HORINI | Frt. Bathlomeo Florian SAC | Kwaya ya BMMA-Parokia ya Dongobesh
Вставка
- Опубліковано 22 гру 2023
- KWAYA YA BIKIRA MARIA MKINGIWA DHAMBI YA ASILI
PAROKIA YA BIKIRA MARIA MKINGIWA DHAMBI YA ASILI -DONGOBESH
JIMBO KATOLIKI MBULU
Wanakukaribisha kutazama na kusikiliza wimbo huu unaoitwa HORINI
katika kusherekea sikukuu ya kuzaliwa kwake Bwana wetu Yesu Kristo (NOELI).
Song Description
Wimbo: HORINI
Mtunzi: Frt.Bathlomeo Florian SAC
Audio:MOZEN PRODUCTIONS
Video:MOZEN PRODUCTIONS
Mawasiliano
Kwaya:+255 786 749 898 | +255 784 302 285
bmmadongobesh@gmail.com
Studio
MOZEN Productions:+255 746 775 116
"Onyesha upendo kwa ku subscribe, share, like and comment" nawe utakuwa umeshiriki katika utume huu na Mungu atakubariki maradufu"
#MOZEN prouctions#Moyo Mtakatifu wa yesu #Kwaya katoliki #tmcsmbeya #Kwaya ya BMMA-Parokia ya Dongobesh#Horini#Noeli#Kmk-Makuburi#JMC-Mbeya#Kwaya ya Mt Mikael Malaika Mkuu, Mhandu Mwanza#African glory#Shangwe za noeli#amezaliwa kwetu#mdogomdogo#Tumshangilie#umenibariki#amka kijana#mkombozi amezaliwa#KMC-Arusha.
Mtunzi yuko makini sana nimekubali kazi
Mungu awabariki nyote heri ya kuzaliwa kwake mkombozi wetu Yesu kristo ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Asante sana. Tunamshukuru Mungu
Hongereni Wana bmma dongombesh kwa wimbo mzuri wa noel ❤❤❤❤❤
Asante Sanaa🙏🙏
Hongereni Wana BMMA Dongobesh kwa kazi nzuri,
Asante sana dada Sesilia.Tunamshukuru Mungu
Namshukuru Mungu kwa ajili ya John Genda Mwl wa kwaya hii na mwanafunzi wangu wa muziki, pamoja na walimu wengine waliofanikisha kazi hii, Mungu awabariki. Pongezi kwa kwaya nzima, producer wa audio na video directors my friends Naza, Nesto, Mabogo Blessings guys... Mtoto Yesu aliyezaliwa Horini aendelee kutubariki sote tuweze kumtumikia Mungu kwa njia ya kuimba katika roho na kweli... Amina 🙏
Amina kaka Maestro.
Asante sana kaka Kwa utunzi wako mzuri🙏🙏🙏.Mungu aendelee kukujalia moyo wa kukitumia kipawa chako vyema.
hongera kwa utunzi mzuri mwl Bdo ule wa shukranii sasa...
Aminaa KUBWAA🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤
Waoo hongereni Wana bmma dongombesh kwa wimbo mzuri wa noel
Asante sana ndugu. Tumshukuru Mungu🙏
Hongereni sanaaa❤❤❤❤❤ naurudia rudia mara 10 hamu yake haiishi kabisaa, hususani .......so so mi fa mi re do ,so so mi fa mi re do....
Ubarikiwe Sana🙏🙏
@KWAYAYAB 7:49 7:51 MMA-DONGOBESH-qx5uz
7:57
Hongereni sana wanakwaya wenzangu wa Dekania yetu mmeimba vzr sana Mungu azidi kuwatunza muitangaze injili yake kwa uaminifu ,mtoto Yesu alizaliwa awe nanyi daima,hongera kwa timu nzima iliyofanikisha kazi hii baba paroko na waandamizi wake,halmashauri walei, waalimu na wanakwaya na waaumini wote ❤❤❤❤❤
Asante sanaaa🙏🙏 Tunamshukuru Mungu.Tuendelee kuombeana katika utume wetu
Aiseeee, hongereni Sana, mwalimu,wanakwaya, ma producer na ma directors wote, hongereni Sana. Kaka Nazareth & mwl. John Mgenda kazi yenu nimeiona🎉🎉
Asante sana dada Angel. Sifa na utukufu zimrudie mwenyezi Mungu🙏
Hongereni Wana dongobesh mji ulio barikiwa asali maziwa
Asante sana.tunamshukuru Mungu🙏🙏
Such a beautiful song 😊❤❤❤❤❤😊🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nawapenda sana!
Hongera kwa mtunzi ❤❤❤❤
Nice 👍 song Frt .Batu Big up
🙏🙏
BEST CATHOLIC SONG 2023 ❤be blessed my Family merry Christmas wana dongobesh na Tanzania nzima
Asante sana mkuu karibu Dongobesh
Kheri ya kuzaliwa kwenu kwa Mkombozi wetu Yesu Kristo, mimi ni mwanakwaya ya Mt Sesilia Bukoba Parokia ya Katoke❤ hakika mmeimba vizuri sana💐💐wenzangu
Hongereni sana sana Kwa wimbo mzuri sana. Hongera Sana sana Kwa mtunzi na waimbaji mahiri
Tunashukuru sana wasalimie Bukoba karibu Manyara
@@KWAYAYABMMA-DONGOBESH-qx5uz Asante sana
Asanteni sanaa
Amina🙏🙏
Waoooh superb
Asante sanaa
Hongereni Sana Wanakwaya. 🎉🎉❤
Asante sana@stfranciscoofasischoirs
Hongera Sanaa Nazareth Kwa kazi nzuri
Hongera Kwaya Kwa ujumla
Asante sana.Tunamshukuru Mungu
Asante sana kwakazi hii nzuri sana mbarikiwe.
Amina🙏
Hongereni sanaaa Kwa utume wa uimbaji
Asante sana kaka Peter🙏🙏. Tunamshukuru Mungu
Wimbo Hatare🫶🤗 Merry Christmas to you 🎉
Thanks Mungu akubariki
Mmefanya vyema sanah hongereni ndugu zangu❤️
Asante sana dada Irene🙏🙏🙏
Hongera sana Nazareth ❤❤❤
Asante sana 🙏🙏
Waoooooh jaman hongereni wanakwaya wangu nafurahi kuusikiliza wimbo mzuri wa noel mungu awabariki utume uendelee ❤❤❤❤❤ nawapenda wotee
Amina 🙏🙏
Mmbarikiwe sana mnajua kuimba sanaaaa❤❤❤
Amina. Tumshukuru Mungu🙏🙏
Hongereni sana wimbo mzuri
Asante sana dada Angel🙏🙏
Wooooooooo wimbo amaizing sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Thanks more
hongereni kwa utume uliotukuka
Amina 🙏🙏
Mungu awabariki saana jamani
Amina
hongereni sana👏👏👏
Mungu awabariki
Asante sana tubarikiwe sote🙏🙏
Hongera sana waandaji mbarikiwe 🎉🎉heri ya noeli
Asante sana na kwako pia
Hongereni sana 👏👏👏
Mungu awabarikia
Asantee sanaa tubarikiwa sote 🙏
Wooow Aminaa Mungu azidi kukuza vipaji vyenu 🙏🙏
Amina
🎉wow hongereni kwenu nyote wimbo mtamu sana
Asante sana Samweli🙏🙏
Hongereni Sana, ❤❤❤❤
Asante sanaa
Wimbo mtamu san kbs ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Asante sana
Kazi nzur sana wanakwaya, mtunzi wa wimbo na walimu kwa ujumla hakika mmejua kutuburudisha,,, hongeren sana ❤❤
Asante sana kwa maneno matamu yenye nguvu ya kiroho.
Wimbo mzuri sana hogereni sana👏👏👏🎄🥳
Asante sana
Hongereni Sanaa.Noeli njema
Asante sana na kwako pia🙏🙏
Wimbo mzuri sana ubarkiwe sana mtunzi mtumishi wa Mungu Mwema frt
Asante sana
Wimbo mzuri sana nawapenda wote
Asante sana 🙏🙏🙏
Hongera sana Kwaya ya nyumbani Dongobesh 👏👏👏👏👏👏👏👏keep it up watumishi wa Mungu
Thank you so much
💯💯hongereni sana jaman🔥🎉❤ na heri ya noeli kwenu wote💌
❤❤
Asante sanaa🙏🙏🙏
❤amina❤❤❤❤❤ tunawapenda wote mnaotutazama❤
Amina❤❤
Hongerenii sana wanakwayaa MUNGU azidi kuwabariki , Wimbledon mzuriii sanaaa
Asante sana
Kazi nzuri❤❤❤
Asante Sana🙏🙏
HONGERA SANA SANA KWA DIRECTOR KAZI NZURI SANA KEEP IT UP NDUGU
Asante ndugu,Mungu atubariki sote.
Asante sana. Tunamshukuru Mungu 🙏
Hongereni sana! Kazi nzuri. Kongole Br. Batuu
Asante sana kaka. Mungu atubariki sote
Asante sana
nice sog❤
Thanks🙏🙏
Hongera sana Frt. MWENYEZI MUNGU AKUJAELI UWE PADRE. Kazi yako ni nzuri sana 🎹🎼 fa, fa mi, re, do😂😂😂😂😂😂
Amina. Asante sana 😊
Amina
Nawapeni mkono wa tahania kwa kazi hii aula . Hongereni Sana
Asante sanaaa🙏🙏
Unyama ni mwingi , Mungu anatukuzwa kutoka mitaa hadi parokiani 😂😂 mpka kule miisho ya nchi
Amina 🙏
Well done ✅ congratulations 🎉
Thanks🙏🙏
Nice one
Thanks🙏
Christmas 🎄
Asante sana
Mungu awakirimie zaidii
Amina
Hongera Sana Frateri Batu kwa utunzi mzuri. Choir congrats. Beautiful singing
To God be the glory.. thanks
Naeza pata nota
Hongereni sana waimbaji Kwa wimbo mzuri kwakwelii mtoto kazaliwa horini mwa ng'ombe
Waoooooh jaman nimeupenda uimbaji wenu kwakwelii mungu awabariki Kwa ujumbe mzuri
Asante sana
Bonge ya wimbo aiseee kongore Nazareth
Tunamshukuru Mungu 🙏🙏
Akhsanteni sana Mbarikiwe.!!🙏🏽🙏🏽
Amina🙏🙏🙏
So so mi fa mi re do, 😂😂😂 @Mdusu
🔥🔥🔥👏👏👏 @Mozen Pro, Mtunzi & Kwaya ya BMMA.
Bwana harusi bado uko honeymoon 😅
Bado bro, 😂😂😂😂
Asante sana
Hogereni Sana kwa kazi njema.
Asante sana
Dah hongereni Sana wimbo umetisha ni mzuri Sana imetimia kila idara yani
Asante sana kaka Ezekiel🙏🙏
Wow
Jamny wimboo mzuriii kwakwel wapew mauwa yao wana dongobesh by JOEBOY MALLECK
Asante sana kaka Joel. Tunamshukuru Mungu
Wimbo mzurii sana mwalimu John genda nakuona humo ndani kwakwel hii kazii imesheheni ubunifu wa Hali ya juu sana hongereni wanakwaya pamoja na waandaaji wote wa kazi hii mungu awabariki sana 🙏🙏
Asante sana kaka Martin tunamshukuru Mungu Kwa kutuwezesha kufanikisha kazi yetu Ili mkombozi azaliwe mioyoni mwetu.
Padre Yuda
🙏🙏🙏
Herini ya mwaka mpya Wana BMMA Mbarikiwe sana
YESU KRISTO azaliwe mioyoni mwetu MUNGU pamoja nasi
Asante sana
Batu uishi milele✊️✊️
Amina🙏🙏
Nice
Thanks🙏
❤❤kali sana
Asante sana
🔥🔥🔥❤
🙏🙏
Oro loa tunutsuq ❤
Naas ne kinge
Kumbe jimboni kwetu zipo parokia ambazo zina kwaya nzuri hivi??
Hakika MUNGU wa mbinguni awatunze na aendelee kuwabariki jamn❤️❤️❤️❤️❤️
Toka parokia ya DAREDA
Asantee sana dada Monica. Sifa na utukufu zimrudie mwenyezi Mungu🙏
@@KWAYAYABMMA-DONGOBESH-qx5uz Amen ❤️
@@monicaanselmi6992 karibu sana Dongobesh
@@KWAYAYABMMA-DONGOBESH-qx5uz ahsante sana navyopenda kuimba sasa😊😊 yaani natamani hiyo spirit ingekuja kwenye parokia yetu itakuwa neema kubwa sana❤️
@@monicaanselmi6992 karibu sana. Hakuna kinachoshindikana Kwa Mungu.
Hongereni waimbaji,mtunzi na Studio.Wimbo unabariki.
Mungu awabariki kwa kutubariki kwa nyimbo nzuri wakati kama huu🎉🎉
Amina tunamshukuru Mungu
Kwel mmeimba, hongeren Kwa utume
Asante Sanaa 🙏🙏
Hongereni kazi nzuri Wana wa Dongobeshi
Asante sana Pascal.Tuzidi kuombeana 🙏🙏
Hongera kwenu wimbo mzuri🎉
Asante sana dada Happy 🙏🙏
Duh mwaaaaaaah is the best song love it
Thanks much
Thanks much
Hongereni sana kwa kazi nzuri🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂
Asante sana.sifa na utukufu zimrudie mwenyezi Mungu
Hongereeni sana. Utunzi mtamu
Asantee sana kaka Martini 🙏🙏🙏🙏
Dahh ❤❤❤❤❤❤nawapenda sana wanadongobesh asanteni kwa kunifungia mwaka vizuri kaka batholomeo umeupiga mwingi sana ♥💖 naenjoy sanaaaaaa
Ubarikiwe sana ndugu
Tumshukuru Mungu
Watu na sauti zao, burudani kbs, hongeren sana
Asante sana
Mungu awabariki katika utume wenu. Wimbo umenibariki
Amina tuzidi kuombeana 🙏🙏
Hii ndio moto sasa, Naz hongera sauti Iko top🥰🙏🎉
Asante sana.
🔥🔥🔥
Hongereni sana mungu awabariki sana wanakwaya
Amina sana.tubarikiwe sote
Hongera sana wimbo mzurii
Asante sana. Sifa na utukufu Kwa mwenyezi Mungu
Apo sawa Antoni
Amekupata kabisa
Hongerenii 🔥🔥🔥
Asante sanaa🙏
🤝🤝🤝
Asante sana
Hongereni kwa kazi nzuri 🔥🔥 🔥
Asante sanaa🙏🙏
❤❤❤❤❤
2024❤
Heri njema ya Noeli kwenu nyote
Na kwako pia
Well well done ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Thanks🙏🙏🙏
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tunashukuru sana director Mabogo Jr.
Hongera nyingi kwa wote
Asante sana
Kwanini mnaimba vizuri hivi mpaka mnatutoa machozi huku😢😢??
Asante sana kiongozi tumshukuru Mungu
Wahusika wa huu wimbo naombeni mnisaidie NOTA YAKE naomba sana ikiwezekana nipatieni namba ya mawasiliano
0784302285
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🙏🙏🙏🙏🙏