Hoja za Kamanda Murilo Kwenye Kongamano la Kitaifa Dhidi ya Matukio ya Kupotea Raia

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 жов 2024
  • #ijuesheria #section4wakilitv #tls

КОМЕНТАРІ • 88

  • @silasmarandu1485
    @silasmarandu1485 6 днів тому +15

    Waliomuona Afande Muliro kwa mara ya kwanza akicheka gonga likes hapa!!
    Huyu Mwamba hachekagi kabisa!

  • @aggrayagathon3188
    @aggrayagathon3188 2 дні тому

    Nakukubali sana mzee muliro big up sana

  • @GOODLUCKSEFANIA
    @GOODLUCKSEFANIA 6 днів тому +5

    Kamanda murilo wewe ni msomi wa sheria nimekubali pamoja na kubwana na Wananchi lakini kamanda murilo wewe ukosawa katika kuteteta jeshi la polisi uko vizuri sana atawakati mgumu umejibu katika wakati mgumu sana big up one love murilo

  • @abassjuma6248
    @abassjuma6248 6 днів тому +4

    Uko vizuri kamanda .Tena sana

  • @isacksamwel7432
    @isacksamwel7432 6 днів тому +3

    Afande uko sawa kabisa

  • @aronmilinga7303
    @aronmilinga7303 6 днів тому +6

    Kwel kamanda, weng wanaotekwa kun mengne nyuma ya pazia c ya uson tunayohis jmn wtz

  • @matrixtechnician3088
    @matrixtechnician3088 6 днів тому +3

    mzee katumia hekima sana na busara ya hali ya juu maan hakuna alie kwazika

  • @TrustElbashil
    @TrustElbashil 5 днів тому +4

    Huna jipya mulilo lakini kumbuka kuwa ndugu zako sio wote wana ccm ipo siku utastaafu utarudi ulaiani utaishije na watu ambao ndugu zao mmewateka na kuwaua

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 6 днів тому +3

    Tundu Lissu number moja

  • @AyubuGereway-p9i
    @AyubuGereway-p9i 6 днів тому +3

    Huyu ni zaidi ya kamanda anajuaa mnoo

  • @shungumwaisanila7193
    @shungumwaisanila7193 6 днів тому +1

    Safi sana mkuu umeongea kwa kina sana mwenye kuelewa ameelewa

  • @ezekielmadindula2679
    @ezekielmadindula2679 6 днів тому +8

    Akili za Murilo ni kama kichaka cha maovu na laana😅

    • @mwasoprince3459
      @mwasoprince3459 5 днів тому

      😂😂😂😂

    • @stevenjackson4985
      @stevenjackson4985 5 днів тому

      Ungejibu hoja badala ya kufanya assumptions

    • @ezekielmadindula2679
      @ezekielmadindula2679 5 днів тому +1

      @@stevenjackson4985 sijui kingereza,umesemaje?

    • @MnubiMm
      @MnubiMm 5 днів тому +1

      Ndio majibu hayo umeyageuza kwa sabb ulikuwa na yako Tayali ulitaka yaongelewa hayo na akubaliane na Kila kitu asitoe yake MAWAZO akubaliane Akili apongeze angekuwa bonge la kamanda angesifiwa na wote wenye Mtazamo wako huyu ni mtaalam wa Makosa na uhalifu na kachelo pia asemi tu Kama kasuku

  • @Frank-b2d6u
    @Frank-b2d6u 5 днів тому +1

    Lidhieni sheria kama zinawafaa

  • @HildaMlay
    @HildaMlay 6 днів тому +3

    Umeiva kamanda big up, umejibu kisomi. Matatizo yapo Ila ni madogo naamin Rais wetu ni mtu Makin. Na kazi iendelee

  • @EstherSamwel-vk4wb
    @EstherSamwel-vk4wb 6 днів тому +5

    Afande usipofanya maamuzi magumu ya kufata sheria na sio maagizo kutoka juu itakugharimu siku moja

  • @magangajosephat9919
    @magangajosephat9919 4 дні тому

    Hongera Kamanda kwa wasilisho zuri.

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 6 днів тому

    Mimefurahi mno umemtaja Tundu Lissu kistaraabu . You are a Ptofessional. Labda alipotea rosado na eşime we zır wakigombania manini yeye anakuwa na Maghufuli, Shenzi sana halo ka mtu kafupi

  • @MtanganyikaTanganyika
    @MtanganyikaTanganyika 6 днів тому +1

    Kamanda mulilo safi sana wewe mwenyewe sio polisi

  • @sashawambura
    @sashawambura 6 днів тому

    Kudos to Kamanda Murilo..

  • @abassjuma6248
    @abassjuma6248 6 днів тому

    Uko vizuri kamanda

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 5 днів тому

    Huyu kamanda ni mtu wa Mungu sana ila uongoz wa juu ndo tatiza

  • @NtamamiloGibson
    @NtamamiloGibson 5 днів тому

    Kiufupi huyu Kamanda hana tatizo. Shida iko kwa Wana Siasa. Yeye mwenyewe akijichanfanya anapotezwa😂😂😂

  • @Frank-b2d6u
    @Frank-b2d6u 5 днів тому

    Tanzania kazi ni mungu kazi na mtu ni mungu mtu inchi ya maagizo kutoka juuuuuuuuuuuu he jamani

  • @aronmilinga7303
    @aronmilinga7303 6 днів тому +2

    Tundulisu na mbowe wamskie vzr kamanda man n wapotoshaj namb 1

  • @abassjuma6248
    @abassjuma6248 6 днів тому

    Sema KAMANDA

  • @Frank-b2d6u
    @Frank-b2d6u 5 днів тому

    Tunaongezewa hasira tunataka kazi ionekane sikulinda vibarua vyenu mgefanya kwa lisu mgeeleweka lakini mnabuluzwa na ccm hapo hampingi inchi yetu inaharibuka

  • @AbuuRamadhani-o7k
    @AbuuRamadhani-o7k 5 днів тому +4

    Tuna muamin San muliro kwenye Kanda ya Dar es salaam

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.3975 5 днів тому

    Sheria ile ile bado ipo haijafutwa itatumika inapobidi

  • @abassjuma6248
    @abassjuma6248 6 днів тому +1

    Wapeshule.Wanaitumikia CHADEMA WOTE HAO

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 6 днів тому +1

    Tundu Lissu huyo anategemea Guardian Newspaper na Lawyer wake Mzungu. Afadhali umemwambia kistaraabu anajua yeye mwenyewe.

    • @JPO2R69
      @JPO2R69 5 днів тому

      Siku Moja utajua kwani Lisu Yuko huko na siyo nyumbani

  • @fastonsambo-du4rd
    @fastonsambo-du4rd 6 днів тому

    Nchi ikitaka iendelee inahitaji ardhi,siasa safi na uongozi bora

    • @aminimushi6945
      @aminimushi6945 5 днів тому

      Vitu vinne ni muhimu-watu,ardhi,siasa na uongozii bora,vitu vitatu havina shaka,lakini uongozi bora ni mtihani,na hili litatuumiza watanzania,tumuombe sana Mungu atuangalie kwa jicho la ziada.

  • @ElishaMwakajila
    @ElishaMwakajila 5 днів тому +1

    Kutekanakuuanishelia,police,mustumikenaccm,jitambueni

  • @mwansasungafumbwa9116
    @mwansasungafumbwa9116 5 днів тому

    Ya Msofe sawa ya Lissu je Benn je

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 6 днів тому +1

    Mbina mnaburuzwa na ccm?

  • @SeifAlly-fw6ns
    @SeifAlly-fw6ns 6 днів тому

    Kweli kamanda umenena mambo mazito

  • @NicolasLauwo-gl4kx
    @NicolasLauwo-gl4kx 5 днів тому

    Yule kijana wa yuv ccm alisema wakipotea msiwatafute mauretania kwanza ndio tuwaammini

  • @mwansasungafumbwa9116
    @mwansasungafumbwa9116 5 днів тому

    Huyu jamaa kumsikiliza uwe na roho ngumu sana

  • @RahimMallya-fh9zc
    @RahimMallya-fh9zc 6 днів тому +1

    Uchunguzi unashirikishwa WATU, we wanakuambia we unaleta siasa, WATU sio wanyama afande, jiuzulu kwa kzi ya wananchi awakutaki

    • @hijazhija316
      @hijazhija316 6 днів тому

      Wananchi wapi hao

    • @stevenjackson4985
      @stevenjackson4985 5 днів тому

      Uchunguzi wa polisi unashirikisha watu kivipi? Hebu toa maelezo. Unashirikishaje watu?

  • @Frank-b2d6u
    @Frank-b2d6u 5 днів тому

    Huna hata cha maana mko ccm

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 6 днів тому +1

    Wewe mlilo usitudanganye kama watoto,mbona Satifa anaeleza wazi aliehusika na ajafanyiwa chochote?

    • @josephatmakaranga
      @josephatmakaranga 6 днів тому

      Mpumbav hata km utamuelewesha vp hawez kuelewa, bakin na upumbavu wenu.

    • @davidkawesa3594
      @davidkawesa3594 5 днів тому

      ​@@josephatmakarangaahhaa

  • @lusakaone7782
    @lusakaone7782 6 днів тому +1

    Kamanda Msomi jeshi la kisomi hongera sana, tushirikiane Soka na wenzake wapatikane

  • @FestoLalata
    @FestoLalata 6 днів тому

    Nimhimu sana vyombo vyadola kijitenga na upendeleo wa chama tawala,mbona chama tawala kinaweza kusherekea kwenye makongamano lakini vyama vingine wanazuwiwa

  • @barnabasmsagamasi611
    @barnabasmsagamasi611 5 днів тому

    Unalinda kibarua siyo?

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter 4 дні тому

    Huyu ni Kada lazina alinde ugali.kashika mpini

  • @VisentJohn-r3r
    @VisentJohn-r3r 5 днів тому

    Huyu kamanda uwezo anao Sasa kwanini asiwe mkubwa wapolice tz

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 6 днів тому

    Kamanda Murilo kama hanfurahishwi na matukio haya mabaya na yenye kuumiza ,mbn matukio haya ya kutekwa yanazd?

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza 5 днів тому

    Huyu mulilo anafaa kuwa Mkuu wa jeshi la polisi

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 5 днів тому

    Mimi huyu kamanda mbona simuelewi watu wanasema wamechuliwa na polisi ,,wakapelekwa vituo vya polisi ,,na baadae wamepigwa risasi kwa bahati tu mungu hakutaka afe ,,ndio ametoa taarifa hizi,,mbona huliongelei hili

  • @WalterMgani
    @WalterMgani 6 днів тому

    Kwann wkt kumkamata raia police anasema ni maagizo ktk juu? Je huoni kama anayekuagiza ukakamate anaweza kuwa hajui sheria? Nyie mnalinda nafasi zenu badala ya kufuata taratibu

    • @stevenjackson4985
      @stevenjackson4985 5 днів тому

      Umesema wanaikamatwa. Hapa tunazungumzia waliotekwa na kupotea.

  • @deniseliuter3002
    @deniseliuter3002 5 днів тому +1

    Hili taifa linaharibiwa na wanasiasa ndo maana haki zinakandamizwa sanaa na wanasiasa wa tanzania ni wachumia tumbo wao na vizazi vyao tuh...joto La kisiasa lishaanza kuelekea uchaguzi

  • @LucasK-h4x
    @LucasK-h4x 6 днів тому

    Unatakiwa ujitenge na siasa kabixa

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 6 днів тому

    Kama vile Tundu Lissu anavyo unga unga maneno akifikili Maghufuli alimutumis watu wa kununua. Basi Nani Kailua hao Wapinzani wengine ? Maghufuli aliisha kufa.

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 6 днів тому +1

    Shida ni majibu yanachelewa saaana.hadi tunaanza kuhic ni nyie hilo moja pili mnavowabeba ccm wakati wa chaguz

  • @LucasK-h4x
    @LucasK-h4x 6 днів тому

    Niulize na mimi ni haki mtuhumiwa kuchunguzwa akiwa rokapu ?

  • @abassjuma6248
    @abassjuma6248 6 днів тому

    Wapashe Hao mamluki

  • @abassjuma6248
    @abassjuma6248 6 днів тому +4

    Unaongea kisomi Kabbisa.wanadhani wewe ni wakawaida

  • @abassjuma6248
    @abassjuma6248 6 днів тому

    Wanasheria uchwara wanaotumia

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 6 днів тому

    Mbona nyie mnaburuzwa na ccm

  • @MjuniLaulian
    @MjuniLaulian 6 днів тому

    Doray kama ujui kuandika tulia unacho andika akieleweki unapuyanga ujui kuandika maana yake shule ujaenda ata aki zako uzijui na zawenzako uzijui wewe kunywa pombe xa kienyeji gongo uko utawakuta walevi wenzako uku waachie wanao jitambua

  • @hadijafundi383
    @hadijafundi383 6 днів тому

    Mmm

  • @BITUROKAZERI
    @BITUROKAZERI 6 днів тому

    AFANDE mawakili wanaharakati hawawezi kukuelewa

  • @NixonJohnson-r4m
    @NixonJohnson-r4m 22 години тому

    Wanne wamekamatwa wapo mahakamani ..haraka yako ni ipi sasa ... huku unakula mshahara.... mpka mtu kutupwa na kifo wewe unachunguza kwa haraka

  • @harunamtiko117
    @harunamtiko117 6 днів тому

    Police wanaponzwa na amri kutoka juu, waachwe huru

  • @AyubuGereway-p9i
    @AyubuGereway-p9i 6 днів тому

    Haapoq hajacheka badoo

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 6 днів тому +1

    Mnaomunga mlilo ni vibaraka tu tunawajuwa panya nyie

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 6 днів тому

    Unacheka nn na sisi tuna maumivu kwa kupotelea na watanganyika wenzetu,tupe majibu yenye kuleta amani

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 6 днів тому +1

    Unajishaua tu mbwa wewe