mchungaji yuko makini sana kwa kukwepa kujibu maswali. nampenda sana mzee wa upako. ila mm najua ule msemo wa kunywa lakini usilewe nisawa na kumwambia mtu iba lakini usikamatwe.
biblia inasema usinuse, usiguse wala usionje, hiyo habari ya kupitiriza zatokea wapi? Yesu tusaidie. kunywa pombe ni Dhambiiiiiiiii. Tuitetee injili jamani .
Amen Amen. Wakati mwingine siyo mpaka MTU awe na imani .kunawengi tumewamsha kwa nguvu ya Mungu wakiwa maututi wasiyo jitambua. Katika utumishi wangu sitaji imani ya MTU . Bali imani yangu na Mungu inambeba mgonjwa na mwenye itaji.pombe siyo sawa. Mungu awabariki nyote. Amen.
hiyo ndo Dar essalaam huku wine huku mafuta na maji na washirika wanajaaa .pombe ni dhambi mwanadamu anajua haina mjadala wanadamu tunapenda kujenga hoja za ujanja ujanja lkn wakati ukifika tutasema yote ni vema waumini tukawa makini na kusoma neno la mungu, uvivu wa kutaka kutafuniwa kila kitu mch ni mwanadam atasimama mbele zs mungu kujibu na sisi tutajibu pombe ni dhambi sio dhambi je utasema mimi nilimsikiliza mch
Mungu tusaidie naona watu wako wanaangamia kwa kukosa maarifa,namsaidia Mchungaji kujibu kuwa Biblia haijazungumzia Pombe bali imezungumzia mvinyo wa divai na divai maana yake ni furaha,amani na mafanikio ndio maana Yesu alitengeneza Divai iliyokuwa na ladha tofauti na divai zilizozoeleka kwenye utamaduni wa wayahudi enzi hizo Yohana 2:1-10 na ndio ilikuwa ishara ya utukufu wake kwenye ile arusi aliyoalikwa Yesu. Divai iliyotengenezwa na Yesu ndio divai iliyoashiria mwili na damu yake itakayofanyika msamaha kwa watu wote.
,Acheni woga pombe au kinywaji chochote sio dhsmbi. Dhsmbi ni kutokuamini kwamba hakuna na huna dhambi kwani zote zimeondoleea na Kriso Yesu. Fullstop!
Aneti Kapami nikweli hapapo kwenye biblia panapokataza mojakwamoja kuhusu pombe ,zipo sifa zote za pombe kwa hiyo yeye yupo hapo tusimhukumu niuelewa finyu was maandiko
Hii kali...hakuna aliyemuona Mungu wala Yesu tuheshimiane dini zote..duuu!!!...Hii mpya!!!Dunia imeisha...Hakuna dini yoyote,dhehebu lolote isipokuwa ni Yesu pekee ndio njia na kweli ya kufika kwa Baba!!!!Pastor hapo sijakuelewa unamaanisha hata waislamu wako sahihi???Kanisa kazi ipo!!!!
mzee utanisamehe Sana ila nakuchukia Sana because wewe ni muongo nilijua unamuabudu mungu wa Kweli kumbe huna lolote kiukweli hujanishawishi Duuh mungu tusaidie
Hapana Lusekelo hakuna ulevi halali na haramu, kuhubiri pombe ni dhambi ni maneno ya chumbani? Ni Mch pekee wa pentekoste ninaye msikia anatetea pombe.
Sikumbuki mahali Yesu alisema haya!!! Na Yesu alisemaje kuhusu Kinachoingia kinyani,,, si najisi bali kinachotoka kinywani mwake... HAMUELEWI INJILI... MTAFUTENIBYESU SIO MANABII WA ZAMANI.
Hivi kama ni haramu iweje mfanya biashara hela zinazunguka kuna mzaa pombe anakuja nunua kitu kwa kipato cha pombe na ukapokea mbona wasiseme ni haramu?
Hatakama ungechukua maji ukaweka alcohol ukanywa tiyali nizambi olewao waamkiao kwenye kilevi na ole zimetajwa mala nyingi kwa mwenda mbinguni tuwemacho mkristo wakweli anapoulizwa kuhusu Yesu hachengichengi nauhakika Yesu ukiweka alcohol kwenye maji asingewezakunywa wengine wanasema ati alitengeneza pombe kule kana alitengeneza Ila hakuweka alcohol wacha Mungu nikua macho
Kwa wakatoliki hunywa pombe ila Ni kiasi si thambi kunywa pombe, labda madhehebu mengine ya kikristu baadhi yao yanakataza. Tusihukumu Sana Jambo hilo la pombe, wachungaji wengine haswa wakioko nje ya nchi Kama ujerumani wanakunywa wakati hapa Tanzania wamekatazwa??kwa Nini iwe hiivi??
Makanisa ya Babel haya n shida mwovu anawatumia vibaya hata kama 90% ya mapato n pombe wee n kiongoz wa dini mbona wajibu kipombepombe. Ufunuo 14:8, 1petro 5:13, Mathayo 15:9, nilikua nakuamin kumbe bureee
Tens Biblia inasema msilewe Kwa mvinyo ambamo ndani yake kuna ufisadi, Bali mjazwe na Roho, huku mkimwimbia Bwana Kwa Tenzi na Zaburi. Starehe ni pale unapokuwa na Mungu ( Roho Mtakatifu ) hutahitaji uende bichi kupungwa upepo, wala kirabuni n.k isipokuwa, utabaki ukimtukuza Bwana mahali popote, ukiwa kwenye gari, unapika, unafanya kazi zako zote. Barikiweni wapendwa.
9 Usinywe divai wala kileo cho chote, wewe, wala wanao pamoja nawe, hapo mwingiapo ndani ya hema ya kukutania, ili kwamba msife; amri hii itakuwa ni amri ya milele katika vizazi vyenu; Mambo ya walawi 10:9
ua-cam.com/video/y7cDtCWtJ3Y/v-deo.html Pata kujua kama kunywa pombe ni dhambi au laa....dhambi si maamuzi ya dini fulani...mchungaji unapata kigugumizi kuongea kuhusu pombe ni dhambi au laa!!!
dhambi nikukosa lengo la Mungu,ni kukosa muelekeo nikwenda kinyume na amri za Mungu,pombe km pombe haiwezi kufanyika dhambi,dhambi ni uasi,km creti za bia zimewekwa hapo,hakuna anayezitumia utawezaje kusema dhambi ileeee,huo ni uwendawazimu wakifikra,mzee wa upako aweke wazi asikwepe kwepe
wapi wameandika pombe ni dhambi??!!ulevi ndio dhambi ukristooo sio mzigoo kiasi hichoo.tatizo letu ni mojaa,hatusomi biblia kikamilifu na kufuatilia mafundishoo haswaa
ligimililo sanga acha ujinga kwani mzee waupako anakamatwa na polisi alikamatwa kwa sababu ya ulevi au kukutwa na chupa za bia pia imeandikwa ole wao watafutao kileo maana pombe
Pastor lusekelo weka mambo vizuri huo ni uongo Mimi nilishaitwa kuendesha gari breweries nikakataa! Kwa sababu nimeokoka!So wewe ni Mchungaji unashindwaje kusema kunywa pombe ni dhambi!
Mchungaji kwahiyo mi nikifungua kanisa langu tukakubaliana kuwa uzinzi isiwe dhambi kwenye dini yetu je ni Sawa ? Kama dhambi ni makubaliano? Kwa mawazo yangu dhambi sio makubaliano dhambi ni sheria ya Mungu kutoka katika biblia lazima tuifuate
mchungaji yuko makini sana kwa kukwepa kujibu maswali. nampenda sana mzee wa upako. ila mm najua ule msemo wa kunywa lakini usilewe nisawa na kumwambia mtu iba lakini usikamatwe.
Uyu mzeee nakubariiiii atariiii
Sio mzee wa upako,bali mzee wa uongo.😂😂😎
Mungu atashughulika na wewe kwa wakati wake usipotubu.
Me nimekuelewa sana mtumish Umefafanua vzr barikiwa
Ww muogope MUNGU. Au ww ni mshirika wake? Ss umemuelew nn kuhus pombe?
This man is very Clever!!!
True
Pombe hairuhusiwi ni dhambi kwa dini zote ukristo na uislamu.
Habari za kazi. Msalimie huyo MTU WA MUNGU
Pombe ni dhambi straight!!!
Ajibu kwa Vifungu sio kutamka tu yanayokuja kichwani. Hana Majibu.
Hahahahaha hapo kwenye POMBE mchungaji weka wazi tu, usikwepe saaaana....
Michael Mgalula kwa kifupi pombe ni dhambi
bibilia inasema walaf nawalevi hawataingia mbingun kwaiy o ukizidsha ni thambi
biblia inasema usinuse, usiguse wala usionje, hiyo habari ya kupitiriza zatokea wapi? Yesu tusaidie. kunywa pombe ni Dhambiiiiiiiii. Tuitetee injili jamani .
Jamani huyu jamaa anaakili sana ..ukovizuri baba
Be blessed mzee wa UPAKO
Pombe siyo dhambi.dhambi ni ulevi
ijueni kweli nayo itawaweka huru yohana 8:32.aliijibu kisiasa syo kama mtumishi wa Mungu alie hai.ambaye yeye asimame kama yesu mbele yetu ndo anajibu kimkato hivi.najua walio kwake wtafakari.na wchukue hatua.pombe hairuhusiwi.
Kunywa pombe ni dhambi let's say the truth, only God knows and we need to pray wisdom from God
umu hamna mchungaji😁😁😁😁
Amen Amen. Wakati mwingine siyo mpaka MTU awe na imani .kunawengi tumewamsha kwa nguvu ya Mungu wakiwa maututi wasiyo jitambua. Katika utumishi wangu sitaji imani ya MTU . Bali imani yangu na Mungu inambeba mgonjwa na mwenye itaji.pombe siyo sawa. Mungu awabariki nyote. Amen.
Lusekelo mlevi sana ndo maana hafafanui kuhusu pombe
Ila acha ulevi mtumishi! Inamaana kanisa linaweza kukubaliana kutenda Zambia?
Mchungaji anajibu sahihi. Lakini Mungu hadhihakiwi. Mambo yasilini yatawekwa hadharani siku ya kiyama.
Tuweke sawa hapo kwenye swala la pombe
Mungu akubariki mtumishi wa
Mungu
Kweli wanasemaga mnawapigia kelele amina mtumishi
Lusekelo were in mwanasiasa tu dhambi haiwezi kuwa halali eti kwa sababu inaingiza fedha nyingi inasaidia jamii
Umejibu vizuri sana maana usihukumu usije ukahukumiwa
Nimeipenda sana hii
Dhambi ni makubaliano kati ya Mchungaji na waumini wake.....!!
Upotofu huu....!!!
Hii kali
hiyo ndo Dar essalaam huku wine huku mafuta na maji na washirika wanajaaa .pombe ni dhambi mwanadamu anajua haina mjadala wanadamu tunapenda kujenga hoja za ujanja ujanja lkn wakati ukifika tutasema yote ni vema waumini tukawa makini na kusoma neno la mungu, uvivu wa kutaka kutafuniwa kila kitu mch ni mwanadam atasimama mbele zs mungu kujibu na sisi tutajibu pombe ni dhambi sio dhambi je utasema mimi nilimsikiliza mch
Asante kwa majibu mtumishi
Watu mmebadili maandko na kunywa kidogo usilewe. fanyeni tu
mzee hapo kama unatetea pombe
MZEE WA UPAKO UNAKUNYWA KONYAGI ! KWANI SIRI?
Mungu tusaidie naona watu wako wanaangamia kwa kukosa maarifa,namsaidia Mchungaji kujibu kuwa Biblia haijazungumzia Pombe bali imezungumzia mvinyo wa divai na divai maana yake ni furaha,amani na mafanikio ndio maana Yesu alitengeneza Divai iliyokuwa na ladha tofauti na divai zilizozoeleka kwenye utamaduni wa wayahudi enzi hizo Yohana 2:1-10 na ndio ilikuwa ishara ya utukufu wake kwenye ile arusi aliyoalikwa Yesu.
Divai iliyotengenezwa na Yesu ndio divai iliyoashiria mwili na damu yake itakayofanyika msamaha kwa watu wote.
,Acheni woga pombe au kinywaji chochote sio dhsmbi. Dhsmbi ni kutokuamini kwamba hakuna na huna dhambi kwani zote zimeondoleea na Kriso Yesu. Fullstop!
Daa hasara jamani interview ovyo kabisa majibu gani hayo
Mungu aziakiwi mzee wataumbuka wengi ata kwetu wapo wapigaji
sema kuhusu pombe
Kachemsha mzee upako naona hajatoa jb
Muogope mungu jamani. 👈
Hahah... hivo anavosema tu utajua kwamba Pombe imeruhusiwa kwa wakristo wenye akili wataelewa
duu huu mjadala wa pombe changamoto
duu huu mjadala wa pombe chancellor
@@privatusmtwangiri5589 changamoto kwako, au ww mlevi?
Walevi hawatoingia katika ufalme wa Mungu
Mheshimiwa amesahau kama pombe ni dhambi
pumbaaaavuuuuuuu kabisa, Yaan dhambi ni makubaliano???? nawaonea huruma waumini wako
Izack Jonas ww ndio mpumbav toa andiko linaloonyesha kunywa ni dhambi
@@tolasdaniel9288 balaaa polen
Waumini wake ni walevi kabisa
@@tolasdaniel9288 soma isaya 5: 22 imekataza pombe
Daaaa kunalawama hadi unashindwa kutafakali kwa kina
huyu ni mwongo. BWANA YESU ALIWAFUATA WATU!
Salvation Salvatory ni kilaza achana nae
Kwahiyo kutokana namchungaji pombe ni halali....! Tito aachiwe tu jaman
Duh
amina
HIVI WATU WANAOZUSHA VIFO WANACHUKULIWA HATUA GANI
SAWA KABISA LUSEKELO
Kunywa usilewe according to mzee wa upako
james assanga
Si kweli kwamba asilimia 90 inatoka kwenye ZE POMBE
nimemwelewa mzee lusekello kwamba dhambi ni mtazomo wa mtu na mtu .
Dhambi sio makubaliano weka wazi dhambi ni katazo LA mungu tusitende zambi
Hawa watumishi kwa kubadili MANENO too much
Mchungaji hapana kwani bibilia inasema kuwa ,ole wake apae kilevi mwanzake ,alafu wewe kama umechanguliwa kuwa laisi kwani lazima uwe wazili siunaweza kataa tuu
duuu nishida jaman hapo jina tu ndo limekubeba kiukwel cjakuelewa
Wapendwa, zichunguzeni roho hizo, je, zatoka kwa Mungu? ole wao wachungaji wanaopotosha kondoo wangu, asema BWANA
Ni hivi pombe ni dhambi wala siyo makubaliyano, wewe kama mtumishi wa mungu huwezi kutetea pombe hata siku moja
Aneti Kapami wapi paliandikwa pombe ni dhambi?
Aneti Kapami nikweli hapapo kwenye biblia panapokataza mojakwamoja kuhusu pombe ,zipo sifa zote za pombe kwa hiyo yeye yupo hapo tusimhukumu niuelewa finyu was maandiko
Chakula ni dhambi au...!???? Kama ni dhambi.... iko kwenye Amri ya ngambi ya Mungu ili iitwe dhambi!!!?
Mbn mzee kwenye pombe anazunguka zunguka tu siaseme kwa imani yake
Mrudie Mungu rafiki SDA.
What is SDA,,, hujielewi kabisa.... Yesu alikuwa Dini gani!!!
Hii kali...hakuna aliyemuona Mungu wala Yesu tuheshimiane dini zote..duuu!!!...Hii mpya!!!Dunia imeisha...Hakuna dini yoyote,dhehebu lolote isipokuwa ni Yesu pekee ndio njia na kweli ya kufika kwa Baba!!!!Pastor hapo sijakuelewa unamaanisha hata waislamu wako sahihi???Kanisa kazi ipo!!!!
Tafadhali naomba kuelezewa, ni wapi Yesu alisema mke sio talaka
Hamna kitu hapo.
sijakuelewa kabsaa
Wakristo wanalewa ni kawaida au mmebadilisha KATIBA!
haya yalitabiliwa
acha kutudhalilisha sio wakristo wote wanalewa
mzee utanisamehe Sana ila nakuchukia Sana because wewe ni muongo nilijua unamuabudu mungu wa Kweli kumbe huna lolote kiukweli hujanishawishi Duuh mungu tusaidie
nani mkweli unadhani...tusomeni tu Bibilia wachungaji wetu wana siri kubwa...66-17 Isaya....24-36 Luka pitia hizo kwanza...
Nechar Classic Mungu wa kweli unamjua wewe na wewe ni nani uhukumu!?
Mathayo 15:7-9
Ubarkiwe mze wa upako
Abarikiwe au umebarikiwa na kitu gan?
Nilijuwa mchungaji nikukemea popote uovu kumbe mnachaguwa seem kusema pombe nidhambi au sidhambi kujbu hadi mazngla mengne
Duuuuh,
Mzee wa upako katisha!
...eti wine haina alcohol😂😂😂
Kubwa Sana inayo alcohol
🤣🤣 wine zipo zenye alcohol na nyengine hazina je wewe unakunywa ipi?
Hi ni hatari mchungaji anakwepa kujibu swali la Pombe kakataa kujibu wazi wazi
Daniel Laizer ni miaka miwili ulishindwa kuelewa kuhusu majibu ya Lusekelo,ni pole kwa mtu ambae hawezi kumuelewa.
Mzee wa fix
Hapana Lusekelo hakuna ulevi halali na haramu, kuhubiri pombe ni dhambi ni maneno ya chumbani? Ni Mch pekee wa pentekoste ninaye msikia anatetea pombe.
Joseph Kingdom hivi pombe ni dhambi au ulevi ndo dhambi!?
Mathao kwanza mstari wa ngapi
Ole wake ampaye mwezake kilevi yaani hata Yule muuzaji anayekupa anazambi
Sikumbuki mahali Yesu alisema haya!!! Na Yesu alisemaje kuhusu Kinachoingia kinyani,,, si najisi bali kinachotoka kinywani mwake... HAMUELEWI INJILI... MTAFUTENIBYESU SIO MANABII WA ZAMANI.
Unye kiasi gani ili usipate zambi
Mchingaji simamia unachokiamini,ungesema msimamo wako,hpa kapepesa
Ubalikiwe sana mchungaji
Mungu ndio ajuaye?
Hv dhambi ni makubaliano kati ya sheria za kanisani au kwenye mandolin...!? Mbona Mzee ufunguk
Hivi kama ni haramu iweje mfanya biashara hela zinazunguka kuna mzaa pombe anakuja nunua kitu kwa kipato cha pombe na ukapokea mbona wasiseme ni haramu?
Muumini Wa kakobe angeenda kusimamia hili kanisa wangeingia mbinguni
Mchungaji unashindwa kuongea ukweli??!pombe dhambi ama si dhambi..?jibu kwa imani yako achana na wengine maana kuna na imani zimazopotosha...
Hatakama ungechukua maji ukaweka alcohol ukanywa tiyali nizambi olewao waamkiao kwenye kilevi na ole zimetajwa mala nyingi kwa mwenda mbinguni tuwemacho mkristo wakweli anapoulizwa kuhusu Yesu hachengichengi nauhakika Yesu ukiweka alcohol kwenye maji asingewezakunywa wengine wanasema ati alitengeneza pombe kule kana alitengeneza Ila hakuweka alcohol wacha Mungu nikua macho
Kwa wakatoliki hunywa pombe ila Ni kiasi si thambi kunywa pombe, labda madhehebu mengine ya kikristu baadhi yao yanakataza. Tusihukumu Sana Jambo hilo la pombe, wachungaji wengine haswa wakioko nje ya nchi Kama ujerumani wanakunywa wakati hapa Tanzania wamekatazwa??kwa Nini iwe hiivi??
Justin Digadiga mithali31:6-7
Lakn wakristo kulewa ni kawaida inafahamika, imezoeleka siku nyng
waislam mmezidi kulewa
Muzee wa upako akubali video video zilimuonyesha akinywa pombo
Kuhusu pombe muchungaji haponichenga
Kileo au kulewa hakuruhusiwi kwenye Biblia na ulevi maana yake ni kupitiliza sasa huyu amesema sawa kabisa kwani wapo wanasema pombe ni dhambi tuu
Mathao mlango wa mpka wapi mchungaji
Makanisa ya Babel haya n shida mwovu anawatumia vibaya hata kama 90% ya mapato n pombe wee n kiongoz wa dini mbona wajibu kipombepombe. Ufunuo 14:8, 1petro 5:13, Mathayo 15:9, nilikua nakuamin kumbe bureee
Fix
nataka kukuona
ni mombasa
Vizuri sana pastor mm nakuelewa vema
EMANUEL SIMON huyo ni mlevi 2
MS1 STUDIO ulevi co alcohol elewa
Duuh
Huna lolote muongo mkubwa wewe .unawaongopea wsio jielewa .nakama unaewza ombea wafe ,nakwambia zee la upako huna lolote .
kwa mtu mwenye akili timamu swali hili pombe ni dhambi au sidhambi lazima ujue dhambi ni nini,
Pombe ni dhambi
Tens Biblia inasema msilewe Kwa mvinyo ambamo ndani yake kuna ufisadi, Bali mjazwe na Roho, huku mkimwimbia Bwana Kwa Tenzi na Zaburi. Starehe ni pale unapokuwa na Mungu ( Roho Mtakatifu ) hutahitaji uende bichi kupungwa upepo, wala kirabuni n.k isipokuwa, utabaki ukimtukuza Bwana mahali popote, ukiwa kwenye gari, unapika, unafanya kazi zako zote. Barikiweni wapendwa.
9 Usinywe divai wala kileo cho chote, wewe, wala wanao pamoja nawe, hapo mwingiapo ndani ya hema ya kukutania, ili kwamba msife; amri hii itakuwa ni amri ya milele katika vizazi vyenu;
Mambo ya walawi 10:9
Kwa hiyo wasipoingia ndani ya hema wanaruhusiwa kunywa?
ua-cam.com/video/y7cDtCWtJ3Y/v-deo.html
Pata kujua kama kunywa pombe ni dhambi au laa....dhambi si maamuzi ya dini fulani...mchungaji unapata kigugumizi kuongea kuhusu pombe ni dhambi au laa!!!
kunywa pombe si dhambi,kulewa ndio dhambi,hakuna andiko kwenye biblia unaosema kunywa pombe ni dhambi,
we mzee umechanganyikiwa, unahitaji uokoke maana shetani amekuteka . acha kudanganya watu wa Mungu. umejaa porojo tu Injili haipo hapo.
Waumini wako nawapa pole
Kweli wanahitaji kupewa pole...
halafu mifano yako haina mashiko Sana poster
dhambi nikukosa lengo la Mungu,ni kukosa muelekeo nikwenda kinyume na amri za Mungu,pombe km pombe haiwezi kufanyika dhambi,dhambi ni uasi,km creti za bia zimewekwa hapo,hakuna anayezitumia utawezaje kusema dhambi ileeee,huo ni uwendawazimu wakifikra,mzee wa upako aweke wazi asikwepe kwepe
kwa kweli wewe ni JIPU KTK WACHANGAJI TANZANIA,YAANI UONGO WAKO HATA SHETANI AKALALE,WEWE NI MLEVI TU,PUMBAVU SANA
Gasper jaman pombe so zambi mbn uzinzi nidhambi na kwann mungu anachukia zambi ya uzinzi kuliko zambi zote achen Iman potof
Gasper Massawe sana
dhambi yauzinzi unaifanya ndani yako
wapi wameandika pombe ni dhambi??!!ulevi ndio dhambi ukristooo sio mzigoo kiasi hichoo.tatizo letu ni mojaa,hatusomi biblia kikamilifu na kufuatilia mafundishoo haswaa
ligimililo sanga acha ujinga kwani mzee waupako anakamatwa na polisi alikamatwa kwa sababu ya ulevi au kukutwa na chupa za bia pia imeandikwa ole wao watafutao kileo maana pombe
ligimilo sanga mh ww Sanga
ligimilo sanga uko sahihi ligimilo
Kweli mkuu
Soma methali vixur pombe imekatazwa
Pastor lusekelo weka mambo vizuri huo ni uongo Mimi nilishaitwa kuendesha gari breweries nikakataa! Kwa sababu nimeokoka!So wewe ni Mchungaji unashindwaje kusema kunywa pombe ni dhambi!
Kuendesha gari la Bia na kula nguruwe mbona sawa...kama umeokoka kabla ya kifo soma...21-31 Mathayo na 66-17 Isaya
Nimesikitika sana na majibu ya huyu mchungaji.
Hujielewi,,, hiyo pombe kuwa dhambi... Iko kwenye amri ya ngapi!!!?
Mchungaji kwahiyo mi nikifungua kanisa langu tukakubaliana kuwa uzinzi isiwe dhambi kwenye dini yetu je ni Sawa ? Kama dhambi ni makubaliano?
Kwa mawazo yangu dhambi sio makubaliano dhambi ni sheria ya Mungu kutoka katika biblia lazima tuifuate