Unayoyasema ni ya kweli mtumishi wa mungu sasa baba naamini una imani kubwa mimi nnakuomba unipe basi hata kagari kamoja mimi ni mzee kaweze nipeleka kanisani na hospitali mungu akubariki sana
si kila mtu anayetii maagizo ya Biblia anatajirishwa! kuna watu wengi waaminifu lkn maisha hao ni magumu! hvy hatutii neno la Mungu ili tufanikiwe ktk maisha! bali tunatii maagizo ya Mungu kwa sababu ndivyo Mungu anavyotusihi! ukifundisha watu hvy eti kila mtu anayetii Neno la Mungu atatajirishwa huyo mtu akiwa mwaminifu half asitajirishwe atamwona Mungu ni tapeli na mwongo! Maandiko Matakatifu yanatuambia "Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa" Mathayo 6:33
Daah! Hatari MUNGu atatuchoma mzee wa upako amenogewa na raha za dunia mpaka inafika mahali anasema wazungu wanataka ibadili dunia kuwa kama mbinguni huko ni kukufuru
Yaaani wewe, kote huko, katika yote hayo mazuri aliyoyaongea ya kifalme na ya maana sana ulikuwa unatafuta tu mahala utakapo hukumu tu... Umashida sana ndugu, Nadili mtazamo wako and stop being pessimist man.
Jamani cardilac hata kwa magari luxury haipo ila watz bhana ya marekanin yapo kila kona ni family car wala waru mashuhuru hawalinunui ... jamani shida kweli ... ila mbarikiwe jamani
Wewe ni mkundu (Benz,range,buggati, Lamborghini Cadillac Escalade CTS, Ferrari, McLaren, Hummer, Tesla na Aston Martin one ndio magari ya kifahari duniani (, Google bei ya Cadillac Escalade CTS toleo la 2021 uone bei yake)
Maisha ni imani.Ishi vile unavyo amini,ndipo utakapo fanikiwa.Mtu anaamini kupitia mchungaji nitakutana namatokeo mema ya maisha yake wacha aamini.Wapo wanaoamini bila kwenda kwa waganga hawawezi kufanikiwa.Naukiangalia mganga hata kiatu kizuri hana anakuambia utapata gorofa wakati yeye yupo nyumba ya nyasi.Maisha ni imani.
Sioni mtu wa Mungu hapa, ninachokiona hapa ni mtu mmoja anatumia jukwaa la dini kutajirika. Wapo wengi wa aina hii. Hata kwenye Uislaam sasa kidogo kidogo kumeanza mtindo wa masheikh kujitajirisha.
Hivi watumishi wa Mungu kwa nini mnakosa Hekima? hivi kweli mtumishi wa mungu atajitokeza katika mitandoa na kuzumgumza mambo ya anasa tu " mtumishi unahojiwa na mada ya gari kweli!! "
Amina napokea na pia tukutane mbinguni badaye Mungu n mwema
Unayoyasema ni ya kweli mtumishi wa mungu sasa baba naamini una imani kubwa mimi nnakuomba unipe basi hata kagari kamoja mimi ni mzee kaweze nipeleka kanisani na hospitali mungu akubariki sana
Unatumia jina la yesu kupata utajiri na kuwadanganya wagonjwa na dhaifu kwa imani zao ole wao.
Saidia watu wenye makanisa madogo sapoti mabati hata kiwanja.fanya hiyo uwe na taji.usisifire nagari tu. Saidia baba
😁thubutu
Mvuta bangi huyu
Wewe ndio mchungaji wetu unatutia moyo sana unatufundisha namna ya kupambana na maisha💪
Pole
Tunakunywa naye konyagi sana huyu mwamba, siyo mchoyo wa pombe
Sasa dimond kanunua juzi Tanzania nzima wanajua wakat mzee wa upako anayo na tulikuwa hatujui 🔥🔥
Watu wengine ndg yangu akil hawana ... We acha tu
Mzee wa upako ni miongoni mwa wachungaji ambao nawakubali sana kinywa chako kinanena maneno yenye HEKIMA sana
Huyu Mchungaji bhana anaongeaga point sana af utani mwingi😀😀😀
hongera sana mzee wa upako hiyo ni sawa kabisa mtumishi wa Mungu pokea upako zaidi
Gwajima anamiliki Hummer, helcopter na nyumba ghorofa apo unamzidi kweli
Wito...Uaminifu na unyenyekevu.
This very true
AMINA mi mwenyewa mzee was upako uliniombea nna michuma mpka mingine nimegawa na nahauna masharti yeyote na mzee wa upako hadai fidia ukifanikiwa
Nipe moja bac, hata baiskel yakwenda chuo
Safi sana mzee wa upako kwa ujumbe mzuri
Ameen
Pastor ,aiseee ubarikiwe kwa kauli ya kuitwa na Mungu imenigusa kweli,Kama hujaitwa utahangaika hangaika tu na kujipa vyeo ambavyo sio unakuwa tapeli
Mzee wa upako umetisha! Tuombeane katika utumishi wa Mungu
Ni kweli kabisa na uzidi kubarikiwa
Mungu akupe miaka mingie uko vizur
Nayapenda maisha yako mzee wa upako
Hizo sote ni pesa za waumini,, sadaka 🙏🙏🙏🙏🙏
Sisi tunaotoa hatuumi mbona unateseka?
Mungu akubariki
Uko sawa mzee wa upako,uko vzr chifu wewe hela unazo siku nyingi
Hongela mzee upo sawa
Mungu ameahidi kumtajilisha mtu yeyote anayetii Biblia inasema mkitii mtakula mema ya nchi
Umenena dada
Si Kweli
si kila mtu anayetii maagizo ya Biblia anatajirishwa! kuna watu wengi waaminifu lkn maisha hao ni magumu! hvy hatutii neno la Mungu ili tufanikiwe ktk maisha! bali tunatii maagizo ya Mungu kwa sababu ndivyo Mungu anavyotusihi! ukifundisha watu hvy eti kila mtu anayetii Neno la Mungu atatajirishwa huyo mtu akiwa mwaminifu half asitajirishwe atamwona Mungu ni tapeli na mwongo! Maandiko Matakatifu yanatuambia "Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa" Mathayo 6:33
Amen Mungu ni Mwema na mwaminifu
Mzee wa upako baba wa kiroho umenifundisha ki2 kizuri sana kwamba ukitaka kuongea na Mungu ingia sehemu 2livu chumbani na omba asante sana baba
Hongera yake
Baba yangu wa imani aliniombea nipate nyumba na nikapata kweli mungu azidi kukuinua baba
Alikuombea ukapata nyumba bila juhudi zozote?🤣🤣🤣
Ujanja unamsaidia mzee wa upako
Tuna mtaka mungu na SI magari Yako baba hayo hayatusaidii
Uyu mchungaji aliwahi kusema anapenda konyagi
Nimeichukua hiyo "ukitembea na waridi utanukia"
Kazi njema ya Bwana Mungu
Umeongea point sana mzee
I guess it is kind of randomly asking but do anybody know of a good website to watch new tv shows online ?
@Jaxx Wade Ehh I'd suggest Flixportal. you can find it thru google =) -pedro
@Pedro Emmett thank you, I went there and it seems like a nice service :D I really appreciate it!!
Wewe ukisema Mimi ni mchungaji wa kwanza kununua benzi na jery ngwamba atakuwa wa ngapi uongo huo
Ngoja nikuhulize pasta kati y'a kuomba mungu wama babu nakuomba mungu wa isaka nayakobo kati yahawa wa 2 nani anahomba vizuri mbele yamacho y'a bwana
Ukitaka kujua na kumjua Mungu wa kweli nitafute nikupe ufaham bure utakusaida
@@chrismassawe326 0788327252 naomba unibp nkupgie unipe akili na maarifa
@@gosbertmuta5421 0718338222
Yani gari ina tv 4 jmn M ungu tuonee n sisi hawa Watu ulowaenuwa wapee ujasiri watusaidiyee na sis
Kwani mbona Ibrahimu alibarkiwa utajiri
Nimecheka sana,ila good point.
Daah! Hatari MUNGu atatuchoma mzee wa upako amenogewa na raha za dunia mpaka inafika mahali anasema wazungu wanataka ibadili dunia kuwa kama mbinguni huko ni kukufuru
Yaaani wewe, kote huko, katika yote hayo mazuri aliyoyaongea ya kifalme na ya maana sana ulikuwa unatafuta tu mahala utakapo hukumu tu...
Umashida sana ndugu,
Nadili mtazamo wako and stop being pessimist man.
Ela za wahumin daah ney aliona mbali
Duh noma
Maneno yako ya na baraka sana
Sadaka za watu hizo hongera sana
Ni kweli habari hiyo!!ya maandiko!!
Hongera mzee wa upako
Barikiwa mtumishi
Amen
Mtumishi Mambo Mengi muda mchache 😂😂
Kila mtu anaenda kwa Mchungaji anayemuamini yeye.
Wewe kama utaona unaibiwa acha kwenda huko hujalazimishwa na mtu.
Hahahhaahhaha fact
Akili kubwa sana wewe
Kabisa
Namkubali sana mtumishi
Asante sana Baba
Basi sawa
Tapeli ww akunamtumishi apo usimchezee mungu
😅😅😅 Haleluya
Big up mzee wa Upako
Mzee msimuonee, mbona wengine hawatozi hizo sadaka wakanunuwa magari kama yake? Wivu tuu, wivu tuu. Mzee paaa tuu upo sahihi
Alieskia chai jaba na nungaembee anipe like😂😂😂😂😂
Safiii mzee
Mchungaji wa kwanza,kupiga konyagi🤣🤣🤣
Hahaha
😂😂😂😂
Mungu akusamehe
hy muongo amna lolote😂
Mawazo ya zwazwa ayo
Sema watu wapone😄😄😄
Mungu anakuona amina
Anamzidi ngwajiboy kwa mbalii sana huyu hakuwahi kuwaza ubunge
Mzee anamambo ya muhimu asee
Si anipatie moja mimi
Jamani cardilac hata kwa magari luxury haipo ila watz bhana ya marekanin yapo kila kona ni family car wala waru mashuhuru hawalinunui ... jamani shida kweli ... ila mbarikiwe jamani
we unalo ?
Kwenu Tz ziko ngapi?
Kwani umeambiwa ni Marekani hapa?
Wewe ni mkundu (Benz,range,buggati, Lamborghini Cadillac Escalade CTS, Ferrari, McLaren, Hummer, Tesla na Aston Martin one ndio magari ya kifahari duniani (, Google bei ya Cadillac Escalade CTS toleo la 2021 uone bei yake)
haipo Cadillac...hauko serious ww
Sasa uyu anamzidi rwanjima?
Umenifurahisha saana kwa mamiss hapo
LUKUSEKELO NAKUEKEWA SANA KAKA
Wazungu Hawawezi kumfikia Mungu, na kamwe Hawawezi kufanya hii Dunia Iwe mbinguni. Hapo unakosea
Amekosea wapi..wewe ndio haujamuelewa ndugu...
@@gloriatoo22 good
Safi sana baba yake na nabii shila mwanao nabii shila atasubiri hapa na mbagala
Watu wa Mungu mnatakiwa kumfollow Imani mcimbwa UA-cam harakka kabla hamjachelewa
Mzee wa upako ww jembe kweli SASA umesomesha watoto wangapi yatima? Hio ndio sifa. Maendereo pia ni mema Sana. Bado ndege Mzee wetu.
Kwel ni neema kwa mungu hakuna kinacho shindikana
Chanzo chako cha mapato ni nn?
Piga ela za maboya then katambe.....hahahaa kwel kila mtu ana njia zake za kujipatia kipato
Mustapha sana usemavyo wajinga ndiyo waliwao
Hela za maboya kama wale maboya wa misikitiini waliopigwa hela na Dr.Sule
Maisha ni imani.Ishi vile unavyo amini,ndipo utakapo fanikiwa.Mtu anaamini kupitia mchungaji nitakutana namatokeo mema ya maisha yake wacha aamini.Wapo wanaoamini bila kwenda kwa waganga hawawezi kufanikiwa.Naukiangalia mganga hata kiatu kizuri hana anakuambia utapata gorofa wakati yeye yupo nyumba ya nyasi.Maisha ni imani.
@@highvoltages4169we umejuaje dokta sule au we muislamu ??
Mzeee wa upako umetisha mzee Ila Napendaga sana ukianza ku unguruma vyenye vipindi vyako
Dah jamni mh
Majigambo na mbwembwe za magari ya kifahari.... Huo msururu wa magari yaliyopaki kwenye garage inakusaidia nini?
Tumekua WAJINGA
SIJUI WANAFUATA MILA YA NABII GANI?
Tulilieni ufalme wa mungu kuliko ufalme wa duniani
Mmmmh ni noumaaaaaaa
Sasa diamond ajilinganishe na wachungaj? Hawawatu wanapesa
Hubiri neno ,mwenye upako ni Yesu siyo maji
Kwa mjibu wa bibilia juu ya wachungaji 50 6 yeremia watuwangu wamekua kondoo walio potea wachungaji wao wamewapoteza
huyu jamaa ana siri moja na diamond
ndio zao hizo .
Sio wakawaida minazifam pesa zamajin
inawezekana itakuaje mtumishi wamungu ashindane na msani wakidunia kisa kahuza gari labei kali
Ndo maana wanatunishiana misuri
@@michaelsamson9663 Asante
Nataman ungekuwa muislamu siku moja kabla haujaondoka Duniani
Kwani uislam na UKRISTO zote ni IMANI yako ndo kawa MKRISTO
Japo sio muumini wake nimemwelewa ila wenye wivu hawatamsikiliza barikiwa
Tutkula mema ya nchi Neno lishasema
Morning sasa mtumishi hujui gari lako
Hamna kitu hapo, sio mtumishi wa Mungu wewe ni wa shetani, ninyi walokole hanna macho ya rohoni ya kutambua nani wa Mungu nani wa shetani,poleni sana
Kweli kabisa baba
Kwa mara ya kwanza hamjanidanganya nyie ptv waongo ongo.
Subiria moto tu mtu wangu
Hatar Sana
Wew baba mazali n tajiri tusaidiye na sisi n maskini jmn😭😭😭😭
Hahaha
Hahaha hatariii
Ww sio maskini muda wako bado
huu mchungaji haeleweki kabixa anaonekana hamuombie Mungu tunaemjuwa
Namashaka sana nahuyu mchungaji kwann anamchukia sana daimond🤔🤔🤔
Sioni mtu wa Mungu hapa, ninachokiona hapa ni mtu mmoja anatumia jukwaa la dini kutajirika. Wapo wengi wa aina hii. Hata kwenye Uislaam sasa kidogo kidogo kumeanza mtindo wa masheikh kujitajirisha.
Mmesahau akina joedev
Halaf hii TV niyakipuuz saanaa
Hivi watumishi wa Mungu kwa nini mnakosa Hekima? hivi kweli mtumishi wa mungu atajitokeza katika mitandoa na kuzumgumza mambo ya anasa tu " mtumishi unahojiwa na mada ya gari kweli!! "
Katika watu wabinafsi Duniani wengi ni watumishi wa Mungu, maana hupokea sadaka nk lakin wao hawawez kusaidia watu wenye uhitaji.
Kweli kabisa
Huwa namuielewa sana Mzee wa upako, huwa anazungumza uhalisia wa mambo
Kujitapa si tabia ya kiungu , naona kila siku kujitapa na mali tu tutaziacha Dunian tengeneza njia ya mbinguni
Mpe mzee upako nagari sio utajiri.ila kwa lumbukeni ndio utatangaza👏👏👏
Acha wivu ndugu utakuua