HISTORIA YA WAZUNGU NA WAARABU WA KWANZA KUINGIA FIZI-ITOMBWE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 12

  • @sumatraveler1957
    @sumatraveler1957 4 роки тому +1

    Duh le Roi alikua prof wangu wa Francais mpeni salamu zangu za nguvu anajielewa sana.

  • @millanefe7
    @millanefe7 Рік тому

    Hizi ndo history ambazo sisi vijana tunapaswa ku fahamu.💯🇨🇩🫡

  • @sumisumi8181
    @sumisumi8181 3 роки тому +1

    Sisi Babu yetu alitueleza mno kuusu kabila letu hadi jisi wabembe wengine walivyo kwenda burundi na tanzania tabora na kigoma miaka ya 40 na 50

  • @KSK7L
    @KSK7L 4 роки тому

    Wow hii ni story nzuri sana ina fundisha mengi

  • @mathiasmb4967
    @mathiasmb4967 4 роки тому

    Wooow namuona prof,Mwana mfalme( le Roi)

  • @sumisumi8181
    @sumisumi8181 3 роки тому

    Brother mm nataka muweke kipindi cha live mm nipo Marekani nataka tuzungumzie kabila yetu wabembe naitwa Lutula ismail kuusu uwisilamu na wanzungu uyu Brother anapotosha Historia pls

  • @sumisumi8181
    @sumisumi8181 3 роки тому

    Mulize jina la Baraka lilitokana na nini nipo na maswali mengi ya kumuliza bwana mkubwa

  • @sumisumi8181
    @sumisumi8181 3 роки тому

    Walio fika kwanza ni wa arabu wazungu walikuja bada ya mwarabu

  • @lupandesimukindje8170
    @lupandesimukindje8170 4 роки тому +2

    Kumbe wazungu na waarabu walifika fizi kwa kuchelewa sana mu 1800 wakati miaka hiyo ndio kupeleka watu utumwani kunaanza kwisha sasa afrika inaanza kuingia mu colonisation. ( fin d'esclavagisme début de la colonisation ) miaka hiyo mwarabu hayupo tena africa ni mzungu sasa anaanza kutawala ukoloni sio kupeleka tena watu utumwani. Yaani kutawala watu wakiwa tu nyumbani kwao .mmmmmmm fuatilieni historia vizuri hata kama nyie ni wazee kwa upande wa miaka ....hapo nahisi sio sahihii

    • @sumisumi8181
      @sumisumi8181 3 роки тому +1

      Naam mm nafahamu wa kina tipo tipo wakaleta uwislamu wabembe sote tulikuwa wa islamu walipo fika wanzungu na kanisha na elimu tukaabrishwa kubadili dini ndio mana watukuta sisi wabembe wengi tuna majina ya kislam

    • @lupandesimukindje8170
      @lupandesimukindje8170 3 роки тому

      @@sumisumi8181 mimi siamini miaka alisema eti ndio waarabu walianza kufika ubembe sababu hiyo miaka waarabu walikuwa wameshatoka africa hapo sasa ni wazungu wanaanza kutawala sio tena kupelekana utumwani. Sikatai kwamba waarabu hawakufika ubembe no najua walifika ila ni miaka ya mapema sana sio hiyo aliyotaja hapo kama sijakosea