Kamanda murilo wewe ni msomi wa sheria nimekubali pamoja na kubwana na Wananchi lakini kamanda murilo wewe ukosawa katika kuteteta jeshi la polisi uko vizuri sana atawakati mgumu umejibu katika wakati mgumu sana big up one love murilo
Huna jipya mulilo lakini kumbuka kuwa ndugu zako sio wote wana ccm ipo siku utastaafu utarudi ulaiani utaishije na watu ambao ndugu zao mmewateka na kuwaua
Ndio majibu hayo umeyageuza kwa sabb ulikuwa na yako Tayali ulitaka yaongelewa hayo na akubaliane na Kila kitu asitoe yake MAWAZO akubaliane Akili apongeze angekuwa bonge la kamanda angesifiwa na wote wenye Mtazamo wako huyu ni mtaalam wa Makosa na uhalifu na kachelo pia asemi tu Kama kasuku
Mimefurahi mno umemtaja Tundu Lissu kistaraabu . You are a Ptofessional. Labda alipotea rosado na eşime we zır wakigombania manini yeye anakuwa na Maghufuli, Shenzi sana halo ka mtu kafupi
Tunaongezewa hasira tunataka kazi ionekane sikulinda vibarua vyenu mgefanya kwa lisu mgeeleweka lakini mnabuluzwa na ccm hapo hampingi inchi yetu inaharibuka
Vitu vinne ni muhimu-watu,ardhi,siasa na uongozii bora,vitu vitatu havina shaka,lakini uongozi bora ni mtihani,na hili litatuumiza watanzania,tumuombe sana Mungu atuangalie kwa jicho la ziada.
Nimhimu sana vyombo vyadola kijitenga na upendeleo wa chama tawala,mbona chama tawala kinaweza kusherekea kwenye makongamano lakini vyama vingine wanazuwiwa
Mimi huyu kamanda mbona simuelewi watu wanasema wamechuliwa na polisi ,,wakapelekwa vituo vya polisi ,,na baadae wamepigwa risasi kwa bahati tu mungu hakutaka afe ,,ndio ametoa taarifa hizi,,mbona huliongelei hili
Kwann wkt kumkamata raia police anasema ni maagizo ktk juu? Je huoni kama anayekuagiza ukakamate anaweza kuwa hajui sheria? Nyie mnalinda nafasi zenu badala ya kufuata taratibu
Hili taifa linaharibiwa na wanasiasa ndo maana haki zinakandamizwa sanaa na wanasiasa wa tanzania ni wachumia tumbo wao na vizazi vyao tuh...joto La kisiasa lishaanza kuelekea uchaguzi
Kama vile Tundu Lissu anavyo unga unga maneno akifikili Maghufuli alimutumis watu wa kununua. Basi Nani Kailua hao Wapinzani wengine ? Maghufuli aliisha kufa.
Doray kama ujui kuandika tulia unacho andika akieleweki unapuyanga ujui kuandika maana yake shule ujaenda ata aki zako uzijui na zawenzako uzijui wewe kunywa pombe xa kienyeji gongo uko utawakuta walevi wenzako uku waachie wanao jitambua
Waliomuona Afande Muliro kwa mara ya kwanza akicheka gonga likes hapa!!
Huyu Mwamba hachekagi kabisa!
Nakukubali sana mzee muliro big up sana
Kamanda murilo wewe ni msomi wa sheria nimekubali pamoja na kubwana na Wananchi lakini kamanda murilo wewe ukosawa katika kuteteta jeshi la polisi uko vizuri sana atawakati mgumu umejibu katika wakati mgumu sana big up one love murilo
😂
Uko vizuri kamanda .Tena sana
Afande uko sawa kabisa
Kwel kamanda, weng wanaotekwa kun mengne nyuma ya pazia c ya uson tunayohis jmn wtz
mzee katumia hekima sana na busara ya hali ya juu maan hakuna alie kwazika
Huna jipya mulilo lakini kumbuka kuwa ndugu zako sio wote wana ccm ipo siku utastaafu utarudi ulaiani utaishije na watu ambao ndugu zao mmewateka na kuwaua
Tundu Lissu number moja
Huyu ni zaidi ya kamanda anajuaa mnoo
Safi sana mkuu umeongea kwa kina sana mwenye kuelewa ameelewa
Akili za Murilo ni kama kichaka cha maovu na laana😅
😂😂😂😂
Ungejibu hoja badala ya kufanya assumptions
@@stevenjackson4985 sijui kingereza,umesemaje?
Ndio majibu hayo umeyageuza kwa sabb ulikuwa na yako Tayali ulitaka yaongelewa hayo na akubaliane na Kila kitu asitoe yake MAWAZO akubaliane Akili apongeze angekuwa bonge la kamanda angesifiwa na wote wenye Mtazamo wako huyu ni mtaalam wa Makosa na uhalifu na kachelo pia asemi tu Kama kasuku
Lidhieni sheria kama zinawafaa
Umeiva kamanda big up, umejibu kisomi. Matatizo yapo Ila ni madogo naamin Rais wetu ni mtu Makin. Na kazi iendelee
Madogo watu wanakufa
ovyoo..madogo ukifanabisha na yapi? ngoja likukute
Afande usipofanya maamuzi magumu ya kufata sheria na sio maagizo kutoka juu itakugharimu siku moja
Amevunja Sheria ipi
Hongera Kamanda kwa wasilisho zuri.
Mimefurahi mno umemtaja Tundu Lissu kistaraabu . You are a Ptofessional. Labda alipotea rosado na eşime we zır wakigombania manini yeye anakuwa na Maghufuli, Shenzi sana halo ka mtu kafupi
Kamanda mulilo safi sana wewe mwenyewe sio polisi
Kudos to Kamanda Murilo..
Uko vizuri kamanda
Huyu kamanda ni mtu wa Mungu sana ila uongoz wa juu ndo tatiza
Kiufupi huyu Kamanda hana tatizo. Shida iko kwa Wana Siasa. Yeye mwenyewe akijichanfanya anapotezwa😂😂😂
Tanzania kazi ni mungu kazi na mtu ni mungu mtu inchi ya maagizo kutoka juuuuuuuuuuuu he jamani
Tundulisu na mbowe wamskie vzr kamanda man n wapotoshaj namb 1
Sema KAMANDA
Tunaongezewa hasira tunataka kazi ionekane sikulinda vibarua vyenu mgefanya kwa lisu mgeeleweka lakini mnabuluzwa na ccm hapo hampingi inchi yetu inaharibuka
Tuna muamin San muliro kwenye Kanda ya Dar es salaam
Sema una sio tuna
Sheria ile ile bado ipo haijafutwa itatumika inapobidi
Wapeshule.Wanaitumikia CHADEMA WOTE HAO
Tundu Lissu huyo anategemea Guardian Newspaper na Lawyer wake Mzungu. Afadhali umemwambia kistaraabu anajua yeye mwenyewe.
Siku Moja utajua kwani Lisu Yuko huko na siyo nyumbani
Nchi ikitaka iendelee inahitaji ardhi,siasa safi na uongozi bora
Vitu vinne ni muhimu-watu,ardhi,siasa na uongozii bora,vitu vitatu havina shaka,lakini uongozi bora ni mtihani,na hili litatuumiza watanzania,tumuombe sana Mungu atuangalie kwa jicho la ziada.
Kutekanakuuanishelia,police,mustumikenaccm,jitambueni
Ya Msofe sawa ya Lissu je Benn je
Mbina mnaburuzwa na ccm?
Kweli kamanda umenena mambo mazito
Yule kijana wa yuv ccm alisema wakipotea msiwatafute mauretania kwanza ndio tuwaammini
Huyu jamaa kumsikiliza uwe na roho ngumu sana
Uchunguzi unashirikishwa WATU, we wanakuambia we unaleta siasa, WATU sio wanyama afande, jiuzulu kwa kzi ya wananchi awakutaki
Wananchi wapi hao
Uchunguzi wa polisi unashirikisha watu kivipi? Hebu toa maelezo. Unashirikishaje watu?
Huna hata cha maana mko ccm
Wewe mlilo usitudanganye kama watoto,mbona Satifa anaeleza wazi aliehusika na ajafanyiwa chochote?
Mpumbav hata km utamuelewesha vp hawez kuelewa, bakin na upumbavu wenu.
@@josephatmakarangaahhaa
Kamanda Msomi jeshi la kisomi hongera sana, tushirikiane Soka na wenzake wapatikane
Nimhimu sana vyombo vyadola kijitenga na upendeleo wa chama tawala,mbona chama tawala kinaweza kusherekea kwenye makongamano lakini vyama vingine wanazuwiwa
Unalinda kibarua siyo?
Huyu ni Kada lazina alinde ugali.kashika mpini
Huyu kamanda uwezo anao Sasa kwanini asiwe mkubwa wapolice tz
Kamanda Murilo kama hanfurahishwi na matukio haya mabaya na yenye kuumiza ,mbn matukio haya ya kutekwa yanazd?
Huyu mulilo anafaa kuwa Mkuu wa jeshi la polisi
Mimi huyu kamanda mbona simuelewi watu wanasema wamechuliwa na polisi ,,wakapelekwa vituo vya polisi ,,na baadae wamepigwa risasi kwa bahati tu mungu hakutaka afe ,,ndio ametoa taarifa hizi,,mbona huliongelei hili
Hujamsikiliza vizur
Kwann wkt kumkamata raia police anasema ni maagizo ktk juu? Je huoni kama anayekuagiza ukakamate anaweza kuwa hajui sheria? Nyie mnalinda nafasi zenu badala ya kufuata taratibu
Umesema wanaikamatwa. Hapa tunazungumzia waliotekwa na kupotea.
Hili taifa linaharibiwa na wanasiasa ndo maana haki zinakandamizwa sanaa na wanasiasa wa tanzania ni wachumia tumbo wao na vizazi vyao tuh...joto La kisiasa lishaanza kuelekea uchaguzi
Unatakiwa ujitenge na siasa kabixa
Kama vile Tundu Lissu anavyo unga unga maneno akifikili Maghufuli alimutumis watu wa kununua. Basi Nani Kailua hao Wapinzani wengine ? Maghufuli aliisha kufa.
Shida ni majibu yanachelewa saaana.hadi tunaanza kuhic ni nyie hilo moja pili mnavowabeba ccm wakati wa chaguz
Niulize na mimi ni haki mtuhumiwa kuchunguzwa akiwa rokapu ?
Inategemea na aina ya kesi aliyonayo.
Wapashe Hao mamluki
Unaongea kisomi Kabbisa.wanadhani wewe ni wakawaida
Wanasheria uchwara wanaotumia
Mbona nyie mnaburuzwa na ccm
Doray kama ujui kuandika tulia unacho andika akieleweki unapuyanga ujui kuandika maana yake shule ujaenda ata aki zako uzijui na zawenzako uzijui wewe kunywa pombe xa kienyeji gongo uko utawakuta walevi wenzako uku waachie wanao jitambua
Mmm
AFANDE mawakili wanaharakati hawawezi kukuelewa
Wanne wamekamatwa wapo mahakamani ..haraka yako ni ipi sasa ... huku unakula mshahara.... mpka mtu kutupwa na kifo wewe unachunguza kwa haraka
Police wanaponzwa na amri kutoka juu, waachwe huru
Haapoq hajacheka badoo
Mnaomunga mlilo ni vibaraka tu tunawajuwa panya nyie
Unacheka nn na sisi tuna maumivu kwa kupotelea na watanganyika wenzetu,tupe majibu yenye kuleta amani
Unajishaua tu mbwa wewe
Kuwa makini
Sio vzr kutukana viongozi ukifatiliwa unapatikana kua makini