NYUMBA YAPIGWA MNADA KISA MKOPO WA MILIONI 1, FAMILIA YALALA NJE BAADA YA KUSHINDWA KULIPA MKOPO HUO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 тра 2024

КОМЕНТАРІ • 151

  • @AbduelKatete
    @AbduelKatete 17 днів тому +19

    Makonda kawafungua macho .hongera makonda

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 17 днів тому +23

    Nazani mtaelewa kuwa RIBA ni haramu na RIBA ni inafilisi.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 17 днів тому +13

    YAANI JAMAANI. MBONA HUO NI WIZI KABISA.HUYO MTU AKAMATWE.

    • @neemakarisa1496
      @neemakarisa1496 15 днів тому +1

      Kweli kabisa,huyo mkopeshaji afanya kaa biashara ya kukopesha watu, hiyo pesa ni nyingi hiyo ya kuongezea,,unataka maskini chap😂 ,

  • @justice607
    @justice607 17 днів тому +7

    Asante makonda 😊

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 17 днів тому +11

    Tatizo Moja Watu Mnajua Mikopo Kausha Damu Mnaambiwa Mikopo Inaitwa Kausha Damu Kwanini Mnakopa Nakama Mnakopa Mlipe Kwani Wakati Mnachukua Mikopo Mnakua Mmelewa Au Vipi Kama Mmekopa Na Kabla Ya Kukopa Mnajua Kila Kitu Mikopo Kausha Damu Jina2 Hatari Mnaenda Kukopa Lipeni

    • @claudiajames2003
      @claudiajames2003 17 днів тому +2

      Wewe mtu Kwa akili ya haraka unaweza kukopa milioni 4 ukadaiwa milioni 30??? Unawaambia walipe tu bila kudai haki? Usione mtu anaenda kukopa sehemu hujui changamoto anayopitia mpk kukopa,Sema taasisi zinatakiwa ziwe zinatoza riba inayokubalika na BOT

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 17 днів тому +2

      ​@@claudiajames2003 SASA wewe mkopo mil 4 marejesho M30 kwanini usishtuke nakukataa kwasababu ulikubali nakuchukia pesa lazima ulipe NaHapo ndyo utatimia ule msemo usemao kukopa shelehe kulipa msiba 😔

    • @claudiajames2003
      @claudiajames2003 17 днів тому

      @@user-nb6yh2bn9y ndugu inaonekana huelewi,hayo makampuni kwenye mkataba huwa yanaficha hizo riba,unasaini mkataba mwingine na unakuja kufilisiwa na amount inatop up nje ya mkataba,uwe mfatiliaji wa mambo,usikurupuke kishabiki tu! Unadhani hao watu wote wanaolalamika hapo hawana akili ila we ndio unayo au sio? Fanya research utaelewa wanacholalamikia

    • @peterkanja4765
      @peterkanja4765 16 днів тому +2

      Bwana Hashim ulipaswa kuwasiliana na msimamizi wa microfinance BOT kujuwa iwapo wamesajiriwa huko na kufuata miongozo ya riba wanayotakiwa kutoza wakopaji .Iwapo hawajasajiriwa na wanatoza riba zaidi ya asilimia 3.5 kwa mwezi chukua hatua na hata kusitisha shughuri zao hadi wasajiriwe na kufuata taratibu.Vinginevyo utalambishwa asali na wananchi wataendelea kuumia.

    • @JeyJeydoctar-gq1bw
      @JeyJeydoctar-gq1bw 15 днів тому +2

      Wanaokopesha kausha damu niwachawi kinyama.....ukiandika dhamana vitu vyako mhimu basi umeisha lazima wakutengeneze wanakufanya pesa usipate yakuwalipa ili wakuzulumu 😊😊😊

  • @user-po9fe8mx6m
    @user-po9fe8mx6m 16 днів тому +2

    Welcome again makonda your the best good job

  • @KelvinAmos-ow7pf
    @KelvinAmos-ow7pf 16 днів тому +2

    Poleni sana wana geita

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 17 днів тому +7

    Ongera sana makonda umewafungua watu macho

    • @sergebaleke695
      @sergebaleke695 17 днів тому +1

      Sio Makonda tu kuna yule ungine anaitwa Happy kaanza kitambo mambo haya

  • @DM_15
    @DM_15 17 днів тому +4

    Hkunakitu mbaya kama deni Na muomba Mungu hiikitu anipenguvu nisiipate nimbaya sana

  • @peterkanja4765
    @peterkanja4765 16 днів тому +3

    Hiyo microfinance ya kapaya imesajiriwa na BOT ? na anafuata miongozo ya utozaji riba .BOT wamepewa jukumu la kusimamia wananchi wanaumizwa wao hawana udhibiti kilio kila mahali majibu ya waziri bungeni juzi yanaonyesha aidha hajui kinachoendelea au hataki kujua.Wakopeshaji wasio na usajiri ma DC wafukuzeni wasifanyekazi hiyo katika wilaya zenu vinginevyo mjiandae kusikia mazingaombwe jinsi laki moja imavyoweza kuuza nyumba ya milioni50 kwa miaka 3.Kufanya biashara bila kusajiriwa ni kosa na nihatari hata kama mtu hakulipa riba mkopeshaji anajiamria tu bila kufuata miongozo ni hatari kama vile serikali ilisafiri.

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 17 днів тому +2

    Kean mara ngap nmb ,crdb,equity na bank nyingine wauzia watu nyumba???? Swala hili mfanyabiashara hana shida tatzo ni hali ya maisha magum ya nchi hiii

  • @happymerry8675
    @happymerry8675 17 днів тому +8

    Hawa wakopeshaji binafsi Kwa kweli Mungu anawaona

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 9 днів тому +1

    Utapeli mbaya weka ndani uyo ni tapeli

  • @amosethantheking8815
    @amosethantheking8815 9 днів тому +1

    Rudisheni hizo nyumba haraka sana.

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s 17 днів тому +3

    Inawezekana hawa watu ni warushi hawalipi mikopo yao kwa wakati.ingawa wanaonewa sana

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 13 днів тому +1

    Warudishiwe nyumba zao

  • @edsongamuga7375
    @edsongamuga7375 17 днів тому +3

    Lipen pesa za watu jamani!

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 17 днів тому +4

    Sasa mbona wakiuza nyumba kinachobakia hamuwapi wenyewe

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 17 днів тому +1

      Hapo Sasa mm naona pesa zao zinamakusudi Yao Zina kitu kinafanya ushindwe kumlipa ili upoteze lililo KUBWA million 1 ndio uuze nyumba hata kiwanja hupati

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 16 днів тому +1

    Huyo jamaa ashikwe aelekwe jela akawe dem wa nyampara😢

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 15 днів тому

    Jamani hiyo Kausha damu serikali futeni jinatu Baya nyie Kausha mjuwe mungu yupoo

  • @richardsule4454
    @richardsule4454 17 днів тому +1

    Media zinazo chapisha changamoto mbalimbali zinazoikumba jamii muwe msitari wa mbele kufuatilia changamoto hizo mwanzo mpaka mwisho wa hukumu au suluhisho la tatizo, maana viongozi wengi mpaka wakumbushwe wajibu wao. Pili wanajamii pia tuwe tuwe tunafanya kwanza utafti wapi na kwa nini uchukue mkopo. Tatu ni vizuri kabla ya kuchukua mkopo peleka mkataba kwa mwanasheria aliyeko karibu kwa msaada zaidi pia wanasheria wa mlioajiliwa na serikali kwenye halimashauri zungukeni na mtoe elimu katika jamii na si kukaa maofisini.

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 16 днів тому +2

    Uislamu raha .Ktk Quan Riba Halamu.Serikali inaruhusu mikopo haya wasaidieni hao .Wapeni nyumba zao .Dotto hanatatizo.Tamaa mbaya ya maisha mazuri.

    • @ivanamkapa2369
      @ivanamkapa2369 7 днів тому

      Nyolo waisilamu wangapi tunakopa nao ww sema tuu umasikini mbaya liba ni halamu mungu hapendi wala sio swala la uisilamu madeni hayana uisilamu

  • @hellenmwenda4971
    @hellenmwenda4971 16 днів тому +1

    Mikopo inalaana hata kama ulikua na biashara yafilisika

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard9552 16 днів тому

    Aibu sana kwa viongoz,milion moja unauza nyumba ya mtu,kama siyo dhuruma ni nini ? Nchi hii watu wanyonge wakimbile wapi ? Siyo kwa viongoz siyo kwa mahakama.Rushwa tupu zimetawala.

  • @edwinsilas4326
    @edwinsilas4326 15 днів тому

    Unyanyasaji huo jamani,,,kausha damu imeumiza watu wengi,,watu wamefirisiwa na kausha damu pia ndoa nyingi Sana zimevunjika Sana kwa ajili ya kausha damu

  • @user-mm4uy7cy9w
    @user-mm4uy7cy9w 10 днів тому

    Tena wanawake ndio vichwa ngumu wakiambiwa utasikia maisha magumu tutafanyaje sasaa, nabadooo mpaka mkome

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 17 днів тому +1

    haya waziri wa fedha ayaone na angalie ni kwa kiasi gani hili tatizo ni kubwa acha hao nenda bayport na taasisi kama hizo za kibayport kwa watumishi nao wanavyoumia yaani wajanja wanawaibia watu kwa kutumia sheria sasa hizi sheria ambazo zinaumiza watu hazionekani jamani

  • @user-hu1ev9pt8q
    @user-hu1ev9pt8q 6 днів тому

    Kwanini ulikopa tukaweka nyumba dhamana? Hamjui Sheria bhana, ya I unakopa pesa unakula unasahau kwamba aliyekukopesha yupo kibihashara? Hapo hakuna uonevu zaidi rejeeni mikataba na muache kukopakopa ovyo

  • @johnzege209
    @johnzege209 17 днів тому +3

    Hela tamu, wanakopa Kisha kulipa inakua ngumu, wakikopa hawafanyii lengo husika baadae kilio tuu

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 10 днів тому

    Huyo Dada 7:23 Mwakilishi Kapaya alitakiwa awekwe ndani mpaka huyo kapaya bin shetani aje arudishe pesa za watu😮😮😮

  • @putilegamagama6049
    @putilegamagama6049 10 днів тому

    😂😂 Mikopo inageuka Mipipa sasa😂😂

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s 17 днів тому

    Hya kazi hii nikasema arusha tu kumbe kungwine ni mara mbili ya hapa kwetu Arusha.

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t 17 днів тому +1

    Riba ni Dhambi japo tunalazmisha kukopa nikuongeza tatzo sikumalza shida

  • @mlsglobalchannel8219
    @mlsglobalchannel8219 15 днів тому +1

    MTU UNAKOPAJE PESA YA TAAASISI BILA KUA MALENGO HUSIKA AU MWEMDELEZO WA BIASHARA.MM NACHOJUA ILI UNUFAIKE NA MKOPO LAZIMA UWE NA BIASHARA.UKAIKUZE SYO KUANZA NA BIASHARA MPYA LAZIMA UFERI TU

  • @abdirizakibrahim1975
    @abdirizakibrahim1975 16 днів тому

    Daaaah polesana wananchi wa katoro nadhani kabaya sasa utakua mkimbizi katika Taifa la Tanzania

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 7 днів тому

    Mamlaka usika imenyamaza watanzania wengi wanasumbuliwa..hapana jamani.

  • @majaliwaelias1981
    @majaliwaelias1981 17 днів тому +3

    Lipeni madeni yawatu hajawakamata mikono mkakope

    • @lakasid3860
      @lakasid3860 16 днів тому

      Kwaiyo kwa akili yako mtu akope Million 4 halafu aje alipe Million 38 wejamaa au wewe naye unafanya kazi Kausha damu

  • @judithlejalearnmore2236
    @judithlejalearnmore2236 15 днів тому

    Mama samia awasaidie wanaichi

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 6 днів тому

    Mpigeni mapanga tuuu kama hakunaa utatuzi

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 17 днів тому

    Bunge limesema haya mambo ya mikopo kama vp msikope wandugu
    Maisha haya utajenga vp tena
    Na hizo nyumba wanachukua hao hao na madalali ndio tatizo kubwa sana😊

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 7 днів тому

    Uonevu huu Mbingu ikaine.. zuluma hii tena kubwa.

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 16 днів тому

    Yaani hilo ni bonge la tapeli jamani .ebu hawa wanyonge wasaidiwe jamani.hao wakuu wa wilaya wananunuliwa na huyo mwizi.Rushwa itauwa hao wazee jamani.

  • @edwinsilas4326
    @edwinsilas4326 15 днів тому

    Yani ukichukuwa hela za kausha damu,,,et ufanyie biashara inafirisi hata mtaji wko,,,

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 16 днів тому

    Warudishien kwanza nyumba za hao watu😢😢😢😢

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 16 днів тому

    Uwo wizi jamani ml 4 uuze nyumba ml 30 kweli hata kama jamani wizi wa kimacho macho kabisa

  • @mamshaa4897
    @mamshaa4897 15 днів тому

    😮😮

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 17 днів тому +1

    Naishaurinserikali haya makampuni yafungiwe kabisa

  • @user-mm4uy7cy9w
    @user-mm4uy7cy9w 10 днів тому

    Watu waache kulariba hamuelewi ayaa

  • @furaha7154
    @furaha7154 17 днів тому

    Kwa nini mlikopa

  • @EvansiEvansi-oi8or
    @EvansiEvansi-oi8or 6 днів тому

    Yoteiyo tamaa badaemnaanza kulalamika miakamitatu unakaana helayamtu

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 17 днів тому

    Duh

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk 17 днів тому +6

    Nimeona makosa yapo kwa wakopaji. Bila unafiki makosa yapo kwa wakopaji .tangu 2019-2024 hujalipa. Jama huyo papaya pia ni mvumilifu benki ukifeli humalizi miezi bila kuuziwa dhamana yako. Wananchi wapewe elimu ya mkopo

  • @saidyusuph7357
    @saidyusuph7357 17 днів тому

    Nawe unamuogopa kapaya mbona hayupo?

  • @BertaAtanasio
    @BertaAtanasio 10 днів тому

    Babaeeee tumbua hao matapeli jmn

  • @kungugeni
    @kungugeni 17 днів тому

    Mlikuwa wapi maamonda amewafumbua macho

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 17 днів тому +2

    Rushwa wanapewa

  • @zanzibamjimpya17
    @zanzibamjimpya17 17 днів тому +1

    kalipe hela na riba zake nyumba ibaki hakuna muujiza hapo

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 16 днів тому

    Huu uonevu huu ni chini ya uongozi wa serikali ya CHADEMA basi SAWA. Tutaelewa tuu

  • @yasiniSwedi-qg5oc
    @yasiniSwedi-qg5oc 14 днів тому

    Hakuna suluisho zaidi yamaneno matupu

  • @Erickhillary-jv8zl
    @Erickhillary-jv8zl 17 днів тому

    Hyo serikali wanapaswa kuiona hlo

  • @charlesmnuo3292
    @charlesmnuo3292 17 днів тому +3

    Huyo kapaya ni kausha damu aburutwe na kutupwa jela nimwizi anayeshirikiana na vyombo vya sheria

    • @elishakayagwa9371
      @elishakayagwa9371 17 днів тому

      Kwani anawaita wakakope au wanajipeleka wenyewe?

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de 17 днів тому

      Kwann mnakopa jmn Hz lawama sahv kila mtaa kuna flem y wanaokopesha pesa n ukikopa mala y kwanza lazima uende Yan Hz pesa kama zina mashetan vile n lazima udhalilike

    • @SimbaM2kufu
      @SimbaM2kufu 17 днів тому

      Kwa kosa gani?

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 17 днів тому

      ​@@PaulinaSemindu-ob3demimi mbona sijawahi kurudi tena? Nilikuwa nauguza nikakopa kwa ajili ya matibabu,nikarejesha kwa wakati kama tulivyokubaliana,mwaka huu wa 5,sijawahi kurudi wala kutaka kurudi tena.sasa sijui mnavyosema ukichukuwa unatamani tena uende,mimi nakataa kabisa.mnapokopa kumbukeni kulipa tu basi,wale watu hawanashida na mtu.

    • @EdwardJohn-xz5oi
      @EdwardJohn-xz5oi 17 днів тому

      Ukikopa kumbuka na kulipa pia cyo kujisahaulisha hii ni ajabu unaenda mwenyewe bila kutushilikisha Leo unaminywa ulipe unaanza kutupigia kelele tuwe na nidhamu na vitu vya watu maana na yy anataka faida na yamkini analipa Kodi pia.

  • @kungugeni
    @kungugeni 17 днів тому

    Kausha damu

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 15 днів тому

    Hivi mkopo unaitwa kausha damu puuu

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard9552 16 днів тому

    Hakuna kiongonzi ambaye anaweza kutatua kero kama Makondo

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt 17 днів тому +1

    Mimi wamenifata uku wananiambia mkopo mbuzi awa😂😂😂😂

    • @judithminja6386
      @judithminja6386 17 днів тому

      Syo mbuz ni biashara watu wakijaa na shida

    • @barakalukeha6184
      @barakalukeha6184 17 днів тому

      Mikopo ni sawa shida ni masheriti na riba zisizo lipika na mtu anashida anachukua ivoivo you

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 15 днів тому

    Pesa za kukopa zingine zinakua si halali. Unakopewa hata milion 1 na unashindwa kulipa.

  • @DaruMcv
    @DaruMcv 17 днів тому +1

    Sasa mnakopa kwann? Jamaa yupo sawa tena auze nyumba hadi vitu vya ndani

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 17 днів тому

      😂😂😂😂😂😂 hayajakukuta

    • @barakalukeha6184
      @barakalukeha6184 17 днів тому

      Wewe ni mbinafsi kama una chaneli ya kusaidiwa pesa na nduguyako mwenye uwezo tambua wengine hawana inabidi wakope ili wazungushie biashara wakidhani watapata faida na wanapo kwama ni kuwahurumia tu hata wewe hauta dumu na mafanikio yako milele siku ukikwama ndio utawakumbuka wenzako unao waona hawana akili kwa kukwama kwao

    • @barakalukeha6184
      @barakalukeha6184 17 днів тому

      Mbinafsi wewe kwani wote tunamafanikio kama yako?unaonaje ukimsaidia jirani yako aliyekwama mtaji ili asikope mkopo??

  • @EddySempay-qf1on
    @EddySempay-qf1on 17 днів тому +2

    Hao wanao kopesha nimatapeli sikuhizi

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 17 днів тому

      Mbona wasitutapeli sisi wengine? Mnawafuata wanini kama mnajuwa ni matapeli? Lipeni pesa zao basi.

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg 17 днів тому

    5

  • @furaha7154
    @furaha7154 17 днів тому

    TATIZO SI WAKOPESHAJI BALI TATZO NI BOT,MAANA RIBA ZOTE za 20% KWA MWEZI,140% KWA MWAKA 😢 HUPANGWA NA BOT,KWA HIYO WAPO KISHERIA.WAKATI BANK ZA 1.8 KWA MWEZI HAUNA VIGEZO VYA KUKOPESHEKA

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 16 днів тому

    Kwani Nyie Hamjui Benki?? Mbona Mkakope kwake?? Nyie Ndo Mnamatatzo. Tangu lini Microfinance ikawa mkopo wa biashara??

    • @nussramussa5507
      @nussramussa5507 15 днів тому

      Na benki ndio hayo hayo

    • @nussramussa5507
      @nussramussa5507 15 днів тому

      Na benki ndio hayo hayo

    • @eladiuspeter586
      @eladiuspeter586 15 днів тому

      @@nussramussa5507 Sasa Si Waache kukopa , Wew huoni wanasiasa wanaingilia Maswala hayawahusu, Sababu huyo alieenda kukopa angeenda kwa kiongozi asingemsaidia, Pili Mahakama si inafanya kazi

  • @JacqDaniels-hu5xj
    @JacqDaniels-hu5xj 16 днів тому

    Lipeni hela za watu mnasaidiwa af mnashitaki kisa mmeshindwa kulipa pesa za watu

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 17 днів тому

    Liba ndio maana ilikatazwa pesa ndogo munapoteza nyumba zenu

  • @user-ny1tf2gg8g
    @user-ny1tf2gg8g 17 днів тому

    Toa maamuzi hapohapo baba .

  • @barakarobert1029
    @barakarobert1029 17 днів тому

    Ndio hivyo utawala bora ngoja inyeshe tuone panapovuja

  • @costamasuba1099
    @costamasuba1099 17 днів тому

    Mbona tabora hakuna clinic ya hivi,maana shida Iko Kila mahali

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 16 днів тому

    K ama waziri mkuu aliambiwa asimamie mtu alipwe milioni miatisa na TRA ilishindikana wanaongeaga tu kutoa maagizo utekelezaji ziro mpaka m

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 6 днів тому

    Utapeli mkubwa sana zambi kumbwa sana

  • @RehemaMtono
    @RehemaMtono 17 днів тому

    Kimbieni mikopo ndugu zanguni hata ukiwa nashida usikope

  • @nth3512
    @nth3512 17 днів тому

    Huyo jamaa tamaa kubwa sana, duh, kuna moto wa riba

  • @furaha7154
    @furaha7154 17 днів тому

    Kukopa harusi kulipa matanga

  • @shabanmwasopo1469
    @shabanmwasopo1469 16 днів тому

    Mkuu wa wilaya mamuzi yako dhaifu ,cha kwanza nyumba watu warudishiwe kwanza wote walio uziwa, je Ana kibari cha kukopesha, je hizo riba anazo weka ni sawa, pia kesi zote zilizo hukumiwa zipitiwe upya na mahakama kuu, pia takukuru iliyo pewa jukumu la kumkagua nayo ichunguzwe pia pamoja na mahakama, achana na kodi tatua ya wananchi kwanza wardishiwe nyumba zao zote,

  • @secreta1536
    @secreta1536 17 днів тому +1

    Unakopa M4 nyumba inauzwa M32 afu bado unadaiwa. The math isn’t mathing🤔

    • @ommietrendz7175
      @ommietrendz7175 17 днів тому

      Penalty ipo ktk mkataba kila mwezi ukizidisha milioni 1

    • @user-gm4qi3nn9n
      @user-gm4qi3nn9n 17 днів тому

      Wee mdogo wangu alikopa mil 2 alikatwa mshahara wake miaka 2

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 17 днів тому

      Kashasema miaka mi3 hajalipa kwahyo malimbikizo ya liba×miezi36 mmmh ukijichanganya ukoo utauzwa kulipia deni😏😏😏

  • @VictorNdeoya
    @VictorNdeoya 17 днів тому

    Angalau waondoke ofsini wakafanye kazi wasile codi zetu bure

  • @fadhilifredrick4115
    @fadhilifredrick4115 16 днів тому

    lipeni hela za watu dawa ya deni ni kulipa

  • @majalaworldwide
    @majalaworldwide 17 днів тому

    Wahuni vya watu mnakula mnachukulia poa

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 17 днів тому

    Hawa wasukuma mtawaua

  • @happypiusi3801
    @happypiusi3801 17 днів тому +2

    Nakwaminia mkuu hashimu komba wanyooshe kama. Ulivyowanyoosha mabibo wewe ni jembe

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 16 днів тому

    Mnakopea nn sasa? Alafu mnalalamika

  • @user-gm4qi3nn9n
    @user-gm4qi3nn9n 17 днів тому

    Mkopo wa mtaani au bank ni laana

  • @user-ef6tl6fy1g
    @user-ef6tl6fy1g 17 днів тому +1

    Ndio hujalipa eti sasa kosa ni lanani

    • @barakalukeha6184
      @barakalukeha6184 17 днів тому

      Hivi wewe unajua shida??mikopo ina masheriti ya kuibia watu maana riba yake hailipiki na mtu anapokuwa na shida anachukua tu ilimladi .....

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 17 днів тому

    Mnatumwa mkakooe

  • @user-bq2zn1wy1q
    @user-bq2zn1wy1q 17 днів тому

    Ukikopa sharti lipaaaaaa.

    • @barakalukeha6184
      @barakalukeha6184 17 днів тому

      Je wewe siku ukikopa ukakwama au wewe una mkataba na mungu,,unayajua maishayako yaote ya badae???haya ni maisha nduguyangu

  • @victoriarwerengera4831
    @victoriarwerengera4831 16 днів тому

    Wivu hawamuachi mtu salama..

  • @samadady7795
    @samadady7795 17 днів тому +2

    Mpeleken hapo mjomba wangu makondo mwone atavyo mnyosha

    • @sadickponera2464
      @sadickponera2464 17 днів тому

      Kunyoosha nn walipe maden gharama za uendeshaji wa microfinance n kubwa kuliko pumbavu

    • @MaryKondo-ro7lt
      @MaryKondo-ro7lt 15 днів тому

      ​@@sadickponera2464kbsaa mtu anadeni tangu 2019 mwngne n kusudi tu wanafanya vitu km kujaribu watu

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn8325 17 днів тому

    Poleni

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 17 днів тому +2

    Muwe.mnalipa pesa za watu

    • @barakalukeha6184
      @barakalukeha6184 17 днів тому

      Kwahiyo wewe ni mungu kwa sasa haunashida kama wengine na je unajua kama utaendelea na maisha bila kukopa?acha ubinafsi utatamani kuhurumiwa kama wenzako leo usijihesabie haki kwakuwa bado mungu amekusitili dunia haujaifahamu japo ni mkubwa kwa miaka shida ni fungu la wote na wewe subiri zamuyako

  • @hizamawa6046
    @hizamawa6046 17 днів тому +1

    Wacha wapigwe tu na mikopo yao hiyo ili akili ziwakae vizuri

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 17 днів тому

      Kabisa mimi wananikera,kwani hao kausha damu,wanawafuata majumbani? Si wanaenda kama wateja na shida zao wanazimaliza kwa wakati huo,why kulipa inakuwa shida na kuja kwenye media? Mbona wanapochukuwa hawatangazi kwenye media? Lipeni pesa za watu.

  • @SimbaM2kufu
    @SimbaM2kufu 17 днів тому

    Lipeni. Acheni kukopa madeni alafu mnakataa kulipa.

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b 17 днів тому

    Jmn msikope kama hauna Cha kufanyia mnakura pesa ya watu kuripa mnararamika mtu anakopa anakaha na pesa miaka mitatu kweri kama mripangiana mwaka miaka miwiri imezid inariba lazma izarishe pesa hachen rawama za kijinga,,,serekari muangarie hawa watu wanaokopesha na wanaokopa makampuni mengine wataperi