Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
KWANINI WAKATI MWINGINE INAKULAZIM KUFANYA MAOMBI YA KUFUNGA? SEH. 1
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 14 сер 2024
КОМЕНТАРІ • 146
Наступне
Автоматичне відтворення
UKOMAVU WA KIAKILI (MENTAL TOUGHNESS) - JOEL NANAUKAJoel Nanauka
Переглядів 186 тис.
SIRI YA KUINUKA TENA BAADA YA HASARAMAHUBIRI TV
Переглядів 49 тис.
KUOMBA KATIKA ROHO MTAKATIFU (SEH B)MAHUBIRI TV
Переглядів 31 тис.
🔥 Уся правда про українську СУДЖУЗе Інтерв'юер
Переглядів 125 тис.
На Курщині НАСТУПАЮТЬ ПОЛЯКИ 🙈 Росіяни МАСОВО ТІКАЮТЬ З ПРИКОРДОННЯВікна-новини
Переглядів 151 тис.
KLAVDIA PETRIVNA, МАША КОНДРАТЕНКО - ЇДЕ ДАХ (OFFICIAL VIDEO)Klavdia Petrivna
Переглядів 767 тис.
Путин о боях в Курской области: Главное - выдавить противникаAKIpress news
Переглядів 1,5 млн
KUFUNGA NA KUOMBA KWA UONGOZI WA MUNGU | BISHOP ELIBARIKI SUMBEBishop Elibariki Sumbe
Переглядів 10 тис.
DHAMBI ISIYOSAMEHEKA NI IPI?(OFFICIAL VIDEO)MAHUBIRI TV
Переглядів 161 тис.
VITA YA MIUNGU (ACHA MUNGU APIGANE MWENYEWE VITA HII)MAHUBIRI TV
Переглядів 78 тис.
SIKU UKIFUNGUKIWA KUTAMBUA HILI,UTABADILIKA FIKRA KABISAMAHUBIRI TV
Переглядів 43 тис.
MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: UMUHIMU WA MAOMBICHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Переглядів 29 тис.
SIRI ILIYOJIFICHA KUHUSU SIKUKUU YA KRIS-MASSMAHUBIRI TV
Переглядів 163 тис.
KWA NINI NIFUNGEPastor George Mukabwa (JRC Church)
Переглядів 31 тис.
UFANYEJE UNAPOJARIBIWA (SIRI HII NI KUBWA)MAHUBIRI TV
Переглядів 100 тис.
Hazina inayopatikana katika Maombi ya kufunga - Pastor Fred MsunguICC Dodoma
Переглядів 719
Знищені колони та десятки полонених: останнє про Курський прорив. Донбас, удари, бої | Свобода LiveРадіо Свобода
Переглядів 405 тис.
Replacing a valve on a full water tank! 🫣💦 - 🎥 the_ladyplumberUNILAD
Переглядів 119 млн
skibidi toilet 77 (part 1)DaFuq!?Boom!
Переглядів 17 млн
👊ЧЕРНИК: Все! Під Курськом НОВИЙ ПРОРИВ. Підходимо до АЕС? Путіна ПРИТИСЛИ. Готують ТРАНЗИТ ВЛАДИ?Сейчас
Переглядів 444 тис.
Курянка: «Я не украинка, но разговариваю на украинском языке» #shorts #курскаяобластьАпостроф TV
Переглядів 575 тис.
Шеф, все пропало. У пропагандистів РФ істерика через F-16Факти тижня
Переглядів 567 тис.
бедный дед на ламборгини- меняет вейп на секретные шкатулки - выиграл айфон, но отказался от призаABRACADABRA TV
Переглядів 8 млн
РЕЙНДЖЕРС - ДИНАМО | Ліга Чемпіонів. Кваліфікація Q3 | 13.08.2024ФК «Динамо» Київ
Переглядів 333 тис.
Aiseee nimeota Pr ukiniambia nifunge na kuomba nashangaa kuona somo hilihil hapa nmejfunza kitu nafikiri Mungu anasema nam kwa njia ya ajabu na ya pekee🙏barikiwa Pr
Nimeona Mungu akifungua milango ya kiuchumi baada ya kusikiliza na kufuatilia Mahubiri TV.
Kipindi hiki cha Corona kazi ningumu kupara, ila nimeshangaa sijawahi kuishiwa pesa. Mara nyingi ktk maisha yangu, huwa siwezi kukaa na mshahara mpaka mwisho wa mwezi, nikaanza kusikiliza mahubiri yaliyo rushwa humu kuhusu UCHUMI, nikaomba Mungu aondoe chuma ulete ktk financial yangu, ilichukuwa mda, ila kuanzia 2020 kipindi cha Corona, nimeuona mkono wa Mungu. Mungu awabariki Mahubiri TV.
Mungu ana makusudi sana nisikie somo hili. Basi Mungu anisikie.Asante Pr David
Hakika nimeamini mwanangu ana vidonda vya tumbo alipimwa nikaambiwa hivyo ninaimani nikienda hospital Leo hakika nikimpima kwa imani niloamini kupitia somo hili atakuwa salama ahsante Mungu sifa kwa yesu
Naomba musaanda wa maombi kwaajili ya magogwa ya tumbo zima.
🎉
Kila siku najifunza. Kumbe ninapofunga niwaombee watu wengine zaidi. Mungu anatupenda sana, tumuendee kwa ujasiri. Tuwe na Imani. Naamini nimepona kwa jina la Yesu.
Amen, nimebarikiwa sana na hili somo. Nimeelewa kufunga sahihi na mambo ya kufunga na sala. Mungu akubariki Pastor.
Ubarikiwe mtumishi wa mungu,injili hiyede bele,Kenya tu nakupata loud and clear.
Amen!! Mungu awabariki sana pia
Mungu akubariki sana PR kwa mahubiri mzuri yanayonibariki
Amen,I have known the way for fasting,be blessed pastor Mmbaga
Barikiwa saana mtumishi hapa nimefunguka ki akili na kiroho kuhusu kufunga
Asante kwa neno la mungu barikiwa sana mtumishi wa mungu nimebarikiwa
WAOOH NAPENDA HIZI SHUHUDA HAKIKA NEEMA YA MUNGU YATOSHA, JINA LA BWANA LIBARIKIWE
Amen
Amina hakika maombi yangu yatajimbiwa family yangu itakuwa sawa Mungu nitie nguvu
Amina asante ubarikiwe zaidi nimejifunza sana mchungaji acha Roho Wa BWANA aniongoze katika kufunga inayostahili mbele za Mungu
Wow mafudisho muzuri mungu akupariki sana Amen
Mungu naomba uniponye naomba kwa Imani kwa jina LA Yesu Amina
Queen John Mungu akuponye
What a sermon! God grant you more power to preach to His people
Nimebarikiwa na Ile somo ya utofahuti wa mwanamke na mwanamme Amen hinanifariji Sana mtumishi wa Bwana wetu yusu Kristo ubarikiwe Zaidi Amen
Amina b blessed pastor
Asante Yesu kwa kumtumia pr Mmbaga, mpe umri mrefu ili tuzidi kupona
Shimwe Kagwiza Amen
Na tumepona wengi yani namshukuru Mungu maombi yangu yanajibiwa mpaka natetemekaa kwa kuogopa
mary nyaki Tuambie tafadhali zaidi
@@habaritv6364 Nina ushuhuda mrefu sana wa mahubiri tv tokea nimeanza kuyasikiliza yamenibadilishaa mtazamo na miujiza mingi ndani yake
@@Gratefulheart3188 Amina Mungu ni mwema sana
Nimebarikiwa na somo be blessed mchungaji
Nimebarikiwa na mahubiri haya na nimeelewa namna ya kufunga Pastor. MUNGU akubariki sana.
Mungu akutunze mchungaji, maana nilikuwa siku y a kwanza ya maombi ya toba , lakin baada ya mafundisho haya, nmeskia ndani yangu kuanza maombi y a shukrani.
Amen mtumishi wa mungu M MUNGU akuinue kwa viwango vingne
Amina kwa mafundisho pastor
Kweli Mungu wetu ni wamaajabu sana. Mchungaji Barikiwa sana na huduma yako izindi kuinuliwa ili iokoe wengi kwa jina la Yesu kristo
Rose Mutinda Amen
Amen pastor ubarikiwe na BWANA naamin kupitia somo hili nimejifunza mengi na nnaamini maombi yangu yatajibu 🙏
Hakika mwenyezi Mungu akubari unaendelea kutufafanulia neno la Mungu
Pr. Mungu akubariki Sana kwa mafundisho yako mazuri yanatujenga kiroho
ii Clip nimerudia almost 3times ili nipate Kwelewa ,nimekupata Poa pastor God bless you long live upate kuokoa mioyo ilifunjika nikiwemo Ndani❤❤
Mungu ni mwema atafanyaa
Amen and Amen
Santee sana kwa Mahuri mazur ya kutufundisha
Ubarikiwe Sana mchungaji. I have learned alot
Nabarikiwa Sana na mafundisho yako mch mbaga,nasikiliza toka moshi
Amen
Yaani mtumishi ubarikiwe sana unafundisha vizuri Sana hadi unachoma ngome za wafugaji majini,, waganga na wachawi,,, hadi wanagonga dislike apo juu 😂😂😂😂😂😂
eliab amayi Nilikuwa najiuliza anaeweka dislike ana maaana gani????
AFYA Tv Hata mimi nilikuwa najiuliza ila kipitia ujumbe wa Eliab nimeelewa, tufunge na kuwaombea
Daaaa Barikiwaa sanaaa mtumishi WA BWANA
Habari! Niliishi Iringa miaka 2007-2009, nilipata malaria Malawi 2009 nafikiri ilisababishwa kansa ya bongo nilipata 2017. Sasa madaktari wanafikiri ilirudi tena - naomba mniombeeni! Mungu ni mwema!
Mungu akuponye maana ndiye tabibu mkuu
Asante, kaka.
Mungu akuponye
God bless You
Mungu akupiganie
God bless your ministry
Ameeen Mchungaji wangu, Mungu tuokoe.
Amina mtumishi ninakuelew sana ubarikiwe
MUNGU akupe mwisho mzuri
Asante kwa somo hili zuri,
Amen
Amen nimebarikiwa na mafunzo yako
Ubarikiwe sana Kwa neno zuri 👏
Mimi nmejifunza kitu hapo ubarikiwe mtu wa mungu naamin nkiyafuata haya ntafunguka
Kwa kweli, pastor huwa unanibariki sana kwa mahubiri yako,Mungu aendelee kukutumia ili utufikishie habari njema ya Yesu
Kwakweli Mungu alijifanyiya zabihu
Asanthe sana
Àmen Àmen Àmen nime jifunza barikiwa sana
Amina kwa mafundisho
Ubarikiwe mchungaji
Nafuu umeweka someone jipya leo! kwakweli namiss ubarikiwe mtumishi
Hakika Mungu naomba anisaidie maombi yangu ayaskie na kuyajibu siihitaji mambo ya 2019_ yaingie had 2020
Amen
Amen,ubarikiwe
Mungu akubariki sana pastor
Barikiwa sana pastor
Barikiwa mtumishi
Barikiwa Sana
Aminaaaaa 🙏🙏🙏🙏
Namshukuru Mungu kwa maana video za siku hizi ni ckear hazi kwami kwami kama zamani, lakini pia napataje hicho kitabu cha maombi yaliyojibiwa
ZACHARIA MWIHECHI Piga +255 759 612 430
Mungu akubaliki
Nnabarikiwa sanaa
NZURI SANA HII
Nimekuekewa PR Mungu akubariki
Amen 🙏🙏🙏
Asante maana umenigusa mchungaji maana nilikua nimepotoka .
Mungu azid kukupa mafunuo tuzid kukua kiroho zaidi
napenda hubiri hii
asante pastor
AMEN
kuna aina nyingi ya wahubiri mimi kwangu ww ni no 1 no 2 wakasege nafatilia sana mafundisho yenu sana
Mungu atukuzwe
Amen amen, nashukuru kwa mafunzo mazuri. Ubarikiwa. Sehemu ya pili?
Inakuja
Ubarikiwe sana
Ubarikiwe sana
Hakika umenifungua macho
Amina mtumishi tunabarikiwa na mahuhiri yako, naomba msaada pia wa kukutana na wew ili unifanyie maombi binafsi naamin kupitia wew MUNGU atatenda,nna iman hata Sasa MUNGU anafanya Kaz kwa ajili yangu,maombi ya mtu mwenye iman yanamtoa mtu gzan so ntakuonaje?
Ebu Mimi nikushaur chukua email address inayopta kwenye screen au namba upge
Alafu uombe mwenyewe kwa imani
Amina
Lord bless your ministry
Thanks so much bro
Nimebarikiwa kutoka Dar es Salaam
Mchungaji naitaji kufunga ila nanyonyesha nawezaje ??
😭😭😭😭😭😭bona ukatukatisha maombi jameni
🤣🤣 mchungaji tafadhari naomba mawasiliano
+255 755 932 283
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍
Amen! It's always a blessing listening to your sermon. Kindly how can I get the three books, Mambo yaliyojibiwa,Jinsi ya kusikia sauti ya Mungu na kitabu juu ya maombi?.Niko Nairobi
Amen pasta Mungu akubariki pamoja nasi EBU naomba namba kwaajili ya mahusiyano ya maombi tafazali
Maombi ya kufunga yanasaidia sana jamani
Kwaakika wewe nimwarimu Wangu nabarikiwa sana
Bwana akutie nguvu,,,,maana unatutia nguvu pia,,,naomba msaada kitabu hiki kipya namna ya kuisikia sauti ya Mungu,,,tafadhali,,,nakipataje??
Piga +255759612430
Lakini .....mbona inasema kuomba sio kusali kwenye biblia ya kingereza..yani "proseuchē"in greek means prayer .maybe iam a bit confused sometimes it means the same thing or..?
Sometimes the same thing
Amen but naomba unikumbushe Yale mahubiri ya kuwa kijana apata pesa atoa kanisa but wazazi hawapi plz?
ua-cam.com/video/EQAMn010hFw/v-deo.html
But not that one can u gave yr nos nikutumie uione niko na nusu plz
+255 755 932 283
Jina la Mungu litukuzwe
Amina Mungu atukuzwe
Kuna maswali ambayo hayeeleweki, kwani nimesikia kiini cha Muchungaji huu anamasilahi ya kupiga marufuku waombaji,
1 Mwanzo amesema kama yeye Gahungu, pia Kwa kulala haombi,,
Nimaajabu anayo yafanya anashituka mwenyewe.
Ila habari y'a pili kuhusu Somo la historia hii yaki mutu Kifafa, Yesu anasema kitaondolewa, kwanjia y'a mafungo, sasa hili, swali Muchungaj huo kwanini haliwezi kumupa, final ? Asante jibu.
Kwani yeye Hafungi na halali tongo macho akiomba, sasa kwanini akubari tena kufunga ?
@@pastorsdcgom6634 kwan hayupo sawa au
Ubarikiwe mtumishi upo vizuri kwa mafundindo ya kiroho nafunguliwa
Hii ni sabato kweli?
Cossan Wambura Kwanini?
Nahitaji hicho kitabu cha mambo yaliyojibiwa
Henry Oppi uko wapi?
Nahitaji kitabu nipo Shinyanga
Na mimi naomba niko Dar es salaam 0763727909
Nahitaji hicho kitabu
Piga +255 759 612 430
Baba shikamoo nimetafuta namba yako kwa muda sasa naomba unitumie kwa namba hii0759437236 nashida baba nipo sirari /tarime nahitaji msaanda wa kiroho
david mgabo +255 755 932 283
Aiseee nimeota Pr ukiniambia nifunge na kuomba nashangaa kuona somo hilihil hapa nmejfunza kitu nafikiri Mungu anasema nam kwa njia ya ajabu na ya pekee🙏barikiwa Pr
Amen
Amen
Amen