FUNGU LA KUMI LIMEBEBA BARAKA NA LAANA KIBIBLIA
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- Mal 3:10
Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema BWANA wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/siri...
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Aaaamen baba,mtumishi hapa umenigusa mno moyo wqngu,asante sana kutukumbusha na kutufundisha hili somo!!ni somo nyeti sana sana,Roho Mtakatifu anisaidie ili nilitende neno lake nisiwe tuu msikiaji,na likaponye maisha yangu ktk kipengele hiki cha uchumi!!
Amen 🙏🙏 nimefuatilia mafundisho Yako mtandaoni nimebarikiwa sana kwa mafundisho nainuliwa kwa kweli, Asante
Ameni mtumishi kwa somo la sadaka
Ambalo wachungaji wengi hufundishaa juu juu
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉 Aminaa unasikika unaeleweka vizuri sana ndani yako una Mungu Ubarikiwe tunabarkiwa sana na mafundisho yako
Ubarikiwe sana kwa somo zuri, nimejifunza kumbe kuna majambazi mengine tupo uraiani na tunaendelea kuiba tu mali ya Mungu, Mungu atusamehe sana mtumishi pengine tulitenda kwa kutokujua
Amen mutumishi nmekuelewa vzr kwahili neno nkweli kabisa namungu akubariki ww nasisi wanawako hapa madhabahuni
Amina baba
Ahsante sana mtumishi wa Mungu kunifungua akili na moyo wangu, Mungu akubarik
Tunakufata sana mutumishi wamungu ubalikiwe sana na mungu azidi kukupa ngunvu🙏🙏
mwenyezi mungu naomba nfutie maden yanay no kosesha raha pia mungu wanag wapate mahitaji me ngu wangu
Nakusikiliza nikiwa tandare unasikika vyema hongera sana mtumishi wa mungu ila sikobvizuli nina vidonda mdomoni naomba msaada waaombi kwa mungu baba
Bwana yesuvasifiwe mimi natokeya kampala akika nafuata sana na Mungu akubariki
Amen,yaan nimejikuta tu nimekuwa mnyonge Juu hili somo maan limenigusa sana na sijawai kutoa zaka lakini kuanzia sasa nahaidi Mungu anisaidie niweze kutimia hii ahadi ya Mungu kwa kumtolea Mungu 🙏🏿
Asante yesu
Loud and clear Arusha Ilboru
Nakupata Mtumishi vizuri sana tukiwa DODOMA
Nakupata vizuri kabisa nipo kazini kwangu Asubuhi ya leo
Ameen ameen❤
Amen amen amen.
MUNGU AKUBARIKI SANAAAAA . YOUR TRULY A MAN OF GOD I WISH TO SEE YOUR FACEE....
Niko nairobi kenya nakupata vizuri amen
Ahsante yesu nikitoa kwako siumii
Amen 🙏 🙏
Nakupata vizuri sana asante Mungu akuzidishe neema
Amen Amen ubalikiwe sana Mutumishi
Loud and clear kutoka kenya
Hatari kumkopesha MUNGU
Neem MWENDA nipo mwanza nakupata vizuri😊
Yes,servant of God I'm getting u clearly in Saudi.
Ameni
Amen
mchungaji mimi nina kusikiliza vizur sana kutoka bujumbura
Amen🙏🙏🙏👏👏Nakupata vizuri nipo dodoma, mungu akubariki mutumishi akupe maisha marefu pamoja na family yako,🙏🙏 tuko pamoja👏👏🤝🌹🌹🌹
Amen🙏🙏🙏🙏🇰🇪
Amen🙏
Ame mtumishi wa mungu
Asante mtumishi wa Mungu nimebarikiwa naomba Mungu aniwezeshe ni tende kuligana na mafundisho ya Leo again thank you man of God
Ubarikiwe Mtumishi nilikua sijui Kama nakosea kutoa zaka nje ya madhabahu naomba pia utufundishe kuhusu malimbuko🙏
🇧🇮🇧🇮 umenigusa kbxa asante sana dady🎉
Amen sana Mtumishi wa Mungu
Eee mungu tusaidie tutoe sawa sawa na maandiko yako
Nakupata mucungaji mumgu akubariki
Amee
Ameen mtumishi sema tupone
Kweri mutushi wamungu nikweri mungu atusamehe asate kwamahubiri yareo mungu 🙏🙏🙏🙏🙏🙆♂️🙆♂️😭😭😭 akubariki mungu akupe guvu mutumishi wamungu
Amen mpendwa
Hallelujah Amen 🙏 🙌 👏
Ameen
Amen nimebarikiwa sana niko kenya nbi
Nakupata vizuri mtumishi
Amen Mimi shirika niombe nimepotesa pesa nimeimbiwa
Nakupat vyema toka Tabora, ubarikiw san paster mana tunabadilika kupitia siri za biblia
Loud en clear ,Erastus matata mombasa
Sionagi shida Wala uzito wa kumtolea MUNGU sadaka
Ame
Nakusikiliza nikiwa tabora unasikika vizuri sana mtumishi na ninabarikiwa na mafundisho yako yesu akutunze
Mtumishi wa MUNGU barikiwa sana,umenifundisha sana mimi
Nakusikiliza vizuri sana baba
Nakupata vizuri
Asante kwa kutuweka wazi. Tumepoteza sana kwa kutozingatia ukweli
MUNGU nisaidie nizidi kukutolea kwa moyo wa kupenda na furaha
Ameeeeeeeni❤❤❤❤❤❤❤❤
Nakusiliza vizuri
Nimekupata vzuri ubarikiwe
MUNGU nisaidie nikutolee kwa MOYO WA kupenda
Nakusikiliza vizuri Mtumishi
Ameen nakupata vizuri
Amen mtumishi wa MUNGU unasikika vzur sana kutoka musoma-mara
Wasio okoka wanafikiri wakitoa fungu they will make heaven remember we pay tithes we don't give tithe and what we pay is taxes
Ninakupata.
Nakusikia. Vizuri.
Nikiwa. Qatar
Kweli mtumishi
Nakuskia vizuri
Amen ubalikiwe mtumishi wa Mungu' kwa somo hili!!
Ubarikiwe Sana mtumishi wa MUNGU
Sophia ❤
Nakupata vizuri mtumishi wa Mungu barikiwa na wwe🙏🙏🙏🙏🙏🙏
🇧🇮🇧🇮 umenigusa kbxa
Mimi na barikiwa nikiwa kenya
Mungu wetu ni wa utukufu milele
Nakusikia vizuri sana baba mtumishi kutoka Tanga Lushoto hapa,blessed much na Kristo azidi kukupandisha viwango vya juu zaidi.
Amen God forgive me for eating tithe 🙏🙏 I will be faithful from now
Amen Amen
Asnte Kwa neno zuri nimelewa vya kutosha ubarikiwe Sana mtumishi 🙏🙏🙏🙏🙏
Amen amen mungu ni mwema wakati wote Niko pamoja na ww mtumishi wa mungu naomba mungu unipe Neema yakulijua neno lako 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Tuache ubahili jamani mbele za MUNGU,,,,
AMEN niko pamoja na wewe mtumishi from kahama
Utuzwe na Mungu mtumishi. Asante Bwana wamajeshi kwaneno lamaarifa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Tuko pamoja
Hakika baba mungu apokee sadaka yangu kwa Jina la Yesu ameen 🙏
unasikika mtumishi
Amen amen amen ❤❤❤ ubarikiwe sana mtumishi.
Amen nakufuata vizuri nikiwa Malawi
Amenh
Amen Amen
Ameen 🙏
Amen Mtumishi wa Bwana 🙏 sana
Amen mtumishi wa mungu barikiwa sana
Ameen mtumishi ubarikiwe sana
Amen Amen mtumishi wa Mungu 🙏🙏🙏
Nakuskiliza vzr nipo dar es salaam mbezi beach
Amen🙏🙏🙏🙏👍
Nakupata vizuri hapa thika kenya