HII NDIYO SIRI ILIYO WAINUA YAKOBO MUSA DAUDI NA SULEMANI SEH 1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 48

  • @nurunathoo2383
    @nurunathoo2383 5 місяців тому

    Kalini mungu uteuwa mtu kutoka wabaya kuwa uteule wake ajili ya jina lake au utukufu wake....damu ya tosha na utakaso pia heb 2.18 aminaa

  • @johnhongo649
    @johnhongo649 3 роки тому +2

    Naibarikiwa na mafundisho yako ....Mungu apewe sifa...John Hongo from Nairobi Kenya

  • @nielekezehyonimependastell3869
    @nielekezehyonimependastell3869 3 роки тому +6

    Kwanza Mungu akubariki sn kwa utumishi wako kwake, ila unanifaa sn mafundisho yako nitiba kwangu,lkn pia sipendagi kufarijiwa zaidi napenda ukweli mchungu japo unauma ila nidawa.

  • @maxlove2668
    @maxlove2668 3 роки тому +2

    Wonderful,God bless you Pastor

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 3 роки тому +1

    AMEN🙏AMEN🙏;..mchungaji me hubarikiwa sana na mahubiri yako.and vile unaongoza huo wimbo kuanzia mwanzo👍👍👏👏👏👏💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞super🙏.be bless always🙏na asante kwa kutuombea pia nasi tunao kufwatilia kwenye mitandao kutoka nchi mbali mbali.🙏

  • @kinggalaxy18
    @kinggalaxy18 3 місяці тому

    ❤ubarikiw

  • @mwambazmazoyah4628
    @mwambazmazoyah4628 3 роки тому

    Nabarikiwa sana na mafundisho yako pastor

  • @davidimmael1300
    @davidimmael1300 3 роки тому

    Amina Pr. Mungu anatupenda sana ,

  • @mandwashija4992
    @mandwashija4992 3 роки тому

    Amina pastor, ubarikiwe kwa somo zuri.🤝🤝

  • @elizabethjuma298
    @elizabethjuma298 3 роки тому

    Ameen nimebarikiwa kwa somo nzuri

  • @namsifumallya2816
    @namsifumallya2816 3 роки тому +1

    Ujumbe Mzito wa kueleweka, hakika unabariki mno, Mungu na aendelee kukuinua PR.

  • @m-ruagaboy4110
    @m-ruagaboy4110 Рік тому

    Hakika mungu akubari sana Kaka🙏🙏

  • @magynzioka1122
    @magynzioka1122 3 роки тому

    Nimebarikiwa sana 🙏🙏🙏

  • @DanielDaniel-wb7lt
    @DanielDaniel-wb7lt 2 роки тому

    Àmina nabarikiwa

  • @travissplatnumz
    @travissplatnumz 3 роки тому

    Barikiwa

  • @estherwambuies1782
    @estherwambuies1782 3 роки тому +1

    Amen

  • @doriskyaruzi7509
    @doriskyaruzi7509 3 роки тому

    Pastor sema tupone

  • @MaryWilson-vg2mm
    @MaryWilson-vg2mm 3 роки тому

    Ameen

  • @ntiliyothomas5146
    @ntiliyothomas5146 3 роки тому

    Balikiwa

  • @lucyjacob1293
    @lucyjacob1293 Рік тому

    Mchungaji mbona sielewi kudanilodi Tena basi sisi ambao vocha tu

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly9261 3 роки тому

    Amen!

  • @anoldkevin6319
    @anoldkevin6319 3 роки тому +2

    Ni mgeni lakini nahisi uwepo wa Roho mtakatifu. Hili kanisa iko Tanzania???

  • @zachariahonga
    @zachariahonga 3 роки тому

    Nimeitafuta hiyo chapter ya 'heredity and environment' ila sijaiona

  • @pepchallanga3626
    @pepchallanga3626 3 роки тому

    Pr,kabla ya Mungu kuwaumba wanadam hakujua kuwa wangekuwa hatari?

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  3 роки тому

      Alijua,ndio sababu Ukombozi uliandaliwa kabla dunia haijaumbwa. Ufunuo wa Yohana 13:8 Na watu wote wakaao juu ya nchi watamsujudu, kila ambaye jina lake halikuandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo, aliyechinjwa tangu kuwekwa misingi ya dunia.

    • @antipascann2797
      @antipascann2797 3 роки тому

      @@MahubiriPrMmbaga kwahiyo tuseme kama jina langu halikuandikwa tangu kuumbwa kwa misingi ya dunia na nikaamini kupitia yesu naweza kuokolewa bado imani yangu itakuwa ya buree??

    • @barakabenjamin4468
      @barakabenjamin4468 3 роки тому

      @@antipascann2797 @Antipas Clement kama jina lako halikuandikwa toka kuumbwa kwa ulimwengu, usingekuepo mpaka sasa,
      Ila ishu ya kuokolewa , haijalishi ni dhehebu gani ila kanuni ni moja tu, Yohana 3:16 ( 16 Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
      17 Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.
      18 Amwaminiye yeye hahukumiwi; asiyeamini amekwisha kuhukumiwa; kwa sababu hakuliamini jina la Mwana pekee wa Mungu.)
      Ndio maana kuna mwizi pale msalabani aliokolewa kwa kuamini tu (luka 23:39_43)

    • @antipascann2797
      @antipascann2797 3 роки тому

      @@barakabenjamin4468 je wale ambao bado wanaishi na hawamwamini yesu wataokolewa vipi?

    • @barakabenjamin4468
      @barakabenjamin4468 3 роки тому

      @@antipascann2797 @Antipas Clement yasio wezekana kwa wanadamu, kwa Mungu yanawezekana, ikiwemo na hilo, cha msingi we shika kile unacho amini, maana hata Yesu alisema kua ana mengi ya kusema ila mda bado (naamin hata hilo ni moja wapo)

  • @yonakulwajoseph70
    @yonakulwajoseph70 3 роки тому

    Amen

  • @sporakiondo5807
    @sporakiondo5807 3 роки тому

    Ameen

  • @ritayalala6994
    @ritayalala6994 3 роки тому

    Amen