Mashallah kazi Zuri.san kumbe Jiji mapacha Tena ya kufanana San hatariiii tukifanya mchezo ss wanawake tukiwa wote na Hawa mapacha tuweni makin Bora mm nibaki na mabuti wangu mm karibu omani mabuti wangu
Movi zuri san kama mvua ya usiku jaman usichelewe bas kutoa mwendelezo hila nakupend unvyoyowa like kwa wadau wako mumgu akuweke na mm nataka kuigiza lakn nisalimy mabuti lazz
😂😂😂😂 Nyani ngwengwe na udugu wake mganga mmetisha wanangu
Waaah hii noma sana Alafu ww Dubu nakupenda bure kitoka kenya😂❤🎉🎉🎉
🙏🥰🥰
Mashallah kazi Zuri.san kumbe Jiji mapacha Tena ya kufanana San hatariiii tukifanya mchezo ss wanawake tukiwa wote na Hawa mapacha tuweni makin Bora mm nibaki na mabuti wangu mm karibu omani mabuti wangu
Very good Dub kwa kazi nzur unayo ifanya sisi ni from buja Burundi🇧🇮
🙏🙏
Kazi nikazi watu wapambane sana
Aky mmeweza hii movie safi sana.ila mnachelewa sana❤❤❤
🙏🥰
MUDA WA NYANI NGWENGWE KUFA KWA NGOMA 😅😂😂😂 Alafuu nyieeee😢😢😂😂
Wow nice movie much love from kenya 🇰🇪 musitucheleweshe tena
🙏🥰
Wa kwanza leo kama mnamwamini dubu mpeeni mau yake🎉🎉🎉🎉❤❤❤
🥰
@@OfficialDubu_tz lançar agora eu Sto mal de história 😢😢😢😢
Wow❤❤❤, nilikuwa naisubiri Kwa hamu ahsanten🔥🔥🔥🔥🔥🔥.
🙏🙏
Kazi nzur,big up
Aka kadada kajude mumpe nyani gwegwe asitusumbulie dube wetu ntamfumua 😂😂😂😂😊
Nyan ngwengwe unanipaga raha sana 🙌🏻😂😂😂😂😂 mwenyez Mungu azid kuibariki kaz ya mikono yenu❤🙏🏻
Amiin Inshaallah 🤲
Kaz nzuri udugu wetu tunasubiri ya sita kwa hamu❤❤❤😊😊
🙏🥰
Duuh chombo inaenda kunoga sas
Kazi nzuri saf sana nakubali
🙏
Nimependa kuwaona kina kalista❤❤❤
🙏🥰
Kaka dube pongezi sana
Aisee mbona madogo sijawaona leo huwa napenda uongeaji wao dah
Dubu vipi za kazi Yani uko moto moto 🔥🔥🔥❤😂 saluty sana From Mozambique 🇲🇿
🙏🤝
Hongera Sana Team Dubu Nawapenda Sana 😢😢❤❤❤ From Burund 🇧🇮♥️♥️♥️♥️🌹🌹🌹🌹🌹
🙏🥰🥰
Wa kwanza kutoka Kenya nipeni like zangu🎉🎉🎉🎉🎉
Nzuri sana ila mnachelewa sana kutoa kazi
Mmmmh kumbe mukumba njo alimuibaga mtoto madkini pole sana mm dubu
🙏🥰
Nimemuona Khalist Midambanguro a.k.a Kiboko ya wadada wenye tamaa
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 Mungu akubariki kaka unatupa raha
🙏🥰
@@OfficialDubu_tzbro mashallah ungekua umemuoa hajra mwanamke mzuri sana mashallah atulia sana
Nyani ngwengwe umekutana na chuma
Aka kadada kajude mumpe nyani gwegwe asitusumbulie dube wetu ntamfumua 😂😂😂😂
Sanaaa Dubu Nakubali
Kazi nzuri ❤❤. Nawakubal sana.😅
🥰
Wewe ni fimbo courage 🎉🎉🎉🎉
🙏🙏
Leo nimebahatika sana
Nakubali nilkuwa nasubr kwa hamu sana asante sana kaka pia nimekuwa wa kwanza like hapo sasa 🎉🎉🎉
Haaaa haaaaa haaaaa nmefrah kumuona midabangulo kua ndio baba dube wa ujananji😂😂😂
🤣🙏
Mbona kalist midabangulo ajaonekana vizuri
Asante San dubu ,,,,kaz nzur n Allah akujaalie Kila her ktk kaz zko
Amiin Inshaallah 🙏
Wakwanza .miye jamen
Mnachelewa sana sijui ni ramadhani nyani ngwegwe🎉🎉🎉❤❤❤penda sana
🙏🥰
Bro sahivi hii muvi huwa naisubiria hii muvi hadi leo imetoka nimemshukulu Mungu
Big up kazi nzuri
🙏🙏
Yaani ni tamu sn jamni pongezini 🥳🥳🥳🥳😘
🙏🥰🥰
Always for Nyani Ngwengwe 😅
Utunzi mwingine bhana MTU anawaza ana mimba ikatoka akaolewa na akapata watoto wengine ila nguo hajabadilisha 😂😂😂😂😂
😂😂😂htr lkn ndo tunafatilia
Nimefulahi kumuona Khalist na Huyo mwenzake wa Lasi
🙏🙏
Nilikuwa naisubiri kwa hamu sana kaz nzur Allah akufanyie wepesi ktk kaz zako
🙏🙏
Kazi nzuri ajabu
🙏🥰
Dubu asante sana na tunakupenda sana uzidi kubarikiwa
🙏🥰🥰
Nakukubar sana dub
Safi sana🎉🎉🎉🎉
🙏
Biti zuri sanaa
Pia story nzuri n uigizaji kaka
🙏🙏🙏
Mm leo wakwanza
Kazi nzuri team dubu
🙏🙏
Kazi mzur
🙏
Kuazia leo simuamini kibonge yoyote 😂😂😂
Show yenu hukuw tamu ever...congratulations my people, from Kenya @mt Kenya region @
🙏🙏
Wa kwanza Leo nipeni like zangu
Udugu film zako nzuli sana napenda haswa huwezi Amini kua naziangaliaga malambilimbili ebu usiwe unazikawiza bs ❤❤❤
🙏🥰
Much love from 254❤❤❤kazi nzuri sana nyani gwengwe sura langu ntalieka wp alafu ww
😛
Wow hii ni kali kabisa bro hongera 🎉🎉❤
🙏🥰🥰
Hii film kali jamani inachekesha pia 😂😂😂 mastar watupu
🙏🙏
Ila #elly stam kijana wa buza ni muhuni popote😅😅😅 ila khalist midabangulo nae pia yupo😂😂
🙏🤝
❤️❤️❤️❤️love kipenzi chingy nimependa Kaz
🙏🥰
Kumbe kijana mibadanguro ndio kauawa na mwanae😢😂😂😂😂
mnachelewesha sana jamn duh msifanye hivyo ila nawapenda sana❤🎉
🙏🥰
Wow amazing bravo 👏 👏 👏 I love this movie bravo 🎉🎉🎉🎉🎉
🙏🙏
Nzur ila mnachelewesha sana
Dubu udugu wangu kazi nzuri sana mungu akutangulie katika KAZI zako
Shukrani sana na wewe pia🙏🥰
Weee ngwengwe umepigaje apo😂😂😂🎉🎉🎉God job my brother Dubu na team yako❤❤❤
🙏🙏
Siku ya tisaa Leo, duu broo waangalie kina kicheche na clam wanavofanya asieee tunasubir Sana aisss
Daaa Mnisamehe sana ila kuna mambo tunayapitia hasa sisi ambao bado hatujawa wakubwa ndio maana tunashindwa kuwahi ila hatupendi kuchelewa🙏
Daaa asa kwann love wa juakalii😂😂😂😂 nimelia sana😢😅
Wazee nimechelew sana ila Wacha nikoment Kwa mchaw wa kizazi kiby nyaningwengwe rastaman ww huogop😮😮😂😂
Khalist mzee wa midabanguro kazingua hii muv hayuko serious kabisa
Nyani ngwengwe alafu wewe😅😅🇲🇿👍👍
Movi zuri san kama mvua ya usiku jaman usichelewe bas kutoa mwendelezo hila nakupend unvyoyowa like kwa wadau wako mumgu akuweke na mm nataka kuigiza lakn nisalimy mabuti lazz
🙏🙏
Da sjakomenti skungingi hadi nimejionea vivu dubuu soon nakuja kwa mume wangu nyani gwegwe 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣
ila dubu mwachelewa alaf time mwaeka kidogo nae😊....
Kazi nzuri sana dubu ❤❤❤❤
🙏🥰
Nakukubali sana mwanangu hujawahi kuniangusha
🙏🤝
Mv nzuri sana 💞💞
🙏🥰
Dubu,dube na dimba yani hapo sielewi jaman
Udugu Wangu Mganga Like Kwa Nyani Ngwengw
Alafu wewe
Alafuuu weweeee😂😂😂❤
😂😂😂
Kubafuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Final nimemjua Diba ongera sana Dubu. 🎉🎉🎉
🙏🙏
Jamniiii nimechelewaaa kumuona mchaw wa kizaz kipyaaaaaa😂😂😂
🤣🤣🤝
Mjanja nyani 😂😂😂😂hiyo trouser naikubali
Good job ila awamu hii mmejua ku2cheleweshea, next pleaz
😂😂i love you nyani ngwengwe nawaona nawaona😂😂😂
🤣😛
Mzee Wa midabhangulo Ndani 😂😂
🙏
Like zake boy wetu kwa kazi yake sekunde ya 45
Ino movie tamu mpka ua stamani hiishe natakama episode Moja inakuwa 1hr 30min😂😂😂😂 dubu tuongezee dakika kitu kiko fire 🔥🔥🔥 mbaya nakukubali broo
🙏🙏
Jamn Dubu unanibalik kwakwel na kz Ako nzuli💪💪
🙏🥰🥰
Big up Dubuuu💪💪🔥🔥🔥
🙏🥰
Wakwanza Leo naomben like
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆ila nyan ngwengwe naeza pata nmb yake jmn 😆😆😆@dubutz
Wooow so amazing aki I love you guys watching from Kenya but na miss sana mtumishi moto 😂😂😂mdomo koma😂😂
🤣🙏
Dubu umeweza sana
Mzee wa midabangula😂
🙏
Duuuuh 😂😂😂sijui nicheke kuanzia wp
Kaka dube pongezi kwako🎉❤❤
🙏🥰
😅😅😅jaman ww muda wangu huu😅😅
Pamoja na hivyo natucheleweshea sanaaa jamani
Waoo mpenz mabuti nakuja namaliziya vyombo vya warabu nakuja mabuti yup kivyengine nakuja nakuja mabuti warabu Kwa kuita 🍴
🙏🤝
Kazi nzuri bro mungu akujalie
🙏🙏
@@OfficialDubu_tz oky
Na mmi nataka kuigiza broo
Ahsanten saaaaan ,,ep ya 6 kw ham saaaana
🙏🤝
Mashallah ❤❤🎉nyani ngwengwe
🥰🥰