NONDO za WAKILI HUYU KUHUSU UTEKAJI - WATU KUPOTEA - SATIVA na WENZAKE - AJILIPUA KWA HOJA NZITO...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024
  • NONDO za WAKILI HUYU KUHUSU UTEKAJI - WATU KUPOTEA - SATIVA na WENZAKE - AJILIPUA KWA HOJA NZITO...
    💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV🔥🔥 chat.whatsapp....
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 10

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 51 хвилина тому +1

    Ahsante wakili Rugemelaza.Natamani tuelimishwe kila wakati.Kongamano limetutoa matongotongo.Du! Waliopewa mamlaka tunaomba muelewe ili mtende haki na ionekane.Pengine wenye mamlaka hawajui hizi sheria vinginevyo tilipo tusingefika tulipo.

  • @noellema9109
    @noellema9109 26 хвилин тому +1

    Mungu akubari mweshimiwa wakili kwani watu wengi awajuilolote

  • @Pascaltz
    @Pascaltz 3 години тому +1

    Asante sana mzee wru

  • @AnaniaIsaya-z9g
    @AnaniaIsaya-z9g 2 години тому +1

    Ni kweli sisi sote ni wahanga.
    Mimi Niko Mbeya na Sina chama. Ila kuwapoteza watanzania wenzangu naumia sana kwani hao ni ndugu zetu.
    Hatuwezi tukawa tunauana sisi Kwa sisi utadha tunatawaliwa na mafashist

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Годину тому

    Wasomi wa sheria hoyeeee nawapongeza kwani wanatoa maelezo kwa kunukuu vifungu vya sheria,ni bahati mbaya tuliowengi watanzania hatujui sheria katiba yetu hatujawai kuisoma.

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 3 години тому

    Kuna kesho au mjui

  • @FurahaNelson-s1i
    @FurahaNelson-s1i 2 години тому

    Ccm msikie

  • @FurahaNelson-s1i
    @FurahaNelson-s1i 2 години тому

    Ccm hawajui tunaongozwa na wajinga watajikita mahakani

  • @akonaayako7185
    @akonaayako7185 3 години тому

    Tumi a neno Waathiruka badala ya Wahanga. Wahanga ni watu waliojitoa Muhanga