MWANAFUNZI WA AJABU Full episode 1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 жов 2024
  • #babajoan #lovestory #comedy

КОМЕНТАРІ • 327

  • @Pascal-mu5hf
    @Pascal-mu5hf 6 місяців тому +12

    Dah baba Joan kweli na kubali Sana kazi zako nawa fwata 5/5 kutoka drc Congo 🇨🇩🇨🇩, alafu yule binti mwanafunzi kwakweli ni mrembo Sana angekuwa karibu na mimi ninge mtongoza❤❤ nawa takiya kila la heri kwenu.

  • @erickrodric9080
    @erickrodric9080 3 місяці тому +10

    Yes ni nzuri sana

  • @RachideMomade-f2v
    @RachideMomade-f2v 21 день тому +1

    Mwanafuzi nampenda sana naomba zasimo yake

  • @MarthaFocus-q8u
    @MarthaFocus-q8u 6 місяців тому +11

    Mke wa baba joan jamani❤❤🎉🎉

  • @emmanueljackson-jk5fp
    @emmanueljackson-jk5fp 6 місяців тому +5

    Baba joan hakika mimi ni sijawai kukosa tazama kazi yako na kila kazi huwa ni nzuri hivyo basi kwa binafsi mimi naomba utoe mwendelezo wa mali za marehemu kwani nijifunza kitu kwa series hiyo naipenda kweli kutoka MUSOMA -MARA .

  • @MariamRiziki-o8x
    @MariamRiziki-o8x 6 місяців тому +36

    Baba joani naombeni likes zangu from 🇰🇪 idd mubaraka nyote baba joani family

  • @Clintonotrack
    @Clintonotrack 6 місяців тому +19

    Auna baya baba Joan aki mwlm mgn🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @albertnyabwari7253
    @albertnyabwari7253 6 місяців тому +14

    Ni moto sana hii

  • @MalipoFatu-y2t
    @MalipoFatu-y2t 6 місяців тому +12

    Baba Joani unajuwa papa

  • @FelistusKimanzi-f2g
    @FelistusKimanzi-f2g 6 місяців тому +12

    Kazi njema

  • @BessyMukami-n7k
    @BessyMukami-n7k 6 місяців тому +3

    Movie nzuri xna kiuqweli inavutia much love ❤️❤

  • @unique1brand984
    @unique1brand984 6 місяців тому +6

    Uwe unamaliza movie baba Joan, finishing Yako hàtuielewi, Mali za marehemu hujamaliza bado

  • @gracekayumba-z9l
    @gracekayumba-z9l 6 місяців тому +7

    Sas wew baba joan unafel hujamaliza mali za marehem unatuletea mpya tutakuwa atutizami

    • @Dareyoman
      @Dareyoman 6 місяців тому

      Mbona unaongelea movie iloisha angalia hadi full movie uelewe ni tatizo la kiufundi sio yeye

    • @gracekayumba-z9l
      @gracekayumba-z9l 6 місяців тому

      Kipenzi ata yeye kakosea maana uwezi angalia season ya kwanza mpak hyo afu full mv si inakuwa ni Ile Ile ko bando linaenda mara 2 ila nimeenda kumtazama mwisho kabisa ila ilipaswa hii story aitoe kwenye season ya 4

    • @PendoMkane
      @PendoMkane 5 місяців тому

      mmh enaleta utam

  • @HalimaAme
    @HalimaAme 6 місяців тому +5

    Baba jon unatuchanganya movie zako huzimaliz unaleta nyengine malizia kwaza

  • @DorinCherop
    @DorinCherop 6 місяців тому +4

    For sure karibu kumalizia movie zako am here waiting for Mali ya marehemu naomba umalizie

  • @Edith-rq3mm
    @Edith-rq3mm 6 місяців тому +6

    Nashangaa wengne cjui mnaonaga nin Kwan hamuon kama Mali za marehem haijaishaa mbon mnasifia Kaz ingne wakt ingne bado

  • @MayengDulu
    @MayengDulu 3 місяці тому +3

    ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉kazi poa sana kaka tuna penda kz zako

  • @Gift-kijiti
    @Gift-kijiti 6 місяців тому +9

    Baba John mbona sasa humalizii kazi sasa ata hii atuna imani ka itaisha ak ila mali za marehemu ilikua tamu sana🎉🎉🎉

  • @gimpesamsontv706
    @gimpesamsontv706 6 місяців тому +11

    Kazi nzuri sana story safi

  • @theylove_maya
    @theylove_maya 6 місяців тому +4

    Ogera baba Joan tuna kukubari sana

  • @jackiekhajiji3889
    @jackiekhajiji3889 5 місяців тому +5

    Nilikuwa nimepoeka na nyinyi juu amumalizi movie

  • @HilgathRamadhani
    @HilgathRamadhani 6 місяців тому +4

    Malizia kazi Baba Joani kua mbunifu maan muv unaruka hatukuelewi

  • @IddyAbdalla
    @IddyAbdalla 6 місяців тому +6

    hii nimeipenda inafundisha sana bba Joan ila shida hujui mtu niwa aina gan kibinadam ni haki kumsaidia mtu akiwa hajiwez

  • @Fettysaid-u8f
    @Fettysaid-u8f 5 місяців тому +3

    Uyu baba ana move MZr ila amalizii hata mama mkwe pia mwalimu mgeni

  • @AnchCmiyu
    @AnchCmiyu 3 місяці тому +2

    Hongera sana kakangu filamu nzuri

  • @kingsalim3958
    @kingsalim3958 6 місяців тому +5

    Cinema hii nimeipenda sana,,, zidi kugrow na kutupa content nzuri zaidi kila siku. I love your great work from here at university of eldoret, Kenya ❤️ Mungu awabariki siku zote

  • @SamsonStivin
    @SamsonStivin 2 місяці тому +2

    Ninzulihii nimeipenda

  • @Felistersamwel
    @Felistersamwel 5 місяців тому +5

    Tatizo lenu series zenu mnaishia njian hatuon mwafaka

  • @dondeprincer9527
    @dondeprincer9527 6 місяців тому +6

    maliza mobie baba hii mambo ya kuruka itakufanya ukose ubunifu kwa kazi zako

    • @goodluckmhagama5363
      @goodluckmhagama5363 6 місяців тому

      Safi sana mwanangu Nice comment

    • @Dareyoman
      @Dareyoman 6 місяців тому

      Wewe sio shabiki ungefatilia vzuri ungejua kipi kilitokea hadi hajamaliza movie angalieni full movie

    • @SalumuSaid-h9x
      @SalumuSaid-h9x 6 місяців тому

      Hongera Sana Baba joan

    • @SalumuSaid-h9x
      @SalumuSaid-h9x 6 місяців тому

      Napenda Sana move zako

  • @stevenkomba4621
    @stevenkomba4621 6 місяців тому +5

    Kaz nzur sana Yan

  • @HEPÌNESIWILLIAM
    @HEPÌNESIWILLIAM 6 місяців тому +3

    Na imani hii kazi utaimaliza tena kwa uzuri kabisa

    • @jasonlinetv1
      @jasonlinetv1 6 місяців тому

      Hii itaisha nimeongea nae

  • @HilaryKalunde
    @HilaryKalunde 6 місяців тому +14

    Movie nzuri kiukweli inavutia hongera kwake baba joani

    • @HilaryKalunde
      @HilaryKalunde 6 місяців тому +3

      Like zangu jaman wapendwa maana sijawahi kupata like leo na mimi iwe siku yangu ya kupata like

  • @charlesshitobelo6870
    @charlesshitobelo6870 5 місяців тому +3

    Asante sana Comred Emmanuel Nchimbi, umeonyesha ukomavu wa kisiasa.
    Hao vijana limbukeni wanaodhani siasa ni tiketi ya kufanya uharifu wachukuliwe hatua. Hayo ni majambazi yamejipenyeza NDANI ya vyama kuficha uhalisia wao. Hata hivyo tabia zao halisi hatimaye tunaziona kupitia matendo na kauli zao.

  • @amoswafula4095
    @amoswafula4095 6 місяців тому +4

    Ala nomaha sana

  • @mudharyomary
    @mudharyomary 6 місяців тому +4

    ❤ injoii move Iko vizur

  • @VeronicaNanjala-lv6ey
    @VeronicaNanjala-lv6ey 6 місяців тому +24

    Wakwanza Leo naombeni like zangu much love from Kenya 🥰

  • @PaschalCharles-tm6vx
    @PaschalCharles-tm6vx 6 місяців тому +4

    Huyo bint mzur sana🎉

  • @ShukuruKimati-r3p
    @ShukuruKimati-r3p 5 місяців тому +2

    Poleni sana jamani mkuu 😢

  • @bensonlaban41
    @bensonlaban41 6 місяців тому +13

    Kazi nzuri sana baba Joan

  • @IsaiahIsaiahmolle-mn4tj
    @IsaiahIsaiahmolle-mn4tj 6 місяців тому +7

    Congratulations 🎈👏

  • @DottoAthumani-lu7bl
    @DottoAthumani-lu7bl 6 місяців тому +3

    Ba Joan jikaze mwanaume kwanza nazikubal saana kazi zako utafika tu uendako

  • @mremajuma
    @mremajuma 3 місяці тому

    Patronaiz.
    ❤... Nakukubali kakaa... Na muona...
    Baba Joan.. Anampenda patro Sana... Ila uyu dogo mkali❤

  • @Tevian-jm4zz
    @Tevian-jm4zz 5 місяців тому +3

    This is awesome this movie is nice

  • @MwanaishaChileta
    @MwanaishaChileta 6 місяців тому +1

    Nakukubali baba joan🎉🎉🎉

  • @Clintonotrack
    @Clintonotrack 6 місяців тому +3

    Wa Kwanza Leo naomben lake zangu😅😅

  • @MOISEBARAKA-il1vx
    @MOISEBARAKA-il1vx 4 місяці тому +1

    vraiment musée Joan kazi nzurisana

  • @goodluckmhagama5363
    @goodluckmhagama5363 6 місяців тому +2

    Baba joan Ss Mashabk zako ase Nisaidie namba ya huyo jini😂😂

  • @lulupeter-xf9gs
    @lulupeter-xf9gs 6 місяців тому +60

    Naomba like na mm sijawahi pewa like, kitu cha idd mubarak 2024 hii kwa babajoan

    • @graffinamisi
      @graffinamisi 6 місяців тому +4

      Like hunaenda kuziuza ama

    • @lulupeter-xf9gs
      @lulupeter-xf9gs 6 місяців тому +2

      @@graffinamisi ndiyo nauza

    • @thamratysuleiman3053
      @thamratysuleiman3053 6 місяців тому +1

      Bila music movie zinapendeza .sass kwa nn muweke muziku.munakelaa

    • @numpefikimwaipopo
      @numpefikimwaipopo 6 місяців тому

      Sasa upewe like wewe za nini wewe ndo umpe Baba Joan like 😂

    • @lulupeter-xf9gs
      @lulupeter-xf9gs 6 місяців тому

      @@numpefikimwaipopo baba Joan lazma nimpe like mapema sana yani haipingwi kwasababu kazi zake najitahidi kuzifuatilia sana pia nazikubali sana

  • @Mutimabonheur
    @Mutimabonheur 5 місяців тому +1

    Baba joan ww nakukubali san ❤

  • @WeremaSagati-tk5di
    @WeremaSagati-tk5di 6 місяців тому +1

    Ushaanz kufelii make unaanzisha ki2 hukimalziii eleweka mm nikajua naftilia mali za urithii tena umetoka umeinhia kwingine angalia mashabiki tunaftiaga sanaa

  • @HamisSheck-s9r
    @HamisSheck-s9r 6 місяців тому +1

    Uwe unamalizia movie baba Joan unatuacha pazuri kisha tunajua mwendelezo unakuja kumbe hakuna 😂😂mali ya marehemu niliipenda basi tu😢😢

  • @DoctkalumbiDelphin
    @DoctkalumbiDelphin 3 місяці тому +1

    Hapa chini ya juwa shukrani haiko

  • @AdrielBoniface
    @AdrielBoniface 4 місяці тому +1

    kusaidia ni vizuri lakini inawezakuwa bala

  • @OripaMosha
    @OripaMosha 6 місяців тому +1

    Baba Joan kazi zako ni nzuri sanaa Ila uwe unamaliza kazi maana hata Mari za malehemu hujamaliza

  • @ShukuruKimati-r3p
    @ShukuruKimati-r3p 5 місяців тому +2

    Asee mkuu vipi 😅

  • @BritneyMlelwa
    @BritneyMlelwa Місяць тому

    Ni nzuri

  • @nationaltrendingmedia4603
    @nationaltrendingmedia4603 6 місяців тому +3

    Kazi safii

  • @JoashiManga
    @JoashiManga 5 місяців тому +1

    Movie ninzur kweli

  • @NyandaNyanda-tj8iu
    @NyandaNyanda-tj8iu 4 місяці тому

    Na wapenda sana❤🎉

  • @DottoAthumani-lu7bl
    @DottoAthumani-lu7bl 6 місяців тому +2

    Ba Joan angalia kuna kitu anataka kutoka kwako

  • @HamisOmar165
    @HamisOmar165 5 місяців тому +2

    Well done 👍

  • @NzembiMutuku-th8xy
    @NzembiMutuku-th8xy 4 місяці тому

    Ni nzuri kweli

  • @wilsonsamsonwilliams
    @wilsonsamsonwilliams 6 місяців тому +2

    Kali sana

  • @IshmaelOkongo
    @IshmaelOkongo 6 місяців тому +3

    wa kwanza Leo aki naomba like hata kumi 🙏🙌🙌

  • @TomasBenetdki
    @TomasBenetdki 4 місяці тому

    Binge la burudani

  • @بعدالغد-ز2ط
    @بعدالغد-ز2ط 2 місяці тому

    Baba joan movies zako zina elim sana lakini ukamilizi kwa hivyo twabaki na kutoelewa😢

  • @EmmanuelStaniford
    @EmmanuelStaniford 6 місяців тому

    Hii ni nzuri sana nimeipenda

  • @DonnatienMfaume
    @DonnatienMfaume 4 місяці тому

    Anafanya poa sana❤❤

  • @NajjatYusufjuma
    @NajjatYusufjuma 6 місяців тому +1

    Ww baba Joan utafanya mashabiki wako wakutenge Kwa hivo unavofanya humalizii kazi

    • @josephpeter4398
      @josephpeter4398 6 місяців тому

      ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @rebeccasomeke2250
    @rebeccasomeke2250 4 місяці тому +2

    Wabongo shida hapo tu hawanaga mwishoo

  • @HAWAJOHN-ph6ex
    @HAWAJOHN-ph6ex 3 місяці тому

    Yan atali xn huy dad yupo vizul ❤

  • @mathayoJeremia-ze5hh
    @mathayoJeremia-ze5hh 5 місяців тому +1

    Vp wadau

  • @DottoAthumani-lu7bl
    @DottoAthumani-lu7bl 6 місяців тому +1

    Ushaur unapoanzisha kaz jitahid bas uwe unazifikisha ili mashabiki tuwe tunazifurahia zaid na zaid

  • @Doreen-254
    @Doreen-254 6 місяців тому +2

    Waiting for episode 2

  • @بعدالغد-ز2ط
    @بعدالغد-ز2ط 2 місяці тому

    Bb Joan mm pia nasubiri mambo ya ile nyumba ya uradhi tafadhali uikamize mkaka mwisho

  • @SAIDSALUM1981
    @SAIDSALUM1981 4 місяці тому

    Kaziyako nzuri sana

  • @Brenny-lm6pj
    @Brenny-lm6pj 4 місяці тому +1

    Very nice

  • @ernestmnyagala2904
    @ernestmnyagala2904 5 місяців тому +1

    move kali sana hii

  • @ShallnDama-ew5iv
    @ShallnDama-ew5iv 5 місяців тому +1

    yes iko mwwwwaaa

  • @SophiaHassan-fl8ww
    @SophiaHassan-fl8ww 6 місяців тому +1

    Huluma mda mwingne zinatuponza jamani 🎉🎉🎉

  • @SusanATIENO-r6c
    @SusanATIENO-r6c 3 місяці тому

    nivizuri kusaidia baba joan .but u need to be careful.

  • @BéatriceSifa-p2q
    @BéatriceSifa-p2q Місяць тому

    Nimeipenda

  • @MillyGesare
    @MillyGesare 5 місяців тому +1

    Story safi hiyo 🎉🎉🎉🎉

  • @DavisOndieki-lm7jz
    @DavisOndieki-lm7jz 5 місяців тому +1

    kipindi hiki moto sanaàaaaaaaasss

  • @DainessEmmanuel-o9j
    @DainessEmmanuel-o9j 18 днів тому

    Ngoja yakukute

  • @Kariuki-t6q
    @Kariuki-t6q 3 місяці тому

    Kitakuraba😊😊😊😊😊😊

  • @kuimartha-nr4ft
    @kuimartha-nr4ft 6 місяців тому +3

    Mbona hujamalizia mali za marehemu jamenii,,anyway nipeeni likes pia 😊

    • @AlhamnduShabani
      @AlhamnduShabani 6 місяців тому

      Baba Joan mbon hujamalizia Mali za marehem

  • @JosiaDeus-y2l
    @JosiaDeus-y2l 6 місяців тому

    Nakukubali sana patronize

  • @DottoAthumani-lu7bl
    @DottoAthumani-lu7bl 6 місяців тому +1

    Ba Joan jikaze mwanaume kwanza nazikubal saana kazi zako utafika tu uendako 😅

  • @HeppinesiBakari-vk7dd
    @HeppinesiBakari-vk7dd 6 місяців тому +3

    Mbona unaturusha mbele bila kumalizia mali za marehem

    • @Deer-g4t
      @Deer-g4t 6 місяців тому

      Baba Joan Mali za marehemu iliisha aje

  • @MussaMlowe-w5g
    @MussaMlowe-w5g 6 місяців тому +1

    Maliza kwanza ndio uanze nyingine ❤

  • @DieudonnéOkitondo
    @DieudonnéOkitondo 3 місяці тому

    ❤❤❤❤❤❤ napenda

  • @HidayaHongole
    @HidayaHongole 4 місяці тому

    Vizuri umsaidie🎉🎉🎉😢😮😅

  • @MillyGesare
    @MillyGesare 5 місяців тому +1

    Good job god blessed

  • @OkechVictor-m4r
    @OkechVictor-m4r 2 місяці тому

    😂😂 Mungu shuka

  • @AaronKabunda-ge4oc
    @AaronKabunda-ge4oc 4 місяці тому

    Edelia na kazi

  • @YohanaMwampamba-m6g
    @YohanaMwampamba-m6g 3 місяці тому +3

    Kitufe swax UA-cam utaona nyimbo zangu na kwa muvi ni kichanga cha ajabu nimecheza kama msta poo

  • @ShukuruKimati-r3p
    @ShukuruKimati-r3p 5 місяців тому

    Saf kbs😢😢❤❤

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba 4 місяці тому

    Namuona anafanana na azizi kii

  • @MwitaChacha-kb7zk
    @MwitaChacha-kb7zk 5 місяців тому +1

    Biti kama zakwenye movie zakanumba yani nimoto 😊😊😊