Dah baba Joan kweli na kubali Sana kazi zako nawa fwata 5/5 kutoka drc Congo 🇨🇩🇨🇩, alafu yule binti mwanafunzi kwakweli ni mrembo Sana angekuwa karibu na mimi ninge mtongoza❤❤ nawa takiya kila la heri kwenu.
Baba joan hakika mimi ni sijawai kukosa tazama kazi yako na kila kazi huwa ni nzuri hivyo basi kwa binafsi mimi naomba utoe mwendelezo wa mali za marehemu kwani nijifunza kitu kwa series hiyo naipenda kweli kutoka MUSOMA -MARA .
Kipenzi ata yeye kakosea maana uwezi angalia season ya kwanza mpak hyo afu full mv si inakuwa ni Ile Ile ko bando linaenda mara 2 ila nimeenda kumtazama mwisho kabisa ila ilipaswa hii story aitoe kwenye season ya 4
Cinema hii nimeipenda sana,,, zidi kugrow na kutupa content nzuri zaidi kila siku. I love your great work from here at university of eldoret, Kenya ❤️ Mungu awabariki siku zote
Asante sana Comred Emmanuel Nchimbi, umeonyesha ukomavu wa kisiasa. Hao vijana limbukeni wanaodhani siasa ni tiketi ya kufanya uharifu wachukuliwe hatua. Hayo ni majambazi yamejipenyeza NDANI ya vyama kuficha uhalisia wao. Hata hivyo tabia zao halisi hatimaye tunaziona kupitia matendo na kauli zao.
Ushaanz kufelii make unaanzisha ki2 hukimalziii eleweka mm nikajua naftilia mali za urithii tena umetoka umeinhia kwingine angalia mashabiki tunaftiaga sanaa
Dah baba Joan kweli na kubali Sana kazi zako nawa fwata 5/5 kutoka drc Congo 🇨🇩🇨🇩, alafu yule binti mwanafunzi kwakweli ni mrembo Sana angekuwa karibu na mimi ninge mtongoza❤❤ nawa takiya kila la heri kwenu.
Inssa,manssaly
❤❤ nakuoenda
Akuna.mambubebe.mitakupendasana
Yes ni nzuri sana
Mwanafuzi nampenda sana naomba zasimo yake
Mke wa baba joan jamani❤❤🎉🎉
Baba joan hakika mimi ni sijawai kukosa tazama kazi yako na kila kazi huwa ni nzuri hivyo basi kwa binafsi mimi naomba utoe mwendelezo wa mali za marehemu kwani nijifunza kitu kwa series hiyo naipenda kweli kutoka MUSOMA -MARA .
Baba joani naombeni likes zangu from 🇰🇪 idd mubaraka nyote baba joani family
Sijakuelewa
Minacitumiyaayo
Xxxxx 12:28
Xxxx
Ni nzr saan nimeipenda kaz njema baba joan
Auna baya baba Joan aki mwlm mgn🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hiyo nokal🎉🎉🎉
Ni moto sana hii
Baba Joani unajuwa papa
Kazi njema
Movie nzuri xna kiuqweli inavutia much love ❤️❤
Uwe unamaliza movie baba Joan, finishing Yako hàtuielewi, Mali za marehemu hujamaliza bado
Sas wew baba joan unafel hujamaliza mali za marehem unatuletea mpya tutakuwa atutizami
Mbona unaongelea movie iloisha angalia hadi full movie uelewe ni tatizo la kiufundi sio yeye
Kipenzi ata yeye kakosea maana uwezi angalia season ya kwanza mpak hyo afu full mv si inakuwa ni Ile Ile ko bando linaenda mara 2 ila nimeenda kumtazama mwisho kabisa ila ilipaswa hii story aitoe kwenye season ya 4
mmh enaleta utam
Baba jon unatuchanganya movie zako huzimaliz unaleta nyengine malizia kwaza
For sure karibu kumalizia movie zako am here waiting for Mali ya marehemu naomba umalizie
Nashangaa wengne cjui mnaonaga nin Kwan hamuon kama Mali za marehem haijaishaa mbon mnasifia Kaz ingne wakt ingne bado
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉kazi poa sana kaka tuna penda kz zako
Baba John mbona sasa humalizii kazi sasa ata hii atuna imani ka itaisha ak ila mali za marehemu ilikua tamu sana🎉🎉🎉
Kazi nzuri sana story safi
Xxvdeo
Xxx
Xxxxx
Xxxxx
Abihudishonza
Ogera baba Joan tuna kukubari sana
Nilikuwa nimepoeka na nyinyi juu amumalizi movie
Malizia kazi Baba Joani kua mbunifu maan muv unaruka hatukuelewi
hii nimeipenda inafundisha sana bba Joan ila shida hujui mtu niwa aina gan kibinadam ni haki kumsaidia mtu akiwa hajiwez
Uyu baba ana move MZr ila amalizii hata mama mkwe pia mwalimu mgeni
Hongera sana kakangu filamu nzuri
Cinema hii nimeipenda sana,,, zidi kugrow na kutupa content nzuri zaidi kila siku. I love your great work from here at university of eldoret, Kenya ❤️ Mungu awabariki siku zote
Ninzulihii nimeipenda
Tatizo lenu series zenu mnaishia njian hatuon mwafaka
maliza mobie baba hii mambo ya kuruka itakufanya ukose ubunifu kwa kazi zako
Safi sana mwanangu Nice comment
Wewe sio shabiki ungefatilia vzuri ungejua kipi kilitokea hadi hajamaliza movie angalieni full movie
Hongera Sana Baba joan
Napenda Sana move zako
Kaz nzur sana Yan
Na imani hii kazi utaimaliza tena kwa uzuri kabisa
Hii itaisha nimeongea nae
Movie nzuri kiukweli inavutia hongera kwake baba joani
Like zangu jaman wapendwa maana sijawahi kupata like leo na mimi iwe siku yangu ya kupata like
Asante sana Comred Emmanuel Nchimbi, umeonyesha ukomavu wa kisiasa.
Hao vijana limbukeni wanaodhani siasa ni tiketi ya kufanya uharifu wachukuliwe hatua. Hayo ni majambazi yamejipenyeza NDANI ya vyama kuficha uhalisia wao. Hata hivyo tabia zao halisi hatimaye tunaziona kupitia matendo na kauli zao.
Ala nomaha sana
❤ injoii move Iko vizur
Wakwanza Leo naombeni like zangu much love from Kenya 🥰
ok mamboz
Chukua
Huyo bint mzur sana🎉
Poleni sana jamani mkuu 😢
Kazi nzuri sana baba Joan
Congratulations 🎈👏
Ba Joan jikaze mwanaume kwanza nazikubal saana kazi zako utafika tu uendako
Patronaiz.
❤... Nakukubali kakaa... Na muona...
Baba Joan.. Anampenda patro Sana... Ila uyu dogo mkali❤
This is awesome this movie is nice
Nakukubali baba joan🎉🎉🎉
Wa Kwanza Leo naomben lake zangu😅😅
vraiment musée Joan kazi nzurisana
Baba joan Ss Mashabk zako ase Nisaidie namba ya huyo jini😂😂
Naomba like na mm sijawahi pewa like, kitu cha idd mubarak 2024 hii kwa babajoan
Like hunaenda kuziuza ama
@@graffinamisi ndiyo nauza
Bila music movie zinapendeza .sass kwa nn muweke muziku.munakelaa
Sasa upewe like wewe za nini wewe ndo umpe Baba Joan like 😂
@@numpefikimwaipopo baba Joan lazma nimpe like mapema sana yani haipingwi kwasababu kazi zake najitahidi kuzifuatilia sana pia nazikubali sana
Baba joan ww nakukubali san ❤
Ushaanz kufelii make unaanzisha ki2 hukimalziii eleweka mm nikajua naftilia mali za urithii tena umetoka umeinhia kwingine angalia mashabiki tunaftiaga sanaa
Uwe unamalizia movie baba Joan unatuacha pazuri kisha tunajua mwendelezo unakuja kumbe hakuna 😂😂mali ya marehemu niliipenda basi tu😢😢
Hapa chini ya juwa shukrani haiko
kusaidia ni vizuri lakini inawezakuwa bala
Baba Joan kazi zako ni nzuri sanaa Ila uwe unamaliza kazi maana hata Mari za malehemu hujamaliza
Asee mkuu vipi 😅
Ni nzuri
Kazi safii
Movie ninzur kweli
Na wapenda sana❤🎉
Ba Joan angalia kuna kitu anataka kutoka kwako
Well done 👍
Ni nzuri kweli
Kali sana
wa kwanza Leo aki naomba like hata kumi 🙏🙌🙌
Binge la burudani
Baba joan movies zako zina elim sana lakini ukamilizi kwa hivyo twabaki na kutoelewa😢
Hii ni nzuri sana nimeipenda
Anafanya poa sana❤❤
Ww baba Joan utafanya mashabiki wako wakutenge Kwa hivo unavofanya humalizii kazi
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wabongo shida hapo tu hawanaga mwishoo
Yan atali xn huy dad yupo vizul ❤
Vp wadau
Ushaur unapoanzisha kaz jitahid bas uwe unazifikisha ili mashabiki tuwe tunazifurahia zaid na zaid
Waiting for episode 2
Bb Joan mm pia nasubiri mambo ya ile nyumba ya uradhi tafadhali uikamize mkaka mwisho
Kaziyako nzuri sana
Very nice
move kali sana hii
yes iko mwwwwaaa
❤❤❤❤
Huluma mda mwingne zinatuponza jamani 🎉🎉🎉
nivizuri kusaidia baba joan .but u need to be careful.
Nimeipenda
Story safi hiyo 🎉🎉🎉🎉
kipindi hiki moto sanaàaaaaaaasss
weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
rada nzuri kweli
Ngoja yakukute
Kitakuraba😊😊😊😊😊😊
Mbona hujamalizia mali za marehemu jamenii,,anyway nipeeni likes pia 😊
Baba Joan mbon hujamalizia Mali za marehem
Nakukubali sana patronize
Ba Joan jikaze mwanaume kwanza nazikubal saana kazi zako utafika tu uendako 😅
Mbona unaturusha mbele bila kumalizia mali za marehem
Baba Joan Mali za marehemu iliisha aje
Maliza kwanza ndio uanze nyingine ❤
❤❤❤❤❤❤ napenda
Vizuri umsaidie🎉🎉🎉😢😮😅
Good job god blessed
😂😂 Mungu shuka
Edelia na kazi
Kitufe swax UA-cam utaona nyimbo zangu na kwa muvi ni kichanga cha ajabu nimecheza kama msta poo
Saf kbs😢😢❤❤
Namuona anafanana na azizi kii
Biti kama zakwenye movie zakanumba yani nimoto 😊😊😊