Very nice,i just like this.ni mwalimu wangu le roi,alinipa littéreture darasa la sita secondary,ningeomba tanganika tv muwe mnafanya tafiti kama hizi ili kusaidia watu ujuzi mwingi
Ni history nzuri kwa sisi hukoo wa babembe. Ila mimi kwangu huyu mzee hangesha kuongea mambo kama haya. Haindike vitabu vitamsaidia yeye pamoja na familia yake nzima. Pia wazungu hawata mpenda kuhusu mambo, kwanza kwa sasa bado ungali kambini so hasha mambo ndugu yangu.
Kaka ubarikiwe kabisa kwa maana unajuwa historia ya Kongo na ususan ya inchi zetu za maziwa makuu.Ungesaïdiwa kuandika kitabu ili historia hiyo ispoteï
Uyu mzee ananifunza mengi asante sana kwa kazi ihi nzuri
*Ahsante sana mzee kwa Historia iyo mzee wangu ubarikiwe sana*
I am Mbembe pure and my dad told me about Michel Mbavu Moya
Big up wabembe👍🏿💪🏿
Mimi bibi yangu mzaa baba ni Mbembe,lakini familia ilihamia Tanzania sijui ni mwaka gani,hata hivyo najivunia kuwa Mbembe👍🏿
Asante sana kwa historia nzuri💪
Tupo pamoja mzee wetu . Uzidi kutupa historia zaidi.
Merçi sana kwa histoire iyo.
Na merci sana kwa history nzuri big up
Could you consider an English version for those that aren't fluent in swahili? Thanks in advance.
I love this my brother keep up the good work, Re-informant is coming
Very nice,i just like this.ni mwalimu wangu le roi,alinipa littéreture darasa la sita secondary,ningeomba tanganika tv muwe mnafanya tafiti kama hizi ili kusaidia watu ujuzi mwingi
Bilemba on top ❤❤
Type abari nzuri ya shujaa wetu wa Dunia.
Historia yawabembe nipana sana sii congo tu hata tz wanahistoria yamda mrefu hilo sanam lililopo Posta huyo nikumbukumb ya mbavu moja .ambae nimbembe
asante sana jerani wetu apo c3
Tunaomba historia nzima yawa bembe.najinsi walivyo ingiya kigoma.
❤❤❤
Ndugu journalist ,wakati ingine usikate histoire usikilize ma question uziandike utauliza akimaliza kuongeya , please
BABA mdogo huyo anaye toa historia hapo.
Wabembe tuko juu
Mahenge iko morogoro kwa wapogoro😊
Ni history nzuri kwa sisi hukoo wa babembe. Ila mimi kwangu huyu mzee hangesha kuongea mambo kama haya. Haindike vitabu vitamsaidia yeye pamoja na familia yake nzima. Pia wazungu hawata mpenda kuhusu mambo, kwanza kwa sasa bado ungali kambini so hasha mambo ndugu yangu.
Tunashukuru kwa kumukumbuka
Héro Mbavundogo Michèle...ijapo DRC ina mtupiliya mbali.kweli ime baki kweli
Mahenge iko Morogoro
Kk huyo baba ange fanya nguvu tupate tupate kitabu cha historia hiyo jamani
Kaka ubarikiwe kabisa kwa maana unajuwa historia ya Kongo na ususan ya inchi zetu za maziwa makuu.Ungesaïdiwa kuandika kitabu ili historia hiyo ispoteï
Mimi nahitwa Bwise'elelo naishi goma, ila nilikuwa nahomba historia hiyo mungefanya kitabu ili Sisi wa bembe tuwe nayo svp.
Wana Tanganyika TV nimewakubali kumbe neno Tanganyika asili yake ni BEMBE?!!asante mimi niwa 🇹🇿
Mahenge ni mkoa wa morogoro
Do the bafuliiru people History we want to know the the bafuliiru history bro
Yes we have the bafuliru documentary currently in production right now ..
@@TanganyikaTV you are the best g keep putting more about sub kivu
@@socratekimamura5172 thank you
Vitu vya msingi sn kwel
Kweli kabisa mkuu
MAHENGE NI MKOA WA MOROGORO
Baba kire 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Morocco inapatkana
Mbavu moya ndo mnala wa posta
😂🙏🙏🙏
baba kire🤣🤣🤣🤣C3 dah🤣🤣🤣🤣
Yani hata huyu SI ndio sanamu la pale posta
Yes ndo yeye
Il s'appelait Mbavu Ndogo et non Mbavu Moya.
Ulielewa kulikotokea jina mbavu moya?,ni kwa sababu Alitalia mwenye kwenye familia yake