DKT. BASHIRU APIGIWA SHANGWE ZITO BUNGENI, AMTAJA MAGUFULI NA CCM, "SPIKA NAKUVUNJIA HESHIMA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 тра 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

КОМЕНТАРІ • 204

  • @user-im6dl1ie9i
    @user-im6dl1ie9i Місяць тому +20

    Hongera sana Mhe Bashiru M mungu akulinde na azidi kukupa afya njema na subrah ktk maisha yako yote ya hapa Duniani

  • @gaagwasaugustino2584
    @gaagwasaugustino2584 28 днів тому +3

    Hongera Dr.Bashiru kwa mchango wako mzuri kwa Taifa, wewe ni hazina iliyojificha! Inayonyimwa nafasi katika Taifa hili kwa sasa, ila ipo siku Mungu atakupatia kibali tena! Wahuni mafisadi wamekunyima nafasi ila Mungu anakuandalia nafasi nyingine siku za usoni! Asante.

  • @godymbanyi1878
    @godymbanyi1878 Місяць тому +20

    Mungu akutunze Dk. Bashiru! Muda utaongea!

  • @perfectpixelsstudio3603
    @perfectpixelsstudio3603 Місяць тому +21

    Jembe kabisaa mr president BASHIRU ALLY KAKULWA

  • @sospeterurassa9894
    @sospeterurassa9894 Місяць тому +4

    Hongera Mh.kwa uchambuzi huru na mzuri kwa maboresho endelevu,Salute kwako baba

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Місяць тому +2

    Mungu akubariki sana Dr Bashiru na akulinde umeongea vitu mhimu sana 🤝💪🏻💪🏻🎉🎉🎉❤❤❤

  • @DicksonPhanuel
    @DicksonPhanuel Місяць тому +12

    Akika anahoja za msingii Sana ,salute kwako

  • @nevermwambela3719
    @nevermwambela3719 Місяць тому +17

    Umeongea vzr sana Dkt Bashiru, kwakweli hapo kwenye kupanda vyeo ni mtihani inakatisha tamaa... Utumishi waangalie tuweze kuwa wa kimataifa... kuandika machapisho ni kazi kubwa sana tupewe motisha

    • @kelvinmwombeki763
      @kelvinmwombeki763 Місяць тому +1

      Ukiritimba tu unasumbua ,wangewezesha vyuo vikuu kujiendesha ,kisha serikali ikatenga asilimia ya fungu I support stahiki za raslimali watu ikiwepo kugharmia publications nk zitatolewa kwa wakati mambo yangekua poa sana ,

  • @JeremiahRichard-oj8up
    @JeremiahRichard-oj8up Місяць тому +18

    Hata ukifichwa haufichiki mzee Bashiru

  • @nestor384
    @nestor384 Місяць тому +28

    Dr Bashiru Ally Kakurwa, -he is genius real, kikundi cha wahuni hawampendi si sababu is a bad person he is smart and intelligent
    I pray to the almighty God, individuals like Bashiru to take a tenure one day.

    • @bobjulieoneheartband
      @bobjulieoneheartband Місяць тому +2

      Haloooo....Bashiru, Polepole , Majaliwa, Ukichombeza na Bwana Ndugai, uje uweke vijana kina Mtatiro, Msando, Tulia, Msukuma, Boteko, KABUDI, LEMA NA MAKONDA😂😂😂😂😂😂😂Nchi itakwenda mwendo wa FERARI V12 Miaka 5 Twaweza ongoza EAST AFRICA kwa Maendeleo na Tutaishi kama Wafalme, NI MAONI YANGU TUU❤❤❤❤

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Місяць тому +1

      @@bobjulieoneheartband
      Mmmm kwenye Lima kuna ukakasi bado

    • @cbegram6161
      @cbegram6161 Місяць тому +1

      @@bobjulieoneheartbandUmeongea ukweli bila kuangalia chama Wala nini, Yani umeangalia uongozi, ueweledi, na ufanisi. Ila hapa umemsahau Mh. Mpina

  • @romastasenterprises4447
    @romastasenterprises4447 Місяць тому +15

    Hongera sana Mh. Bashiru. Tunakuelewa, God bless you

  • @geey7893
    @geey7893 Місяць тому +11

    Jamani sisi ni binadamu. Tuna madhaifu na tunakosea. Huyu Dr. Ni Hazina, Mama Samia akunjue roho kibinadamu hata kama kuna alichowakosea, ampe Wizara ya Elimu huyu Baba. Atamsaidia mpk atamwekea historia katika maisha yake ya uongozi. Aaache kubeba hiyo mizigo ambayo inemchomesha Kwa wananchi. This guy is an Important asset in this country.

    • @ingozescopion
      @ingozescopion Місяць тому +1

      Huyu anafaa kuwa waziri wa wizara tatzo yeye cyo Mbunge wa Jimbo ni wakuteuliwa

    • @geey7893
      @geey7893 Місяць тому +1

      @@ingozescopion Wala Haijalishi Nadhani ukishakua Mbunge una haki ya kuwa Waziri bila kujali umeteuliwa au umepigiwa kura. Kabudi amekuwa Waziri kipnd Cha Magu akiwa Mbunge wa kuteuliwa, Ummy Mwalmu, Angela Kairuki. Na manaibu Waziri kibaoo

    • @dassustephen731
      @dassustephen731 Місяць тому +2

      Sometimes kuongea ni rahisi kuliko kutenda

    • @senziashwaibu3219
      @senziashwaibu3219 Місяць тому

      ​@@dassustephen731huyu ni mtendaji mzuri sema tu nafasi ndo hapewi

    • @dassustephen731
      @dassustephen731 Місяць тому +1

      @@senziashwaibu3219 Watu kama Dr Bashiru watafaa zaidi kwenye mifumo mizuri inayozingatia uwezo au weledi badala ya kuzingatia uchawa,kujipendeleza kama njia kuu ya mtu kupewa nafasi ya kuongoza

  • @PAMA3542
    @PAMA3542 Місяць тому +14

    Bashiru Kaka wew ni mkweli daima wew nikiongozi mkubwa mh Magufuli alikuona mapema alikuwa anakuandaa lkn haya ni maisha tu tutafika siku moja utakuwa kiongozi imara zaidi

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 Місяць тому

      Mmmh, tupe mkakati wako uliokuwa umeuandaa wakati ukiwa Mkuu wa Utumishi kuhusu kuwapandisha vyeo watumishi waliokuwa hawajapandishwa/badilishwa vyeo baada ya kupata sifa kwa muda wa miaka 6 ya kuanzia 2016-21?

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 Місяць тому

      ​@@festokemibala5832anaongea tu

  • @eleutermhumba347
    @eleutermhumba347 Місяць тому +4

    Hongera Dr KAKULWA

  • @yusuphmakangemakange4474
    @yusuphmakangemakange4474 Місяць тому +8

    Mungu muumba mbingu nakila kichopo dunian akubariki wewe bashiru aly

  • @amanijoseph6764
    @amanijoseph6764 Місяць тому +2

    Well said brother..you reall said truth..ndio maana wangine wanaamua kufanya biashara..ila kusoma UDSM nishida sana..kuwa professor ni kitu kigum sana

  • @MustaphaKiluke
    @MustaphaKiluke 19 днів тому

    Kuna wote wamezaliwa kuwa viongozi ukiwasikiliza tu maneno yamenyoka,salute na heshima kwako Dr.Bashir Ally kakurwa

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt Місяць тому +2

    Mungu akusaidie Bashiru Aly hakika tumekukumbuka sana

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 Місяць тому +11

    Mh: DR BASHIRU Mwenyezi Mungu aendelee kukusimamia . Mchango wako ni Muhimu Kwa Maendeleo ya Elimu TZ.

  • @tanzanitetv
    @tanzanitetv Місяць тому +3

    Mtu pekee mwenye sifa ya kuwa Rais wa nchi,lakn kwa nchi hii na CCM ilivyo ngumu atausikia tu wataingia wahuni wahuni tu

  • @davidlaiser8174
    @davidlaiser8174 Місяць тому +24

    Mimi ni Mtanzania ninayejielewa kuhusu nchi yangu ya Tanzania.
    Tokea Bashiru anaanza hoja yake mimi nimemuelewa kabisa.Uchungu wa kuipeleka mbele nchi anayo kutoka moyoni mwake.Huyu ni Mtanzania haswa wala haupepesi macho.
    Ameongea maneno machache lakini ameongea maneno makubwa sana ambayo siyo tu ya kielimu.
    Kwa jinsi ninavyoipenda nchi yangu ya Tanzania natamani watu wa aina yake waiongoze nchi yetu.
    Eee Menyenzi Mungu upo unaona mioyo ya viongozi wetu.Nakuomba utupe kiongozi yeye Bashiru au wenye kuipenda Tanzania kama yeye.Amen!

    • @user-zw9oj6ej9v
      @user-zw9oj6ej9v Місяць тому +1

      Kabisa kabisa...🤝

    • @stanleyamlima2085
      @stanleyamlima2085 Місяць тому +1

      Uwooooooongooooooo

    • @peteralmas1505
      @peteralmas1505 Місяць тому +1

      Niko pamoja nawe

    • @bobjulieoneheartband
      @bobjulieoneheartband Місяць тому +2

      Hujakosea mimi NAMPENDA huyu Baba akiongea tuu Namkumbukaga JPM Na Machozi hufuata😢❤❤❤BASHIRU SIKU AWE TU PRESIDENT 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @tanzanitetv
    @tanzanitetv Місяць тому +5

    Presidential Material, lakn wahuni wakimsikia wanadhani na kuhofia atakuwa Rais,

  • @romastasenterprises4447
    @romastasenterprises4447 Місяць тому +2

    Hongereni sana Wabunge wetu kwa mjadala wa kuboresha elimu yetu hasa Vyuo vikuu. Naomba msifumbie macho tabia ya Wahadhiri kusumbua watoto wetu na hasa wakike kwenye swala la mapenzi japo kuna kisingizio kwamba wanaosoma chuo kikuu ni watu wazima.

  • @ebenezerkaaya7345
    @ebenezerkaaya7345 Місяць тому +1

    Huu ubongo bado upo vzr, nalazmika kuamini ulitumika vbaya kweny SG
    Acxademician 👍

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 Місяць тому +5

    Unaona mchango kabambe huo, tuwe na imani Tanzania in watu. Mungu ibariki

  • @angelomfilinge8662
    @angelomfilinge8662 Місяць тому +2

    Hongera sana, endelea kulifumbua taifa.

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Місяць тому +4

    Dr. Bashiru umesema ukweli kabisa, hatuwezi kushindana na vyuo vikuu vingine duniani wakati ukiritimba ni mkubwa sana nchini kuhusu elkimu ya juu.

  • @jacksonpetro9558
    @jacksonpetro9558 Місяць тому +1

    Tuna hadhina kama huyo Dr lakini hawapati nafasi😢😢

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Місяць тому +9

    Hawa ndio wamezaliwa viobgozi.

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 Місяць тому +1

    Inapendeza Sanaa MASHAALLAH

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 Місяць тому +4

    KAZI KUSIFIANA TU. EMBU ONGEENI KUHUSU REPORT YA CAG ...JE MAJIZI YAMEKAMATWA MPAKA SASAHV??

    • @guugug9gt829
      @guugug9gt829 Місяць тому

      Yote majizi ndiomaana yapokimyaa

  • @DonatiraNdyanabo-wm4rl
    @DonatiraNdyanabo-wm4rl Місяць тому +1

    Hongera. Bashilubkb. Inawasomi

  • @user-vl7yy8gz9k
    @user-vl7yy8gz9k Місяць тому +1

    Akilinya kusema ukweli inamfinya bakozi
    Alikuwa mahiri sana zaidi hapa

  • @bobjulieoneheartband
    @bobjulieoneheartband Місяць тому +1

    Mungu Akubariki sana Dr. BASHIRU

  • @michaelmwedimage5515
    @michaelmwedimage5515 Місяць тому +1

    Hongera Sana Baba

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 Місяць тому +5

    Hongera sana Daktari Bashiru ❤

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Місяць тому +1

    Sauti na ujengaji wa hoja amefanana na Askofu Mkuu,Yuda Thadei Ruwaichi.. hata umakini wa kuongea

  • @MOSAMAJE
    @MOSAMAJE Місяць тому +1

    Mko kwenye ajira mnajitetea wenyewe wanaohitimu ambao hawana b wala che hamnampango nao hii nchi kweli amakweli mwenye nacho huongezewa ambae hana hata kile alicho nacho hunyangany

  • @jayzeem14
    @jayzeem14 Місяць тому +1

    Great contribution

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Місяць тому +16

    Jiwe walilolikataa waashi Iko siku

  • @edithjosephat7155
    @edithjosephat7155 Місяць тому +1

    Point Dr MUNGU akutunze

  • @AtanasKameja
    @AtanasKameja Місяць тому

    Ubarikiwa sana baba

  • @stephenalmas4209
    @stephenalmas4209 Місяць тому +14

    Wenye akili nyingi wakiongea husikii minong'ono yyt kutoka kwa ilimradi liende, hapo ndipo unaona maana halisi ya uchakachuaji wa matokeo na kupitisha wawakilishi wanaoomba kikao kiishe wakale chips kwa bar ya jirani, na hapo ndipo kura zao za ndio zinapoumiza taifa, makala zao utasikia .... kalifurahisha au kalichekesha bunge. Sijui ni elimu ya wapiga kura bado haijafika vizuri kwa wananchi duni na wasioweza kung'amua vema viongozi wa kuwaongoza! Maana ma-Pweza huwa wanafanya hila nyingi ilimradi washinde wakasinzie na kupiga makerere bungeni na miongozo yenye nia ya kuficha uozo wa wanao wakumbatia ili waendelee kula bata. Akili kubwa ikiongea, husikii minong'ono wala kicheko...maana huwa hawana hoja zaidi ya kuchekesha.

    • @zigrondabagenga8585
      @zigrondabagenga8585 Місяць тому

      Kwa kwelii ni point tupu na mifano dhahir

    • @jumanneselemani2172
      @jumanneselemani2172 Місяць тому

      HAPO KWENYE VYEO BASHIRU UMENIKOSHA.WATUMISHI HATUPANDI KWA WAKATI ILA MBONA HUKUTUSAIDIA ULIPOKUWA KATIBU MKUU ENZI ZA MAGUFULI.

    • @mohamedpesambili9460
      @mohamedpesambili9460 Місяць тому

      ​@@jumanneselemani2172toka Lin katibu mkuu akahuaika na TAMISEMI kama sio Rais na Waziri husika

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 Місяць тому

      ​@@jumanneselemani2172hawa wakitoka ndio wanajifanya watetezi wa wafanyakazi 😅😅

  • @paldonjonas9489
    @paldonjonas9489 Місяць тому +1

    Huyu ndo Bashilu ninayemjua

  • @godfreyerasto1208
    @godfreyerasto1208 Місяць тому +3

    Very good

  • @user-kw5pb9dd7p
    @user-kw5pb9dd7p Місяць тому +1

    Hongera

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699 Місяць тому +10

    Hawa watu ndo tunahitaji kutuwakilisha wananchi mbungeni tunahitaji bunge asilia 85 liwe na watu bright namna hii💪

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Місяць тому +5

    Wanasiasa meneno mengi mazuri ila utendaji mdogo sana

  • @user-xg6fj5kp4t
    @user-xg6fj5kp4t 21 день тому

    Huwa sielewi ni kwanini hawa viumbe huwa kila neno wanapiga makofi,

  • @georgekilwa2051
    @georgekilwa2051 Місяць тому +1

    Kichwa Cha habari halikuakisi yaliyoongelewa ndani BASHILU ALLY YUPO sawa lakini hii ni blog ya kihuni click bites za nini? sijakufurahia

  • @divinemwakapina4059
    @divinemwakapina4059 Місяць тому +1

    Balozi Dr. Bashiru umeongea ukweliii kabisaa, tunapambana saana kuchapisha kwa mifuko yetu, lakn unapanda leo unakuja kupata mshahara miaka3 mbelee

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 Місяць тому +2

    Mh. BASHIRU, Nchi yetu si maskini bali ni Nchi iliyojaa watu wengi wenye kujilimbikizia mali pekee yao bila kujali mgawanyo sawa wa keki ya Taifa.

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 Місяць тому

      Kivipi wewe unalala unaamka saa nne mwenzio kaamka 11 mfanane kimaisha tafuta pesa acha kulalamika lalamika wakati wa magu mlikuwa mnasema hapa kazi fanya kazi magu si mjomba wako😅😅😅

  • @kilungamponda3984
    @kilungamponda3984 Місяць тому +1

    Very good 👍

  • @JRltd-yo2py
    @JRltd-yo2py Місяць тому

    Nimeipenda

  • @user-mp6rh6nt2t
    @user-mp6rh6nt2t Місяць тому

    Pongezi sana, Allah aendelee kukupa khekima na abariki kazi ya mikono yako

  • @farhatfatma12
    @farhatfatma12 Місяць тому

    Jamaa wanapiga makofi hata kwenye NEGATIVE. Au mimi tu nimeliona hili.

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 Місяць тому +4

    Nakumbuka kausemi " nafasi hii ni nafasi ya mwisho sitaki uteuzi na Wala sitakubali kuteukiwa hahaha"

  • @MalusiCebekhulu
    @MalusiCebekhulu 26 днів тому

    Ndio maana ndugu zangu mkiambiwa mtu anaitwa Dr ndio watu kama hao wenye elimu na uwezo, sio mtu anaitwa doctor hata vyeti vya ufundi veta hana alafu anaitwa Doctor!!!!!! Duuuh aibuu hiyooooo

  • @philbertluhunga5932
    @philbertluhunga5932 Місяць тому

    Bashiru ni kweli kabisa. Jana kabudi alikosea sana kusema kuwa tuna publish na perish. Sio sawa kabisa

  • @AgnesMathias-xi2he
    @AgnesMathias-xi2he Місяць тому +1

    ❤❤❤❤🙏🙏🙏

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 Місяць тому

    Nipo Na Ww Zaman Sana Dkt.Bashiru Ally Kakulwa

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 Місяць тому +3

    In that way , our universities are simply glorified secondary schools .

  • @emanuelmarco8102
    @emanuelmarco8102 Місяць тому

    Uko vizuri

  • @kiatu
    @kiatu Місяць тому

    Sijui kwanini watu kama hawa (akiwemo Polepole) kupewa uongozi wa juu katika chama. Hii ni kukidunisha chama.

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 Місяць тому +1

    Huyu ndie aliefaa kuwa Raisi baada ya JPM. Tatzo nnchi zetu mtu akionekana ana uwezo mkubwa(intelligent) basi anawekwa kando

  • @hussenikija6699
    @hussenikija6699 Місяць тому

    Umeongea point Daktari

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuza Місяць тому

    Naiomba serikali ipunguze bei ya mafuta ya magari inatutesa tulio huku chini maisha magumu mno

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 13 днів тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤tanzania

  • @angelomfilinge8662
    @angelomfilinge8662 Місяць тому

    Mheshimiwa Balozi Dr. Bashiru Ally ni Msomi mwandamizi anayetumia elimu yake sawasawa kama nyenzo.

  • @Louez24
    @Louez24 Місяць тому

    Few; but NOTED with capital letters.

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v Місяць тому +1

    Niwaulize kitu ..kama wasomi ndio nyie iweje umadkini umejaa tz ..usomi ujinga kumbe . Sioni faida ya elimu ... ni sehemu ya kuchumia tumbo LA family

  • @obedpeter6874
    @obedpeter6874 Місяць тому

    Wazee wa kukurupuka Taarifa wamenywea maana hoja ya kum challenge daktari hawana wanaofia kudharirishwa

  • @user-qc2ry1pl7i
    @user-qc2ry1pl7i Місяць тому

    🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Місяць тому

    NA NDIYO MAANA TUNATAKA KATIBA MPYA. TUKIWA NA KATIBA MPYA , SERIKALI ITAKUWA HAINGILII HAYO YATE. CHUO KIWE KAMA KAMPUNI CHINI YA UONGOZI WAKE .

  • @misanaalphayo2091
    @misanaalphayo2091 Місяць тому

    Walikuwa wanadharau watu hawa enzi za Magufuli

  • @boneventuremweya3673
    @boneventuremweya3673 Місяць тому +1

    Huyu jamaa alikuwa smart kipindi yuko Udsm akichambua mada kwnye media tatizo ni kipindi kawekwa kileleni na kupewa mrija wake wa asali y taifa wakati wa Mpenda utukufu na misifa,busara ubongo alivihifadhi tumboni akageuka gafla mtu wa kejeli na mropokaji nguri kama bosi wake ,Ni mnufaika na ameonja utamu wa serikali ya kibabe na ndo maana kataja adi mfano wa madikiteta waliosoma Uds kama m7 na mtetezi wa wanyonge kana kwamba ni sifa mojawapo nzuri Udsm.huyu mwamba ni sehemu ya wasomi wetu nchini wa majalalani.

    • @jaywi5681
      @jaywi5681 Місяць тому +1

      😂😂 KUMBE Mtu aliyekaa madarakani miaka 05 tu akaiwezesha nchi kuwa na ndege zake, kuwa na makao makuu yake halisi badala ya makao makuu ya maneno, kuwa na chanzo cha umeme madhubuti na cha kudumu, kuwa na Reli ya kisasa, kuwa na huduma nzuri za kijamii huyo ni MPENDA SIFA? Basi kama ni mpenda sifa alikuwa sahihi. Je wewe MPENDA KASHFA na wenzako mmelitendea nini Taifa hili? Nchi yetu imetawaliwa na Marais 4 Kabla ya JPM? Kama 03 wangekuwa WAPENDA SIFA za hivi tungekuwa hapa? Rais wetu mama yetu naomba uwe MPENDA SIFA ZAIDI YA NYERERE NA JPM Kwani WAPENDA SIFA NDIYO WALIOACHA ALAMA ZENYE TIJA KATIKA TAIFA HILI.

  • @elibarikinkya9738
    @elibarikinkya9738 Місяць тому

    ANACHOKIONGEA BASHIRU NA NAMNA USO WAKE UNAVYOONEKANA TOFAUTI KABISA, YUPO KAMA ANA HOFU FLANI HIVI

  • @ajirathabdulnoor4832
    @ajirathabdulnoor4832 Місяць тому +1

    🎉

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 Місяць тому

    Huyu jamaa ni mkweli na sio mnafiki anasimama na kusema sio mambo ya kuanza uchawa wa anaupiga mwingi

  • @saidimwishehekienda933
    @saidimwishehekienda933 Місяць тому

    Hapa akina Kibajaji, Msukuma ni maluelue kichwani wameachwa mbaaaaaali na huwezi wasikia.................taarifa muheshimiwa spika kwakua sio eneo lao.🤣🤣🤣🤣🤣

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo Місяць тому

    Haya ni ma CCM ni manafiki hatari .....

  • @maprosokelly2986
    @maprosokelly2986 Місяць тому

    Mpini wa JPM

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis4073 Місяць тому

    Akili nyingi✍

  • @superniki5699
    @superniki5699 Місяць тому

    Dr bashiru naunga hoja hapo kwenye swala la vigezo na kupewa unacho stahili nitatizo kubwa sana kwenye inchi yetu na linakatisha tamaa sana yani jambo linawezekana kufanyika ndani ya dakika tano linafanyika siku tano hadi mwenye jambo lake anakata tamaa na kuanzisha jambo lingine

  • @jumanneselemani2172
    @jumanneselemani2172 Місяць тому +1

    BASHIRU UMEONGEA VYEMA ILA WAKATI UKIWA KATIBU MKUU.ENZI ZA MAGUFULI MBONA HUKUSHAURI JUU YA UPANDAJI WA MADARAJA KWA WAKATI.

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v Місяць тому

    Bora asiye na elimu kama kishimba angepewa nchi maana yy hasifii ujinga .. anaongea yanayowezekana tu

  • @EnockCharles-nd5to
    @EnockCharles-nd5to Місяць тому +1

    Kwanini hukumshauri Magufuli?

    • @omanoman-ir1ez
      @omanoman-ir1ez Місяць тому +1

      hayo ndo matatizo ya watanzania sasa mgufuri kaingiaje hapa sikiliza point na kila maelezo au points kuna wakati maalum na mazingira yake sasa hoja ya kwanini hakumshauri magufuli ni shida hiyo watanzania tujitambue

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 Місяць тому

    waallaah kwa uongozi wa mm samia masikini hawa wezi kuvuka kwasababu wasaidizi wake wengi sio wazelendo wana wapiga sana wana nchi na akitokea mtu wa kuwatetea wanaenda kumlisha matango bori raisi anamtoa kwenye hicho kitengo na yy baado hajaguduwa wasaidizi waraisi wengi ni mabom ya yukilia

    • @guugug9gt829
      @guugug9gt829 Місяць тому

      Mama apumzike awapishe wengine

  • @AibaSaidy-jz3xs
    @AibaSaidy-jz3xs Місяць тому

    Sina neno maneno ya bashiru yanatosha.

  • @KamardinTebe
    @KamardinTebe Місяць тому

    Na raila odinga wa kenya ni zao la chuo kikuu cha dar es salam

  • @TOMSAMSON-tj3sc
    @TOMSAMSON-tj3sc Місяць тому

    Hivi jamani Kasi ya Tanzania ya viwanda ipo?

  • @angelomfilinge8662
    @angelomfilinge8662 Місяць тому

    Mimi nilikuona tangu ukiwa pale KAVAZI

  • @kulwamwamlima2405
    @kulwamwamlima2405 Місяць тому

    hasunga anapiga tu makoffi wanambozi hatukusikii

  • @husseinjosephitocho6754
    @husseinjosephitocho6754 Місяць тому

    dk bashiru ni mtu makini sana

  • @GeorgeNtauka
    @GeorgeNtauka Місяць тому

    Yupo makini sana

  • @user-zy6vq6lz7z
    @user-zy6vq6lz7z Місяць тому +1

    Maneno magumu sana

  • @georgekilwa2051
    @georgekilwa2051 Місяць тому

    Kichwa Cha habari halikuakisi yaliyoongelewa ndani BASHILU ALLY YUPO sawa lakini hii ni blog ya kihuni clickbait za nini? sijakufurahia

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke Місяць тому

    Nyiye wote ni ccm na akili zenu ziko tumboni nothing you can do

  • @spacdawgcokckgroupofcompan6164
    @spacdawgcokckgroupofcompan6164 Місяць тому

    Inabidi kukodisha waalim wakizungu wenye elimu yao kuja kutupa hiyo elimu wao kama wao siyo kupewa elimu na walioambukizwa elimu yao na pasipo kuipokea vizuri ni #changamoto

  • @momhalidi9786
    @momhalidi9786 Місяць тому

    Duuuuuh