#MarubaniExclusive

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 сер 2024
  • #Urubani #ATCL #Ndege @Daily News Digital
    Kutana na Baba na Mtoto Arif Jinna Rubani Amour Arif hawa ni wanafamilia wa kipekee ambao wanarusha ndege za Air Tanzania.
    TUFUATILIE KWENYE KURASA ZETU ZA MITANDAO YA KIJAMII:
    FACEBOOK;
    SpotiLeo: / spotileo-1769382496709093
    HabariLeo: / habarileo
    DailyNews: / dailynewstz
    INSTAGRAM;
    HabariLeo: ...
    SpotiLeo: ...
    TWITTER;
    Twitter HabariLeo: Ha...

КОМЕНТАРІ • 42

  • @DailyNewsDigital
    @DailyNewsDigital  3 роки тому +2

    Fahamu historia ya maisha yao, namna walivyojikuta ni marubani

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba4818 10 місяців тому

    hongera sana

  • @mssajaphari9934
    @mssajaphari9934 3 роки тому +4

    Kaz nzuri🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 Рік тому +1

    Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @aishasaid6749
    @aishasaid6749 3 роки тому +2

    Maa shaa Allah

  • @gulnarnanji4595
    @gulnarnanji4595 3 роки тому +1

    Hongera! Feel proud for you guys. Good Job!

  • @magorymara5515
    @magorymara5515 3 роки тому +1

    Asanten sana maruban wetu

  • @Sweetie-im2jd
    @Sweetie-im2jd 3 роки тому

    Masha Allah, soroti is my home town am proud of you congrats Captain 👍🌹💐🌹🙏🙏🙏

  • @faridashivji4516
    @faridashivji4516 Рік тому

    Amazing

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 3 роки тому +1

    Masha Allah tabaraka Allah

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Рік тому

    Mashaalah mungu awabariki ishaalah

  • @jerrymdoe1956
    @jerrymdoe1956 3 роки тому +2

    Vyema sana kwan maisha ndivyo inavyo takiwa kama maisha unako pta baba kuna mafanikio japo yafaa na mtoto nae kumuelekeza na kulis mikoba kwan inapendeza sana cyo mtu unakuja kustafu kaz ekesha unalud mtaan hujawezesha vijana wako ukaanza kuwalaumu

  • @irenebarakelimnene4895
    @irenebarakelimnene4895 Рік тому

    Hongereni baba na mwana nimewapenda

  • @Sweetie-im2jd
    @Sweetie-im2jd 3 роки тому

    Masha Allah

  • @edinalutakinikwa9859
    @edinalutakinikwa9859 11 місяців тому

    😊😊😊😊

  • @-zj2zd
    @-zj2zd Рік тому

    Vizuri sana

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Рік тому

    Mungu awalinde katika kazi zenu

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 3 роки тому

    Mashaallah ongera

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 3 роки тому

    Safi sana mungu awalinde wote kwa pamoja

  • @munasaid489
    @munasaid489 3 роки тому

    Hongereni

  • @lugwetunje3896
    @lugwetunje3896 Рік тому

    Nenda ukasome zaidi

  • @zawadix9574
    @zawadix9574 3 роки тому

    Congratulations 🍾 patriotic citizens

  • @lugwetunje3896
    @lugwetunje3896 Рік тому

    Kizungu chakupiga chenga bro soma zaidi hujui ya kesho uwanaweza pata kazi ndege za kimataifa kama captain utaongea na abiria vipi na broken English

  • @am12ghh37
    @am12ghh37 3 роки тому +1

    Mashallah tabarakallah barakah fikumm 👍🙏allah awalinde na shughly zenu za safarii za anganii yarab daimaa am prud of u brother and your son 👍❤👌🙏🙏

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 3 роки тому

      Ni kwel Am

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 3 роки тому

      Wazur wenyew

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 3 роки тому

      Wanalusha pamoja🤔

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 3 роки тому

      Napenda uruban hata kaka yangu napenda awe ruban nilimwambia amchaguwe na mwenyew Ana akil Kuna mchungaj alisema uyu mbona atakuwa ruban aliona picha yake. Nikamwambia alivyokuwa mdogo alikuwa akilala ananyosha mikono juu nikaona kama kashika binduki vile mama akasema atamlis babu yake upolis alikuwa afisa wa magereza mwenyew alivyokuwa anasema nikiwa mkubwa nataka niwe mwanajesh nikasema tulishaona dalili Lakin mchungaj alusema atakuwa ruban yeye mwenyew Alisema mwanajesh au mfanya biashara wa magar

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 3 роки тому

      Kama wazanzibar hawa

  • @andrewkazungu6542
    @andrewkazungu6542 Рік тому

    Tupo pamoja.

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 роки тому

    Du hadi raha

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 Рік тому

    Siyo comment za kupongeza tu. Msidhani ni bahati tu, huyo baba kwanza malezi kwa mtoto ni mazuri, pia dogo anajielewa. Ko anastahiri

  • @ASC106FULL
    @ASC106FULL 3 роки тому

    Basi siku mwezi mwaka wa kuzaliwa kijana huyo sawa na mwanangu wa kwanza

  • @forgodswill439
    @forgodswill439 3 роки тому

    Tunaomba aende shule maana atakuwa na thamani ya maisha ya wanadamu, hata kama ni ndoto yake. Don't joke with people's life

    • @faridyassin2116
      @faridyassin2116 3 роки тому

      Really unafikiri angekuwa hajaenda shule angepata hiyo kazi au angeruhusiwa kuwa pilot.

    • @medievalyt1721
      @medievalyt1721 3 роки тому

      U-pilot ni kozi ya kawaida tu mbona, sio lazima uende shule kwa mfumo huu wa kawaida

  • @faridashivji4516
    @faridashivji4516 Рік тому

    Amazing