huyu dada anakosa haya mnamuita motoni
Ewe mwanamke muogope Allah, acha kudhihirisha sauti yako tena kwa jeuri ya kuwadogosha wanachuoni, ivi waijua nafasi ya wanachuoni na salafi waliotangulia tena wadhihiri kwa kutetea uzushi katika dini ya Allah, kuwa na nidhamu wewe mwanamke Allah kakutukuza acha kujidhalilisha mtoto wakike maulid yatakua ni Bida na uzushi mkubwa katika dini yetu ya uiislaam popote itakapokua na yeeyote atakae sema maulid ni uzushi na wanachuoni wana nafasi kubwa katika dini ya uiislaam.
KUJIBU HOJA HAJIBU
ANAANZA KUONGEA MAMBO MENGINE KABISA!
Tarumbeta la mawahabi😂😂😂😂
Mbn nawew hujalet hadith zako, washabikia mazungumz yawenzio tu.
Mwanake unamjibiz mwanaume arafu nishekh anasikilizw nakuheshik katik jamii. Nakusih utubie harak kabla haijakufik adhabu kutok kwaAllah
Acheni kumshambulia huyo bint kwasab anahaki ya kumuongoza yule alie potea kam nyinyi amuezi acheni bachu afunzwe na mwanamke maan😂akili zake ziko kwenye ndevu😂
Audhu billah mina shaytwani rajiim bi ismi llahi arrahmani arrahiim.
Innallaha yaalamu ma fi sirri wal ilani
Utawapoteza wale wasojielewa kama wew kibachu lkn wanaojielewa watafanya yanayoeleweka: endelea kulipwa nakupotosha wenzio tuh lkn ujue waonekana debe tupu jamani mpk wanawake wanakutoa makosa??? Hujaelewa tuh😂😂😂😂😂
Duh dada we, udhu na uzushi wa happy birthday ! Kwa Hali hii hatuna masheikh ni failure wasomeshwa na failure na failure wasomesha failure
Ww dada mumeo akikuacha niambie unasauti nzuri sana nimekupenda mno
Muogope allaah... waingia madhambini..wachana na dada ajitahidi katika dini yake
Hii sinafasi yake