Wagalatia 5:19-21 19 Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, 20 ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, 21 husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.
Unatakiwa uelewe dhambi ni nini ? Dhambi sio kuvunja amri kumi za Mungu pekee ... jaribu kusoma maandiko utaelewa Wagalatia 5:19-21 ,(Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.
2 Wakorintho 6:14-18 14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza? 15 Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini? 16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu. 17 Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha. 18 Nitakuwa Baba kwenu, Nanyi mtakuwa kwangu wanangu wa kiume na wa kike,
Vita vya upinzani wa historia ya Kristo iachwe vibaya tunakataa ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai mbaya sana Tusamehe Tusaidie Yehova tumalize salama. Uchambuzi mwingine hauna lazima mtaua wengi jamani. Si mtulie nayo acheni watu wamalize hivyo wajuavyo. Itawaghalimu na mtajibu kwa ajili ya hao wadogo ambao Yesu Kristo Aliyehai Aliwafia.
Upo sahihi mchungaji....huo ndo ukweli...tena ukitaka kujiona wewe ni Mtakatifu lewa pombe....mambo utakayofanya baada ya kulewa ndio yaliyopo moyoni mwako
pombe mumehalalishiwa kabisaaa munywe mulewe mpaka muanguke😂😂 nyinyi kila baya mumeingiziwa na waandishi wa kizungu ndipo tunapogundua bibilia sio tabu la mungu Mungu hawezi kuwaamuru machafu
Kuzini kumeandikwa kuwa tusizini,ila ukianza kusema kuhusu kuzini wanaozini watakushambulia kwa kuwa wanafaida nalo,hivo wote wanaomtetea Lusekelo ni kwa sababu Amelita mlemle wanapopapenda.kwenye angle yao.pole
Pombe ni dhambi isiipambe pombe ni kilevi ndomaana biblia imesema walevi hawataurithi uzima WA milele ulevi unatokana pombe na mengineyo nyenye kilevi pombe inakilevi ndani yake wakati biblia inaandikwa hakukuwa jina pombe wara bia konyagi mbege na ulanzi na kitochi maana pombe Ina majina mengi
Habakuki 2:15 Ole wake yeye ampaye jirani yake kileo, wewe utiaye sumu yako, na kumlevya pia, ili kuutazama uchi wao! Woe unto him that giveth his neighbour drink, that puttest thy bottle to him, and makest him drunken also, that thou mayest look on their nakedness! Habakuki 2:16 Umejaa aibu badala ya utukufu; unywe nawe, uwe kama mtu asiyetahiriwa; kikombe cha mkono wa kuume wa BWANA kitageuzwa ukipokee, na aibu kuu itakuwa juu ya utukufu wako. Thou art filled with shame for glory: drink thou also, and let thy foreskin be uncovered: the cup of the LORD'S right hand shall be turned unto thee, and shameful spewing shall be on thy glory.
Mm muislam ila mzee mambo mengine unaongea ukwel ila pombe haifai ni dhambi na ndo baba wa maasi # na kwa akili ya kawaida tu ukichunguta utaona pombe haifai ina madhara mengi sana
Wale ambao wanajiita walokole wa kukaririshwa.ni ngumu kukuelewa.kwa kuwa watakusikiliza lakini hawatakuelewa.wakatoliki tunasema pombe ni mzizi was dhambi wala mapadri hawatoi jasho kuhuniri pombe.Bali neno LA Bwana.unaweza kuwa hunywi pombe lakini mwongo.utapataje kupona.
Wkiristo mnakazi pombe si zambi ila ni makosa ila pombe ni mlango wa shatani sasa zambi ni ipi? Na ushani ni upi? Njani katika wislam na ww mzee wa upako geuza kanisa weka msikiti acha kudanganya watu
Mwana wajoka yupo kutetea maslahi Yake uku dhamila iki msuta anajua anacho kifanya ila hana namna amesha fika mbali sababu ya tamaa mbaya sawa ila haichelewi atakukuta MUNGU wa moses kulola 😢😡
Biblia inakataa pombe Moja Kwa Moja,wewe una agano la pombe toka kwa shetani,wewe na wote wanaokunywa,kumpa kileo,kulewa,kutapika,kuanguka wote jehanamu.
Dhambi ya pombe ni ipi kwani nikinywa bia 2 ninadhambigani wapi imeandikwa pombe ni dhambi mmekaririshwa mahubiri ya wachungaji wenu bila kushika neno la mungu
@@GeofreyKalo-ot3we unatakiwa uelewe dhambi ni nini ? Dhambi sio kuvunja amri kumi za Mungu pekee ... jaribu kusoma maandiko utaelewa Wagalatia 5:19-21 ,(Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.
Wana wa mungu popote mlipo simameni imara yesu anakuja na malipo
Ktk Ufunuo anasema nawachukia walevi, wazinzi na waabudu sanamu
Si wote wanywao pombe ni walevi. Anaekunywa pombe chupa moja si mlevi ni mnywaji na Biblia haikatazi anywaye kiasi.
Nyakat zamwisho watu wataipend dunia,ndio haya,tusimame kwamiguu yetu tuachane namanabii yusome sana neno lamungu
Mwenyezi Mungu tujaalie mwisho uliokuwa mwema
Mtenda dhambi atende sana mtakatifu azidi kujitakasa siku za mwisho kuzimu ipo kazini
Tatizo hamjamuelewa mzee ypo sawa
Wakristo kama haya ndiyo mafundisho yenu mmh hongereni sana na diniyeni ya mchongo
Mzee anazeeka vby pole sana
Wana wa Mungu, kimbieni hapo hapana kitu mtaachwa na Yesu Kristo anarudi.
Endelea na konyagi mzee wa bapa
anakubali, anakataa, mzee wa bapa yaliyoujaza moyo...
Naomba unisaidie
Mzee me nakuelewa sana wache waseme yao mwaga ukweli ila siku ukitaka kuwa muislam karibu usione haya
Aje awafudishe kulewa kwenye miskiti yenu, mnaweza kumpa hata semina miskitini mwenu.
Duu nilikuwa sijui kumbe miislam inaluhusu ulevi kumbe sheh kishki mazinge niwalevi basi lusekelo ata wafaa 😏😏😏😏
Nyakati za mwisho hofu ya Mungu itatoweka kabsa
Kunywa tu mzee
Sababu mjinga mzee
Hapo tayari kishalewa
Kuwa mtaarabu kumbuka ana watoto uyo unavo andika ivo unamaana gani
Jamani hukumu ya.mwanadamu anaye jua ni mungu ila.wanadamu kazi ni kusema
Kunywa baba😢😢ilaa mh
Mimi ni Muislamu, huyu jamaa anaijua Biblia. Na hakika anapata upinzani kutoka kwa wachunguji kanjanja.
Huenda kashalewa tiyari
Umeishiwa!
Hautabiriki!
Dah mzee nawapa pole walio kaa kuku sikilizeni naona kama hata wewe mwenyewe hujielewi
anganyikiwa baba
Soma lsay 5:11,22, Lk 1:15. Amen
Wagalatia 5:19-21
19 Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi,
20 ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi,
21 husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.
Mafundisho ya kipepo ayo mzee wa upako
Kaeni makini,haya hayana budi kuwepo
Unatakiwa uelewe dhambi ni nini ? Dhambi sio kuvunja amri kumi za Mungu pekee ... jaribu kusoma maandiko utaelewa Wagalatia 5:19-21 ,(Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.
Ni nyakati za mwisho
2 Wakorintho 6:14-18
14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?
15 Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini?
16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
17 Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.
18 Nitakuwa Baba kwenu, Nanyi mtakuwa kwangu wanangu wa kiume na wa kike,
Duh lusekelo atakua anapenda mitungi😂😂😂
Mbona imeandikwa mselewe kwa mvinyo!! MLEVI MKUBWA WEWE
Hahahahahahahaha Yani hajajirudi tu
Ajabu 😮
Umesikiliza vzuri sikiliza vzuri sio unalopoka tu acha utoto
Huyu ni mlevi mkubwa kuna cku alilewa akaanza kutukana matus
Duh 😂😂😂
Amen,
Vita vya upinzani wa historia ya Kristo iachwe vibaya tunakataa ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai mbaya sana Tusamehe Tusaidie Yehova tumalize salama. Uchambuzi mwingine hauna lazima mtaua wengi jamani. Si mtulie nayo acheni watu wamalize hivyo wajuavyo. Itawaghalimu na mtajibu kwa ajili ya hao wadogo ambao Yesu Kristo Aliyehai Aliwafia.
Unawachanga sasa
Pombe siyo dhambi ..ulevi ndiyo dhambi.
Naomba uniombee ninamatatizo
Upo sahihi mchungaji....huo ndo ukweli...tena ukitaka kujiona wewe ni Mtakatifu lewa pombe....mambo utakayofanya baada ya kulewa ndio yaliyopo moyoni mwako
Kuna kuzidiwa lkn watu wa Mungu waambiwe ukweli.
pombe mumehalalishiwa kabisaaa munywe mulewe mpaka muanguke😂😂 nyinyi kila baya mumeingiziwa na waandishi wa kizungu ndipo tunapogundua bibilia sio tabu la mungu Mungu hawezi kuwaamuru machafu
Pombe ni tamu kiukweli
Kuzini kumeandikwa kuwa tusizini,ila ukianza kusema kuhusu kuzini wanaozini watakushambulia kwa kuwa wanafaida nalo,hivo wote wanaomtetea Lusekelo ni kwa sababu Amelita mlemle wanapopapenda.kwenye angle yao.pole
Wakala wa shetani
Chukizo la uharibifu limeshasimama mahali patakatifu wana wa Mungu tuwe macho tunakaribia kwenda
Ni kweli pombe siyo zambi Ila nikisababishi
Pombe ni dhambi isiipambe pombe ni kilevi ndomaana biblia imesema walevi hawataurithi uzima WA milele ulevi unatokana pombe na mengineyo nyenye kilevi pombe inakilevi ndani yake wakati biblia inaandikwa hakukuwa jina pombe wara bia konyagi mbege na ulanzi na kitochi maana pombe Ina majina mengi
Bas ipo siku utaitwa kubariki mtaji wapombe
Vichungajigani hivi?
Hah hah hah hah! Lusekeloooooooooo! Ok
Du!! Dunia imeisha
Lusekelo unajaribu kuonyesha wewe ni wawapi
Soma vizuri biblia mzee wa upako ili ujue habari ya pombe. Mit 23:20-21
Mithali 31 :4
Dah
Mungu atuhurumie😢
Tafuta kazi nyingine ya kufanya,,,,, ya uchungaji huwezi.
Mmmmmmmmmmmmmmmm eleza maana ya kosa
Aiseyi Hilo ni tatizo la kuwa na waalim wengi Yak 3:1,2
Mmh😮
Ujasiri unatoka wapi huu?
Kunyweni kanisani
Wewe Mlevi wa Kvant mchungaji gani hufai kabisa ndiyo maanavunatetea pombe
Huyu mzee bolt zimekata
Tutawatambua kwa matunda yao
POMBE IMEKATAZWA
Walawi 10:8
Waamuzi 13:3 - 5 usinywe pombe
Luka 1:15
Efeso 5:18
MIMI NAONA,MZEE HUYU...ANAKOSA ZA KUSEMA AU KUFUNDISHA KANISANI MWAKE.
-AMESHAMKANA HATA,"YESU KRISTU KUWA NI MUNGU"
-HII SIJUI NI IMANI GANI
Jamaa simuelewi kabisa huyu
Ww nimkweli myaminifu
Habakuki 2:15 Ole wake yeye ampaye jirani yake kileo, wewe utiaye sumu yako, na kumlevya pia, ili kuutazama uchi wao! Woe unto him that giveth his neighbour drink, that puttest thy bottle to him, and makest him drunken also, that thou mayest look on their nakedness!
Habakuki 2:16 Umejaa aibu badala ya utukufu; unywe nawe, uwe kama mtu asiyetahiriwa; kikombe cha mkono wa kuume wa BWANA kitageuzwa ukipokee, na aibu kuu itakuwa juu ya utukufu wako. Thou art filled with shame for glory: drink thou also, and let thy foreskin be uncovered: the cup of the LORD'S right hand shall be turned unto thee, and shameful spewing shall be on thy glory.
Wewe Mzee tubu kabla hauja lala usiwapotoshe watu usiitete dhambi kisiasa
Kwani mzkosa na dhambi tofauti yake ni ipi hapo?
Huyu anaejiita mzee waupako kwanza mwenyewe nimlev ndio mana anatetea dhamb tazamen hata liuso lake lilivyo lamtu mlev kabis
Mm muislam ila mzee mambo mengine unaongea ukwel ila pombe haifai ni dhambi na ndo baba wa maasi # na kwa akili ya kawaida tu ukichunguta utaona pombe haifai ina madhara mengi sana
Hizi ninyakati za ukweli na uwazi
Unajiaibisha
Mtumishi wa shetani huyu
Siasa izi ...na ushoga nao mnasema si dhambi nao ni kosa kwani dhambi Nini.? Dhambi si Imani dhambi ni kosa huu uhuni mtupu...😮
Amekengeuka
Kuwa mstaarabu ndgu maneno mazito ktka account ya mtu hasa ukizingatia ni mtu mzima uyo
@@ElshadaiAnthony mtu mzima anapotosha neno la Kristo,upumbavu
@@ElshadaiAnthonymtu mzima haambiwi ukweli?
Wewe Bado mchanga Sana wa maandiko tatizo unaongozwa na hisia zaidi na sio ukweli
Pombe ni dhambi
Sasa mzee unaipamba dhambi rangi dah pole heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo wake mzee
Mzee wa Upako nimekuelewa. Mtu hataenda jehanum kwa kunywa pombe.
Feel free
Watu wangu wamekua kondoo waliopotea wana wachungaji wao wamewapoteza
Watu wanashangilia kunywa pombe jamani tunapelekwa wapi ? hii injili ya sasa
Uyu mzee ni mtume wa shetani lkn mkumbusheni yesu anarudi
Huyu ni mlevi kama walevi wengine kaeni mbali na hiyo roho ya ulaghai
Haya bwana yanatokea kwasababu ya kosefu wa ajira yaani huyu mzee ni mpigaji nawaambia jamani, tuweni makini
hiyo injili yako ina mashaka hakuna ulevi bila bombe.
Walimu wa uongo Hawa tayari wameanza
We ni mlevi tu ndio maana unaitetea.
Msiposilimu wote mtaishia motoni
Ifahamu hiyo Dini Yako mpya, uliohamia kabla haujashauri watu waje huko. Isije ikawa uko tayari moyoni Kwa kumkataa Yesu.
Mmmh
Mlevi hutetea ulevi
Acha kudanganya watu wakaangamie.
Wale ambao wanajiita walokole wa kukaririshwa.ni ngumu kukuelewa.kwa kuwa watakusikiliza lakini hawatakuelewa.wakatoliki tunasema pombe ni mzizi was dhambi wala mapadri hawatoi jasho kuhuniri pombe.Bali neno LA Bwana.unaweza kuwa hunywi pombe lakini mwongo.utapataje kupona.
Wkiristo mnakazi pombe si zambi ila ni makosa ila pombe ni mlango wa shatani sasa zambi ni ipi? Na ushani ni upi? Njani katika wislam na ww mzee wa upako geuza kanisa weka msikiti acha kudanganya watu
Mwana wajoka yupo kutetea maslahi Yake uku dhamila iki msuta anajua anacho kifanya ila hana namna amesha fika mbali sababu ya tamaa mbaya sawa ila haichelewi atakukuta MUNGU wa moses kulola 😢😡
Biblia inakataa pombe Moja Kwa Moja,wewe una agano la pombe toka kwa shetani,wewe na wote wanaokunywa,kumpa kileo,kulewa,kutapika,kuanguka wote jehanamu.
Biblia haijakataa pombe je matendo ya pombe he sijui jamani
HABAKUKI 2:15 ole wake yeye ampae jirani yake kileo
Kunywa pombe sio dhambi ila ni makosa, kwani kosa sio dhambi? Danganya watu tu
Sio lzm. Dhambi Ni zile zilizomo kwenye amri 10 za Mungu. Ndo maana anakuambia pombe sio dhambi
Wewe umekwisha sababu ya. Fedha zako
Kweli we mzee mwezangu acha tu kuhubiri maana hata wanaokusikiliza wamepigwa upofu pombe ni dhambi.
Dhambi ya pombe ni ipi kwani nikinywa bia 2 ninadhambigani wapi imeandikwa pombe ni dhambi mmekaririshwa mahubiri ya wachungaji wenu bila kushika neno la mungu
Mimi sinywi lifike mahala tuone mnywajj nimdhambi twajidanganya sana. Basi dhambi itakayowapeleka motoni nifedha tafakari mapato yako kwaupana wa dhambi tuone uko salama anza nyumbani kwako kwanza. Afu toka inje
@@FrancisMsemwa-z6r🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤😅😅😅😅
@@GeofreyKalo-ot3we unatakiwa uelewe dhambi ni nini ? Dhambi sio kuvunja amri kumi za Mungu pekee ... jaribu kusoma maandiko utaelewa Wagalatia 5:19-21 ,(Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.