Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Nimependa sana huu mjadala, very intellectual Prof.Makaramba
Asante Jaji kwa Maelezo mazuri.
Kuna majaji hawapewi kazi wanazistahili kwasababu huwa hawapindishi sheria.
Vile tu njia ya kuingia bungeni ni ngumu, watu 50 kama Hawa wangekuwa bungeni nchi ingekuwa mbali.
Waongeaji wote kwenye huu mjadala nondo tupu hadi kamanda mulilo. Wakitoka hapo sasa ndio majanga yanapoanzia
Huyu ni mwalimu mzuri sana wa sheria anajua sana kufundisha ila inaonekana masikitiko yake wanafunzi wake wameacha mafunzo yake na kutumia mafunzo siasa na hapo ndipo tatizo lilipi
big up mzee wang
Mzee. Uko sahihi tatizo viongoz wanawakingia kifua watu wasiojulikana ndo hofuetu hapo ndomana tunaihusisha mojakwamoja serikali inahusika
Hapo kuna watu wanachukua notes kama wako class
Hiii hotuba nitairudia mara kwa mara it means ni shule tosha.
Sema apo penye english umeniweza umbeya wote umeniisha baada yakusikia izo infyuuzi sampialensi😅😅😅
Mulilo na tulia wote umewafundisha lakin wamesahau mafunzo
😂dah!mh unaakili nyingi sana najua kamanda amekuelewa😂
Shule nzuri
Tanzania wapo 44:48 wasomi wanaojua na kujitambua
Makamanda ndicho walichosomea kujua mazingira yanayoweza kuwa hataeishi.
Summary: Shida yetu ni umahiri wa kutekeleza ma jukumu yetu.
Nimependa sana huu mjadala, very intellectual Prof.Makaramba
Asante Jaji kwa Maelezo mazuri.
Kuna majaji hawapewi kazi wanazistahili kwasababu huwa hawapindishi sheria.
Vile tu njia ya kuingia bungeni ni ngumu, watu 50 kama Hawa wangekuwa bungeni nchi ingekuwa mbali.
Waongeaji wote kwenye huu mjadala nondo tupu hadi kamanda mulilo. Wakitoka hapo sasa ndio majanga yanapoanzia
Huyu ni mwalimu mzuri sana wa sheria anajua sana kufundisha ila inaonekana masikitiko yake wanafunzi wake wameacha mafunzo yake na kutumia mafunzo siasa na hapo ndipo tatizo lilipi
big up mzee wang
Mzee. Uko sahihi tatizo viongoz wanawakingia kifua watu wasiojulikana ndo hofuetu hapo ndomana tunaihusisha mojakwamoja serikali inahusika
Hapo kuna watu wanachukua notes kama wako class
Hiii hotuba nitairudia mara kwa mara it means ni shule tosha.
Sema apo penye english umeniweza umbeya wote umeniisha baada yakusikia izo infyuuzi sampialensi😅😅😅
Mulilo na tulia wote umewafundisha lakin wamesahau mafunzo
😂dah!mh unaakili nyingi sana najua kamanda amekuelewa😂
Shule nzuri
Tanzania wapo 44:48 wasomi wanaojua na kujitambua
Makamanda ndicho walichosomea kujua mazingira yanayoweza kuwa hataeishi.
Summary: Shida yetu ni umahiri wa kutekeleza ma jukumu yetu.