ASKOFU MWAMAKULA -"NILITEKWA SAA KADHAA -SIYO POLISI -HATA KAMA MULIRO AMESINGIZIWA RAIS ATAMUONDOA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 93

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  4 дні тому +3

    💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO 🔥🔥 chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...

    • @edustudiotz3879
      @edustudiotz3879 4 дні тому

      “The group does not exist”; wameandika hivo

    • @machoguhameri7757
      @machoguhameri7757 3 дні тому

      Askofu muasi kwa kanisa halisi la Moraviani akaanzisha lake "kanisa la Moraviani la uamusho"

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni 5 днів тому +16

    Safi sana mzee wetu Baba askofu mwamakula nyie kwa hakika wazee kama nyie ni tunu ya taifa ubarikiwe mnoo

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 19 годин тому

    Mtumishi wa Mungu aliyehai Askofu Emmaus Mwamakula

  • @mr.vionge
    @mr.vionge 5 днів тому +4

    Asante sana umeifanya siku yangu kumalizika kwa amani kabisa

  • @PtransJulius
    @PtransJulius День тому

    well said baba askofu

  • @FelixMiyamini
    @FelixMiyamini 4 дні тому +1

    Asante mzee

  • @GerrardLaizzer
    @GerrardLaizzer 2 дні тому

    Askofu umeuwaa❤❤❤

  • @julietthomas2566
    @julietthomas2566 3 дні тому

    Well said Askofu

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 5 днів тому +5

    Kusumbua tu watu .mbona kuna waliotekwa wamewasema watekaji hamtaki kukubali tu wachukuliwe hatua

  • @drallan6879
    @drallan6879 3 дні тому

    genius mwamakula Archbishop

  • @brittanypulei789
    @brittanypulei789 4 дні тому +1

    Upo vizur baba

  • @bonifasimichael1320
    @bonifasimichael1320 3 дні тому

    Safi sana askofu waziri wa fedha anza nae

    • @machoguhameri7757
      @machoguhameri7757 3 дні тому

      Askofu muasi wa Kabisa halisi la Moravian Akaanzisha lake

  • @saimonseleka8792
    @saimonseleka8792 5 днів тому +6

    Ostabei bwanaa 😢

  • @alanmwijarubi
    @alanmwijarubi 2 дні тому

    Mzee kaamu kuwa mkweli

  • @josekinyamagoa-sv4jh
    @josekinyamagoa-sv4jh День тому

    Mbna jeshi walisema sale zote za jeshi tuludishe jeshini. Tkaldisha. Sasa izo sale zinatka wapi. Waludie tena kusaka izo nguo mtaani.

  • @SilivyoMahenge
    @SilivyoMahenge 21 годину тому

    Polis na usalama wakae wajitathimini ndo wanao semwa

  • @HeriMohamedi-re7xu
    @HeriMohamedi-re7xu 5 днів тому +2

    Tanganyika ni koloni la waarabu kupitia Zanzibar lakini watanganyika ni mapoyoyo ccm ni chama cha Zanzibar. Lakini inaitawala Tanganyika

    • @mkude
      @mkude 5 днів тому +2

      Unaongea pumba,huna unalolijia,ulichoandika hakieleweki,sijui tatizo huna elimu au chuki zimekutawala.

    • @OscarKasalile
      @OscarKasalile 4 дні тому

      Wewe hovyo sana

    • @erastodickson3063
      @erastodickson3063 4 дні тому

      Mfyuuuuuuu

    • @OscarKasalile
      @OscarKasalile 4 дні тому

      @@HeriMohamedi-re7xu Hovyo Sana wewe mtu mweusi unajifanya mwarabu utumwa utawaisha lini vichwani mwenu?

  • @bertinkimati2674
    @bertinkimati2674 4 дні тому +3

    Samia alimuindoa DC wa loloondo sio kwa kelele za umma Bali DC alisema jambo balo Samia hakuliona. Ndugai aliondolewa uspika kwa kusema kuwa anakopa bila utaratibu. Sabaya aliondolewa u DC wake na kufinywa kidogo sio kwa sababu zile waliposema Bali kwa kosa lake la kumdarau Samia akiwa makamu wa Rais. Historia inaonyesha wazi kuwa Rais Samia anakwama kuchukua hatua kwa matukio makubwa ya itekaji sio kwamba hajui Bali Wahusika ni kikosi kinachowajinika kwake.. Kama kweli anataka tuamini haushiki kwa nini asitoe amri kwa polisi na vikosi ya usalama iwe marufuku kwenda kumkamata mtu wakiwa na nguo za kiraia na ikitokea mtu kafiatwa na watu wasio na uniform rasmi hao watu washambuliwe kama wezi tu.?

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 4 дні тому +1

      Naanzia huku ulikoishia, kwani kuna ruhusa ya wezi kushambuliwa? Suala la uteuzi na utenguzi ni mamlaka ya Rais usilete tafsiri zako, kwani waliteuliwa kwa nini. Sheria zetu na vyombo vya ulinzi na usalama viko vizuri. Matukio yapo hata kabla ya Rais Samia kuingia madarakani.

    • @GraceDeo-g1n
      @GraceDeo-g1n 3 дні тому

      Upo sawa kamanda hii kaz ya mama ​@@hajihassan5433

  • @damianichayo895
    @damianichayo895 5 днів тому +1

    Hata hivyo Bado ni maumivu kwetu. Yaani badala ya askofu kuwa neutral unaegemea upande, is it ? Mchungaji?????

  • @SilivyoMahenge
    @SilivyoMahenge 20 годин тому

    Hii ifungwe ya kukamtwa bila viongozi wa mtaa Kijiji kata razima wajue polis wamewa majukumu makubwa mno yaan wao wamekuwa ni tra bwana afya latra Kila Kona hii nchi hatar sana

  • @lipojibuministry8061
    @lipojibuministry8061 2 дні тому

    Baba askofu tunatamani maaskofu wote wawe kama wewe.

  • @humphreymwankemwa
    @humphreymwankemwa 5 днів тому +1

    Baba Askofu Mungu akubariki sana umeongea UKWELI MTUPU. Watanzania ni WAOGA tunatakiwa kupigia kelele mambo yote .ABAYA. OSTABEI huko!!! Mungu anawaona.

  • @mohamedyeslam5194
    @mohamedyeslam5194 5 днів тому +1

    Mbona wakati wa Magufuli hakuna wala haijatokea

  • @GilbertGombeye
    @GilbertGombeye 3 дні тому

    Anayetakiwa kujiuzuru ni waziri wa mambo yandani mheshimiwa musiogope kusema mlilo ninani mtu mdogo

  • @mkondomkondo4721
    @mkondomkondo4721 4 дні тому +1

    Mama abdul atakaa na viongozi wa dini aongee nn,yuko wp kijan aliechoma picha mbeya?

  • @ExcitedChemistryExperime-pl8vf

    Ivi mzee iko kibandiko apo kichwani kime kaaje kaaje

  • @JAPHETLAIZER-i9m
    @JAPHETLAIZER-i9m 5 днів тому

    How are you doing today

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 5 днів тому +1

    Tunashukulu kwa kutoa mwanga wa matumaini nchi yetu ni nchi yenye watu waliojaa hekima kubwa mungu awajaalie kupata majibu

  • @JudicaShoo-x9n
    @JudicaShoo-x9n 5 днів тому

    Warudishe kwanza maarzi ya watanzania walizojilimbikizia

  • @JOSEPHMwakibinga
    @JOSEPHMwakibinga 5 днів тому

    Hapo nathani asikofu umeelewa nani mtekaji. Musimughunye maneno sio raia baba tumuachie mungu. Kama wao wataishi milele

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc 5 днів тому

    Hinger askofu kwa uweledi wako

  • @JudicaShoo-x9n
    @JudicaShoo-x9n 5 днів тому +1

    Afananii Wala kuwa askofu

  • @GODWINKANJU
    @GODWINKANJU 4 дні тому

    Sijawai kuona watumishi wa kweli ya Mungu wanakua wana siasa, kanisa utaliongozaje? Ukimuona mtu anajiita askofu, mchungaji, nabii na wengineo wengi watumishi watumishi wanajihusisha na siasa jua hakuna mtumishi hapo. Wachungaji wanasifa ya usuruhisho na maombi sio uchochezi

    • @JoshuaSabu-r2p
      @JoshuaSabu-r2p 2 дні тому

      Viongozi wa dini Wana mchango makubwa katika nchi yetu

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 5 днів тому

    Huyu bwana anaposema mke wa kaisari halaumiwi maana yake ni nn?

  • @JeremiahKaliwa-h1w
    @JeremiahKaliwa-h1w 5 днів тому

    Ahaa eti yule wa maporin kutenguliwa,sio hoja angefikishwa mahakaman.

    • @noellema9109
      @noellema9109 5 днів тому +2

      Nakumbuka ata mweshimiwa lowassa ambaye ni marehemu aliwahi kujiuzulu

    • @YohanaPeter-r1y
      @YohanaPeter-r1y 4 дні тому

      Afikishwe maakaman nann wakat alimtaj m2 alie mteka wakamfumbia macho kec ikaishia ewani

  • @ThomasErro
    @ThomasErro 5 днів тому +3

    uyu baba nimchochezi, hana sifa ya uaskofu, kiherhere inazidi

    • @Fesary
      @Fesary 4 дні тому +2

      Hana sifa ya kuwa Askofu tukwamini wewe kama nani,

    • @mjanthony4864
      @mjanthony4864 4 дні тому +1

      @@Fesary Imagine, tumwamini yeye kama nani? Swali zuri sanaa

    • @hamzamajenja4891
      @hamzamajenja4891 4 дні тому +1

      Shida Yako ni uchawa na kujipendekeza, omba lisikukute wewe sikia tu Kwa mwenzio

    • @josephatemmanuel458
      @josephatemmanuel458 4 дні тому

      Wewe ni chawa

    • @nicodemusngwala2079
      @nicodemusngwala2079 4 дні тому

      Unajua maana uchochezi ... Au kwa kuwa umepewa tende na halua kutoka unangani

  • @mbagalacharambe114
    @mbagalacharambe114 4 дні тому

    Huyu mzee kweli anazeeka Vibaya Sana ...

    • @nicodemusngwala2079
      @nicodemusngwala2079 4 дні тому

      Anazeeka vibaya .. au wewe ndiyo uelewa wako mdogo kutokana na kupewa tende na halua kutoka unangani ... Na Mambo yenu ya hivyo kutoka mbagala

  • @nyembobea7285
    @nyembobea7285 5 днів тому

    Mchungaji wa kanisa la chadema nakukumbusha tu kwamba lema aliwahi kuota kwamba magufuri atakufa na kweli leo hatuko nae vipi ulishawahi kumuuliza juu ya ndoto hiyo ilikuwaje

    • @lampadshigonko3006
      @lampadshigonko3006 4 дні тому

      huyo hakuota, bali ni mfuhasi wa mauwaji ya magufuli.. kipndi anasema kaota, ndo kipindi mchakato wa mauwaji wanaisuka.. ndo maana hilo jamaa lilisafiri nje

    • @samirshabani-yu4xu
      @samirshabani-yu4xu День тому

      Pumbu wewe hauna akili

  • @QwakuHangu
    @QwakuHangu 5 днів тому

    Huyu siyo askofu huyu ni gofu moongo mzushi na kama siyo kauli yako ilewek jibu nikujbu

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu 5 днів тому

    Hao police ni watekaji kweli na Wala sio uongo walimteka kaka yangu wakaenda kumficha kituo Cha police tazara shenzi hao walikuja kama majambazi na noa pikaup kibini

  • @chandechande9642
    @chandechande9642 5 днів тому

    Kiufupi huyu mtangazaji hanania mzuri

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 5 днів тому

    Waachieje mamlaka wakati huna ushahidi? Mpaka ije igundulike ndipo arudi c atakuwa ameumia? Mbona mnakimbilia sana kusema wajiuzulu au mnawajua watekaji halafu mnataka kupotezea kwa watu kujiuzuru? Acha mambo yako bhana

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 5 днів тому

      Ushahidi wa aina gani unaotakiwa? watu wameanza lini kusema watekaji ni wao? inatosha huo kuwa ushahidi maana wao hawajawahi kumleta mtekaji ilhali wao ndo wa

  • @MbendaHalfan
    @MbendaHalfan 4 дні тому

    Mambo ya kaisali mwachie kausali na vyake mungu mwachie mungu,nataka nikwambie tu wewe unaejiuta askof hatutaki mambo ya kongo uyalete Tanzania yaani maskofu ndio wenye kauli ya kusimamia serikali

  • @gift-AA
    @gift-AA 5 днів тому +6

    PAROKO WACHA KUTUMIKA KISIASA JADILI NENO LA MUNGU NAFKIRI HUJAJUA BADO NINI MAANA YA KUTEKWA

    • @nicholasakeya6790
      @nicholasakeya6790 4 дні тому +1

      But also remember this is a mature conversation sir

    • @GiliadLuziro
      @GiliadLuziro 4 дні тому

      Kwan wamekusanyika kwaajil ya kuhubiri mpaka useme asiongelee siasa,tambua kwanza n nn kimewafanya wakusanyike hapo

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 5 днів тому +1

    WACHA UWONGO WEWE PALOKO NANI AKUTEKE WEWE 😢😢😢😢😢NENDA KIBONGOTO KWANZA

    • @SAMFELEX-vz5yz
      @SAMFELEX-vz5yz 5 днів тому

      Ujitambui ww mtu anaongea point unafnya masiara shenzi

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 5 днів тому +1

      @@SAMFELEX-vz5yz POINT GANI HUYO ASKOFU MCHWARA WA SACCOOS WAMECHEMSHA

    • @JacobSanday-u9h
      @JacobSanday-u9h 5 днів тому

      Waislamu wapumbav tu

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 5 днів тому

      @@JacobSanday-u9h WAGALATIA AMKENI HUYO SIO ASKOFU HUYO NI MWANAHARAKATI 🤩🤩🤩🤩

    • @johannesishengoma1232
      @johannesishengoma1232 5 днів тому

      ​@@JacobSanday-u9hSasa Waislamu wameingizwaje kwenye hoja yako?

  • @HASSANWAZIRIGAO
    @HASSANWAZIRIGAO 5 днів тому +1

    Wewe Si Asikofu Acha hiyo Kazi Nenda Kwenu Mbeya Kalime Mpunga

    • @JacobSanday-u9h
      @JacobSanday-u9h 5 днів тому

      Acha upumbav wew muislamu gaidi

    • @ceciliamagalabajimmy4391
      @ceciliamagalabajimmy4391 4 дні тому

      Acha dharau wewe. Askofu yuko sahihi kabisa.

    • @nicodemusngwala2079
      @nicodemusngwala2079 4 дні тому

      Tatizo lako umejaa chuki kutokana na kupewa tende na halua .. kutoka unangani ...

    • @HASSANWAZIRIGAO
      @HASSANWAZIRIGAO 4 дні тому

      @@nicodemusngwala2079 Chama Chenu Kimefanya Mbinu na Maaskofu kisiichague Ccm kwakuwa Samia ni Mzanzibari na ni Mwiislaam

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 4 дні тому

    Askofu najiuliza na usomi wako umeshindwa kusoma biblia vzuri hata ushindwe kujua mission ya Warumi na Paulo juu ya kuvisha watu misalaba shingoni ?

  • @lampadshigonko3006
    @lampadshigonko3006 4 дні тому

    huyu kishandu wa buguruni vp? Et anajiita askofu.. km maaskofu ndo hawa bac dini nimeamini ni uhuni tu..