ASILI NA TAMADUNI ZA KIAFRIKA | WABEMBE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 16

  • @basemebaelomona
    @basemebaelomona 3 роки тому +3

    Ndugu Ngena Elelwa, nakutakia baraka za Mungu muumba wa mbingu na Nchi akutiye nguvu zaidi. Unafanya kazi njema sana tena ya kuinuwa Bara letu la Africa.

  • @hamisiabwe5160
    @hamisiabwe5160 Рік тому +1

    Mweneombe akanyibwe manga sana!!

  • @Nyaruking1
    @Nyaruking1 3 роки тому +3

    That really keep it up

  • @justiceherisabuni7678
    @justiceherisabuni7678 Рік тому +1

    Mzee wetu,mi2 ni kijana mbembe,hendeleya Na kutuelimisha.

  • @Blackmedjay
    @Blackmedjay 2 місяці тому

    Asili ni maisha yetu

  • @justiceherisabuni7678
    @justiceherisabuni7678 Рік тому

    Safi Sana.

  • @aminaathumani6832
    @aminaathumani6832 2 роки тому

    😳😳😳jisikiee uhuuru zaidi muzazii karibuu tena kwetu tanzania

  • @jamesmialano4442
    @jamesmialano4442 Рік тому

    Umeoongeaah mengi Ila yote umekopi tu! Na anayetakaka kusikiliza hoja zangu anifuate inbox

  • @rajaburashidirjb3231
    @rajaburashidirjb3231 3 роки тому +1

    Mzee unasema vizuri sasa tatizo ni kwamba ungehanza kwanza mambo ya asili ungehungwa mkono sana,unajua watu wamevurugwa sana na maisha sasa unawaletea mambo ya asili nahuku mwenyewe ndo bado uko nje kabisa ya asili jihangalie kwanza.

  • @vnkjproduction7898
    @vnkjproduction7898 3 роки тому

    Yuko sahii kabisa
    Anasema kweli ndugu huyu

  • @kahangadekula2280
    @kahangadekula2280 3 роки тому

    👏👏👏👏😊

  • @kakozimusimbwa9826
    @kakozimusimbwa9826 3 роки тому

    Asili nini nawe unapiga suits,pamoja na tie,na Asili ya watu zamani walivalia ,ngozi za miti ,nyama nk.....

    • @King12445
      @King12445 Рік тому

      Kwani unafikiri kuvaa ngozi za nyama na miti ndo hasili? Acha ujinga hakusema eti mrudishe wakati nyuma alisema mkumbuke hasili na muhiheshimu,,.

  • @jacquelinen9764
    @jacquelinen9764 3 роки тому

    Haha; wewe mwenyewe unaongea kiswahili. Hala unalalamika tunapotenza asili yetu. Kama sio nyie mnao ipotenza asili yenu. Mambo ya kicongomani unaongea kwa kiswahili ndo nini?