NTEMI EPI 69||Swahili Movie ll Bongo Movies Latest II African Latest Movies
Вставка
- Опубліковано 30 бер 2024
- Huu ni mwendelezo wa filamu ya NTEMI na hii ni Season 3. Ni moto!. Endelea kuifuatilia hautajuta!
NTEMI ni moja kati ya filamu bora za Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie nchini Tanzania.
NTEMI ni kijana wa Kisukuma mwenye juhudi katika ufugaji wa Ng'ombe. Tatizo lake anathamini sana Ng'ombe kuliko hata mwanae kumsomesha.
Kupitia series hii Swahili Movie /Bongo Movies utajifunza zaidi kuhusiana na kabila la Kisukuma pamoja na makabila mengine yanayowazunguka Wasukuma.
Hakika utajifunza kitu kikubwa.
Hii ni moja kati ya Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie za Tanzania series itakayokujia kila Alhamisi saa Tisa na Nusu Alasiri.
Endelea kufuatilia hadi mwisho,usisahau kulike,share zaidi kusubscribe.
Tunaomba support yako kwa kushare kwa wengine, ila zaidi uendelee kujifunza kupitia filamu zetu za Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie za Tanzania. WE LOVE YOU ALL. ...........................................................................................................................................................................................
KAPAYA THE GREAT FILM
Contact:
0655 218 331/0753 318 331
email. kapayamic75@gmail.com
Instargram
Kapayathegreat
TANZANIA. - Фільми й анімація
Jaman was kumi na mbili nipeni moyo na like please
Wakwanza leo nyinyi from 🇰🇪Wakenya wenzangu from beginning drop like👍
Safi Sana 2naenjoy wa2 wa Kanda ya ziwa
From Pakistan Selina Leo umejua kunifulhisha
umefurahi?
Sana kajua kumpasha
Nakukubali mtemi
Leo nimewahi like zenu jamani
Niwahi na mimi
Nimewahi leo
Hatimae Jeremiah kapona Mzee small huyo mashamba atakuletea shida kwenye kijiji😢 mama nyanjige buna ulichokipanda
Hivi mashimba. Jeremiya arikukoseya.nini unaroho mbaya
napenda sana anavyoongea rafk yke na nyamiji yupo wapi nimfuate nimpe maua yake
😂😂from Jordan Selina reo umenifungia mchenzo nimpe raiki 👍
Nimeisubir sana jilan
Kwasasa mnajitaidi Sana tunawapenda sn
❤❤ Asante 🙏 kwakaz zuri
Njoon mshut ijinga itakuwaj vizur mno
Nawakubali sana
Unyama sana kapaya
Moyo unaniumaga mzee simon anavosema alivomuua baba Jeremia 😢😢
😁😁 pole Baba mtata uyo
❤❤🎉🎉🎉🎉🎉😊 Asante sana Ntemi
Twaisubiri❤❤❤
Wa 24 like zenu timu mganga kutoka kwtu Kigoma
Mama nyanjige akiwa kaumia kisa ntemi itakuwa vita sas kat ya ntemi na nyanjige
Ntemi Ntemi shoshaga familiy
nimewahi onyesho
la kwanza
😂😂😂😂😂😂mashimba na selina
Maembe ya wazurulaji ni matamu😂😂
Aaa bana malizeni hii jmn 😢
Mashiba unacho kipanda utakipata
Jaman mbona hatujaona. Mwisho wake baada yakwenda kwa mgang 21:48
❤❤❤❤❤
Ila mashimba Una roho mbaya mbwa wewe
❤❤❤❤❤