FUNGUO ZA MAFANIKIO BINAFSI KATIKA BIBLIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024
  • MUNGU AMETUPATIA FUNGUO,JE! UMEZITUMIA?????

КОМЕНТАРІ • 108

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 2 роки тому +1

    Barikiwe sana mtumishi wa Mungu aliye hai,nimepata kitu, from Sweden.

  • @zephaniakisumo4133
    @zephaniakisumo4133 4 роки тому +1

    Barikiwa sana mchungaji kwa mafundisho mazuri. Hakika Mungu anazidi kukutumia ipasavyo.

  • @manoatfl1841
    @manoatfl1841 4 роки тому

    Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu unanibariki sana na unakuza imani yangu kiroho nakupenda sana mkenya nafanya kazi saudia nko vizuri s na mungu n mwema kwangu

  • @barakaungenge939
    @barakaungenge939 4 роки тому +3

    Hakika unafundisha kwa huakika ubarikiwe sanaaaaaa Mungu akupe hekima zaidi

  • @silvestarlema72
    @silvestarlema72 2 роки тому

    Mchungaji ila Kibwa ubarikiwe sana. Mungu aendelee kukutumia km chombo tu maneno yatoke Kwake 🙏

  • @violetjoseph8649
    @violetjoseph8649 4 роки тому +3

    Wonderful lesson,,, barikiwa Pr kila siku yako mpya!

  • @fadhilicredo1706
    @fadhilicredo1706 4 роки тому +8

    Powerful message pastor be blessed🙏

  • @fei3668
    @fei3668 4 роки тому +6

    pastor ur the best and God is using you in his own way🙏

  • @kabalizasekanabomarko6063
    @kabalizasekanabomarko6063 8 місяців тому

    Nabarikiwa sana na nimefurahi na haya mahubiri

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 3 роки тому

    Mungu akubariki nashukuru sana mungu akubariki nina majukumu mazito nakini nnapokusikiliza nazidi kupambana na kunipa moyo wa imani na matumaini nmeweza kupinga kosa la wazee wetu eti tukaombe mizimu ili tusamehehe na mizimu nimegoma nmesema tuombe na kufunga ili mungu atutoe kwenye huu utumwa wa mazimu

  • @selfaakinyi512
    @selfaakinyi512 4 роки тому +2

    Somo zuri sana nimebarikia mno, nimejifunza kitu kipya, thanks pastor from qatar

  • @clarenangila1092
    @clarenangila1092 3 роки тому

    You have a wonderful massage my God bless you,from saudi arabia

  • @janejoseph9009
    @janejoseph9009 4 роки тому +5

    Asantee maana leo nimefurahi kweli masomo yananivusha haya siyo mchezo

  • @yusuph1547
    @yusuph1547 4 роки тому +5

    Nimebarikiwa sana na somo,,samahan mchungaji naomba mwendelezo wa somo hili tena

  • @vitusdani4001
    @vitusdani4001 3 роки тому

    Barikiwa mtumishi wa Mungu

  • @floraflora5717
    @floraflora5717 10 місяців тому

    ,😂😂😂😂 past unanibariki sana baba Mungu akubariki Sana

  • @dorcasrhobi8211
    @dorcasrhobi8211 Рік тому

    Amen ubarikiwe saana pst

  • @allensanga7887
    @allensanga7887 4 роки тому +2

    Powerful message be blessed Pastor 💯🙏

  • @monicamartin1947
    @monicamartin1947 4 роки тому +2

    Be blessed Man of GOD

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 4 роки тому

    barikiwa sana mchungaji neno lako limenibariki sana na kunibadilisha kua kiumbe kipya.na sasa funguo zangu nitazitumia ipasavyo.jina la mwenyezi mungu na lishukuriwe milele🙏🙏🙏barikiwa sana pastor🙏🙏🙏.big love,more blessings from KENYA🙏🙏🙏💞💞💞💞

  • @danielstephen4374
    @danielstephen4374 4 роки тому +6

    Powerful message pastor be blessed

    • @lilianw721
      @lilianw721 4 роки тому

      Ndugu muchungaji David nakufuatilia sana kutoka hapa Marecani, lakini natamani tuongee sijui nitapata number ya simu yako namna gani?? Or email address yako tuu, ninayo mengi kimaisha yangu ya ndoa yawezekana unisaidiye, jina yangu mama Lilian, na number yangu ya simu. 0117197448378, tena email address yangu ni lilianwanito@gmail.com, tafathali uniite .ubarikiwe sana

  • @carolynekirera3170
    @carolynekirera3170 3 роки тому

    Asante Kwa neno mtumishi wa mungu

  • @ellenmbota1241
    @ellenmbota1241 3 роки тому

    Amen amen Mungu akubariki sana kwa somo zuri sana

  • @emanalaa405
    @emanalaa405 2 роки тому

    Thank you pastor for your teachings may God bless you and protect you in jesus nam🙏🙏🙏🙏🙏

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice7680 4 роки тому

    Asante baba maana mwenyewe napitia ayo kila nikitaka kufanikiwa naludi nyuma lkn Mungu wa mbinguni naamini atasimama na mimi sitokata tamaa

  • @rosemutinda3076
    @rosemutinda3076 4 роки тому

    Hapo pa funguo za Daudi na Yesu nimeelewa Leo sikuwahi jua. Kila somo natoa kitu kipya.. Barikiwa sana 🙏🙏

  • @gattynancy9211
    @gattynancy9211 3 роки тому

    Tuombe misuli zaidi ya kubeba changamoto tulizonazo katika maisha yetu. Tuombe Neema zaidi ili Mungu atupatie suhuhisho.
    Tunapoanza siku 10 za maombi Mungu akupe roho mtakatifu uendelee kuwa baraka kwetu Pastor.

    • @atupakisyekyando890
      @atupakisyekyando890 2 роки тому

      Barikiwa mchungaji kwa mahubiri mazuri..nimekuelewa Mungu atusaidie kwakweli

  • @lydiayusuph1925
    @lydiayusuph1925 4 роки тому

    Naamini hili somo limetupamwanga watu wengi ahimidiwe mungu kutufunulia kupitia wew barikiwa Sana mchungaji

  • @marycheupe8613
    @marycheupe8613 4 роки тому +1

    Ameen haki mungu akubariki sana mtumishi wa mungu

  • @ovidiokibuga1086
    @ovidiokibuga1086 4 роки тому

    Asante pr!Nakukubali sana matatizo ni fursa kubwa sana.Ufupi wa Zakayo ulimwezesha kukaa na Yesu meza moja baada ya kupanda kwenye mkuyu

  • @luluemmanuel386
    @luluemmanuel386 3 роки тому

    Unanivusha Sana ,,najifunzaga kufundisha neno la Mungu kupitia wewe mtumishi

  • @rastarasim5810
    @rastarasim5810 Рік тому

    I'm still learning day to day...) God bless you pastor 🙏..........🇹🇿

  • @mustaphagairo1936
    @mustaphagairo1936 4 роки тому +1

    7juu😀😀 napenda sana mahubiri yako

  • @myfairskintz
    @myfairskintz 4 роки тому

    Tunakupenda baba

  • @myfairskintz
    @myfairskintz 4 роки тому

    Nmebarikiwa sn mpaka usingiz umekata...God bless u dad

  • @nginamugwe8093
    @nginamugwe8093 4 роки тому

    Amen Amen Amen...asante kwa mafunzo na pia hukutukatia maombi

  • @joelfrancis2181
    @joelfrancis2181 2 роки тому

    AMEN MUNGU akubarik

  • @eutropiangido9684
    @eutropiangido9684 4 роки тому

    Ni miezi minne imepita kila nikisikilizaa bado inalipa sana. Yaani kila nikichagua video naona ni ujumbe wangu kabisa kwa siku au saa hiyo. Mungu atukuzwe sana. Pastor Ubarikiwe. Mungu aendelee kukufunulia na uendelee kupata msuli wa kurusha kwenye Mahubiri Tv.

  • @maxlove2668
    @maxlove2668 4 роки тому +2

    Wonderful!be blessed pastor

  • @lensonkasaki5671
    @lensonkasaki5671 4 роки тому +1

    Ubarikiwe pastor!

  • @winifridamushi1341
    @winifridamushi1341 3 роки тому

    Baba Mungu umeniona

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly9261 4 роки тому

    Asante sana mch.Nazidi kubarikiwa na mafundisho haya mazuri.

  • @stevenmpembwa5543
    @stevenmpembwa5543 4 роки тому

    Asante kwa some zuru PR. Mungu akubariki

  • @maureenjovial6237
    @maureenjovial6237 4 роки тому

    Amen asante mchungaji wau umenifungua akili vilivyo maana huwa nalalamika nikipatwa na changamoto bali kwa sasa neema ya Yesu yanitosha kutumia changamoto ili nipate suluhu

  • @judithcherono2595
    @judithcherono2595 4 роки тому +2

    Wonderful massage Amen❤❤

  • @alfapinieli2160
    @alfapinieli2160 4 роки тому +1

    Barikiwa xaana mchungaji

  • @justinapaul3880
    @justinapaul3880 4 роки тому

    Amina mch, amenipa matumaini, ubarikiwe sana

  • @roselele341
    @roselele341 4 роки тому

    Amina ubarikiwe sana maubiri ya leo yamenifariji pia ninazidi kujifuza

  • @dennischinamo3154
    @dennischinamo3154 4 роки тому +1

    Mungu akulinde sana mchungaji

  • @MaryWilson-vg2mm
    @MaryWilson-vg2mm 3 роки тому

    Amem

  • @restmaige9486
    @restmaige9486 4 роки тому +2

    Ubariliwe Mtumishi

  • @esternaftari4553
    @esternaftari4553 4 роки тому

    Amina mtumishi ninakuelew sana

  • @boniphacerobert9533
    @boniphacerobert9533 4 роки тому +1

    Asante kwa somo la Leo.

  • @BarnabasJonas-nv4ig
    @BarnabasJonas-nv4ig Рік тому

    MUNGU atusaidie sana AMEN

  • @bruceminyacosprlrdc5084
    @bruceminyacosprlrdc5084 3 роки тому

    Asante pastor

  • @sufarsuper8688
    @sufarsuper8688 4 роки тому

    Paster .mmbaga nakuelewa sana jumbe zako najfnza mengi kutoka kwako

  • @user-kq9je6zf3v
    @user-kq9je6zf3v 7 місяців тому

    Amen 🙏🙏

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina4396 8 місяців тому

    Amen

  • @Simplepleasures9
    @Simplepleasures9 4 роки тому +1

    amen, powerful indeed, God bless you man of God

  • @user-os3vo4sm2n
    @user-os3vo4sm2n 8 місяців тому

    AMEN

  • @emmanuelmbwambo6571
    @emmanuelmbwambo6571 3 роки тому

    SAWA mchungaji wangu.

  • @nkambagenge425
    @nkambagenge425 4 роки тому

    Amina nimebarikiwa sana

  • @meddyakimana4104
    @meddyakimana4104 4 роки тому +2

    Asante sana Muchungaji kwa somo zuli Mbalikiwe sana. Naomba kuuliza: Swali langu ni hili : Ina maana wale watu bado wanapeleka maombi yao kwenye ule Ukuta Inchini Islaeli wako sahihi? Asante sana naamini Mtanipa mwanga kwa hili.

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  4 роки тому

      ILE NI IMANI YAO,HAWANA MAANA KUWA MUNGU YUKO KWENYE UKUTA,HAPANA,ILA ZILE KARATASI NI ISHARA TU YA KILE AMBACHO KIPO MOYONI!! ILA KAMA MTU NAPELEKA KWA IMANI KWAMBA MUNGU YUKO HAPO NA KUWA HAPO NDO MAOMBI YANAJIBIWA SIO SAHIHI MAANA MUNGU YUKO POTE WAKATI WOTE

    • @eliakanyika8443
      @eliakanyika8443 4 роки тому

      Asntee kwa jibu zuri

    • @milkamugonya1275
      @milkamugonya1275 4 роки тому

      Thanks

  • @heavenkingdom8157
    @heavenkingdom8157 3 роки тому

    be blessed a hundred times paster

  • @barakankubile2329
    @barakankubile2329 4 роки тому +2

    We we ni mtumishi uliyebarikiwa sana !!

  • @emmanuelmbwambo6571
    @emmanuelmbwambo6571 3 роки тому

    AMINA 🙏😎.

  • @nezerinejuma5510
    @nezerinejuma5510 8 місяців тому

    🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @kapuruwater2918
    @kapuruwater2918 4 роки тому

    Ubarikiwe sana pst

  • @japhetmkumbwa7914
    @japhetmkumbwa7914 4 роки тому

    Nakwelewa sana pastor

  • @felysytersonduso8064
    @felysytersonduso8064 4 роки тому +2

    Aminaaaa

  • @dandamiano1183
    @dandamiano1183 4 роки тому

    nice mungu akubariki

  • @miriamisack6971
    @miriamisack6971 4 роки тому

    Nimebarikiwa sana

  • @samledbunt2774
    @samledbunt2774 3 роки тому

    God bless you

  • @yvonneamekakaombeniwimbomu8312
    @yvonneamekakaombeniwimbomu8312 4 роки тому

    Kwa kweli muchungaji una tufariji sana kwenye matatizo yetu.

  • @miriamisack3220
    @miriamisack3220 4 роки тому

    Asante mungu

  • @kijamalimi7507
    @kijamalimi7507 4 роки тому +1

    Be blessed

  • @bridgitkola5341
    @bridgitkola5341 Рік тому

    Naomba ROHO WA BWANA awe mwalimu wangu MILELE nikisoma bibilia niwe napata ufunuo wake, SIO tu kusoma bibilia kama story book

  • @sadikimwalongo7871
    @sadikimwalongo7871 3 роки тому

    anina

  • @vicknessngenzi6146
    @vicknessngenzi6146 4 роки тому +2

    Asante sana Pastor kwa masomo mazuri kabisaaa ubarikiwe. Lakini ninahitaji msaada sana nahitaji kuonana kama ni ofisini au popote unapopatikana. Mm nko Dar nasina ata idea unapatikana wapi please ni urgent matter

  • @RoseRose-vf5km
    @RoseRose-vf5km 4 роки тому

    AMEN nime pokea

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly9261 4 роки тому

    Amina!

  • @euniceosoro7433
    @euniceosoro7433 9 місяців тому

    Mchugaji naomba uniombee nimekua nachagamoto nimekua kira wakati wakitakakuomba kanisani nimekua nikipiga miyayo sana nahiri tatizo rinamyaka sasa

  • @alicekaniki2380
    @alicekaniki2380 4 роки тому

    Amina

  • @sheilaombongi8086
    @sheilaombongi8086 4 роки тому

    Sifa nashukulani igwe kwako mtumishi wamungu mbarikiwa sana Amina amina

    • @meddyakimana4104
      @meddyakimana4104 4 роки тому

      sifa na shukulani ziwe za nani? lekebisha hapo mpendwa

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  4 роки тому

      NADHANI ULIMAANISHA SIFA NA SHUKRANI VIWE KWA MUNGU WETU AMINA! Maana Pr. Mmbaga ni chombo tu mikononi mwa Mungu

  • @theresearcheronlinetv3649
    @theresearcheronlinetv3649 4 роки тому +2

    Hivi hawa watu wanao- dislike videos na hawatoi kipi kirekebishwe au hawaoneshi sababu ya ku- dislike .... Siwaelewagi kabisa....!!! Muwe mnatoa na maoni nini kirekebishwe

  • @lucymwegoha7400
    @lucymwegoha7400 3 роки тому

    Mimi huwa nina sema biblia ni zaidi ya saclopidia

  • @jesusnetworkministry
    @jesusnetworkministry 4 роки тому

    Mchungaji hemu nisaidie kuitambua biology na chemistry kwenye Bible

  • @asifiwemwai4263
    @asifiwemwai4263 4 роки тому +1

    Mchungaji Mungu akubariki,nmebarikiwa mno mnoo! Mungu akufikishe mbali

  • @monicamartin1947
    @monicamartin1947 4 роки тому +1

    Be blessed Man of GOD

  • @peninadunda6348
    @peninadunda6348 3 роки тому

    Amen

  • @oleangolwisye5012
    @oleangolwisye5012 4 роки тому

    Amina

  • @lindalocho9685
    @lindalocho9685 4 роки тому +1

    Amen